JAMBO NA VIJAMBO : MBOYOYO AFUNGUA OFISI YA MISIBA

  Рет қаралды 114,858

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

Пікірлер: 358
@msafitv8663
@msafitv8663 3 жыл бұрын
Sema bongo huwa tunawapatia vichwa na tension wachekeshaji ambayo hawana hata vipaji,but tunamsahau huyu jamaa ase anajua Sana ase tuendelee kumsaport awe Superstar
@alikutenga3303
@alikutenga3303 3 жыл бұрын
Umeona eeehh umeongeya ukweli babaaaa.
@martinmaryogo3676
@martinmaryogo3676 3 жыл бұрын
huyu jmaa mm nmechek had machoz yan hil kuongea tu ni komedy tosha
@martinmaryogo3676
@martinmaryogo3676 3 жыл бұрын
et gari zko nje cluser
@idontknowwhoami3066
@idontknowwhoami3066 3 жыл бұрын
He's already superstar
@elishafadison5749
@elishafadison5749 3 жыл бұрын
4sure bro
@babuugwakey4277
@babuugwakey4277 3 жыл бұрын
Yaaan huyu mboyoyoo na mpoki wakifanya kaz wataua sanaaa maana ni pure talented with no script i believe 💪💪
@dalali_professionalwa_dodo8330
@dalali_professionalwa_dodo8330 3 жыл бұрын
Huyu mboyoyo ni kisanga na nusu... Wanachkuliwaga watu wapumbavu tu..ila huyu jamaa ni MAJESTIC...
@fatmaally7252
@fatmaally7252 3 жыл бұрын
Yaaaaani wewe kaka ni moto wa nchi za njee daaaah cjui ❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@mangekimambi6190
@mangekimambi6190 3 жыл бұрын
Hilo bango sasa hiko kiingereza 😂😂😂😂😂😂😂 "Tanzania Plofeshino Fiunelo campany" huyu mwana wallahy ni mbwa sana 😂😂😂😂
@joakimjosephat9984
@joakimjosephat9984 3 жыл бұрын
Ni namna tu ya kukuchekesha
@luqmaneme9105
@luqmaneme9105 3 жыл бұрын
Hhhh jamaa mbunifu
@yasodishonest9792
@yasodishonest9792 3 жыл бұрын
😂😂😂😂🤣🤣🤣
@jipozeonline3983
@jipozeonline3983 3 жыл бұрын
This is true definition of talent ,,,All the best for them!
@joshmangi
@joshmangi 3 жыл бұрын
Leo nimecheka sana, kazi nzuri.
@zungutouch6508
@zungutouch6508 3 жыл бұрын
nafikili katika hii REFLITION mmefeli woote😂😂😂😂😂😂😂😂 Dah huyu jamaa anarahisisha sana kingreza
@anthonylister754
@anthonylister754 3 жыл бұрын
Wapi Likes za Mboyoyo tafadhali
@MrMtebwa
@MrMtebwa 3 жыл бұрын
R.I.P Rashid Hamis Raula daaaadeki gonga like twende sawa
@luagampugusi8389
@luagampugusi8389 2 жыл бұрын
Kazi nzuri sana...hiki ni kipaji kilichokomaa sana....napenda na somo unalolitoa mwishoni kwamba watu hawataki kuwa kwny kujenga wanakuja kugombea vyeo baada ya mjengo kumalizika....hhhhhh.. mko vzr jambo na vijambo big up
@hb_powe_bnk188
@hb_powe_bnk188 3 жыл бұрын
Duh cjawahi cheka kwa sauti1🤣🤣🤣mboyoy big up #like100
@methodjulius7489
@methodjulius7489 3 жыл бұрын
ili nisiende I.C.U ikabidi nisimalizie kuangalia maana leo washenzi wamenifanya nijue nni maana ya kucheka ni kuvunjika mbav😅😂, ktk dkika 56 nimeishia 18 tu nasiwez endelea ili kuokoa maisha yang😅😭
@Kazungujr255
@Kazungujr255 3 жыл бұрын
Hawa jamaa hatar sana
@aminakipande5645
@aminakipande5645 2 жыл бұрын
Yaan nlikua na mawazo lkn kuangalia hii kitu kidoogooo niimepata amani nimecheka bila kutaka 🤣🤣🤣🤣🤣
@jerrycardo6770
@jerrycardo6770 3 жыл бұрын
Ila mboyoyooo 😂😂😂👏🏿👏🏿 embu niache n mbav zanguuu
@nurdin.mndeme3447
@nurdin.mndeme3447 3 жыл бұрын
anatumia jina gani Insta huyu aise 😂😂
@jerrycardo6770
@jerrycardo6770 3 жыл бұрын
@@nurdin.mndeme3447 maneno kumi anatumia
@issaathuman2447
@issaathuman2447 3 жыл бұрын
Huo msiba tunakula nyembe wote...lia kisingeli😂😂😂
@elishafadison5749
@elishafadison5749 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@aminakipande5645
@aminakipande5645 2 жыл бұрын
Hata mm nimecheka wallah 🤣🤣🤣
@chrssmsafi8307
@chrssmsafi8307 3 жыл бұрын
Leo nimekuwa wa5 naombeni ata like 100
@godfreybatton6515
@godfreybatton6515 3 жыл бұрын
😍
@mathewdeo8326
@mathewdeo8326 3 жыл бұрын
Jamni leo na mm nmewai like pongez kwangu
@aseid2995
@aseid2995 3 жыл бұрын
This is so amazing
@Samactortv
@Samactortv 3 жыл бұрын
Namuwazaga sana uyu jamaa sjui anaishi vip na watu wake wa karibu si wanafurahi mda woote aisee😆😆😆
@khalifasultan2677
@khalifasultan2677 3 жыл бұрын
Watu wanapigana jumamosi,Jumapili Hospital,Juma Tatu Wanakufa Daah..🤣🤣😂😂😂
@danielychiwango9079
@danielychiwango9079 3 жыл бұрын
Jamaa anafanya watu waone kingereza chepesi Sana😂😂
@zungutouch6508
@zungutouch6508 3 жыл бұрын
kwel mwanangu, anakwambia I WANT TO KNOW YOUR FELLAS😂😂😂😂😂
@mwanamisakulembwa1147
@mwanamisakulembwa1147 3 жыл бұрын
Umeweza xana kulia style zote gd job mboyoyo .🤣🤣🤣♥️
@fatnahsaleh860
@fatnahsaleh860 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 aisee big up #Jambonavijambo🔥🔥🔥🔥. #Wasafimedia ni noma 🌍🌍🌍
@nyimbizikamtima967
@nyimbizikamtima967 3 жыл бұрын
Mboyoyo we ni 🔥🔥 Broo nakukubali sana.
@abnizplatnumz5520
@abnizplatnumz5520 3 жыл бұрын
Jamani japo nmekuwa 32 lakin naombeni like ata 10
@husseinhajji6984
@husseinhajji6984 3 жыл бұрын
Ila Huyu jamaa Hata Watoto wake huko Nyumban Kwake anawaongopea Kiuhalisia😁😁😁😁
@mwanyemishemweta848
@mwanyemishemweta848 3 жыл бұрын
Great Mr Mboyoyo Your the best
@yahayamjenga1996
@yahayamjenga1996 3 жыл бұрын
Ni comedy but at the end ametoa nondo muhimu sana kwa wabongo
@daudmwalimu971
@daudmwalimu971 2 жыл бұрын
The number one comedian of Tanzania😁
@hamisimjaka8664
@hamisimjaka8664 2 жыл бұрын
asanate maneno kumi uko powa sana wewe noma. sana na kwaitaja my place nungwi 👌👌✌️✌️✌️😂😂🔥🔥🔥🙏🙏🙏
@meshacksamson1008
@meshacksamson1008 3 жыл бұрын
Aaah kwel kipaj anatoa mungu asee
@YonderGold3098
@YonderGold3098 3 жыл бұрын
Mboyoyo at his best
@kilimariofficialhouse241
@kilimariofficialhouse241 3 жыл бұрын
My face where the put 😄😄😄😂 Huyu Jamaaa bhanaaa
@shomikhamis1931
@shomikhamis1931 3 жыл бұрын
Sema jamaa anajiamini sana uyu kama hadanganyi vile😂😂
@duhrurhhddhheud8575
@duhrurhhddhheud8575 3 жыл бұрын
😅😆😆
@arafaamir735
@arafaamir735 3 жыл бұрын
😆😆😆
@swaylee9208
@swaylee9208 3 жыл бұрын
Motooo Sanaa wazee wa qazii
@mahirnoma3673
@mahirnoma3673 3 жыл бұрын
Aturudi kwa boti kwa ndege, tutaogelea na Popobawa juu watatupa 😂😂😂😂
@praxedaandrewkato7472
@praxedaandrewkato7472 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@yasodishonest9792
@yasodishonest9792 3 жыл бұрын
😂😂😂🤣🤣🤣uyu kashindikana
@benomudi2039
@benomudi2039 3 жыл бұрын
Dahh mboyoyo tuache kidogo
@nasrimikidady1325
@nasrimikidady1325 3 жыл бұрын
Aaaah jamaa noma sana ahseeee
@davidonlinetv1468
@davidonlinetv1468 3 жыл бұрын
Nipeni like japo nimechelewa
@shyfettymtunda4935
@shyfettymtunda4935 3 жыл бұрын
Fala sana Mboyoyo a.k.a Mzizi mkuu 😆😆😆😆😆😆🙌 Nimesemaje hapo? 👆
@iam__kizzo7942
@iam__kizzo7942 3 жыл бұрын
Kimeumana🤣🤣🤣🤣
@glorylema
@glorylema 3 жыл бұрын
Mzizi mkuu😂😂😂😂
@hanashhanash535
@hanashhanash535 3 жыл бұрын
Hahahhahahaha guy make me happy thank you 😊🤣🤣🤣🤣
@vom84
@vom84 3 жыл бұрын
Huyo dada anajua sana kuigiza
@nyauclassictv805
@nyauclassictv805 3 жыл бұрын
Tulie kizenji kwapamoja kwa kugonga like yako...tu
@markomariniwise1803
@markomariniwise1803 3 жыл бұрын
Tin number 😅😅kazoa chz sana
@21century5
@21century5 3 жыл бұрын
I like it....Mna Balaa sanah nyie
@nasscholo7510
@nasscholo7510 3 жыл бұрын
Huu msiba kwa ufup tumechezea nyembe woote ... 😆😆
@saobill9688
@saobill9688 3 жыл бұрын
😀😀
@Fgldesigns
@Fgldesigns 3 жыл бұрын
Elfu mbili elfu mbili nyie ndo mnipe Mimi... Mimi ndo Boss na kazi mmeshapata.
@salimomary6279
@salimomary6279 3 жыл бұрын
Huyu jamaa noma sana,,,hatumii hata nguvu,,,,,,watu wasingeli unawajua...unachezea wembe wote. 🤣🤣🤣jamaa anajua mpk ratiba zakufaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣❤
@habibaa9503
@habibaa9503 2 жыл бұрын
Nawapenda,Allah awaongoze katika utaftaji wenu😃
@joharishabani760
@joharishabani760 3 жыл бұрын
Dah mbavu zimejua kuniuma maana nimecheka atal....huy mshkaj ninoma na nuthuuuu😂😂😂😂
@msasenathpotiphar1732
@msasenathpotiphar1732 2 жыл бұрын
Yaan. Mboyoyo yuko vizuri hakuna sehemu anaigiza nisicheke jaman wamwangalie huyu mtu kwa jicho la 3 hafanani kabisaa na wachekeshaji wengine😁😂🤣
@EliyacostantinoPius
@EliyacostantinoPius 3 жыл бұрын
Mjifunze kulia positive😀😀😀😀😀😀😂😂😂
@ismailmtoro6606
@ismailmtoro6606 3 жыл бұрын
Jamaa fundi mnoo
@barakachaula7050
@barakachaula7050 3 жыл бұрын
My Face Where The Put 😃😃😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 The Best One
@mikemike7198
@mikemike7198 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 TANZANIA PLOFESHINO FIUNELO CAMPANY
@danielmwakaseka3555
@danielmwakaseka3555 3 жыл бұрын
😂😂😂 Maneno kumi( mboyoyo ) hakuna kama ww tz daah!😂😂😂
@ukhutymamuu7470
@ukhutymamuu7470 3 жыл бұрын
Nimecheka sanaa khaa huyu jamaa ni shida🤣🤣🤣
@mkingasana400
@mkingasana400 3 жыл бұрын
Daaah salute
@raoplatnumz3962
@raoplatnumz3962 3 жыл бұрын
Mboyoyooooooo unatsha brooooo
@amryjuniorjr.9180
@amryjuniorjr.9180 3 жыл бұрын
Hadi raha..........yani nimecheka sana.
@bettyrobert956
@bettyrobert956 2 жыл бұрын
Sawa has always had fun with my
@abdulkareemseif1892
@abdulkareemseif1892 3 жыл бұрын
Mboyoyo mjinga sie wazanzibar munatuhanithi Sana nyie Kwa iyo sie tukilia tunaimba 😋😋😋😋😋😁😁😁😁
@thomasraiton7760
@thomasraiton7760 3 жыл бұрын
Umeua sana kamanda mboyoyo
@fredrickndalu1057
@fredrickndalu1057 2 жыл бұрын
Jamaa anajua sana
@shyfettymtunda4935
@shyfettymtunda4935 3 жыл бұрын
Kama nakuona vile na vumbi la ugoko. 😆😆😆😆😆🙌
@saidshaal4814
@saidshaal4814 3 жыл бұрын
Duuh mboyoo nomaaa🤩🤩
@oscarkomba7258
@oscarkomba7258 3 жыл бұрын
Daaaah mboyoyo hatari sana jamaaa anajua
@kezugeotto6190
@kezugeotto6190 3 жыл бұрын
Maneno 10 ni 🔥🔥🔥
@samwelowange9624
@samwelowange9624 3 жыл бұрын
Tin number zangu😂😂😂😂😂 umepata ajira hapa😂😂😂😂
@davidicdidas7252
@davidicdidas7252 3 жыл бұрын
Aaaah mboyoyo ni nouuuuuma
@bwirejumar6121
@bwirejumar6121 3 жыл бұрын
🔥
@lekajr9160
@lekajr9160 3 жыл бұрын
hicho kiingereza,daaah😂😂😂
@allyndingo1812
@allyndingo1812 3 жыл бұрын
Daaaaah htr xna
@yacenharuna380
@yacenharuna380 3 жыл бұрын
Yaan we jamaa muongo balaaa, yaan hata nikutane na ww live ukaniambia ktu siwez kukuamin ndg yang sahau kabsa, hata nimepotea njia nikutane na ww siwez kukuulzia njia ni ip sahh nipte🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣, Daaaaaah we muongo balaaaaa
@zefania3608
@zefania3608 3 жыл бұрын
Noma san 🔥🔥🔥
@devisanselmo
@devisanselmo 3 жыл бұрын
Kizibo pen yangu kizibo..😂😂😂
@ahmedaziz7853
@ahmedaziz7853 3 жыл бұрын
Umenikumbusha supu ya mapupu we mbwa 🤣🤣🤣 nimesemaje hapo
@glorylema
@glorylema 3 жыл бұрын
We mbwa😂😂😂
@shawejimnipera2937
@shawejimnipera2937 3 жыл бұрын
Umeona hii my stracha instead of my structure 🤣🤣🤣
@shafiiathumani8173
@shafiiathumani8173 3 жыл бұрын
Huyu jamaa ni noma
@tuwenasitv9695
@tuwenasitv9695 3 жыл бұрын
Mboyoyo wew ni fundi
@bin1awami999
@bin1awami999 3 жыл бұрын
Wembe haina sifa ya kushonwa🏃🏃🏃🏃
@hamzanasry8011
@hamzanasry8011 3 жыл бұрын
Nimechelewa ila sio mbaya kazi iendeleye
@abdulrahmanabubakar1531
@abdulrahmanabubakar1531 3 жыл бұрын
Mboyoyo sio mzima haki 😂😂😂😂
@aminakipande5645
@aminakipande5645 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@carlosbrowna2254
@carlosbrowna2254 3 жыл бұрын
Mboyoyo falaa san ni bonge la talanta huyuu jmaa
@harounaman7473
@harounaman7473 3 жыл бұрын
Zanzibar wanalia Kwa mipashoo😂
@cottonempire6804
@cottonempire6804 3 жыл бұрын
Somo yangu uko vizuri
@allymariabibi147
@allymariabibi147 3 жыл бұрын
Aisee uyujamaa noma duuuuuh
@mawaidhapopote2500
@mawaidhapopote2500 2 жыл бұрын
Mboyoyo una kipawa cha kuchesha si mchezo, nakukubali sana 😂😂
@msafitv8663
@msafitv8663 3 жыл бұрын
Wangapi mtaani kwao Kuna watu ni waongowaongo Kama huyu jamaa ingawa huyu kazidi sana
@davidsomi451
@davidsomi451 3 жыл бұрын
Noma sana nawakubaliii🤣🤣🤣
@allymdoka8634
@allymdoka8634 3 жыл бұрын
Awa jamaa nitatizo kama ilivo Corona🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@castocassper3212
@castocassper3212 3 жыл бұрын
Nomaa san
@yasodishonest9792
@yasodishonest9792 3 жыл бұрын
Wenyewe wanakuona Zanzibar .fala ww😂🤣🤣🤣🤣🤣
@nzogoropatson1787
@nzogoropatson1787 3 жыл бұрын
Mboyoyo jinga kweli
@furaharashidi2435
@furaharashidi2435 3 жыл бұрын
My favourite comedy
@justinemalekela5269
@justinemalekela5269 3 жыл бұрын
Jamaa kamba huyu😂😂😂😂
@mussanassoro790
@mussanassoro790 3 жыл бұрын
Respect mboyoyo😂😂🙌🙌
@AhmadiLindu
@AhmadiLindu Жыл бұрын
👍👍👍
@shujaabrave5766
@shujaabrave5766 3 жыл бұрын
Pengo la mashariki na pengo la magharibi 😂😂😂
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 3 жыл бұрын
kwani Wanzanzibari wanasemaje kuhusu huyu MBOYOYO😂😂😂😂😂😂😂😂
@abdulkareemseif1892
@abdulkareemseif1892 3 жыл бұрын
Mshenzi huyu jamaa anatupumbaza wazenji ila Yuko poa
JAMBO NA VIJAMBO - MBOYOYO ALIA NA NDUGU MZIGO KWA WAGONJWA
11:00
Wasafi Media
Рет қаралды 68 М.
JAMBO NA VIJAMBO | MBOYOYO KABETI KWA HELA YA MAMA MKWE...
26:08
Wasafi Media
Рет қаралды 90 М.
Não sabe esconder Comida
00:20
DUDU e CAROL
Рет қаралды 49 МЛН
Mom had to stand up for the whole family!❤️😍😁
00:39
Ouch.. 🤕⚽️
00:25
Celine Dept
Рет қаралды 26 МЛН
Mboyoyo na kazi ya Promoshen (jambonavijambo)
11:15
Wasafi Media
Рет қаралды 234 М.
JAMBO NA VIJAMBO : MBOYOYO KULA SAHANI MOJA NA DIAMOND TANZANIA
14:27
Jambo na Vijambo ! ndoto za ulaya
6:46
mohamed alkhery
Рет қаралды 542 М.
CHUNGA MANENO YAKO, UTAOLEWA !! - MBOYOYO
9:05
Wasafi Media
Рет қаралды 69 М.
JAMBO NA VIJAMBO: MBOYOYO KULA ULICHOKILETA
11:08
Wasafi Media
Рет қаралды 24 М.
JAMBO NA VIJAMBO : MBOYOYO KUTOA SIRI YA NIDHAMU YA MKUDE WA MSIMBAZI
12:27
JAMBO NA VIJAMBO - UJI WA MCHELE KIBOKO YA CHA UROHO
10:45
Wasafi Media
Рет қаралды 89 М.
Não sabe esconder Comida
00:20
DUDU e CAROL
Рет қаралды 49 МЛН