HIZI NDIO FLYOVER ZINAZOJENGWA ZANZIBAR, MRADI WA BARABARA KILOMITA 109 ZA MJINI HAUJASITA

  Рет қаралды 10,367

Wasafi Media

Wasafi Media

Ай бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 22
@Juma-om7ho
@Juma-om7ho Ай бұрын
dk Husseein hongera sannaa upo vizuri
@kassimsaid9316
@kassimsaid9316 Ай бұрын
Hongera sana Rashid kwa kutuletea habari zinazofurahisha mioyo yetu Wazanzibari. Tunapenda kuona maendeleo ya vitu pamoja na ustawi mzuri wa hali za kimaisha za wanachi wote. Allah azidi kumjaalia kheri raisi wetu DR HUSSEIN ALI MWINYI. AMEEN🙏
@user-sc4ql5kf9v
@user-sc4ql5kf9v 19 күн бұрын
Hongera sana mheshimiwa
@alhajjkassim2648
@alhajjkassim2648 Ай бұрын
Hongera Sana Rais Mwinyi
@fakijecha
@fakijecha Ай бұрын
Kwa nin barabara ya bububu kiyongozi ni shida viyongoz kubwa sana
@nyaganyaga3876
@nyaganyaga3876 Ай бұрын
Ni maendeleo tunayoyaitaji kwa nchi yetu siyo tunayaona kwa nchi nyingine. Japo baada ya haya tunaomba taa zaidi na kamera zitakazo mlika uvunjifu wa sheria barabarani ili kupunguza usumbufu wa tarafiki
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh Ай бұрын
Suala la kuboresha bara bara zanzibar nampongeza raisi ni suala zuri sana ila mbona wanabiresha tu hawaongezi upana ni ule ule ???
@iddmohammed1086
@iddmohammed1086 Ай бұрын
Barabara ya Fuoni Chunga tafadhali
@aliabdallah4233
@aliabdallah4233 Ай бұрын
Pemba jamani mbna haijatajwa hapa
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no Ай бұрын
Go go go MWINYI🙌🏼🙌🏼
@saidiomar6642
@saidiomar6642 Ай бұрын
Mm nilitarajia utamhoji wakat yako njiani anakagua barabara kumbe yupo oficini
@Pemba680
@Pemba680 Ай бұрын
Chake mkoani mumeiyona????
@AbdulRahmanAliy-sr7gw
@AbdulRahmanAliy-sr7gw Ай бұрын
Pemba hajazitaja Bara Bara lkn iyo pia imo kwenye mradi
@seifhabib5987
@seifhabib5987 Ай бұрын
Muheshimiwa mbona kama lami ziko zaifu kweli ubora upo kweli musikae mahofisini tu kakaguweni na ubora
@mussachichajr
@mussachichajr Ай бұрын
Yaani mmeacha barabara sumbufu kama BUBUBU
@AbdulRahmanAliy-sr7gw
@AbdulRahmanAliy-sr7gw Ай бұрын
Raisi ashajibu kua iyo pia imo
@MrKhatibu
@MrKhatibu Ай бұрын
Ile tunataka kuweka tram(mabasi ya umeme yatakayotumia njia yake pekee)
@SiabaFadhili
@SiabaFadhili Ай бұрын
Sasa jamani ya bububu kwanini msianzie bububu polisi 👮 mpaka hapo ulipo sema kinazini bank 🏦 kwanini muamzie mtoni?au mnaogopa fidia itakua kubwa?
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke Ай бұрын
Lazma zimalize hizi za mjini ndio ije bububu
@AbdulRahmanAliy-sr7gw
@AbdulRahmanAliy-sr7gw Ай бұрын
Itajengwa kwa mujibu wa kauli ya raisi
МАМА И STANDOFF 2 😳 !FAKE GUN! #shorts
00:34
INNA SERG
Рет қаралды 3,6 МЛН
Универ. 10 лет спустя - ВСЕ СЕРИИ ПОДРЯД
9:04:59
Комедии 2023
Рет қаралды 2,8 МЛН
Вечный ДВИГАТЕЛЬ!⚙️ #shorts
00:27
Гараж 54
Рет қаралды 7 МЛН
🌊Насколько Глубокий Океан ? #shorts
00:42
JUSSA AFICHUA SIRI NZITO YA MUUNGANO
34:06
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 55 М.
KINACHO ENDELEA KATIKA UJENZI WA FLYOVER ZANZIBAR
6:23
ASAM Online TV
Рет қаралды 4,5 М.
The story Book: Lumumba Shujaa Aliyetolewa Kafara
25:41
Wasafi Media
Рет қаралды 472 М.
Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel
40:37
BBC News Swahili
Рет қаралды 33 М.
ZANZIBAR SI SHWARI - 02
13:14
SK Media Online TV
Рет қаралды 9 М.
UJENZI WA FLYOVER WAPAMBA MOTO ZANZIBAR
7:23
ASAM Online TV
Рет қаралды 8 М.
I want to play games. #doflamingo
0:20
OHIOBOSS SATOYU
Рет қаралды 11 МЛН
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
0:17
OKUNJATA
Рет қаралды 4,4 МЛН