WAZIRI KAMWELWE AMUOMBA MSAMAHA RAIS MAGUFULI HADHARANI "ACHA UPUMBAVU”

  Рет қаралды 129,696

Uhondo TV

Uhondo TV

Күн бұрын

Пікірлер: 99
@mwidinijuma8214
@mwidinijuma8214 3 жыл бұрын
Tuta kukumbuka daima kwa utendaji wako makini
@bonifacekalima5273
@bonifacekalima5273 3 жыл бұрын
Sasa mm kaniuliza je mama yangu au shemeji yetu ataweza vishindo hivyo maana mweshimiwa alikuwa engineering mtata kumdanganya ufanye kazi
@kingwatabata4230
@kingwatabata4230 3 жыл бұрын
Babaaaaa lala babaaaaa tushaanza kukumic😭😭😭😭💔
@vodaphone9825
@vodaphone9825 3 жыл бұрын
Sidhan kama kuna rais jasir kama huyu ee mungu utupe uvumilivu
@francismigongwa4146
@francismigongwa4146 3 жыл бұрын
YARABI TUSHIKE MKONO PEKE YETU HATUWEZI RIP MH JPM MWENDO UMEUMASLIZA IMANI UMEILINDA
@judywangui9331
@judywangui9331 3 жыл бұрын
Uhuru plz nakupenda Sana lakini plz angalia kazi ya raisi wa Tz riu acio uhete wira umakiragira nikii mekaga uria mekwenda tuture na thina nimetumia hiyo language ndio ujue nivipi
@sallyeliya5213
@sallyeliya5213 Ай бұрын
Mwamba anapelekea watu moto wa kifuuu,🎉🎉🎉🎉
@jeffreywilliams1171
@jeffreywilliams1171 3 жыл бұрын
Hawa ndio wamemletea maumivu ya moyo tu, kila mahali palimuumiza moyo wake.hawa baadhi ya watendaji wake walimkosea sana.mungu ampumzishe kwa amani baba yetu.
@isibanianews1329
@isibanianews1329 3 жыл бұрын
Wametunyanganya tunu yetu
@phariankhamayi494
@phariankhamayi494 3 жыл бұрын
Alifanya KAZI n Mzito Mzee Magu ata hakupata nafasi yakupumzika hapa duniani akipigania wakanzania maskini.mungu mpe pumziko la milele
@lydiachembe9376
@lydiachembe9376 3 жыл бұрын
Tulikupenda sn baba etu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 moyo bado hauamini kama ndo atukuoni tena?
@sidratybinkhamis2837
@sidratybinkhamis2837 3 жыл бұрын
Hii siku ilikuwa tumbo joto shenzi sana huu ndio mwendo unaotakiwa
@v_i_p1109
@v_i_p1109 3 жыл бұрын
😂😂😂
@mahdiofficial5975
@mahdiofficial5975 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@sidratybinkhamis2837
@sidratybinkhamis2837 3 жыл бұрын
😆😆
@sidratybinkhamis2837
@sidratybinkhamis2837 3 жыл бұрын
Wananenepa kwa kodi zetu hawa. Sisi tunakonda kwa kuwaza kodi nailipaje
@emanueltesha8873
@emanueltesha8873 3 жыл бұрын
Baba tutakukumbuka sana kwa kazi kubwa uliyoifanya kwenye inchi hii na ulikuwa mzalendo wa kweli kwenye inch yako
@jpsonfit8
@jpsonfit8 3 жыл бұрын
Ni nafwata uku DRC moyo kuma ni mubenda sana raisi uyu mungu a WE n'a wa tazanien ôté tuko pamoja 😭
@nshonabdll9363
@nshonabdll9363 3 жыл бұрын
Tqtatizo unataka kz alafu haina hqkkli ya kufikilia mijitu km I ndo inayo rudisha moyo. Warais nyuma
@Bushd39
@Bushd39 3 жыл бұрын
Tanzania is the only country in Africa where officials are humiliated in public by failing to do their job to the expected by Tanzanian authorities but praised by being effective and do the correct work
@timbukwa9771
@timbukwa9771 3 жыл бұрын
Yes, true, sasa tumelowa kabisa!!
@jicholafursa7058
@jicholafursa7058 3 жыл бұрын
Wonders
@mahadibrahim9734
@mahadibrahim9734 3 жыл бұрын
Magufuli 50;year tena
@hongeramgaya714
@hongeramgaya714 3 жыл бұрын
Who had thought he will be gone soon
@neemasamwel8968
@neemasamwel8968 3 жыл бұрын
Magufuli kwenye maswala ya ujenzi hasa bara bara huwz kumdanganya
@chiefmajai9345
@chiefmajai9345 3 жыл бұрын
Hii hali inaleta mashaka hapa tz kila sehemu uozo pamoja na utumbuaji ni yaleyale
@dominicponsian4360
@dominicponsian4360 3 жыл бұрын
Rest In Peace my Great President 🙏🏾🙏🏾
@timemajestically
@timemajestically 3 жыл бұрын
R.I.Power Hero of Africa..President of Tanzania Dr John Pombe Joseph Magufuli...(Magufulification of Africa )
@malyankyajoseph758
@malyankyajoseph758 2 жыл бұрын
RIP, Rais Maguli for the good job done, for you respected the rule of law and fought endlessly against corruption. You showed a very good example for the rest of the other African leaders to follow but all in vain.
@mengifrank8765
@mengifrank8765 3 жыл бұрын
Pumzika kwa amani mwamba wa africa napenda kukuxikiliza hutubazako lakini naumiaxana najikuta machaz yatoka tuuuuh 😭😭😭
@husseinkatuga414
@husseinkatuga414 3 жыл бұрын
RlP mzee magu
@nshonabdll9363
@nshonabdll9363 3 жыл бұрын
Yn hawa wasaidizi ndo walo kuwa wanampa mawazo HD moyo. Kuharibikq maana inqjishibsha tu kz haifanyi mapaka hawa
@nshonabdll9363
@nshonabdll9363 3 жыл бұрын
Atuna jinsi tutqbqki kuangalia tu matukio. Yk bqbq nq kiyqfqnyiqkz
@kassimukipingu5343
@kassimukipingu5343 4 жыл бұрын
Naona mm ndio wa kwanza kukomenti Rais Kazi nzuri unafanya ila mikusanyiko hio itasababisha kusambaa kwa ugonjwa huu wa kigeni nibora ukatumia muda mchache kuuliza na kutoa maagizo yako kabla watu hawajajaa
@bataboydjj7843
@bataboydjj7843 3 жыл бұрын
Maguful oyeeeee
@estherkibajiro3480
@estherkibajiro3480 2 ай бұрын
Acha mafisadi wafurahie kwa sasa dah
@billymanyifu292
@billymanyifu292 3 жыл бұрын
RIP Mheshimewa Rais. Utakumbukwa katika historia ya Afrika Mashariki.
@ShadrakaJohn
@ShadrakaJohn Ай бұрын
Mangufuli amubananisha muchina
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 3 жыл бұрын
Dah Tanzania tunaingia gizan tena
@Jamie-zp7bb
@Jamie-zp7bb 3 жыл бұрын
HAPANA KAKA SAFARI NDO IMESHAANZA HIVYO WALA HATURUDI NYUMA.
@gracejohn886
@gracejohn886 3 жыл бұрын
Yaan tunaogopa
@Jamie-zp7bb
@Jamie-zp7bb 3 жыл бұрын
@@gracejohn886 USIOGOPE DADA ANGU UNAJUA HATA MFALME DAUDI KTK BIBLIA ALIPATA MADARAKA YA UFALME WAKATI WA TAARUKI YA KIFO CHA MFALME SAULI, WAISRAELI WALIPAGAWA. HATIMAYE BWANA MDOGO TU! DAUDI AKAWATAWALA...AKAFANYA VIZURI SANA NA WATU WAKAFURAHI. NINA MUAMINI MUNGU MAKUBWA YATAFANYIKA TANZANIA KUPITIA MAMA YETU RAIS SAMIA.S.HASSAN.
@gracejohn886
@gracejohn886 3 жыл бұрын
@@Jamie-zp7bb Amina na iwe hivyo tumtangulize MUNGU
@lydiachembe9376
@lydiachembe9376 3 жыл бұрын
Tulikupenda sn baba etu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 moyo bado hauamini kama ndo atukuoni tena?
@matukimtaki2649
@matukimtaki2649 3 жыл бұрын
Hongeraaa Raisi wetu
@zannesmarie728
@zannesmarie728 3 жыл бұрын
Well conversed President who is well informed of all malpractices everywhere in his country....spot on. Really none of this kind in the whole world!.💞💖❤👍👌🇰🇪
@EssterDavid
@EssterDavid Ай бұрын
Lini utarudiiii babaaa
@Nyanda506
@Nyanda506 Ай бұрын
Rest in power Jonh 👏
@fadhilnassor8196
@fadhilnassor8196 3 жыл бұрын
Dah mzee kaomba msamaha wazir .mungu mlipe mema rais
@sidratybinkhamis2837
@sidratybinkhamis2837 3 жыл бұрын
Ila ndio basi tena jamani mmh!
@saimonjohn5403
@saimonjohn5403 3 жыл бұрын
Mzee wetu lala salaama
@kagamedimaria4787
@kagamedimaria4787 3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭the best president
@johnmacharia520
@johnmacharia520 3 жыл бұрын
Alikua mfanyakazi kweli kweli
@msomimosomy9812
@msomimosomy9812 3 жыл бұрын
Uuuuuwi naliamie jamani kwanini kwanini sasa hapakazitu hakuna nivicheko namakongamano uzembe yamsingiyameachwa
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 3 жыл бұрын
Daaah!!!
@rwenji22
@rwenji22 3 жыл бұрын
I hope Suluhu takes it up like this. God bless Tanzania.
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 3 жыл бұрын
@Duncan hawezi kuwa magufuli
@rwenji22
@rwenji22 3 жыл бұрын
@@edwinalexander1170, ni ukweli hakuna mtu anaweza. Magufuli alikuwa mtu wa aina ya kipekee barani Afrika.
@jicholafursa7058
@jicholafursa7058 3 жыл бұрын
Kwa udhalilishaji huu mama yetu usiwe hivi
@omaryyusuph7877
@omaryyusuph7877 4 ай бұрын
​@@jicholafursa7058akuna kubembelezana viongozi wa Africa bila ukali ni uzembe tuu utafanyika
@SleyumSuleiman-l8h
@SleyumSuleiman-l8h 7 ай бұрын
Allah akupunguzie adhabu y Qabli.....camander wetu
@emmanyerere6479
@emmanyerere6479 7 ай бұрын
😢 I miss him
@greygrad9296
@greygrad9296 3 жыл бұрын
Nakubali jeshi
@alihijiiddi8977
@alihijiiddi8977 3 жыл бұрын
WIZI TU HAWA NA WALIONA ULILALA HAJUWI KAMA UNAWAONA KWA JICHO JENGINE WAPUMBAVU HAWA KUKUFANYA WEWE MJINGA
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 3 жыл бұрын
Siku iyoo sitokuja sahau wadau walisema kimeumanaa... 😄😄
@malyankyajoseph758
@malyankyajoseph758 2 жыл бұрын
Mungu ampee kipumuziko salama muhesimiwa Rais Maguli
@petrojohn8250
@petrojohn8250 3 жыл бұрын
Sijui kama atapatikana Rais kama huyu tanzania.Rip Dr Magufuli
@johnnjenga2589
@johnnjenga2589 3 жыл бұрын
Best president
@stellamatibiri2337
@stellamatibiri2337 3 жыл бұрын
Yes the best indeed. Tanzania was Fastest growing African economy in 2020. MHDSRIEP!!!
@ramadhanijohoiddi2899
@ramadhanijohoiddi2899 3 жыл бұрын
HATOKEI KIONGOZI NCHINI KAMA WEWE BABA
@mussamisinzo4934
@mussamisinzo4934 7 ай бұрын
Hatutapata rais kama huyu mh!
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 3 жыл бұрын
Hakika ni zaidi ya uchungu
@estherkibajiro3480
@estherkibajiro3480 2 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭
@jerryjohn8030
@jerryjohn8030 2 жыл бұрын
Magufuli😥😥😥😥
@mamaafrika1481
@mamaafrika1481 3 жыл бұрын
Atukusaau miaka yote
@HadijaKachira
@HadijaKachira 7 ай бұрын
Mwaposa
@HadijaKachira
@HadijaKachira 7 ай бұрын
Mwaposa
@japhetisraelsmafie997
@japhetisraelsmafie997 3 жыл бұрын
Mi sisemi
@paschalcharles2326
@paschalcharles2326 3 жыл бұрын
paschal charles
@muddymchina4319
@muddymchina4319 3 жыл бұрын
Hgk
@muddymchina4319
@muddymchina4319 3 жыл бұрын
T
@rashidinyenje8335
@rashidinyenje8335 3 жыл бұрын
Pv
@Basagamp4
@Basagamp4 6 ай бұрын
Huyu mzee ulikuwa ukisema "NIMEKOSEA NAOMBA UNISAMEHE" unakuwa umemmaliza
@skeeterkimari2874
@skeeterkimari2874 3 жыл бұрын
I wish we had such a president in kenya sisi tukona fisi tu RIP Magufuli
@happymariki824
@happymariki824 3 жыл бұрын
Iko siku Mungu atawapa ila mumuombee sana Africa hatuna bahati emagine tumeshindwa kumtunza mtu huyu. Africa tunashiriki sana kupunguza muda wa kuishi wa watumishi wetu. Hatuwaombei ila kuwapa stress. Hatukujua tulichonacho.
@kalawakatembo8317
@kalawakatembo8317 3 жыл бұрын
Bonjour
@nzengopaulo24
@nzengopaulo24 3 жыл бұрын
Na kweri raisi tibuwa huyo maerezo yake hayatoxhi bona.
@emanueltesha8873
@emanueltesha8873 3 жыл бұрын
Nakupenda sana baba, umetuacha ktk kipind kigumu sana inch inakutegemea kwa kujenga inch na umepambania wanainchi wako tujike malengo
@gabrielcharles5517
@gabrielcharles5517 21 күн бұрын
Chazzy
@mosesnmousa5558
@mosesnmousa5558 3 жыл бұрын
Humiliation
@josephombewa9828
@josephombewa9828 4 жыл бұрын
Magufuli ni dictator wa hali ya juu
@Jamie-zp7bb
@Jamie-zp7bb 3 жыл бұрын
HAPANA LAZIMA WALIPA KODI WAONE FEDHA YAO JINSI INAVYOTUMIKA.
@dinahawouragai2701
@dinahawouragai2701 3 жыл бұрын
Kwa wazembe wataona hivo
@lydiangaita1109
@lydiangaita1109 3 жыл бұрын
Nenda shujaa wetu mungu akupokee kwake Amina
@uledimtumwa2406
@uledimtumwa2406 3 жыл бұрын
Dictator come from word dictation,So not badly.
@communitycharitableorganiz4618
@communitycharitableorganiz4618 3 жыл бұрын
U talk ain't shit bitch !!
Стойкость Фёдора поразила всех!
00:58
МИНУС БАЛЛ
Рет қаралды 4,5 МЛН
LIVE: MAGUFULI AMKATAZA MKURUGENZI KUONGEA KIINGEREZA "NITAKIFUNGA"
23:26
MKURUGENZI ALIVYOZIMIA BAADA YA KUSEMWA NA WAZIRI JAFO...
6:56
Global TV Online
Рет қаралды 654 М.
Matukio MATANO YALIYOTIKISA Mkutano wa JPM na WAFANYABIASHARA
27:07
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
MANENO YA AGREY MWANRI 'YAMKAUSHA MBAVU' MAGUFULI "MAMBO NI BUM BUM"
4:56
Mtanzania Digital
Рет қаралды 1,8 МЛН
RAIS MAGUFULI AMTUMBUA KAIMU RPC RUKWA/ "ANAKIBURI....."
8:13
MAGUFULI AMPIGIA MKURUGENZI TAKUKURU LAIVU, AMFUKUZA KAMISHNA WA MKOA!
13:52
Не знал, что у него есть дочь 😶
0:57
Иви
Рет қаралды 3,3 МЛН
【Japanese most viral moonwalk performer】Robomon ロボモン
0:16
ГОВОРИЛИ ПРАВДУ😅 #юмор #мемы #анекдоты #shorts
0:38
Как смеяться?
Рет қаралды 3,4 МЛН
规则,在门里生存,出来~死亡
0:33
落魄的王子
Рет қаралды 25 МЛН