No video

Women Matters (2): Mtu aliyekufa anaweza kukutokea kiukweli ndotoni? Dr Elly atoa ufafanuzi

  Рет қаралды 33,218

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Lillian Mwasha na Dr Elly wameamua kuzungumzia mada nzito kiasi - Kifo. Kuna mengi ya kujifunza japo yanaweza kukuacha kichwa kikiuma kutokana na uzito wake

Пікірлер: 85
@luluvictor5769
@luluvictor5769 5 жыл бұрын
If you like this show gonga like
@fikiriseleman3460
@fikiriseleman3460 Жыл бұрын
Huyu dada anazinguwa , atulie tusikilize, sio rahis kumwelewa Dr.
@T1tanGamingCsgoMore
@T1tanGamingCsgoMore 5 жыл бұрын
Dr. Ellie is a genius person i have never seen before. God bless yoy
@estermgaya5816
@estermgaya5816 5 жыл бұрын
Yani doctor unajibu yarohoni pia yamwili Mungu akubaliki sana🙏🙏
@dominickalume2891
@dominickalume2891 5 жыл бұрын
Very sensitive... Lilian wee wee Binadamu Tunayapenda Maisha Bwana Tunaposkia kifo Sote Ni Balaa Hatuchukulii poa kabisa Kiukweli All in all Sote Inatuhusu#WomenMatters#SnS•√
@joventmushwaimi3681
@joventmushwaimi3681 5 жыл бұрын
Nadhani Dk Leo umezidi kunipa madini na nikushukuru Sana kwa maana nimebadilika sana kifikra mpk sasa na we ndo ulikuwa chanzo na mpk sasa najitahidi kusoma vitabu kdhaa vya wakali kama ww ,Asante sana ,na Dada Lilian hebu Fanya kama wiki tatu mfululizo hapo watu waelewe maana hizi imani zimewaumiza sana watu
@kelvintz7684
@kelvintz7684 5 жыл бұрын
Huyu jamaa kabra hajafa nitamfaidi sana kwa concept zake
@shabanrichard9269
@shabanrichard9269 5 жыл бұрын
Ndoto za hatima yako ni zile taarifa ulizokusanya tokea unazaliwa..lily nakuomba umlete tena doctor aongelee somo la changamoto kwa upana wake aweze kuwasaidia waliokwisha kata tamaa na maisha.
@sifajacky7779
@sifajacky7779 2 жыл бұрын
Subhanah Allah! you are right Dr Elly. mutu alie poteza ufahamu anasikia. I experienced that feeling I have testimony for that. by the way it long story.
@madetetv6576
@madetetv6576 2 жыл бұрын
Tell us in shortly
@neemaalphonce1333
@neemaalphonce1333 5 жыл бұрын
Kuelewa inabidi utulie uconcentrate haswaa 🙌🙌.
@felisterjohn493
@felisterjohn493 5 жыл бұрын
Shida ya huyo Dada muuliza maswali anakera Sana huwa anakuwa na papara Sana awe anaacha doctor anaeleza then anauliza lkn anarukia rukia tu kipindi ni kizuri but huyo Dada huwa anaharaka zimazoboa
@fauziyaomar7090
@fauziyaomar7090 Жыл бұрын
Ukiona ivo anakua haelewi
@khadijak3065
@khadijak3065 5 жыл бұрын
Subhaallah safii dct maelezo elimu nzuri nimeipenda
@longstonebizzempire675
@longstonebizzempire675 5 жыл бұрын
Huyu dokta anavutu vikubwa sana tunavyohitaji kuvifaham
@hajatihajati5357
@hajatihajati5357 2 жыл бұрын
Merci beaucoup Doctor de vos bonnes experiences et avec une tré haute explication
@davidone4705
@davidone4705 5 жыл бұрын
Napenda,,sana anavyo ongea dr,,,anafanya kitu kikubwa sana
@berthaleonardbihondo1141
@berthaleonardbihondo1141 5 жыл бұрын
Anaongea vizuri mnooooo. He knows what he says
@khadijak3065
@khadijak3065 5 жыл бұрын
Safii sana LiLyan kwa maswali mazuri nimekipenda kipindi
@sidikgold1912
@sidikgold1912 5 жыл бұрын
Les francais (wafaransa ) tujuane hapa #TeamDrElly
@erickmakundi9760
@erickmakundi9760 5 жыл бұрын
Jamani wawekeeni hawa wageni wazungumzaji maji ya kunywa.
@chidiomari.65
@chidiomari.65 5 жыл бұрын
Maisha marefu Kwa Doctor uyo ni genius
@khadijak3065
@khadijak3065 5 жыл бұрын
Hakika wanao kupinga wanakuletea changamoto daa nzuri sana
@blessdmum.7380
@blessdmum.7380 5 жыл бұрын
From +254 I'm educated though it's a hard topic we need on being educated ndio tuweze kuelewa what is death.
@godwinmsigwa7037
@godwinmsigwa7037 Жыл бұрын
Mtu hafi kinachokufa ni mwili asantee! Dr ellie
@MELODTZMEDIATV
@MELODTZMEDIATV 5 жыл бұрын
Fact
@rashidisabina5356
@rashidisabina5356 2 жыл бұрын
Dr. Vous maîtriser les langues internationales vraiment. Vos analyses sont très deep
@halimatanzani8587
@halimatanzani8587 5 жыл бұрын
Sawa safi sana
@HappyGoddy-vp6un
@HappyGoddy-vp6un Жыл бұрын
Nazidi barikiwa na vipindi vyenu, naomba umlete tena dr aongelee kua je ni sahii ukiona mambo hayaendi uombewe ili ya kwende au kusomewa dua
@mjroyaltz8322
@mjroyaltz8322 3 жыл бұрын
Asanteee xan dokta Elie 🙏🙏🙏
@josephkadeghe4720
@josephkadeghe4720 2 жыл бұрын
Tatizo Dr anaeleza kana kwamba hakuna wachawi wala shetani
@lucyjohn3334
@lucyjohn3334 2 жыл бұрын
That's is Philosophy Brother.
@anamichal2345
@anamichal2345 5 жыл бұрын
Huyu babajamani mi naomba niolewe nae nampenda mpka sielewi jamani yani no.reason anaakili mpka anatisha
@zara1892
@zara1892 5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@joventmushwaimi3681
@joventmushwaimi3681 5 жыл бұрын
Kashaoa bana tulia teh teh teh teh teh teh
@asfdodoma7373
@asfdodoma7373 4 жыл бұрын
Mko wengi sana mnaotaka kuolewa nae ila keshaowa tayari
@jamesobedy3940
@jamesobedy3940 2 жыл бұрын
🤔🤔🤔🤔
@selfaakinyi512
@selfaakinyi512 5 жыл бұрын
Nikweli Dr juu nakumbuka mamangu alikuwa akiongea na nyanya yangu ila nyanya alikuwa kitambo. Nyanya alikuwa akimwambia mamaa mbona amepotea kumbe nyanya alikuwa nampa mama ujumbe aende kijiji akajenge. Tangu mamaa ajenge nyanya haja wai Kumjia tena . sasa nimekuelewa vyema Dr . ubarikiwe
@selfaakinyi512
@selfaakinyi512 5 жыл бұрын
Kenyan watching from qatar
@evaregislachinguile7839
@evaregislachinguile7839 4 жыл бұрын
Ongeeni kiswahili ili watu wote tufahamu vizuri
@sharonndowo6922
@sharonndowo6922 5 жыл бұрын
Uwiii jamani huyu Doctor
@Lukona639
@Lukona639 4 жыл бұрын
Mbona mwendelezo wa hii siupti Sis Lilly
@fauziyaomar7090
@fauziyaomar7090 Жыл бұрын
Dr hebu mungu usimfananishe na kitu zungumza kifotu
@sabrinaali9750
@sabrinaali9750 5 жыл бұрын
Nakupenda lily
@kaiemujaya7697
@kaiemujaya7697 4 жыл бұрын
Eee..! Hii ni akili kubwa MNO, natafakari.
@lilianjeremia1024
@lilianjeremia1024 5 жыл бұрын
Achana watu wenye phd zao dr🙌🙌🙌yaan du mpk nimeogop kifo da
@paulsimba2786
@paulsimba2786 Жыл бұрын
daaah hakika nimepata ahuweni ktk hili simo kwani nilikuwa naumia sana mke wangu kuacha mwili na mimi na watoto wake na nduguzake niliumia sana
@fortnataangelo4805
@fortnataangelo4805 4 жыл бұрын
Wapendwa ninashida sana, natamani kupata msaada , natamani kama, kuna mtu anajua ofis zake ziko wapi, huyo dr Elie waminian,
@asfdodoma7373
@asfdodoma7373 4 жыл бұрын
Mcheki Lilian mwasha atakuunganisha nae yupo hapahapa daresalam ana ofs zake
@mussaathumani7595
@mussaathumani7595 Жыл бұрын
Hii neti ya kuishi ni hapa hapa au kwengine
@agnesspetro6695
@agnesspetro6695 2 жыл бұрын
Asee I love it
@leahavyarimana3731
@leahavyarimana3731 4 жыл бұрын
Deja vue :exactement docteur
@jeremiahmwasapilicharlie2926
@jeremiahmwasapilicharlie2926 5 жыл бұрын
asanteni
@felisterjohn493
@felisterjohn493 5 жыл бұрын
Kuwa mama aunt sadaka baby sky na wengine wanaokuwepo
@bahatimlowe1166
@bahatimlowe1166 5 жыл бұрын
Docter, thanks to every thing, nilkuwa juma sana kuhusu mtu kufa.
@hamisiramadhani8661
@hamisiramadhani8661 2 жыл бұрын
Dar, mungu nimshindi
@neynaomagwari9441
@neynaomagwari9441 2 жыл бұрын
Abarikiwe Dkt
@nibiziblandina4410
@nibiziblandina4410 5 жыл бұрын
Hivi Hugo docta ni mkongo ?
@rashidsmalik2460
@rashidsmalik2460 Жыл бұрын
Ilitakiwa apatikane alie na ufahamu zaidi ya huyu mdada hajui kila kitu huyu
@mussaathumani7595
@mussaathumani7595 Жыл бұрын
Kablla hujazaliwa ulikuwa wapi?
@kilalakaila9762
@kilalakaila9762 2 жыл бұрын
Fact🙏
@mussaathumani7595
@mussaathumani7595 Жыл бұрын
Kuzaliwa mipango ya Nani?
@neynaomagwari9441
@neynaomagwari9441 2 жыл бұрын
mimi nauliza mtu alie kufa unawezamuombea toba kwa mungu
@mussaathumani7595
@mussaathumani7595 Жыл бұрын
Binadamu akifa roho yake hateseki tena?
@a.856
@a.856 5 жыл бұрын
Kila nafsi itaonja mauti
@fatumahengo6849
@fatumahengo6849 5 жыл бұрын
Huyu docta kiboko sasa naanza kuvuta taswira
@raheemamkambha6013
@raheemamkambha6013 5 жыл бұрын
Mpo juu🔥🔥
@rebeccaleonard4265
@rebeccaleonard4265 4 жыл бұрын
🖐
@kelvintz7684
@kelvintz7684 5 жыл бұрын
Kukata roho haikuhusu
@khadijak3065
@khadijak3065 5 жыл бұрын
Jee dct mfano mtu kafariki halafu ukamota anakupa pesa jee nitakuwa maskini au tajiri naomba unifafanulie
@yehoshafatimayala4563
@yehoshafatimayala4563 3 жыл бұрын
Tafuta hela
@agnesspetro6695
@agnesspetro6695 2 жыл бұрын
@@yehoshafatimayala4563 Hahaha acha ukorofi
@rehemamajaliwa
@rehemamajaliwa 2 жыл бұрын
@@yehoshafatimayala4563 kabisa🤣🤣
@rehemamajaliwa
@rehemamajaliwa 2 жыл бұрын
Fanya kazi acha uvivu🤣
@julienneinamuco2505
@julienneinamuco2505 4 жыл бұрын
j aimerais avoir le numero de ce monsieur dr Elie
@dionisiabarnabas96
@dionisiabarnabas96 5 жыл бұрын
Madam jitaidi kubadilika unaboa
@zuhuramike1399
@zuhuramike1399 4 жыл бұрын
.
@hawahawa8166
@hawahawa8166 5 жыл бұрын
Mafunzo mazur san
@immanuelmwaipopo1605
@immanuelmwaipopo1605 3 жыл бұрын
Duh huyu doctor anaongea kiswahili kabisa lkn nashindwa kumuelewa anaongea kiswahili kigumu balaa
@madetetv6576
@madetetv6576 2 жыл бұрын
Umezoea kinyakyusa tatizo
@rehemamajaliwa
@rehemamajaliwa 2 жыл бұрын
@@madetetv6576 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mauvaisecompagnie951
@mauvaisecompagnie951 5 жыл бұрын
Wewe msichana mtangazaji ..ur useless with ur haaaaa...haaaaaaa....haaaaaaaa
@rehemamajaliwa
@rehemamajaliwa 2 жыл бұрын
😂😂😂
@HappyGoddy-vp6un
@HappyGoddy-vp6un Жыл бұрын
Nazidi barikiwa na vipindi vyenu, naomba umlete tena dr aongelee kua je ni sahii ukiona mambo hayaendi uombewe ili ya kwende au kusomewa dua
Mwanga Wa Akili (Intelligence) Dr.Elie V.D Waminian.
36:44
Chomoza Tv
Рет қаралды 20 М.
What does Satoru Gojo have? #cosplay#joker#Harley Quinn
00:10
佐助与鸣人
Рет қаралды 4,5 МЛН
Glow Stick Secret Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 18 МЛН
Women Matters: Ni kweli Mwanaume hawezi kuwa na Mwanamke Mmoja?
28:07
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 89 М.
"Mawazo" Sehemu Ya 66 Thoughts Dr Elie VD Waminia
31:29
Chomoza Tv
Рет қаралды 5 М.
WOMEN MATTERS - NAHISI MUME WANGU ANA MAHUSIANO NA RAFIKI YAKE
23:34
Lillian Mwasha Tv
Рет қаралды 2 М.
DKT ELIE ALIVYOWANOGESHA WANANDOA USIKU WA VALENTINE JIJINI MBEYA
8:01
MbeyaYetuOnlineTV
Рет қаралды 35 М.
Mwanga Wa Akili (Intelligence) Dr.Elie V.D Waminian.
43:40
Chomoza Tv
Рет қаралды 28 М.