As a friend na mtu alikam kukutembelea unafaa usaidiane na wazazi huyo police anajua kwenye ako
@sarahkaranjajoe3 жыл бұрын
True
@wachiiwilly65653 жыл бұрын
Anasemaje wariporti polisi wakati yeye ni polisi
@francisn4423 жыл бұрын
Why did he leave his bag at the officer's home when going back home? Secondly, how did he locate the officer's rural home without phone communication? Did he go without notifying the officer that it's the officer's wife who gave him fare to go locate the husband? Why can a friend follow you to your rural home without communication? 🤔
@annnjenga1343 жыл бұрын
Ati mpaka hakuwa na fare and he was working
@annrose45743 жыл бұрын
A lot of questions
@trizianngesha69803 жыл бұрын
Mmmmm this officer have something to do with this mayb they have secret business 😏😏😏
@florencewilson56763 жыл бұрын
Ona mliwekelea police
@annnjenga1343 жыл бұрын
@@florencewilson5676 why alipatikana ama?
@goldenbazaars3 жыл бұрын
Patieni Jane mugo hii case, itafunguka kama kitambu, huyu officer kwanii alikuwa amepewa pesa yeyote na nayeye?Hao watu mulipea kijanaa lift munawajua? Muliwafikia kujua walikuwa akina nani juu lazima aliwajua??? There's something he's hiding, did he do something to him that night and he feared he would expose him? Only God knows,that story information in the phone is very complicated, he's not straight.ocs na mtu wa viatu, nasio Customer wake???
@nancymwihaki89013 жыл бұрын
Yes jane mugo should come through
@ViewSasa_Ke2 жыл бұрын
Njenga was finally found safe; Subscribe for more content and Updates: kzbin.info/door/EjuGvapQPZw38ixv6joZ5Q Njengas Update Video Link: kzbin.info/www/bejne/bpXai6R9Z7hnas0
@MwariwaMukurino3 жыл бұрын
My instincts zinanishow he's alive, huyu mwana police sioni akiwa na ubaya
@karanjakamau573 жыл бұрын
very true the ocs has nothing to do with an adult
@annnjenga1343 жыл бұрын
Na kwanini alimfuata mpaka kwa nyumba
@florencewilson56763 жыл бұрын
It is good you didn't judge ....he has appeared
@kellydread1743 жыл бұрын
@@florencewilson5676 what do you mean he has appeared?
@irakikimani37063 жыл бұрын
@@kellydread174 the guy alipatikana he is alive .
@dagikimani51843 жыл бұрын
1. Kazi ya Njenya ilikuwa imeenda chini (meaning that he had taken out capital to give to the OCS to facilitate his recruitment). 2. Njenga made the fatal mistake of following the OCS to his home area to ask him to meet his part of the deal. 3. When Njenga disappeared, the OCS said that he had seen him off in a police vehicle. He later changes this when called by the journalist and says that Njenga was given fare. The OCS's story does not add up. CONCLUSION: The OCS alikula pesa ya Njenga and then killed him. Njenga is in a grave somewhere near the OCSs home. Sad.
@annnjenga1343 жыл бұрын
My thinking too😪😪
@anneannewanjema80923 жыл бұрын
It' seems he killed him
@njerikimanitv823 жыл бұрын
Some truth
@thevineyard71493 жыл бұрын
🤔🤔🤔🤔🤔
@esthermwaniki70233 жыл бұрын
He is alive na huyu police sio mbaya coz kama angenjua hangepick phone ithink
@goldenbazaars3 жыл бұрын
They are dangerous people, they know how to play their games.
@loisegitau48973 жыл бұрын
@@goldenbazaars exactly.
@johnkanyua55823 жыл бұрын
So cops aren't human beings?
@sallynjenga353 жыл бұрын
I have a feeling he ain't telling the truth, it's heartbreaking kwa familia. How on earth can he go mute for a whole good year with no good reason...
@phyllisngendo73693 жыл бұрын
Very painful. Ngai onekera wakamau. Muiguire tha mwanake ucio oneke acokererwo ni gikeno giake. Igua tha Jehova.
@felistafrancis11623 жыл бұрын
Please Njenga come back home as well your parents need you
@lucykaranja98913 жыл бұрын
Huyo polisi ako na hidden agenda
@wincute43063 жыл бұрын
I dont think so,,mimi nlitoka home 2014 i was stressd nlikuwa nmefika mwisho na nliback 2019 february home alafu sikuwahi pigia mtu wetu simu na walinitafta sana walipiga simu mahali mob wakinisaka i think ako sawa ni stress za kuachwa pia sinaweza changia
@loisegitau48973 жыл бұрын
Hata mimi I suspect something fishy
@a.muchemi43603 жыл бұрын
Curiosity did Njenga ask his parents any money???
@grantnjoro46193 жыл бұрын
Huyo Askari hana information any ndio anaboeka
@annrose45743 жыл бұрын
This has taught me that we should teach our children that it's ok to fail and start again. Wasikue disappointed in life. I have a feeling njenga was disappointed coz of not being able to get to the police job
@alicekamau87973 жыл бұрын
Pliz njenga as your elder sister i pray that u come back home 😥😥😥😥😥
@catherinekinuthia23373 жыл бұрын
Huyo Askari anajua vile alifanyiya huyo kijana,naninaona huyo kijana alikuwa amempeya pesa, kwa hivyo najua alipo.
@stephenmwangi93113 жыл бұрын
Njenga inasemekana alirudi home
@kamarikameungua81723 жыл бұрын
njenga tiga urimu wi muthuri mukuru riu kuherithia andu. nkt
@patriciamuregimbogo3 жыл бұрын
😊😂😂😂
@annnjenga1343 жыл бұрын
Heheee nimeona alirudi
@naitoremarete43173 жыл бұрын
People of western there kind tell the true
@leahwambui6593 жыл бұрын
Huyo kijana lazima kuna deal walikua wanafanya na huyo Askari, pengine haikueda vizuri akaamua kumficha milele
@joewamwai3153 жыл бұрын
@lean,..same thing am thinking..
@sarahmwangi16733 жыл бұрын
Is true
@Iam_Maureen3 жыл бұрын
Ashapatikana
@leahwambui6593 жыл бұрын
@@Iam_Maureen wow we give God all the glory ,,,,,alikua wapi?
@Iam_Maureen3 жыл бұрын
@@leahwambui659 you can watch another video from Inooro
@raphaelmwangimurage24953 жыл бұрын
To my own opinion he bribed someone to join police force and then he was killed..2ndly how can you visit someone all the way to bungoma and then the person you visited is giving you fare to go back..how did this police know njenga did not have fare??
@josephkamaumbugua34923 жыл бұрын
En how did he know this police man home?
@annnjenga1343 жыл бұрын
Very true,
@qoypesh34803 жыл бұрын
Thanks God I prayed for Jenga when I saw his mom crying aki😭😭. Asanti Mungu wetu mwaminifu. Mungu tusamehe kumjudge uyo police aki
@traceyccathy17083 жыл бұрын
Alipatikana
@irakikimani37063 жыл бұрын
@@traceyccathy1708 yes
@agnesnyambuto33113 жыл бұрын
Woooi Njenga please rudi nyumbani familia wapone🙏
@mariamari7733 жыл бұрын
Hiyo urafiki ya police na raiya i wonder
@florencewilson56763 жыл бұрын
Kwani police ni non- human beings....now he has been found. Mtaambia watu nini?
@mariamari7733 жыл бұрын
@@florencewilson5676 i didn't mean that police is not a human please
@quinnchee33093 жыл бұрын
This policeman is telling a different story than the one he told Njenga’s parents. It’s obvious he’s lying. How did Njenga find the policeman’s home if he didn’t have a phone? Where is the bag that Njenga left behind?
@lilylilian87293 жыл бұрын
Wewe nawe usiogope kufikiria! Naweza kua rafiki yako nikuambie kwangu/kwetu incase ukinitaka utanipata so uje kunitembelea kisha ufike uambiwe ndio ni hapa lakin hayuko nenda kwa station fulani utamkuta
@lyzlisa12863 жыл бұрын
Yiikn
@shikochege92053 жыл бұрын
Kwanza hajaongea kuhusu kumpatiana kwa hiyo gari ya karao...amesema ati alionekana Nakuru ..
@ViewSasa_Ke2 жыл бұрын
Njenga was finally found safe; Subscribe for more content and Updates: kzbin.info/door/EjuGvapQPZw38ixv6joZ5Q Njengas Update Video Link: kzbin.info/www/bejne/bpXai6R9Z7hnas0
@njeriinuk30543 жыл бұрын
Hey, Bag atigire atîa na 👮♀️ na atî niamucarîrie ngari ya gûcoka....... 🤨
@doricas20493 жыл бұрын
Swali langu 🙄??
@shikochege92053 жыл бұрын
I wonder too...hii story si straight
@kellydread1743 жыл бұрын
That police have questions to answer? And i think that guy gave him money to enroll to police
@florencewilson56763 жыл бұрын
People who judged this police man should apologise.....
@penny43103 жыл бұрын
Dont blame anyone! Just Ask God . That's a family issue. Manyari is doing a good job, he has people on ground and well organised. TRY HIM.
@goldenbazaars3 жыл бұрын
It's not a blame game, it's common sense, this officer is lying. Period!
@loisegitau48973 жыл бұрын
Kwanini aache bag kwa polisi na anarudi nyumbani kwa mama? Ai, it doesn't make sense.
@juliusireneflo5363 жыл бұрын
Huyu kijana ni familiar sana ebu tumeni pic zake mingi
@rachaelmuthoni82393 жыл бұрын
Wooiye,,,God intervine for this family,,,u are able my Father👋they need u urgently for the groly of u nameee,,,we pray ad trus,,,Njenga will come back sooon we trust,,,Amen.
@eddynyambu16143 жыл бұрын
Pia mimi nimeona ni familiar Githurai
@salmahussein35833 жыл бұрын
Eee Ata mm nimeona hio uso sio mgeni Kwang nisha mwona mahali bt I can't remember whr
@bonnygithinji19193 жыл бұрын
Huyu ni conductor wa msl sacco mwiki
@f1racing_243 жыл бұрын
@@bonnygithinji1919 Uko sure? You should share this information
@mawama67193 жыл бұрын
investigate that policeman
@franciswathimo45693 жыл бұрын
This guy seems very familiar to me. Will confirm him on tomorrow his background.
@marymuthoni64323 жыл бұрын
Did you
@bonifacenjorogendichu35512 жыл бұрын
Looks familiar too
@johnkanyua55823 жыл бұрын
I trust that cop...if the cop has anything to do with njengas dissapearance he couldnt even be taking their calls
@annnjenga1343 жыл бұрын
Hau niho ùkinyitie ùgi? Amùfuataga kinya Bungoma nikii,huyu askari die alifinish hio business ya Njenga alim con atamtafutia kasi ya police..how can you fuata mwanaume ..again how alimpee fare and Njenga was working...again ati Njenga hakuwa na simu,how did he connect mpaka kwa home ya huyo police...think again my brother
@irakikimani37063 жыл бұрын
My take too...those who were saying cop ashikwee ooh ...and for real the cop answered and took time with Kibe and also he has been in touch with the family... But thanks God the jamaa alipatikana
@johnkanyua55823 жыл бұрын
Ann Njenga sasa juu jamaa alipatikana you want to tell us the cop alikua amemfuga kama mbuzi ...na mbona jamaa sasa hasemi alikua amefungiwa na askari
@stephenmwangi93113 жыл бұрын
@@irakikimani3706 still looking for the link ya kupatikana kwake
Majey coka micii n turangufatara muno muno especially aciari Aku mena kieha.
@stephennjoroge72593 жыл бұрын
This police officer knows the whereabouts of this man...investigate him further!
@Iam_Maureen3 жыл бұрын
Njenga ashapatikana
@reginawambui71582 жыл бұрын
God above all
@dianahalima48622 жыл бұрын
This guy seems so familiar it's like maybe I have seen him somewhere in nanyuki 🤔🤔
@slyviahWambui17792 жыл бұрын
Ngong
@andersonngumi82613 жыл бұрын
I don't trust that policeman, Investigation should start with his wife, then him, he should mention those government officials who offered a ride, why get irritated by the journalists questions? He should know he's a public service, he was supposed to be concerned when he got lost, he was is a friend/who pays tax so that, that policeman can earn
@annnjenga1343 жыл бұрын
Thanks to God ati ali back home 🙏🙏
@fransnyokabi12213 жыл бұрын
Sometimes ...think big... Huyu jamaa amepotea peke yake. The officer is Okey. Listen to the views of his mother.
@margaretmbugua97653 жыл бұрын
God give family strength to help this kinjana apatikane God ingililia hapa and help them
@slyviahWambui17792 жыл бұрын
I Saw this guy at ngong
@Shiro-ig5lk3 жыл бұрын
Please please Njenga come back home wooiye mum apate amani please come home.
@njeriinuk30543 жыл бұрын
Na sasa anapewa fea aje na bibi yake na alikuwa mfanyi biashara.???? Huyo bibi ya police ahojiwe pia
@kimennjeri52483 жыл бұрын
My quizz 2
@mstevens8323 жыл бұрын
Nindona ne weroragira channel za crime I concurs with you. LONDON LOCKED
@njeriinuk30543 жыл бұрын
@@mstevens832 ..........uko lando?
@janewamaitha49303 жыл бұрын
Please come back home your family miss so much
@loiserosgen89733 жыл бұрын
Huyo polisi alimwahindi atamtafutia kazi ya polisi baadaye akmwambia hakunanafazi ndio akakasirika maoni yangu hiyo .njenga rundi nyumbani
@wachiiwilly65653 жыл бұрын
Kama alikuwa rafiki anaezaje kubali apotelee hivi hivi bila kushugulika ata kdogo
@nancymwihaki89013 жыл бұрын
Hii kesi ipewe jane mugo ..huyu afisa atafunguka mbaya sana .....Simon kibe am requesting you be following cases
@maggiemuiruri12283 жыл бұрын
Njenga coka mucii please andu maiganire
@charliejunior3042 жыл бұрын
Nani ako na number ya Simon kibe
@thatayangoma52003 жыл бұрын
Kumpea pesa?tena aingezewe pesa 500,kuacha bag 💼 how how???hawezi funga safari bira pesa??kuna kitu hapo 🤔🤔🤔but i respect ✊ that police 👮♂️ njuu anakumbali kuchukuwa phone 📱 anyway all the best to family wishing uko hai
@a.muchemi43603 жыл бұрын
Most of this people government know where they are ...
@nishcabezut773 жыл бұрын
Njenga dont be insensitive go back home..you are being unfair to your family especially to your mum,she is going through a lot. Go back home,there is no excuse for going away, this is incase you are alive! Go back home!!!
@unduireniungai...nitucokie33373 жыл бұрын
ũyũ mwanake endaga gũtuĩka mũthigari notiũthigari ũyũ wa bũrũri aca......
@niemowmiemow29133 жыл бұрын
I also think like this,
@kenyanmum3 жыл бұрын
Huyo askari anajua kwenye ako..
@josephinekamau45553 жыл бұрын
Hawa jamaa wa uniform is a no go zone.urafiki na nao Ni kujimaliza tu! Mmoja amenikulia miwa yangu yote kwa gari in the name of nimekukamata juu ya tire.
@annelias14563 жыл бұрын
Very sad a very young man,but acheni kujifanya hamjaona MTU akichukua mask hapo mbele...
@kmipos3 жыл бұрын
That policeman must be a very humble and friendly person. Police wengi hawangekubali that kind of interrogation especially from that kind of reporter who was trying to incriminate him.Njenga go back home stop torturing your people
@reginawambui71582 жыл бұрын
Njenga will be back soon in jesus name🙏
@emperor53302 жыл бұрын
The officer did not take your phone call again.because you got more than u required and kept on pushing as if the officer was in error.it was not his duty to find the man.but the family through the officers in the right jurisdiction :NAKURU..i salute the ocs for being humble and caring enough to talk to u on phone many cant do that.
@chelseamuthoni92003 жыл бұрын
Huyu polisi anajua njenga yuko wapi.. Yeye ni ocs and ako na uwezo wa kusaidia rafiki yake apatikane.. Hapo kulikuwa hakuna urafiki.. Huyo diye anajua yuko wapi..
@simonwainaina73603 жыл бұрын
uhusiano yoyote na Kenya police haimaliziki vyema, mmoja my neighbour akiwa fm2 nilikuwa fm1 tulibump into each other Mombasa nikielekea shughuli zangu kwa ports {God rest his soul he passed on 3yrs ago} na sikupendelea vile he kind of acted strange .Kenya police are very very evil people however i wish this family all the best.
@marthamuhia19413 жыл бұрын
Seems alikuwa anapelekea Huyu officer pesa za biashara.ahojiwe kabisa
@mrefuwamlango16583 жыл бұрын
I fell like jenga tu!my dream is to be a police man but sina uwezo?
@beatricenjunge73123 жыл бұрын
Tafuta job ingine na uombe Mungu.ata my brother alikuwanga a police man but aliacha tu.na wenye najua wako kwa hio job ukisikia stress zenye wanakuwanga nazo u will change your mind.
@mrefuwamlango16583 жыл бұрын
@@beatricenjunge7312 ai kweli
@curtisrussell30313 жыл бұрын
Wewe sasa si uanze kazi ingine..polisi waeda kufanya nini?
@Malkiathequeen3 жыл бұрын
This is a police case!
@marymbugua79583 жыл бұрын
I think there’s a disconnect because how did he locate the home of the officer without fon? Again him loosing the bag with the bus company as narrated by the officer, plus wanting to alight on the way and go to Nanyuki which hadn’t featured in your plans shows depression.. we also learn he had married & separated couple d with biz going downwards all these point to depression.
@annmwariri81193 жыл бұрын
Huyo so called polisi alimalizia jenga aki afadhali tu a open up ndo apee hawa familia ya jenga peace
@herinahellen98622 жыл бұрын
Hii alikuwa double -closed na polisi
@ViewSasa_Ke2 жыл бұрын
Wachaneni na polisi Njenga was finally found safe doing his work; But did they later talk with the policeman? find out more on the links>>> Subscribe for more content and Updates: kzbin.info/door/EjuGvapQPZw38ixv6joZ5Q Njengas Update Video Link: kzbin.info/www/bejne/bpXai6R9Z7hnas0
@marynjenga86323 жыл бұрын
njenga Coka mucii tiga kuherithia andu
@juliusireneflo5363 жыл бұрын
Huyu kijana nikama namjua
@silviatom53913 жыл бұрын
Wewe huko wapi plz na unamuonanga? Plz plz
@maryjames20103 жыл бұрын
Mary ulimuona wapi
@juliusireneflo5363 жыл бұрын
@@maryjames2010 huku nairobi
@juliusireneflo5363 жыл бұрын
Huyu ni mtu nimeona sana....
@maryjames20103 жыл бұрын
@Mary Aki basi unaeza saidia maani
@lydiamuthoni71663 жыл бұрын
Huyu officer wa polisi hana makosa he was just a friend tena Njenga ni mwanaume mzee si mtoto ako na akili ya kutofautisha mazuri na mambaya achaneni na yeye atarudi tu.
@annnjenga1343 жыл бұрын
Alimfua Bungoma kufanya nini...think again
@annmacharia50783 жыл бұрын
Mayb njenga alikuwa anapea huyo polisi pesa alafu baadae akamwambia hakuna nafasi he sank into depression akapotea
@jwnjuguna2 жыл бұрын
Of course the police officer knows something he shouldn’t be irritated because of questions.
@janetwanja95013 жыл бұрын
First things first mbona alikufata Hadi kakamega?
@patrickstv20103 жыл бұрын
I think this reporter is pushing the policeman to a corner for nothing.
@eunicewairimu50153 жыл бұрын
Huyu pengine ako mahali aki watch hii, rudi nyumbani tafathali,
@mstevens8323 жыл бұрын
Haha hatire na utheri huyo police achunguzwe
@mstevens8323 жыл бұрын
Andu matiuraga ouguo kwanza mata hetanetie na andu a kwao
@josephkamaumbugua34923 жыл бұрын
Ama alienda Sudan
@lucynjenga25223 жыл бұрын
I think maybe vile alijua hataqulify kuingia polisi aligive up na life na akaenda maybe he is alive,,,na uyo OCS is innocent
@tbetatbeta59343 жыл бұрын
Wathire ku Njenga Mwathani uka wiyonanie
@lucygachiegachie6910 Жыл бұрын
Noooo person of interest 😢😢😢
@carolinemaina21513 жыл бұрын
I suspect this ocs,,,I really suspect him
@Iam_Maureen3 жыл бұрын
Njenga ashapatikana
@suzanwanjikenya18263 жыл бұрын
Aii huyo police anajua kwenye ako ama huyo police alilipwa na njenga huyo police anafa kuekwa ndaani
@grasgras98893 жыл бұрын
Kwani ni ngombe ya wapi hii?kama mungu hajasema kubali
@kananu5783 жыл бұрын
The guy is alive ni vile alikosa kazi ya askari na akaamua juu hiyo family yake ni kaa haimshugilikii ndio akaamua kupotea my thoughts though
@herinahellen98622 жыл бұрын
Alifaa kushughulikiwa aje??? People should stop expecting family to do things beyond their own limits
@gracekamau13473 жыл бұрын
Bona naona na mjua sana but sikubuki ni wapi
@loisegitau48973 жыл бұрын
Omba MUNGU akuonyeshe
@gashe58003 жыл бұрын
Since when police akaandikisha mtu kazi ya police. Hehee
@joewamwai3153 жыл бұрын
@grace,..connections..u seem to be in another planet..
@veromuchina49793 жыл бұрын
He looks so familiar
@reginadavid44543 жыл бұрын
Khaii sasa alienda wapi,aki Mungu saidia apatikane
@rashidwambui57583 жыл бұрын
Naona comment apo juu eti conductor ya msl mwiki
@wanguibundi40173 жыл бұрын
May God intervene and help this family to find out the whereabouts of their loved one. Whoever is involved from this policeman to anybody else please let the family know what happened. At some point God will reveal the truth any hidden agendas will be found. Let anyone with information say something. Remember today it's Njenga and tomorrow will be you ,your brother, sister or any of your loved ones. Njenga go back home if you're still out there. God bless you and your family.
@lyngatune67533 жыл бұрын
Alipewa fare na wife ya police?? Alikua huko juu ya ku fungua business means alikua na doo?? Bag yenye alikua nayo aliacha kwa police????????
@warichysuzie44493 жыл бұрын
This ocs achunguzwe vizuri...someone comes to visit u then disappears for good???how now???🙄🙄🙄
@Shiro-ig5lk3 жыл бұрын
Mimi hawa watu wa uniform huwa siwaamini ata kidogo. They are bad people.
@fndutakamau3 жыл бұрын
Njenga wathire ku?😔
@Qrd5913 жыл бұрын
God Bless you officer, why would you want the officer to find him. Please mtangazaji stop putting things where they don't belong. It's wrong!!! Njenga wherever you are come home
@annnjenga1343 жыл бұрын
He was he friend ,alipoa akiwa kwake nikii wee
@maureengichuche89253 жыл бұрын
Labda officer alikua anakula pande mbili kizungumuti
@johnnjorogewangui2 жыл бұрын
This so called officer knows alot on his disappearance
@virginiakibe18463 жыл бұрын
please akipatika tutafurahi
@mariamari7733 жыл бұрын
Amepatikana
@virginiakibe18463 жыл бұрын
@@mariamari773 we thank GOD
@7thestate7773 жыл бұрын
Why will discourage someone below 30 years that he is too old to pursue the dream 9f being of police ...what kind of mind set is that
@sheewamungu30103 жыл бұрын
@ 7th Estate, some careers have age restrictions. Regardless of passion... It's very important to be realistic.
@7thestate7773 жыл бұрын
@@sheewamungu3010 30...come on
@annnjenga1343 жыл бұрын
@@7thestate777 😂😂
@shikohmuriithi52163 жыл бұрын
Why is the policeman talking about him in past tense🤨
@wanjikunjeri16932 жыл бұрын
I asked myself the same he is referring him in past tense.
@mimuwajesus91383 жыл бұрын
Njenga rudi nyumbani ,,you family is suffering
@titusmburu24333 жыл бұрын
Huyu mtu ni familiar
@gracewambui47973 жыл бұрын
Titus labda kuna pahali ushamuona elezea aangaliwe
@springmeadows75643 жыл бұрын
Kwao ni zambezi onthe way to limuru not far from Nairobi