Hongera sana Rashid kwa kutuletea habari zinazofurahisha mioyo yetu Wazanzibari. Tunapenda kuona maendeleo ya vitu pamoja na ustawi mzuri wa hali za kimaisha za wanachi wote. Allah azidi kumjaalia kheri raisi wetu DR HUSSEIN ALI MWINYI. AMEEN🙏
@user-sc4ql5kf9v19 күн бұрын
Hongera sana mheshimiwa
@alhajjkassim2648Ай бұрын
Hongera Sana Rais Mwinyi
@fakijechaАй бұрын
Kwa nin barabara ya bububu kiyongozi ni shida viyongoz kubwa sana
@nyaganyaga3876Ай бұрын
Ni maendeleo tunayoyaitaji kwa nchi yetu siyo tunayaona kwa nchi nyingine. Japo baada ya haya tunaomba taa zaidi na kamera zitakazo mlika uvunjifu wa sheria barabarani ili kupunguza usumbufu wa tarafiki
@abdull_hafidhАй бұрын
Suala la kuboresha bara bara zanzibar nampongeza raisi ni suala zuri sana ila mbona wanabiresha tu hawaongezi upana ni ule ule ???