Sema bongo huwa tunawapatia vichwa na tension wachekeshaji ambayo hawana hata vipaji,but tunamsahau huyu jamaa ase anajua Sana ase tuendelee kumsaport awe Superstar
@alikutenga33033 жыл бұрын
Umeona eeehh umeongeya ukweli babaaaa.
@martinmaryogo36763 жыл бұрын
huyu jmaa mm nmechek had machoz yan hil kuongea tu ni komedy tosha
@martinmaryogo36763 жыл бұрын
et gari zko nje cluser
@idontknowwhoami30663 жыл бұрын
He's already superstar
@elishafadison57493 жыл бұрын
4sure bro
@babuugwakey42773 жыл бұрын
Yaaan huyu mboyoyoo na mpoki wakifanya kaz wataua sanaaa maana ni pure talented with no script i believe 💪💪
@dalali_professionalwa_dodo83303 жыл бұрын
Huyu mboyoyo ni kisanga na nusu... Wanachkuliwaga watu wapumbavu tu..ila huyu jamaa ni MAJESTIC...
@fatmaally72523 жыл бұрын
Yaaaaani wewe kaka ni moto wa nchi za njee daaaah cjui ❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@mangekimambi61903 жыл бұрын
Hilo bango sasa hiko kiingereza 😂😂😂😂😂😂😂 "Tanzania Plofeshino Fiunelo campany" huyu mwana wallahy ni mbwa sana 😂😂😂😂
@joakimjosephat99843 жыл бұрын
Ni namna tu ya kukuchekesha
@luqmaneme91053 жыл бұрын
Hhhh jamaa mbunifu
@yasodishonest97923 жыл бұрын
😂😂😂😂🤣🤣🤣
@jipozeonline39833 жыл бұрын
This is true definition of talent ,,,All the best for them!
@joshmangi3 жыл бұрын
Leo nimecheka sana, kazi nzuri.
@zungutouch65083 жыл бұрын
nafikili katika hii REFLITION mmefeli woote😂😂😂😂😂😂😂😂 Dah huyu jamaa anarahisisha sana kingreza
@anthonylister7543 жыл бұрын
Wapi Likes za Mboyoyo tafadhali
@MrMtebwa3 жыл бұрын
R.I.P Rashid Hamis Raula daaaadeki gonga like twende sawa
@luagampugusi83892 жыл бұрын
Kazi nzuri sana...hiki ni kipaji kilichokomaa sana....napenda na somo unalolitoa mwishoni kwamba watu hawataki kuwa kwny kujenga wanakuja kugombea vyeo baada ya mjengo kumalizika....hhhhhh.. mko vzr jambo na vijambo big up
@hb_powe_bnk1883 жыл бұрын
Duh cjawahi cheka kwa sauti1🤣🤣🤣mboyoy big up #like100
@methodjulius74893 жыл бұрын
ili nisiende I.C.U ikabidi nisimalizie kuangalia maana leo washenzi wamenifanya nijue nni maana ya kucheka ni kuvunjika mbav😅😂, ktk dkika 56 nimeishia 18 tu nasiwez endelea ili kuokoa maisha yang😅😭
@Kazungujr2553 жыл бұрын
Hawa jamaa hatar sana
@aminakipande56452 жыл бұрын
Yaan nlikua na mawazo lkn kuangalia hii kitu kidoogooo niimepata amani nimecheka bila kutaka 🤣🤣🤣🤣🤣
@jerrycardo67703 жыл бұрын
Ila mboyoyooo 😂😂😂👏🏿👏🏿 embu niache n mbav zanguuu
@nurdin.mndeme34473 жыл бұрын
anatumia jina gani Insta huyu aise 😂😂
@jerrycardo67703 жыл бұрын
@@nurdin.mndeme3447 maneno kumi anatumia
@issaathuman24473 жыл бұрын
Huo msiba tunakula nyembe wote...lia kisingeli😂😂😂
@elishafadison57493 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@aminakipande56452 жыл бұрын
Hata mm nimecheka wallah 🤣🤣🤣
@chrssmsafi83073 жыл бұрын
Leo nimekuwa wa5 naombeni ata like 100
@godfreybatton65153 жыл бұрын
😍
@mathewdeo83263 жыл бұрын
Jamni leo na mm nmewai like pongez kwangu
@aseid29953 жыл бұрын
This is so amazing
@Samactortv3 жыл бұрын
Namuwazaga sana uyu jamaa sjui anaishi vip na watu wake wa karibu si wanafurahi mda woote aisee😆😆😆
@khalifasultan26773 жыл бұрын
Watu wanapigana jumamosi,Jumapili Hospital,Juma Tatu Wanakufa Daah..🤣🤣😂😂😂
@danielychiwango90793 жыл бұрын
Jamaa anafanya watu waone kingereza chepesi Sana😂😂
@zungutouch65083 жыл бұрын
kwel mwanangu, anakwambia I WANT TO KNOW YOUR FELLAS😂😂😂😂😂
@mwanamisakulembwa11473 жыл бұрын
Umeweza xana kulia style zote gd job mboyoyo .🤣🤣🤣♥️
@fatnahsaleh8603 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 aisee big up #Jambonavijambo🔥🔥🔥🔥. #Wasafimedia ni noma 🌍🌍🌍
@nyimbizikamtima9673 жыл бұрын
Mboyoyo we ni 🔥🔥 Broo nakukubali sana.
@abnizplatnumz55203 жыл бұрын
Jamani japo nmekuwa 32 lakin naombeni like ata 10
@husseinhajji69843 жыл бұрын
Ila Huyu jamaa Hata Watoto wake huko Nyumban Kwake anawaongopea Kiuhalisia😁😁😁😁
@mwanyemishemweta8483 жыл бұрын
Great Mr Mboyoyo Your the best
@yahayamjenga19963 жыл бұрын
Ni comedy but at the end ametoa nondo muhimu sana kwa wabongo
@daudmwalimu9712 жыл бұрын
The number one comedian of Tanzania😁
@hamisimjaka86642 жыл бұрын
asanate maneno kumi uko powa sana wewe noma. sana na kwaitaja my place nungwi 👌👌✌️✌️✌️😂😂🔥🔥🔥🙏🙏🙏
@meshacksamson10083 жыл бұрын
Aaah kwel kipaj anatoa mungu asee
@YonderGold30983 жыл бұрын
Mboyoyo at his best
@kilimariofficialhouse2413 жыл бұрын
My face where the put 😄😄😄😂 Huyu Jamaaa bhanaaa
@shomikhamis19313 жыл бұрын
Sema jamaa anajiamini sana uyu kama hadanganyi vile😂😂
@duhrurhhddhheud85753 жыл бұрын
😅😆😆
@arafaamir7353 жыл бұрын
😆😆😆
@swaylee92083 жыл бұрын
Motooo Sanaa wazee wa qazii
@mahirnoma36733 жыл бұрын
Aturudi kwa boti kwa ndege, tutaogelea na Popobawa juu watatupa 😂😂😂😂
@praxedaandrewkato74723 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@yasodishonest97923 жыл бұрын
😂😂😂🤣🤣🤣uyu kashindikana
@benomudi20393 жыл бұрын
Dahh mboyoyo tuache kidogo
@nasrimikidady13253 жыл бұрын
Aaaah jamaa noma sana ahseeee
@davidonlinetv14683 жыл бұрын
Nipeni like japo nimechelewa
@shyfettymtunda49353 жыл бұрын
Fala sana Mboyoyo a.k.a Mzizi mkuu 😆😆😆😆😆😆🙌 Nimesemaje hapo? 👆
@iam__kizzo79423 жыл бұрын
Kimeumana🤣🤣🤣🤣
@glorylema3 жыл бұрын
Mzizi mkuu😂😂😂😂
@hanashhanash5353 жыл бұрын
Hahahhahahaha guy make me happy thank you 😊🤣🤣🤣🤣
@vom843 жыл бұрын
Huyo dada anajua sana kuigiza
@nyauclassictv8053 жыл бұрын
Tulie kizenji kwapamoja kwa kugonga like yako...tu
@markomariniwise18033 жыл бұрын
Tin number 😅😅kazoa chz sana
@21century53 жыл бұрын
I like it....Mna Balaa sanah nyie
@nasscholo75103 жыл бұрын
Huu msiba kwa ufup tumechezea nyembe woote ... 😆😆
@saobill96883 жыл бұрын
😀😀
@Fgldesigns3 жыл бұрын
Elfu mbili elfu mbili nyie ndo mnipe Mimi... Mimi ndo Boss na kazi mmeshapata.
Dah mbavu zimejua kuniuma maana nimecheka atal....huy mshkaj ninoma na nuthuuuu😂😂😂😂
@msasenathpotiphar17322 жыл бұрын
Yaan. Mboyoyo yuko vizuri hakuna sehemu anaigiza nisicheke jaman wamwangalie huyu mtu kwa jicho la 3 hafanani kabisaa na wachekeshaji wengine😁😂🤣
@EliyacostantinoPius3 жыл бұрын
Mjifunze kulia positive😀😀😀😀😀😀😂😂😂
@ismailmtoro66063 жыл бұрын
Jamaa fundi mnoo
@barakachaula70503 жыл бұрын
My Face Where The Put 😃😃😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 The Best One
@mikemike71983 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 TANZANIA PLOFESHINO FIUNELO CAMPANY
@danielmwakaseka35553 жыл бұрын
😂😂😂 Maneno kumi( mboyoyo ) hakuna kama ww tz daah!😂😂😂
@ukhutymamuu74703 жыл бұрын
Nimecheka sanaa khaa huyu jamaa ni shida🤣🤣🤣
@mkingasana4003 жыл бұрын
Daaah salute
@raoplatnumz39623 жыл бұрын
Mboyoyooooooo unatsha brooooo
@amryjuniorjr.91803 жыл бұрын
Hadi raha..........yani nimecheka sana.
@bettyrobert9562 жыл бұрын
Sawa has always had fun with my
@abdulkareemseif18923 жыл бұрын
Mboyoyo mjinga sie wazanzibar munatuhanithi Sana nyie Kwa iyo sie tukilia tunaimba 😋😋😋😋😋😁😁😁😁
@thomasraiton77603 жыл бұрын
Umeua sana kamanda mboyoyo
@fredrickndalu10572 жыл бұрын
Jamaa anajua sana
@shyfettymtunda49353 жыл бұрын
Kama nakuona vile na vumbi la ugoko. 😆😆😆😆😆🙌
@saidshaal48143 жыл бұрын
Duuh mboyoo nomaaa🤩🤩
@oscarkomba72583 жыл бұрын
Daaaah mboyoyo hatari sana jamaaa anajua
@kezugeotto61903 жыл бұрын
Maneno 10 ni 🔥🔥🔥
@samwelowange96243 жыл бұрын
Tin number zangu😂😂😂😂😂 umepata ajira hapa😂😂😂😂
@davidicdidas72523 жыл бұрын
Aaaah mboyoyo ni nouuuuuma
@bwirejumar61213 жыл бұрын
🔥
@lekajr91603 жыл бұрын
hicho kiingereza,daaah😂😂😂
@allyndingo18123 жыл бұрын
Daaaaah htr xna
@yacenharuna3803 жыл бұрын
Yaan we jamaa muongo balaaa, yaan hata nikutane na ww live ukaniambia ktu siwez kukuamin ndg yang sahau kabsa, hata nimepotea njia nikutane na ww siwez kukuulzia njia ni ip sahh nipte🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣, Daaaaaah we muongo balaaaaa
@zefania36083 жыл бұрын
Noma san 🔥🔥🔥
@devisanselmo3 жыл бұрын
Kizibo pen yangu kizibo..😂😂😂
@ahmedaziz78533 жыл бұрын
Umenikumbusha supu ya mapupu we mbwa 🤣🤣🤣 nimesemaje hapo
@glorylema3 жыл бұрын
We mbwa😂😂😂
@shawejimnipera29373 жыл бұрын
Umeona hii my stracha instead of my structure 🤣🤣🤣
@shafiiathumani81733 жыл бұрын
Huyu jamaa ni noma
@tuwenasitv96953 жыл бұрын
Mboyoyo wew ni fundi
@bin1awami9993 жыл бұрын
Wembe haina sifa ya kushonwa🏃🏃🏃🏃
@hamzanasry80113 жыл бұрын
Nimechelewa ila sio mbaya kazi iendeleye
@abdulrahmanabubakar15313 жыл бұрын
Mboyoyo sio mzima haki 😂😂😂😂
@aminakipande56452 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@carlosbrowna22543 жыл бұрын
Mboyoyo falaa san ni bonge la talanta huyuu jmaa
@harounaman74733 жыл бұрын
Zanzibar wanalia Kwa mipashoo😂
@cottonempire68043 жыл бұрын
Somo yangu uko vizuri
@allymariabibi1473 жыл бұрын
Aisee uyujamaa noma duuuuuh
@mawaidhapopote25002 жыл бұрын
Mboyoyo una kipawa cha kuchesha si mchezo, nakukubali sana 😂😂
@msafitv86633 жыл бұрын
Wangapi mtaani kwao Kuna watu ni waongowaongo Kama huyu jamaa ingawa huyu kazidi sana
@davidsomi4513 жыл бұрын
Noma sana nawakubaliii🤣🤣🤣
@allymdoka86343 жыл бұрын
Awa jamaa nitatizo kama ilivo Corona🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@castocassper32123 жыл бұрын
Nomaa san
@yasodishonest97923 жыл бұрын
Wenyewe wanakuona Zanzibar .fala ww😂🤣🤣🤣🤣🤣
@nzogoropatson17873 жыл бұрын
Mboyoyo jinga kweli
@furaharashidi24353 жыл бұрын
My favourite comedy
@justinemalekela52693 жыл бұрын
Jamaa kamba huyu😂😂😂😂
@mussanassoro7903 жыл бұрын
Respect mboyoyo😂😂🙌🙌
@AhmadiLindu Жыл бұрын
👍👍👍
@shujaabrave57663 жыл бұрын
Pengo la mashariki na pengo la magharibi 😂😂😂
@zuleikhakhamis33033 жыл бұрын
kwani Wanzanzibari wanasemaje kuhusu huyu MBOYOYO😂😂😂😂😂😂😂😂
@abdulkareemseif18923 жыл бұрын
Mshenzi huyu jamaa anatupumbaza wazenji ila Yuko poa