Kwa wanawake muislam wa kwanza ni mama khadija na kwa mwanamume ni abubakar
@WajihiAbdalla Жыл бұрын
Asalamu alaikum sheh umeshapima kati ya nashid na maulid jeep nashid sio uzushi
@showshowtv185411 ай бұрын
Ww sheikh wangu sio vzur sheikh kuwa na manywele kama hio
@BTVBATTAWY11 ай бұрын
kama ulikuwa hujuwi mtume alikuwa na nyewele yeye zake alizilaza
@SamsungA14-wz4fg Жыл бұрын
kwanza kawatovekea adabu walimu wake..kw kusema kua anajua kua anaburuzwa kw hivo anawasikiliza kisha anawaachia wenyewe..hii sio adabu..la pili anajidhihirish zaidi kua kasoma kwa watu sio wenye elimu za uhakika..ndio mana kawez kusema :NAWACHIA WENYEWE MENGINE MAZURI ANAYACHUKUA..hivo ata yeye hawezi kuaminiwa kua Ana elimu iliyo sahihi.ndio mana akawa anafetuwa akipatia sawa .hakupatia aachiwe mwenyewe..Huu ndio mtihan wa KUTOKUSOMA KWA WANAZUONI .
@omadal111 ай бұрын
Yaani weyee katika hili darasa umeona kasoro tu hujapata manufaa yoyote? Tuwache tabia za kukosowa wakati hatujamfahamu Kwa sababu ya ukosefu wa elimu
@IsmailIsmail-ix1yd11 ай бұрын
ALKAMALU LLAHI WAHDAHUU. TAFUTA ELIMU UTUMIE NA MAARIFA.
@allymbarouk536211 күн бұрын
Sasa kama amepata dalili Mzuri zaidi na mwalimu kachelea ulitaka aache dalili afuate mwalimu?
@abuusaid329711 ай бұрын
Wakati unasom kwa mashekhe wengi, mengine unasema unawaachia wenyewe unapoon wanakudanganya hii qauli niyasawa hii, waliokua wana kusomesh walikua nasifa gani mpak uchukua uamzi huo!!
@HusseinOmar-lx2wt5 ай бұрын
hamtaki kuambiwa ukweli
@HusseinOmar-lx2wt5 ай бұрын
shida hamtaki kuambiwa ukweli
@SamsungA14-wz4fg Жыл бұрын
leo ndio nimemjua huyu salum msabbah kua Porojo analo jingi kichwani
@mrfix6596 Жыл бұрын
Unamaanisha hujamuelewa au umemuelewa sana?
@muhsinsalim625711 ай бұрын
Kanye nywele zako kwanza zimejaa chawa huna ilimu yoyote ww fujo tu mm naona kama ww kabla yakuzungumz unavutabangi
@ابومعاذاحمدناصر Жыл бұрын
Sio 40 miaka ya mama khadija bali 38 ndo sahihi zaid
@sautikuu212 Жыл бұрын
Hata 38 sio sahihi, usahihi ni kati ya miaka 29 na 31
@saidsobongo912 Жыл бұрын
@@sautikuu212qawli enye nguvu 28
@sadiqselengu4197 Жыл бұрын
Nyie mbona mnang'ang'ania vitu ambavyo mwanachuoni wamegongana kimawazo na kimapokeo... Nyie ndo mnaoleta FUJO katika dini... Hayo majibu kila mtu yupo sahihi katika mapokeo
@saidsobongo912 Жыл бұрын
@@sadiqselengu4197 hyo nisawa akhy hakuna alio pinga mtu akisema 28 saw akisema 40 saw lkn hua kna qawli enye imezungumzwa na wanachuoni wengi ndio hua enye ngvu akhy lkn hkn kubishana
@sadiqselengu4197 Жыл бұрын
@@saidsobongo912 Changamoto inakuja unamwambia mtu MUONGO ukizingatia ni sheikh na msomi huo ni ukosefu adabu kama mtu unajua ni ikhtilafu kila mtu anayo anayoitegemea KWAHYO TUHESHIMIANE ndio dini inavyotakiwa
@mamlomamlo906411 ай бұрын
Huyu ni Naga bawa wa india
@sautikuu212 Жыл бұрын
Ama kweli uongo ukizungumzwa kwa muda mrefu hatimaye huonekana kanakwamba ni ukweli. Ukweli ni kwamba mtume anapomuoa bibi Khadija hakuwa na miaka 40,
@sadiqselengu4197 Жыл бұрын
Nyie mbona mnang'ang'ania vitu ambavyo mwanachuoni wamegongana kimawazo na kimapokeo... Nyie ndo mnaoleta FUJO katika dini... Hayo majibu kila mtu yupo sahihi katika mapokeo
@alwiyiynmission282025 күн бұрын
UONGO ukitungwa pia hua na Malengo. Je UONGO huo Ulikua na Malengo Gani!?
@mombasa007611 ай бұрын
Unasema GONGO HALIKO KTK UTARATIBU. MTUME ALIKUWA ANAPIGA PASI NGUO. MBONA NYINYI MNAPIGA PASI
@JK-um6op Жыл бұрын
Angalau sisi marasta tuwe na shehe wetu.. Songa rasta shehe 😂😂😂
@hamisisalimu6908 Жыл бұрын
Fanya Adabu na masheikh zetu
@showshowtv185411 ай бұрын
Afu ww kuwa na adab
@AnsabMahmoud-h8j11 ай бұрын
Hhhhhhhhhhhh
@JK-um6op11 ай бұрын
@@AnsabMahmoud-h8j aaaa kusema shehe asonge rasta ni kukosa adabu..? Eeeeh jamani mbona siwa fahamu..? shehe wangu namfwata darsa zake mbona..
@JK-um6op Жыл бұрын
Mwalimu songa rasta bora.. 😂😂😂
@showshowtv185411 ай бұрын
Alaf ww acha madiara😂
@abuusaid329711 ай бұрын
Aisee huu kweli mtihani, mbona wewe hujulikan ukowap, watu wamaulidi unawaponda, wanaopinga maulidi unawaponda,
@mwarabuwamafia559011 ай бұрын
Yupo upande wa wafuga nywele Na kucha
@BTVBATTAWY11 ай бұрын
kufuga nywele ni sunna hata mtume alikuwa na nywele ndefu alizilaza kuhusu kucha huyu alipokuwa anakunywa pombe figo zilikaribia kufeli hivyo kuweka kucha ni moja ya matibabu ya figo zikioza kucha figo linakuwa na tatizo
@asiahsaidsaid138811 ай бұрын
Kumbeeee niwale wale
@ابومعاذاحمدناصر Жыл бұрын
At hathibitishi wala hapingi 😅😅😅😅
@fay968711 ай бұрын
Jamani uislaam ni nadhifu mbona hata nywele huchani tobaa
@AllyNgale Жыл бұрын
Huyu Shekh kashindwa kuwafundisha haki jamii balialichokionahaki ni kuwatusi Watu wa Maulidi eti ni wakata mbuno hayawewe lako ni lipi mbonayaonyesha wewe hatakujiswafisha hujui na ushekh wako? Maana minyweli كأنك الشيطان Mtume hakua hivyo
@medimisi6930 Жыл бұрын
ni kweli wa maulidi ni wakata viuno ndio maana mtume akasema BIDAA zote maisho wake ni upotevu na akakemea sana juu ya bidaa.
@aliabdalla929711 ай бұрын
@@medimisi6930kinachokukera ni hayo maulid tu huna jengine utasingizia kila baya
@ismailgumbo28911 ай бұрын
Ww wamtusi muislam tena msomi wadin kama huyo wamuita shetan kwasababu yanywele zake alizofuga? Hakika ww nimuovu namajibu yako utayabata kwa Allah kwakumtusi msomi.
@HappyAlpineVillage-rt2jw10 ай бұрын
Kijana ukitaka kumuhukumu mtu Kwanza jua ukweli wake. Shauri yako
@medimisi693010 ай бұрын
@@HappyAlpineVillage-rt2jw mh, na ww ni wa kukata mbuno nini, tufuate haki ishallah