Mimi simba but I'm sorry to recognize this, Yanga iko bora sana sio tu dhidi ya vilabu ya Tanzania hata vilabu vya Africa Yanga ni Bora.Hakuna clab bora kwenye peach kwa sasa Africa ukiwatoa Alhal cairo hao labda ndio wanaweza kuwasumbua kidogo Yanga huu ni ukweli bayana kwa consistancy record ambayo Yanga wamekuwa wakionyesha uwanjani.
@CosmasiCosmasijuma2 ай бұрын
Ngoja tuone
@respiciusgasper48452 ай бұрын
Unajua mpira,
@dorcamadela2 ай бұрын
upo sahihi sana big app
@shanisalum39212 ай бұрын
Tuliomuelewa baba Levo ganga like hapa😂😂😂😂😂😂😂vidonge kanywa
@proisolution71662 ай бұрын
MR EDO BURGET DOESNOT JUSTFY SHOW ON THE PITCH AND PICKING A PROPER FORMATION OR PATTERN OF PLAY,WE NEED WATU WANAJUA SOKA LA KISASA MAMBO YA FITNA,DO OR DIE,BRIBING REFEREES NDIYO MAANA NO IMPROVEMENT(CONSISTENCY) KIUCHEZAJI KWA BAADHI YA TIMU ZETU WANAVUNJA TEAM KILA MWAKA WAKIDANGANYA ,KITAKACHO FUATA NI KUWAPA MAREFA PRESSURE KULAZIMISHA MATOKEO-UTASIKIA ILE YA KIBU ILIKUWA PENAT............TUBADILIKE PLEASE.
@samsonmaclean63702 ай бұрын
Young Africans to the World🎉🎉🎉
@PanchoValentino-wh7wt2 ай бұрын
B Levoooo nomaa saana
@NchembaNchemba-of7db2 ай бұрын
Yanga on the fire🎉🎉🎉
@ShafiiSoud-b3w2 ай бұрын
hua napend sana kumskiliz mtaalam #Edo..ana mambo mengi san na mpira upo
@peterchande9572 ай бұрын
Edo unachanganya mada Kaizwr ktk bara la africa kwa utajiri ni wa pili, kwenye pitch Yanga wako juu sana kwa sasa timu nyingi zimekula tano tano ikiwemo Simba hii ni ujumbe kuwa Yanga iko juu sana levels zao na barcelona real madrid bayern munich nk tusiiangalie Yanga kwa mazoea. Mfano utaona ngao ya Jamii
@bm4tv6022 ай бұрын
Baba levo ni mtetezi wetu ss wanayanga
@ZulfaSefu-x6v2 ай бұрын
naipenda San yanga
@SambuloKhumalo-q3t2 ай бұрын
Tg Yanga the best
@lovenesdickson18242 ай бұрын
Yanga Baba Laoo.
@aziziwailu75312 ай бұрын
Waoo
@SalvatoryMtunga2 ай бұрын
Kaizer kafungwa 4, dunduka alifungwa 5, tuache ushabiki ipi ni timu mbovu?.
@errydeo88652 ай бұрын
Hapo ndo wananichekesha! Utasikia Makolo eti KC Kala 4,mbovu! Makolo Kala 5 ila hawasemi wao wabovu! Yanga makes teams look AVERAGE coz Yanga are better n getting better!
@bahatichikoko63622 ай бұрын
Yanga ili wapiga warabu goli 4-0 tena wakati wamekuja waliibeza Yanga hii ni Yanga bora sana.
@lovenesdickson18242 ай бұрын
Nani bora kama Yanga❤😂😂😂😂
@ShidavenaceMartin2 ай бұрын
💚💛🖤🔥🔥🔥
@khalifasaidi70012 ай бұрын
Na kolo alivyochovya 5 ilikuwaje?
@ElishaYohana-g3p2 ай бұрын
Siyo tmu ya kawaida ile ni kubwa
@magrethdaniel84412 ай бұрын
Timu yako bora iko wapiii?
@Officialjidaa-sn9cs2 ай бұрын
Ali kamwe hoyeee
@augustinemainde2 ай бұрын
Kocha baba Levi nakukubali msingemsems Mzize angejilegeza😅😅😅😅😅
@hamisihassan49232 ай бұрын
Sasa edo ela yetu na ya wasauzi tofaut yetu ipo chini unawezeja kulinganisha bajeti yetu ni TSH mapato wanayapata Kwa tsh how tunaweza kufanana now
@StivinMwaipaja-b9c2 ай бұрын
Yanga kiujumla yk vizuri usimbeze, je kolo alivyokula chuma 5 -1 naye aliyumba? Acheni hizo wachambuzi wa makolo.
@Richard-l1h6r2 ай бұрын
🎉
@amaniomar17552 ай бұрын
Once again kitu kinachopikwa Yanga SC kuna siku team itapigwa goli 7
@AzhadSaid-j1t2 ай бұрын
Xavi mtupu
@proisolution71662 ай бұрын
WAMBIENI WATU WENU HAO TFF YENYE MFUMO WA KISIMBA BUT ALSO NA THE SO CALLED MEDIA WE NEED KU TRANSFORM MPIRA WETU KUIGA YANGA WANAVYO TRAIN NA KUTENGENEZA VIWANGO NA MFUMO WA KISASA WA KIUCHEZAJI,WATU WAPO TFF WANJIFANYA WANAJUA MPIRA KUMBE WAPO ENZI ZA SUNDAY KAYUNI WE NEED MODERN FOOTBALL PLEASE.
@mankamassawe-p3s2 ай бұрын
Bom mochwari mmesahau zile tano pia tulipigaga bom mochwari nyinyi makoro wivu utawauwa jmani
@JuhudiJotham2 ай бұрын
Edo ongerea performance ya mpira Acha uwezo wa pesa
@KidibuleKidbwai2 ай бұрын
Ho et TUmeifunga timu ya kumi acheni ujinga ninyi simba mbona mlishapigwa goli4na huyohuyo
@RajabuYahya-yv1ob2 ай бұрын
Edo kumwembe hiyo suti huna nyingine
@RachelBujuli2 ай бұрын
Eddo hatuongelei bajeti tunaongelea ubora kwenda zakoooooo mkia wewe
@ikulunimahalipatakatifu76422 ай бұрын
YANGA NEXT LEVEL SI WA KUUNGA UNGA, MAMBO YA BAJET NI KWENYE BANK ACcoUNT, HAPA tunaongea soka uwanjani
@LindaMbilinyi-n3n2 ай бұрын
Unakataa Nini baba levo kaizer nafas ya kumi kwenye league yke hana ubora sasa hv,,Kwa kifupi bomu mochwary 😂😂😂😂😂
@MzeewaYanga-hm8jq2 ай бұрын
Na vp kuhusu telecom dalaja la 4 dah kwl dunduka ni dunduka2😂😂😂😂😂😂😂
@amaniomar17552 ай бұрын
Sawa Boss hilo tunalijua na pia tunajua mpira ni mchezo wa wazi
@songombingo1082 ай бұрын
Wewe msenge kweli. Madunduka toka mpigwe 5 akili zenu bado hazijakaa sawa
@edgarndoleki88272 ай бұрын
Keiza angecheza na simba mpaka sasa simba 0 - 5 keiza