Kwa kuyasema haya bila uwoga ni kumsaidia kiongozi mkuu na kulisaidia Taifa kukua kumawazo na kimaamuzi sio kubaki tuu na vijana vijana kila kitu ndio ndio kisa kasema mkubwa nonononono ili tuende mbele lazima tusema ukweli fitna iwe mwiko nadhani mnazijua Ahadi za mwanaChama wa CCM Hongera sana Luhanga kazi nzuri sana. Sema hapendwi na viongozi wabinafsi.
@mlyambisipaul83992 жыл бұрын
A leader with vision and mission, congrats JOELSON LUHAGA MPINA. #
@plusabracadabra51662 жыл бұрын
Kumuelewa huyu Mwamba inahitaji utulivu wa fikra
@anjelistakilale2702 Жыл бұрын
kiongozi wa mwenge 2022 amekuunga mkono hongela mh mpina kwa maono yako kuhusu force account
@geneskimaro28922 жыл бұрын
Kwani mradi ukitekelezwa na wakandarasi Serikali inajitoa ? DED/Serikali na wataalam wake lazima wafuatilie utekelezaji wa miradi bila kujali umetekelezwa na nani force account au mkandarasi. Kama tunataka value for money M & E ni muhimu.
@kalungaw.kalunga10382 жыл бұрын
Force account iko vizuri isipokuwa usimamizi ndio wa halmashauri zetu ndio unachangamoto na watu wa manunuzi force account ndio wameona kichaka cha kupigia pesa
@christianmwashala97602 жыл бұрын
Mpina yupo vizur uyu jamaaaa
@hk_ballers2 жыл бұрын
Mpina ndo moja kati ya wabunge hasa bungeni
@theonewrld2 жыл бұрын
Kiukweli tunapaswa kuwa makini sana katika kila jambo tunalolianzisha na haya ni maddhara ya maamuzi ya mtu 1au watu wenye mtanzamo 1.
@jumaalex77072 жыл бұрын
Akili kubwa
@mwinukafundibombanjombe2 жыл бұрын
Harafu sisi mafundi wadogo tuende wap
@kalungaw.kalunga10382 жыл бұрын
Wakimpa mkandarasi watekelezaji wa mradi ni sisi mafundi na kodi mbona tunalipa kila fedha unayolipwa lazima ikatwe kodi ya huduma
@kefasonmahenga29172 жыл бұрын
mmmhhhhhh mm navyoona faida ni nying kuliko hasara....