Рет қаралды 9,861
Songwriters: Wasaga Elisha, Julius Okelo McRymboh, Ywaya Eugine Simon, Edgar Israel Onyach
Produced by Wuod Omollo
Mixed & Mastered by Hendrick Sam
Guitars by Wasaga Elisha
Bass Guitar by Dr. Bassman(Mark)
Horns section: Denilson Babu, Danso
Lyric Video:- Print Division Ke/ Wanyoez
Spotify: open.spotify.com/album/0YElxN...
Apple Music: / zero-pressure-ep
Boomplay: www.boomplay.com/share/album/...
Special Thanks: E&E Studios
Follow me on:
Instagram: wasagaelish...
Facebook: profile.php?...
X: / wasagaelisha
Tiktok: www.tiktok.com/@wasagaelisha?...
#wasaga #wasagaelisha #zeropressure
*Lyrics with translation*
Nimepata habari ati huna amani
Unalia kwa kitanda unataka kuvuna
Wakati wa kupanda unatafuna mbegu
Gin gichamo matunda kech bironegi yawa
(While they're eating their fruits, hunger will kill you)
Terri mos mondo apimni
(Relax, let me tell you)
You’re rolling with the big boys but huna voice
Pretending you’re humble but huna choice
Relax take it slow
Relax take it slow
Hii maisha zero pressure
Ukipata burudika, ukikosa
Kula ngoma wacha pressure
Ruka kama mwenye ata hana stress
Maisha mwendo pole take it at your pace
Kushindana na jirani si itakumess
Usitongoze msichana na pesa za rent, pressure
Hatushindani na jirani, zero pressure
Bila guchi patipati luku safi,zero pressure
Seafood ni omena na tunywe maji,zero pressure
Life ni fupi sishtuki, so hapana leta pressure
Hatushindani na jirani, zero pressure
Bila guchi patipati luku safi,zero pressure
Seafood ni omena na tunywe maji,zero pressure
Life ni fupi sishtuki, so hapana leta pressure
Wai mummy jomoko yweyo ei mo
(some people are so wealthy)
Instagram iliche pichni mana iphone
(they exaggerate it on Instagram with photos from iPhone)
Andis thirteen and above pesa huna
(iPhone 13 and above,but you have no money)
Crazy crazy thagori bedsitter medie medie
(crazy how you’re suffering in your bedsitter)
Onge kata kuma ng’ato dibedie
(There is even no place for someone to sit)
Awuoro sana, maajabu sana ai
(I wonder)
Usiwahi complicate mamayo
Maisa ya kuimitate mwanamu
Pinyni wan we wakalo kawadhi
(In this world we are passers-by)
Ngima yolo kokidak gadiera mano sauchi
(Yolo, it's on you if you don’t live with authenticity)
Wolololololo
An adak gi hera
(I live with love)
Gimagiwacho etoka okobadha
(I don’t care what they’re saying behind my back)
Bedie ni andiso akala
(Whether I’m in sandals)
Kata anyono gi ndiga
(Or riding on a bicycle)
Nyasachwa mogwedhi no
(The same God who blessed you)
Emanipo kochopona aah
(Could also get to me)
Hatushindani na jirani, zero pressure
Bila guchi patipati luku safi,zero pressure
Seafood ni omena na tunywe maji,zero pressure
Life ni fupi sishtuki, so hapana leta pressure
Hatushindani na jirani, zero pressure
Bila guchi patipati luku safi,zero pressure
Seafood ni omena na tunywe maji,zero pressure
Life ni fupi sishtuki, so hapana leta pressure
Nawasha kitu naseti movie
Natulia tuli tuli maji ya mtungi
Sitaki zogo sitaki nuksi wakisha udi
Leo ni vest na machupi madem wakum
Akuku danger
Bibi wa kwanza to wakumi nishajengea keja
Bosi mbona we hutaki nikule anasa
Saa ngapi wanipigia na niko Mombasa
Vacation nikienda nataka nile bata
Kata sim niko lit na nazidi washa
Nakublock nakudelete juu sipendi pressure
All I have to say tupatane Monday
Lakini hii weekend sitaki stress ipande
Eeh wacha tu ibambe
Eeh kazoze na katambe
Eeh wacha itubambe
Hatushindani na jirani, zero pressure
Bila guchi patipati luku safi,zero pressure
Seafood ni omena na tunywe maji,zero pressure
Life ni fupi sishtuki, so hapana leta pressure
Hatushindani na jirani, zero pressure
Bila guchi patipati luku safi,zero pressure
Seafood ni omena na tunywe maji,zero pressure
Life ni fupi sishtuki, so hapana leta
Pressure pressure
Ukiwa na deni yangu nilipe mapema mapema
Hii ni biashara mwenzangu si ati niko na maringo
Pressure ya nini
Maisha taratibu
Nishakuambia mimi
Mimi sitaki nuksi wewe wewe we
Sitaki swara wewe we lelelele eeh eeh eeh