Watu walikuwa hawakuelewi ila sasa wameisha anza kukuelewa tutawakela zaidi love you sanaaa
@gloriaako63774 жыл бұрын
Napenda sana simulizi zenu Hongera sana kwani unatufanya tufahamu mambo mengi tusioyajua
@yonaelobombo22294 жыл бұрын
Yeyote anaemkubali huyu jamaa like zote apa
@brayankongwa46794 жыл бұрын
Jamal upo juuuu bro🙌🙌🙌🙌
@habarinamichezo64274 жыл бұрын
Hakuna cha mtiga wala mshiga bro piga Kazi sjafata sauti mi kidume nataka kusikia story nzuri kama ivi na hakika upo vizur respect sana.
@gaspergabriel17704 жыл бұрын
Safi sana hii nzuri lazima nifuatilie kila siku story book toka wasafi TV ongezeni stori zaid na zaid nyingi sana sana
@lutifredrumisha89873 жыл бұрын
Unadhani ni rahis Ivo kuandaa story??
@dickieboy79074 жыл бұрын
Nzuri sanaaaaa 👏👏👏👏 ILA NAOMBA UTULETEE SIMULIZI YA MAISHA YA JELA LA GWANTANAMO 🙏🙏🙏
@yunusbayouddah7504 жыл бұрын
Tena kwanza aende akafanye research gerezani au ndo aje😂
@dickieboy79074 жыл бұрын
Yunus bayouddah NDIOOOO ITABIDI AFANYE HIVYO ILI ATULETEE STORY KAMILI AU ATAFUTE MBINU ZINGINE HATA KWA KUKOSOMA VITABU KAMA ANAVYOFANYA SIMULIZI ZINGINE
@goodluckymkonya48824 жыл бұрын
Apo ni sawa kabisa
@josansteveen19384 жыл бұрын
Umenena point Kaka 🙋🏾♂️🙋🏾♂️🙋🏾♂️
@tizochunga50594 жыл бұрын
big up mzee baba uko vzr sn
@agustinonjau99424 жыл бұрын
Anaye sema jamaa anakipaji cha usimulizi gonga 👍
@sonylife78824 жыл бұрын
Wasafiiii juu sanaaa
@sonylife78824 жыл бұрын
Yeah
@dickiesemontana22644 жыл бұрын
Jamar he's very talented 👆
@marcheloruto89772 жыл бұрын
kazi nzuri ilifanyika
@godfreymtazama45813 жыл бұрын
Proffersor upo juu sana
@mussanassoro7904 жыл бұрын
Jamaa anajua kuchimbaaaaa saaaanaaaaaaaaaaaaaa mtiga anajua kusimulia tu nimesikiliza story yake ya sarah aaah haina mashiko ni nyepesi sana salute jamal now uko vzur
@fynmimo4 жыл бұрын
Mussa Nassoro kwel kka sarah nyepes sana alf jamal ameanz kunoga now
@omarihasani57244 жыл бұрын
Wabongo ndinyo tulinyo hatujui kusifia2 ni mpaka toponde wla huyu jamaa huwez mfananisha na mtiga
@umojamedia41674 жыл бұрын
Dah angeisimamia mitiga hii story ingenoga mnoo
@elshaarawymuhabesh3164 жыл бұрын
Kama Movie Vile... Jamaa Kipaji Unacho Ila Nashaur Usiwe hivi tuh... Endelea Kua Na Ubunifu Zaidi... Usiridhike kama Mwenzako Mtiga... Congrats jamal
@mohamedahmad31374 жыл бұрын
Mtiga ni mmoja2 duniani hayupo kaa mtiga
@manofgodbabazero92374 жыл бұрын
Duuuh... Walio humizwa na hii story..... Tia like
@eliagodlove10954 жыл бұрын
Jaman duniani kuna mambo na watu maaana sio kwa vitu vya ajabu wanavyo vifanya.... MUNGU ATUSAIDIE tuepukane na hao watu wa baya.
@gabrielkyando26325 ай бұрын
Hawa Wana mapepo, simple and clear
@safarikikaadrien1084 жыл бұрын
Iyo sauti inafaa sana coz ni nzito sana 🤣🤣🤣🤣👍👍👍👍
@emanuelkasiano69344 жыл бұрын
Duuu!? Eee mungu tuepushe na hiz dhambi za DUNIANI
@thebov55264 жыл бұрын
Big up sana bro kma unamkubali jamaa gonga like apa tusongee!
@Ali_Ngabwe7 ай бұрын
Apa tunapata ukwel tosha kuliko tuliyo usoma ma shuleni. Ali_Ngabwe from RDCongo🇨🇩 respect for you Professor🤓 Jamal April
@abielolo_4 жыл бұрын
hongereni sana wazee mnajitahidi sana
@davidtebuye2844 жыл бұрын
Naanza kukuelewa mzeee,zaman nilikuwa sikuelewi but ongeza juhudi big up
@vivianazalia3804 жыл бұрын
Nakuelewa mkuu 👍👍👍👍
@abdulnkungu34914 жыл бұрын
Salute@jamal
@edwinelias85544 жыл бұрын
Duh hii story nomaaa sanaa
@khamissswalee79463 жыл бұрын
Dhh
@boazmvellah62864 жыл бұрын
Like za jamaa aliekuwa anawauwa mashogaa
@djgeorgekiller36174 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣😂😂🤣😅
@silvahuncho73064 жыл бұрын
Haaaa
@Nanapendo2 жыл бұрын
🤣🤣
@tanzaniacivilengineeringco71894 жыл бұрын
Jamal we ni fundi wa mastory
@asiamaulid60284 жыл бұрын
Wanaume ndo wanaongoza kwa roho mbaya kwan ktk hawa wauwaji sijaona mwanamke hata mmojaa khaaa
@YounousOmary4 жыл бұрын
Good &perfect
@andrewkivua19744 жыл бұрын
Nawakilisha kenya🇰🇪
@utahmedia45344 жыл бұрын
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 Jamal kwakweli sahivi una murder nlikuepo sikukubali ila kila cku unanishangaza hiii qali Sana na kinachonifurahisha Zaid story zako unazama ndani Sana unafanya research ndo unakuja na story qali keep shinning bro...tulikalili sauti tu
@leoncearistides34484 жыл бұрын
Kwel kak jamaa anajua ase
@JAMAL-zd3jr4 жыл бұрын
Asanteee sanaa
@jovinhojr7744 жыл бұрын
Kweli bana
@khamissajuki84814 жыл бұрын
Mauta Christopher noma xanaاااا
@aishaomary54704 жыл бұрын
Hey
@mwinyiabdul93324 жыл бұрын
Innalillah waina inaihi rajúni hivi hawakumbuki kuna kifo 🙁🙁😣😢😢😔😔😭😭
@aliissa67514 жыл бұрын
Hopo safi simulizi zuri sana ongera Jamal
@noelkiongozi66834 жыл бұрын
Amazing bro
@mohdmgweno65473 жыл бұрын
Nakubar can kwer
@mashakageorge97713 жыл бұрын
Nkuelewa vizuri brother
@lilbrownwillingtonewillie25053 жыл бұрын
So great and I like it
@sophialaurent28764 жыл бұрын
Hii story inatisha sana nimeshindwa kusikiliza hadi mwisho
@goodlucktesha24274 жыл бұрын
Congratulations bor
@yusuphcharles14974 жыл бұрын
Mtiga abdallah
@GabrielWilhelm3 ай бұрын
Brooo ukojuu sana
@muniraahmed6244 жыл бұрын
Uwiii nimeogopa sana sijui kama usiku wa leo ntalala mm😭😖.
@suleyman_0074 жыл бұрын
Serial killers
@bahatisimba2494 жыл бұрын
Njoo ulale kwangu
@bahatisimba2494 жыл бұрын
0714046395 WhatsApp karibu
@kirupyseleman5824 жыл бұрын
Jamal umekiwashaa vp team tunamtaka mtiga
@yirgayemyirgah78204 жыл бұрын
Hta mm ctawez kulala ila ukiwepo ww ntaweza vp nkupe namba
@yuzofootball46014 жыл бұрын
Kama unaikubaliii hiii story gonga like hapa twende sawa
@BahatiDaniel-om1hs8 ай бұрын
Go far Professor jamal , am your fan Bahati Daniel from Uk
@graphitewassermann55454 жыл бұрын
Jamal ww ni noma
@BONGOKUMENOGATV3 жыл бұрын
Huyo sio jamal
@munashabani13764 жыл бұрын
Duniani kuna mengi sanaa
@mudrikhamad7934 жыл бұрын
Daaah upo vzriii kaka big up
@fedyrunya14 жыл бұрын
Dunia ni mtiani kabisa kama wewe unasikiliza hiki kipindi ukiwa inje ya tanzania acha like tujuane🇧🇮
@emmanuelmseti10424 жыл бұрын
Noma kweli
@pitiirashid45114 жыл бұрын
Watoto tupo
@dignakumburu89194 жыл бұрын
Nice
@dignakumburu89194 жыл бұрын
Nice
@dignakumburu89194 жыл бұрын
Cha bwana. Duniakubwa
@dainamuhoma92954 жыл бұрын
Mmmmh hiii inatxha aixeee
@nasila25554 жыл бұрын
mwenye akisikiriza uku agisoma comment tupa like hapa🇧🇮
@yunuschaga90324 жыл бұрын
Andika ufhamike mwenye akisikiriza nd nin
@nasila25554 жыл бұрын
@@yunuschaga9032 inahusu
@kushdady31223 жыл бұрын
Nzuri sana prefessor
@BethiGody5 ай бұрын
Awa watu weupe ndo mapepo wenyew sasa maan kesi zamauaji nyingi nizawatu weupee
@allykazembe36014 жыл бұрын
Wasafi for life
@bigiemnyamaa11854 жыл бұрын
Jamaal noma sana kaka
@palasotz91914 жыл бұрын
respect for you brother
@salomekasisi49223 жыл бұрын
Daaaaa hiii noma sana
@tigermoha69663 жыл бұрын
Woòoi ...no fear nor greav ..
@nelsonprotus20554 жыл бұрын
Vizur san
@graysonleka84343 жыл бұрын
Good jamal
@azolybosco30374 жыл бұрын
nakubali sana mku
@hancymoudy29044 жыл бұрын
Big UP
@ramadhanimba82064 жыл бұрын
jamaa yuko vizr sana
@fernarnderchucky10574 жыл бұрын
Niaje mzee
@amosmaiko55234 жыл бұрын
Yanga wenzangu tujuane
@zakiaali16814 жыл бұрын
Iyo noma
@paulmawirakinyu26884 жыл бұрын
Anaye endelea kumpenda mtangazaji mpya pita na like tujuane