Mashaallah hongra dada mungu azidi kuwapa furaha ya milele
@thumnathumna59462 жыл бұрын
Mungu alete kher kwenye family yenu 🤲.
@رقيهالخصيبي2 жыл бұрын
MashaAllah Mwenyeezi Mungu aidumishe ndoa yenu hapa dunian hakuna mkamilifu unaweza ukazaliwa vizuri ukapata ukilema ukubwani kwa ajali familia tuacheni kujibebea mizigo ya dhambi watu wanataka kuoana mnaleta pingamizi za ajabu hata ww mzima unaweza ukawa kilema ndio tunaambiwa kabla hujafa hujaumbika hii ni mipango ya Mwenyeezi Mungu
@africandarling69252 жыл бұрын
Dd Hongera sana kwa msimamo kwa kile ni mipango yake mungu pia unakuwa na Amani kwenye ndoa yako kuliko vijana waliokamilika uwa wanaoa Asubuh jioni wanaona
@jackyluns82242 жыл бұрын
Kabisaa
@shamsaalrahbi55732 жыл бұрын
😍😍😍😍
@tajilimtoto50092 жыл бұрын
Uyo ndo mwanamke
@wangagirl3508 Жыл бұрын
Pia sisi tuko to🙈
@husnasalim96142 жыл бұрын
Maishallah
@rizikiali67632 жыл бұрын
Subhanallah
@kursoomabuu81922 жыл бұрын
We mtangazaji wapo wap hawa nataka niwasaidie kidog nilichijariwa
@رقيهالخصيبي2 жыл бұрын
Hawa Afrimax hawataji sehemu nimeona interview nyingi watu wakiuliza sio jibu unachanga kwa kupitia kwao halafu wao ndio wanaopeleka
@jackyluns82242 жыл бұрын
Changa kupitia afrimax yao ya kingereza
@رقيهالخصيبي2 жыл бұрын
@@jackyluns8224 wengine hawafaham ni bora mngeweka hata hizo namba za Afrimax hapo kwenye creen mimi binafsi nawaamini kwa sababu naona kazi wanayoifanya wanawatangaza wenye uhitaji wa kusaidiwa wakifanikiwa kupata michango wanaifikisha kwa wahusika Mwenyeezi Mungu awasimamie katika kazi yao ya jamii