WASOMA MAULIDI WANAJUWA KUKATA MBUNO TU SHEIKH SALUM MSABAH

  Рет қаралды 22,702

BATTAWY TV

BATTAWY TV

Күн бұрын

Пікірлер: 71
@omarsima2763
@omarsima2763 Жыл бұрын
Shekh wewe ni phylosofer mzuri na msomi mzuri wa kufuatwa. Allah sw akujalie uzidi kutuelimisha.
@abdulkhalfan8586
@abdulkhalfan8586 Жыл бұрын
MASHAALLAH
@UrindaAthumani
@UrindaAthumani Жыл бұрын
Shukran Sheikh Musabah kwa kuwapa maneno wajue... Siasa iliingzwa katika Dini
@JumaMachano-b8t
@JumaMachano-b8t Жыл бұрын
Mwanachuni mzuri na msomi sana mashalllah
@MohamedMohamed-ge8fi
@MohamedMohamed-ge8fi 11 ай бұрын
AL hamdulillah hayo ndio Mawaidha Insha Allah akuzidishe Elimu zaidi
@shebbythespyro5393
@shebbythespyro5393 Жыл бұрын
Uislamu ilikwepo tangu adam(A.S) ila uliwafikia wa kwanza kwa wakati wao ni bi khadijah(R.A)
@IssaSalimu-gi7zz
@IssaSalimu-gi7zz 5 ай бұрын
Mungu akubariki wemkweli ☝️☝️☝️❤️❤️❤️✌️
@muktarkassim6647
@muktarkassim6647 Жыл бұрын
Shukran sheikh kwa kuhimiza watu wasome
@imranihussen5764
@imranihussen5764 Жыл бұрын
👏👏
@rashid3562
@rashid3562 Жыл бұрын
Huyu ni genius
@SamsungA14-wz4fg
@SamsungA14-wz4fg Жыл бұрын
Sisemi hivi kwa Majigambo lkn muhimu Tusiwazugushe waislamu..wakawa wanabeb ufahamu usio sahihi..Allah s.w atusamehe tunapokosea..
@HijasSaidy-ke2tm
@HijasSaidy-ke2tm Жыл бұрын
Sheikh hao unaewapa ilmu hii, wametia Pamba ktk masikio, wamechificha kwenye dini,
@fay9687
@fay9687 11 ай бұрын
Sijui kama kitana kinaingia kwenye hizo nywele subhanallah unaonekana kama chokoraa fulani
@ameirmanzi2684
@ameirmanzi2684 11 ай бұрын
Iyo subuhanawah ya nn apo wakati wewe umemchunguza wakat nikosa kuchunguzana
@elhelaaltraders7233
@elhelaaltraders7233 7 ай бұрын
Chokoraa ni wew usiejielewa
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 23 күн бұрын
Fay huko chini na wewe umechana?! inavyomegwa unaisafisha vizuri kweli?!
@allymbarouk5362
@allymbarouk5362 11 күн бұрын
Chukua mawaidha nywele hata hao mashekh wako wanaweka
@ramadhankheir4793
@ramadhankheir4793 11 ай бұрын
Maulid uzushi tu tusizungushane sana
@aliabdalla9297
@aliabdalla9297 11 ай бұрын
Hujalazimishwa
@ramadhankheir4793
@ramadhankheir4793 11 ай бұрын
@@aliabdalla9297 ata ww pia hujalazimishwa kuacha ww endelea kufuata
@mombasa0076
@mombasa0076 11 ай бұрын
AKILI HUNA WEWE. MTUME HAKUPANDA GARI MBONA WEWE UNAPANDA.
@feisalhanafi7332
@feisalhanafi7332 11 ай бұрын
Kwa komedi upo vizuri.
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s Жыл бұрын
Duh mashehe wengi sikuizi
@imraniqbal00765
@imraniqbal00765 Жыл бұрын
Kwa wanawake muislam wa kwanza ni mama khadija na kwa mwanamume ni abubakar
@WajihiAbdalla
@WajihiAbdalla Жыл бұрын
Asalamu alaikum sheh umeshapima kati ya nashid na maulid jeep nashid sio uzushi
@showshowtv1854
@showshowtv1854 11 ай бұрын
Ww sheikh wangu sio vzur sheikh kuwa na manywele kama hio
@BTVBATTAWY
@BTVBATTAWY 11 ай бұрын
kama ulikuwa hujuwi mtume alikuwa na nyewele yeye zake alizilaza
@SamsungA14-wz4fg
@SamsungA14-wz4fg Жыл бұрын
kwanza kawatovekea adabu walimu wake..kw kusema kua anajua kua anaburuzwa kw hivo anawasikiliza kisha anawaachia wenyewe..hii sio adabu..la pili anajidhihirish zaidi kua kasoma kwa watu sio wenye elimu za uhakika..ndio mana kawez kusema :NAWACHIA WENYEWE MENGINE MAZURI ANAYACHUKUA..hivo ata yeye hawezi kuaminiwa kua Ana elimu iliyo sahihi.ndio mana akawa anafetuwa akipatia sawa .hakupatia aachiwe mwenyewe..Huu ndio mtihan wa KUTOKUSOMA KWA WANAZUONI .
@omadal1
@omadal1 11 ай бұрын
Yaani weyee katika hili darasa umeona kasoro tu hujapata manufaa yoyote? Tuwache tabia za kukosowa wakati hatujamfahamu Kwa sababu ya ukosefu wa elimu
@IsmailIsmail-ix1yd
@IsmailIsmail-ix1yd 11 ай бұрын
ALKAMALU LLAHI WAHDAHUU. TAFUTA ELIMU UTUMIE NA MAARIFA.
@allymbarouk5362
@allymbarouk5362 11 күн бұрын
Sasa kama amepata dalili Mzuri zaidi na mwalimu kachelea ulitaka aache dalili afuate mwalimu?
@abuusaid3297
@abuusaid3297 11 ай бұрын
Wakati unasom kwa mashekhe wengi, mengine unasema unawaachia wenyewe unapoon wanakudanganya hii qauli niyasawa hii, waliokua wana kusomesh walikua nasifa gani mpak uchukua uamzi huo!!
@HusseinOmar-lx2wt
@HusseinOmar-lx2wt 5 ай бұрын
hamtaki kuambiwa ukweli
@HusseinOmar-lx2wt
@HusseinOmar-lx2wt 5 ай бұрын
shida hamtaki kuambiwa ukweli
@SamsungA14-wz4fg
@SamsungA14-wz4fg Жыл бұрын
leo ndio nimemjua huyu salum msabbah kua Porojo analo jingi kichwani
@mrfix6596
@mrfix6596 Жыл бұрын
Unamaanisha hujamuelewa au umemuelewa sana?
@muhsinsalim6257
@muhsinsalim6257 11 ай бұрын
Kanye nywele zako kwanza zimejaa chawa huna ilimu yoyote ww fujo tu mm naona kama ww kabla yakuzungumz unavutabangi
@ابومعاذاحمدناصر
@ابومعاذاحمدناصر Жыл бұрын
Sio 40 miaka ya mama khadija bali 38 ndo sahihi zaid
@sautikuu212
@sautikuu212 Жыл бұрын
Hata 38 sio sahihi, usahihi ni kati ya miaka 29 na 31
@saidsobongo912
@saidsobongo912 Жыл бұрын
​@@sautikuu212qawli enye nguvu 28
@sadiqselengu4197
@sadiqselengu4197 Жыл бұрын
Nyie mbona mnang'ang'ania vitu ambavyo mwanachuoni wamegongana kimawazo na kimapokeo... Nyie ndo mnaoleta FUJO katika dini... Hayo majibu kila mtu yupo sahihi katika mapokeo
@saidsobongo912
@saidsobongo912 Жыл бұрын
@@sadiqselengu4197 hyo nisawa akhy hakuna alio pinga mtu akisema 28 saw akisema 40 saw lkn hua kna qawli enye imezungumzwa na wanachuoni wengi ndio hua enye ngvu akhy lkn hkn kubishana
@sadiqselengu4197
@sadiqselengu4197 Жыл бұрын
@@saidsobongo912 Changamoto inakuja unamwambia mtu MUONGO ukizingatia ni sheikh na msomi huo ni ukosefu adabu kama mtu unajua ni ikhtilafu kila mtu anayo anayoitegemea KWAHYO TUHESHIMIANE ndio dini inavyotakiwa
@mamlomamlo9064
@mamlomamlo9064 11 ай бұрын
Huyu ni Naga bawa wa india
@sautikuu212
@sautikuu212 Жыл бұрын
Ama kweli uongo ukizungumzwa kwa muda mrefu hatimaye huonekana kanakwamba ni ukweli. Ukweli ni kwamba mtume anapomuoa bibi Khadija hakuwa na miaka 40,
@sadiqselengu4197
@sadiqselengu4197 Жыл бұрын
Nyie mbona mnang'ang'ania vitu ambavyo mwanachuoni wamegongana kimawazo na kimapokeo... Nyie ndo mnaoleta FUJO katika dini... Hayo majibu kila mtu yupo sahihi katika mapokeo
@alwiyiynmission2820
@alwiyiynmission2820 25 күн бұрын
UONGO ukitungwa pia hua na Malengo. Je UONGO huo Ulikua na Malengo Gani!?
@mombasa0076
@mombasa0076 11 ай бұрын
Unasema GONGO HALIKO KTK UTARATIBU. MTUME ALIKUWA ANAPIGA PASI NGUO. MBONA NYINYI MNAPIGA PASI
@JK-um6op
@JK-um6op Жыл бұрын
Angalau sisi marasta tuwe na shehe wetu.. Songa rasta shehe 😂😂😂
@hamisisalimu6908
@hamisisalimu6908 Жыл бұрын
Fanya Adabu na masheikh zetu
@showshowtv1854
@showshowtv1854 11 ай бұрын
Afu ww kuwa na adab
@AnsabMahmoud-h8j
@AnsabMahmoud-h8j 11 ай бұрын
Hhhhhhhhhhhh
@JK-um6op
@JK-um6op 11 ай бұрын
@@AnsabMahmoud-h8j aaaa kusema shehe asonge rasta ni kukosa adabu..? Eeeeh jamani mbona siwa fahamu..? shehe wangu namfwata darsa zake mbona..
@JK-um6op
@JK-um6op Жыл бұрын
Mwalimu songa rasta bora.. 😂😂😂
@showshowtv1854
@showshowtv1854 11 ай бұрын
Alaf ww acha madiara😂
@abuusaid3297
@abuusaid3297 11 ай бұрын
Aisee huu kweli mtihani, mbona wewe hujulikan ukowap, watu wamaulidi unawaponda, wanaopinga maulidi unawaponda,
@mwarabuwamafia5590
@mwarabuwamafia5590 11 ай бұрын
Yupo upande wa wafuga nywele Na kucha
@BTVBATTAWY
@BTVBATTAWY 11 ай бұрын
kufuga nywele ni sunna hata mtume alikuwa na nywele ndefu alizilaza kuhusu kucha huyu alipokuwa anakunywa pombe figo zilikaribia kufeli hivyo kuweka kucha ni moja ya matibabu ya figo zikioza kucha figo linakuwa na tatizo
@asiahsaidsaid1388
@asiahsaidsaid1388 11 ай бұрын
Kumbeeee niwale wale
@ابومعاذاحمدناصر
@ابومعاذاحمدناصر Жыл бұрын
At hathibitishi wala hapingi 😅😅😅😅
@fay9687
@fay9687 11 ай бұрын
Jamani uislaam ni nadhifu mbona hata nywele huchani tobaa
@AllyNgale
@AllyNgale Жыл бұрын
Huyu Shekh kashindwa kuwafundisha haki jamii balialichokionahaki ni kuwatusi Watu wa Maulidi eti ni wakata mbuno hayawewe lako ni lipi mbonayaonyesha wewe hatakujiswafisha hujui na ushekh wako? Maana minyweli كأنك الشيطان Mtume hakua hivyo
@medimisi6930
@medimisi6930 Жыл бұрын
ni kweli wa maulidi ni wakata viuno ndio maana mtume akasema BIDAA zote maisho wake ni upotevu na akakemea sana juu ya bidaa.
@aliabdalla9297
@aliabdalla9297 11 ай бұрын
​@@medimisi6930kinachokukera ni hayo maulid tu huna jengine utasingizia kila baya
@ismailgumbo289
@ismailgumbo289 11 ай бұрын
Ww wamtusi muislam tena msomi wadin kama huyo wamuita shetan kwasababu yanywele zake alizofuga? Hakika ww nimuovu namajibu yako utayabata kwa Allah kwakumtusi msomi.
@HappyAlpineVillage-rt2jw
@HappyAlpineVillage-rt2jw 10 ай бұрын
Kijana ukitaka kumuhukumu mtu Kwanza jua ukweli wake. Shauri yako
@medimisi6930
@medimisi6930 10 ай бұрын
@@HappyAlpineVillage-rt2jw mh, na ww ni wa kukata mbuno nini, tufuate haki ishallah
SIKU 3 KABLA YA KUFA MTUME ALISEMA HAYA// SHEIKH SALUM MSABAH
14:47
arkas online tv
Рет қаралды 1 М.
SHEIKH SALUM MSABAHA "NJIA SABA ALIZOUMBA MW/MUNGU DUNIANI"
21:32
Idh - har online
Рет қаралды 2,4 М.
А ВЫ ЛЮБИТЕ ШКОЛУ?? #shorts
00:20
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН
FATWA | MJAMZITO AMEFARIKI, JE ANAZIKWA NA MTOTO WAKE? | SHK. MOHAMMED AL-BUSAIDY
7:41
Masjid Al-Tawba Makorora Tanga
Рет қаралды 15 М.
NI YEPI YA HALALI BAADA YA POSA? (SHEIKH SALUM MSABAHA)
18:26
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 3,2 М.
UTAFURAHI SHEIKH SHAFI ALIVYO KUTANA NA WAHUNI WAKATI WA KUZIKA
10:05
ISLAAH ISLAMIC TV
Рет қаралды 74 М.
KISA CHA MZUNGU ALIYEBAKWA NA MFANYAKAZI WAKE //SHEIKH SALUM MSABAH
9:45
KUOMBA DUA BAADA YA SWALA INAFAA AU HAIFAI......? JIBU HILI HAPA
6:41
А ВЫ ЛЮБИТЕ ШКОЛУ?? #shorts
00:20
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН