Kwa hiyo kwa Mungu ndo kuna washamba washamba wazur wapo kwa Yesu
@eunicecherono87293 ай бұрын
God give bella such a voice to use to worship and to glorify God maavazi tuu but as time goes God will teach her how to dress for God's glory
@deborahkim3411 Жыл бұрын
Bella ulitakiwa hapo ndio umshuhudie Mungu kuhusu ulipotoka cause there is the right place ulitakiwa ujenge watu kiimani. Ikishakuwa documentary now its more of the business.
@denisbongore3098Ай бұрын
Kwakwel ana sauti nzuri sana but hayo mavanz na mapambo aachane nayo
@monicacyprian9137 Жыл бұрын
Duniani hakuna mwembamba Bella kawa bonge hivo
@mamuumamuu1871 Жыл бұрын
Mungu anabadilisha ukimuamini
@happyfaniabatromeo8010 Жыл бұрын
😄😄😄😄Huyu dada Anasauti ya kuimba ila Sipendi Mavazi yake kwakweli maana Ukiokoka lazima mwenendo wako wa kiroho na Kimwili viwe barua kwa watu wote
@upendogreutert19911 ай бұрын
Ni kidogo kidogo ndugu zangu
@nicebatare27379 ай бұрын
Kwakweli 😢😢
@ainekishagodwin18774 ай бұрын
Sio wote wanao imba nyinbo za dini wameokoka 😢
@eunicecherono87293 ай бұрын
@@ainekishagodwin1877 true
@andekepyemadyedye87363 ай бұрын
God is not done with her yet, Yeye ni mfinyanzi bado anamfinyanga.
@sylviesaidi57404 ай бұрын
Kabisa ❤
@guttubundala13064 ай бұрын
UWE UNAFUNIKA KIFUA BELLA IF YOU REAL DON'T LIKE THE TATTOOS ANYMORE