Kwa hiyo uongozi wako ni bora kulko uhai wa mtu??..yani wewe hufai kuwa kiongozi,.na mtu akipotea utafutwe wewe nawe uwawe na wananchi!..we ni mchumia tumbo huna lolote wala uzalendo huna!
@Burange6663 ай бұрын
Piga makofi kwa mkundu wako msenge wewe wa ccm
@CanBoy-iu4mz6 ай бұрын
Vijana acheni sifa msimchafue Rais wetu mzuri
@George-f6u3 ай бұрын
Hizi kauli kama hichi ya kwenu muache. Mnatukanwa kwasababu sio bure.
@majaliwasikabenga2536Ай бұрын
Mwenyekiti kafikisha ujumbe mzuri sana japo kwa lugha kali😊
@NtamamiloGibsonАй бұрын
Sasa kwa kauli hizi za viongozi wa CCM kwanini watu wasife bila hatia. Kiufupi mnajenga chuki kubwa ndani ya nchi yetu. Maana mtu akiwa na chuki na mtu atasingiziwa kuwa amemtukana raisi ili auawe. Mungu yupo.
@NdebileMathias5 ай бұрын
Watu mkiwapoteza msiwatafute,da! Kweli hii nchi haina usawa mtu ameshiba kodi zetu harafu anatamka maneno kama hayo kweli wacha tuone mtu akipotea
@Burange6663 ай бұрын
Huo umoja wa mashoga
@juliusbura45505 ай бұрын
Mmewapoteza wangapi?
@DottoMagesaАй бұрын
Hizo kauli daah wapinzan lazima wakosoe kwahiyo wakikosoa muwateke duuh
@GenesisReuben-d4oАй бұрын
Na kweli mnapiga makofi kwa kauli hizi bado mmelala mnaopiga makofi
@dullnillan6 ай бұрын
Nani kapitisha hii ngo'mbe iwe kiongozi
@HappySilvano6 ай бұрын
Hing'ombe ilipitishwa kwaajili ya skukuu ya idd
@DottoMagesaАй бұрын
Hafai hata kwa kulumangia huyu jamaa nauongoz huo sijui kaupataje
@mungunimwemakilawakati12996 ай бұрын
KUSEMA KWELI KUMTUKANA MHE. RAIS SI SAWA! LAKINI KWA TAMKO HILI NI HATARI SANA!!
@farajabinamsimchimbaАй бұрын
Uraisi ni taasisi ,kukosowa taasisi ni haki ya msingi kikatiba ccm hawataki wala hawapendi kukosolewa
@ledasjosseph5558Ай бұрын
Hiii sio sawa
@jeffhard577316 күн бұрын
Aje acheze na uchaguzi au acheze na uteuzi wa kupita kimagumashi tena bila kupingwa
@MusaOgwokoАй бұрын
Mh. Rais toa huyu muaji
@mardadkephassaimonmardadАй бұрын
Gharama cyo kura zetu 😂😂😂😂😂😂😂😂
@ESTHERKenny-nn7mw22 күн бұрын
Kumamako na uyo raisi wako
@mohammadoman89636 ай бұрын
Sahihi viongozi lzm waheshimiwe na dini pia inasema iwekeni hiyo sheria maana watanzania wengi wamekuwa ni watu wakuvunjia watu heshima
@juliusbura45505 ай бұрын
Nini maana ya heshima
@salehwaziri50625 ай бұрын
Nikama mlivyompotezaJpm
@Lidyakagondi-h9b3 ай бұрын
Kupotezwa inshaalah
@FanuelEmmanuel-r3j3 ай бұрын
Wewe angalia sana kauli zako hakuna aliejuu ya sheria wewe acha mihemko na ahadi yako na wengne wakiizumu hii nchi haitakalika
@wirangamochemba70634 ай бұрын
We nyani kasoro mkia
@Burange6663 ай бұрын
Wewe unafirwa huwezi ukampoteza mtu kwani hii nchi ya mama yako kafirwe mbele acha umaarufu unataka ukubwa kwa ccm choko wewe
@nellynathan-hf2by5 ай бұрын
Pole bro,,,umekidhalilisha chama isee
@ShabaniMustafa-n8h23 күн бұрын
Kijana wao
@clauschaula20502 ай бұрын
Jeshi la polisi kwa hili chukueni hatua.Vinginevyo mko pamoja nao.
@MaxKwimkilwa6 ай бұрын
Shida y Ccm Haina Vijana wenye Akili Hilo jamaa liko tayari kuua
@hamnajipyadicksoni40076 ай бұрын
Huna akili pepo kabisa wewe yan unawaza kupoteza wenzako
@zanetakikoti62665 ай бұрын
Hawana mada za kuongea sasa hivi mada ni matusi mtandaoni
@JovinBuberwa6 ай бұрын
I see hili jamaa limezingua.. linachafua chama. Jinga kabisa mbwa huna akili. Unafokea watu,vitisho,Rais mama ana busara toa ujinga apa. Takataka
@ashachitemo78166 ай бұрын
Huyu kijana apelekwe milembe hospitali.Na mijitu kama hii ndo inasababisha CCM ichukiwe
@henrymjema16856 ай бұрын
Nikweli sio vizuri kumtukana rais, ila Hilo jinga linavyoliambia jeshi la polisi kwamba litawapoteza watu, daaah, njaa mbaya Sana.
@MichaelThomas-ky7pj3 ай бұрын
Chawa
@MathiasiGregory6 ай бұрын
Hivi huyu walitumia vigezo gani kumchagua? Jitu la ovyo kabisa alafu watu wanaliskiliza,, ovyo kabisa😢
@SurprisedBirchForest-tm5yg6 ай бұрын
Shida ya ujinga kama huu ni system zipizotengenezwa kutoka juu kuwa bila uchawa huwezi kuishi kwenye uongozi imetuasili hadi vijana ndiyo maana wanajikuta wanaharbu Kwa kuongea ujinga
@MsalabaniReko3 ай бұрын
Uyu kajichagua au kachaguliwa na ccm
@CanBoy-iu4mz6 ай бұрын
Mama Samia huyo anaharibu kabisa wewe Rais una hekima ila hao wengine wajitafakari
@kazimotomaswi97006 ай бұрын
Kagera nisoo! Ukiandika tu neno uvccm kwenye utube unamizia kagera
@jumahamadomar91245 ай бұрын
Hawa ndio watu wasiojuilikana leo wanaanza kudhihirisha maovu yao ya siku nyingi na hawa ndio wachochezi wakubwa wanaolindwa na jeshi la polisi laiti lugha kama hiyo ingeongelewa na mpinzani lahaula mapolisiccm yangekuwa yamefungulia kesi ya uhaini na dhamana hakuna
@madenge7316 ай бұрын
Kumamako zako mbwa wewe unatombwa mkunduni
@MohamediKalanje6 ай бұрын
Tufanye yote ila moto wa jahanam hautatuuacha salama
@HADSONPAUL-c1n16 күн бұрын
Acha nikae kimya
@HijaSaid-xd7fg6 ай бұрын
Huu ndio ukweli umesema ukweli, wewe hutaki mambo yafanyika gizani, Mungu atahukumu tuu, mnajua gharama ya Mungu kumuumba mwanadamu
@bonifacerobert2960Ай бұрын
Eti, gharama ya Mungu kutuumba kwao ni ndogo sana, kiasi diwani wao apite kwa kutuua, na kuua watoto wadogo na albino kwa ushirikina, mbunge ashinde? Kwa mabao ya mkono, na kwa haramu na nusu haramu? Kwa kutunyima KATIBA MPYA na TUME HURU YA UCHAGUZI?
@lukomanomaliki5442Ай бұрын
Ila ingekuwa ni Chadema,hapo ungewasikia polisi imepata taarifa za kiintelejensia wanataka kufanya vurugu.Lakini husikii intelejensia ya polisi ikifanya kazi kwa chama chao pendwa cha CCM.Ewe Mwenyezi Mungu tupitishe salama katika kikombe hiki,yaani mtu anajitapa hadharani kupoteza watu halafu watu wanamshadadia tu.Kana kwamba anaongea kauli nzuri.Hata kutaka sifa na kulinda vyeo sio kwa kutoa kauli hizi.Kumbukeni duniani tunapita,usiwanenee mabaya binadamu wenzio kisa kutaka sifa na kujikomba kwa wakubwa zako.
@NinaejulikanaАй бұрын
SIKU ZAKE ZAKUISHI HAPA DUNIANI ZINAHESABIKA. PIN HII COMMENT 😢
@Ibrahim-ne3in6 ай бұрын
Panya kweli huyu n kijana wa hovyo kabisa
@CanBoy-iu4mz6 ай бұрын
Ni vema kuheshimu sheria ya makosa ya mtandao sisi wananchi tunapinga upotezaji wa watu. ni matumizi mabaya ya Madaraka hatutaki siasa za vitisho kwanza mama Samia hautaki hayo mambo vijana acheni sifa
@clauschaula20502 ай бұрын
Hivi huyu alichukuliwa hatua gani na jeshi la polisi?
@farajabinamsimchimbaАй бұрын
Huyu ni boss wa jeshi la police
@clauschaula20502 ай бұрын
Huyu hachochei vurugu?
@jaydon33616 ай бұрын
Hili halina akil kabisa, huyu hatakuwa kuwa kiongozi, jifunze kwa Rais mpaka kaamua kuwaruhusu vyama pinzani kufanya mikutano, maana yake ni democrats
@MohamedAhmada-ie7ke6 ай бұрын
Ungejua usinge sema iyo kauli
@yamungummungulo6336 ай бұрын
😅😊😅😊😅 kwahy wanajua pakuwaficha? Me sema t
@jaydon33616 ай бұрын
Ili halina akili, Kwan nchi Haina uhuru au
@KasangaKalanga-vo6od6 ай бұрын
Pumbafu wewe raisi haitakiwi kutukanwa ila anastahili kukosolewa kwa kutowajibika, ila wewe hufai kua kiongozi
@imatisatv92396 ай бұрын
Huyu ni matako kabisa
@HappySilvano6 ай бұрын
Maana ni hata kumwaga damu wamweke kiongozi hii ni hatar
@joelyjosiah5 ай бұрын
jama anataka samia amuone wamana kumbe pumba
@JovinBuberwa6 ай бұрын
Mnyama huyu mbwa
@juliusbura45505 ай бұрын
Wewe hujielewi
@panduafricangiant49026 ай бұрын
Unamtukanaje mheshimiwa kiongozi wako jmn huo ni ukosefu wa hekima na busara
@henrymjema16856 ай бұрын
Nikweli sio vizuri kumtukana mtu yeyote, ila huyo jamaa inabidi akamatwe kwa hiyo kauli yake kwamba atapoteza watu, hiyo kauli itachafua chama kwamba ndio kinapoteza watu.
@RichWise671Ай бұрын
#CCM #POLISITANZANIA #TLS
@theuniversetv28706 ай бұрын
Ukiwa na maana gani shenzi mkubwa
@godfreyduma44186 ай бұрын
Unamtisha nani wewe mpumbavu
@tumlakichoir99296 ай бұрын
Hello
@HijaSaid-xd7fg6 ай бұрын
Mimi nauliza, na wale Mawaziri waliotajwa na Makonda nao watapotezwa, au ni wanainchi tuu wasio na walinzi, Allah tuhukumie kabla waja wako hawajakutwa na mauti haya, viumbe wako hawana hofu na wewe tena
@jediokokoma86706 ай бұрын
HUJITAMBUI
@georgegilbertkaizilege53476 ай бұрын
Ukitaka usipotee usiwatukane viongozi wakosoe kwa lugha za staha.