Mwanamke anapokuwa na kipato kikubwa cha fedha kumzidi mpenzi wake, inaweza kuwa chanzo cha kuvunjika kwa uhusiano, Kwanini? Dr Mwaka, Lillian Mwasha na Aunt Sadaka
Пікірлер: 126
@luluvictor57695 жыл бұрын
Kama unapata elimu ninayoipata mimi gonga like. Hichi kipindi nicha pekee😘😘
@lissamsalu21794 жыл бұрын
Nimefurahi sana nanimejifunza
@rajabumaige72774 жыл бұрын
Nice
@petronillajosephat26555 жыл бұрын
jaman ndoa n ngumu bila kupata watu kama kina mwaka .utaona kila mwanaume anamatatizo.yaan unahtaj kutumia akili nyingi.
@PRAYAGAIN5 жыл бұрын
Today is today My notebook is full.... Doctor mwakaaaaa🙌
@atomphoton50005 жыл бұрын
Dr. Mwaka kaongea point za kutosha, alafu kweli mwanamke ajaumbiwa kufanya kazi abaki nyumbani ale watoto.
@khadeejaabdullah70835 жыл бұрын
Mmmh Dr mwaka hapo kwenye kipato imeningusa haswaa
@mariamyoyote81724 жыл бұрын
Yaan kikubwa Kwa mjadala huu ni kujenga urafiki na mumeo au mchumba wako Yan kuwa marafiki wakweli mloshibana mtafanya mazur meng na maisha mazur tu yafuraha mtaishiii nimewaerewa Sana nawapenda ❤️💕💕❤️
@azizakwileka16864 жыл бұрын
Dokta Mwaka anazungumza ukweli kabisaaa.... Lazima tukubali kutokukubaliana ili mambo yaende👏👏
@eileengift78364 жыл бұрын
Dr Mwaka unaongea a pure truth! Be blessed
@nestorymashaka31944 жыл бұрын
kabisaa
@carolinemariki40293 жыл бұрын
Dr Mwaka una vigongo sana... wanawake tunaweza tuache kazi
@hadijapazia6845 жыл бұрын
Aunt Sadaka anamuangalia Dr mpaka haamin kwa madini anayo tema..
@zuberikamote20784 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂kabisa anatamanii amwambie nope😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
@fatumasingano39285 жыл бұрын
Dr mwaka umeongea point Sanaa nimejifunza mengi sana
huyo mwanamme amekusaidia kugawana riski na mke mwenzio, amekusaidia kuhifadhi hela kama hulijui hili ulizia harama ya hawara na mke utalijua hili
@amalali25544 жыл бұрын
Haa wanafurahisha wewe pesa zako ukipata humshauri mwanamke unaenda kuongeza mke mwengine but sisi wanawake tukiwa na kipato kikubwa hauko safe ati ni nature ni uhasidi
@nestorymashaka31944 жыл бұрын
hapana ww umeathiliwa wamakundi namaneno yawanawake ambao hawaanaakili
@dominicnzai82565 жыл бұрын
Hapo Ni hekma na maarifa tuu ili maisha mengine Yaendelee Bwana Ila wanwume hatutaki kuonyeshwa unyonge hatakama hatuna#Womenmatters#SnS•√
@lindalyly26924 жыл бұрын
Allah awabariki mara muna ninjenga saana na nina wapenda saana . From 🇨🇦 🇨🇦
@cakesuke12354 жыл бұрын
Dr mwaka shikamoo anti sadaka shikamoo Lilian shikamoo
@rittaaziz4470 Жыл бұрын
YAANI DR MWAKA .. VEEERY ON POINT HATARIII!!!
@guy-noelntunga47063 жыл бұрын
This guy has knowledge !!!!
@yasiniamri54582 жыл бұрын
Doctor Waka MUHA MWENZANGU 🔥🔥🔥
@zainathcuwimigishazchelsea21134 жыл бұрын
MashaAllah Dr mwaka......... Yote umeongea yamebebwa nauelewa. Hongera saana
@yasiniamri54582 жыл бұрын
Kumbe docta mwaka Ni muha mwenzangu ndio maana unaakili mingi
@ismailyusuph7404 жыл бұрын
Na wanawake wengi hupenda kutumia neno ‘CHANGU’ ni wachache sana wanaotumia Neno ‘CHETU’....Na Kwa mwanaume hata usipompa hizo hela zako Lkn kitendo cha kuweka neno ‘CHETU’ automatically huwa ni faraja...!...Na ni kweli wanaume tulio wengi hatupendi hili neno ‘ CHANGU’ Kwa sababu tupo pamoja kwenye ndoa na kila tunachokifanya Kwa ajili yetu na Cha mwanaume hukiita ‘CHETU’ Na huvuka zaidi mipaka hata Watoto mliozaa anasema watoto ‘WANGU’ ni nadra sana kutumia neno ‘WETU’...Kiukweli hii tabia ni mbaya sana ‘ Na hii inawajenga kwenye ubinafsishaji kiasi mwanamke yupo kwenye ndoa Lkn ana maisha yake anayafanya kimyakimya...’...Na Ndio Maana mwanaume akija kujua kwamba maisha nayafanya Kwa faida ya FAMILIA Lkn mke anafanya maisha Kwa Ajili ya nani mpk anafichaficha...?..!..Hapo ndipo ndoa huanza MIKINGAMO..!
@fashiontrendstv32075 жыл бұрын
Hamna mwanaume anaefurahia mkewe kupata more money maana hatakuwa inferior na wewe mwanamke unaeogopa kutafuta hela ili kumuonea huruma unaujinga
@adelmarcymallya7725 жыл бұрын
Mwaka Una nondo Lilian naomba awe kwenye kipindi most times
@rahillhamidu25445 жыл бұрын
Same me, nataka asikose kila kipindi
@aminamwanyenza98695 жыл бұрын
Kweli dada mwasha huyu Dr mwaka anafaa sana kuwa kwenye kipindi chako kwani amatufunza mengi sana ambayo yanatufungua akili zetu. Yaani usimuache
@marymtagwa30655 жыл бұрын
Amina Mwanyenza k
@marymtagwa30655 жыл бұрын
Amina Mwanyenza n
@marymtagwa30655 жыл бұрын
K
@marymtagwa30655 жыл бұрын
Amina Mwanyenza jjk
@myunaniniahmad64634 жыл бұрын
Siyo wanaume wasikuhizi.
@nguombagalalang3jfashioncl1504 жыл бұрын
Yan nondo kama zote!! daaaa!!! yan sija owa lla nime jifunza mengi sana lazima nita jenga ndowa bola God hope me i trast yuo!!!
@aminajuma14354 жыл бұрын
Ahsante kaka… yaani nahisi km nimechelewa kupata somohili
@romanstephen41015 жыл бұрын
Dr.Mwaka kumbe Muha mwenzangu ndomana unaakili sana. Jamani with no offense
@mj.tv.forpeople9925 жыл бұрын
Nimekwelewa sana dk yani nimekujua mda sana ila Leo ndiyo umenisaidia
@priscillaamossen82495 жыл бұрын
Huyu daktari , hawa madaktari hawa magufuri awape wizara nchi itaendelea
@lovenessdiva71325 жыл бұрын
Asante Dr.
@tedyokachu50134 жыл бұрын
Dr Mwaka umeniliza Mungu,kumbe wanangu ni machotara??🙇🏽♂️
@fashiontrendstv32075 жыл бұрын
Kama a woman is powerful why men don't have respect
@RamazaniMulongeca4 жыл бұрын
Maria James How so? I mean, wanakuaj disrespectful?
@enesiasam9645 жыл бұрын
Asante mko vizuri!
@zenasseifu82234 жыл бұрын
Daaa nimekuwaelewa Sana. I wish wazazi wote tungeliona Hilo.
@seifmohamedseif94674 жыл бұрын
Hi ndio ile mke wangu sipendi unasema gari yako tv yako nyumba yako kwanini usemi vyetu 🤣🤣🤣 mara una sikia sawa na hz sidiria zetu 🤣🤣🤣🤣
@tanzaniaoman64235 жыл бұрын
Nawapenda sana❤
@matildamushi17414 жыл бұрын
Ukweli mtupu dokta Asante mwanamke mwenye kuskia na asikie.
@mulandakasongo29034 жыл бұрын
Kweli Ninacho kisema Mwanamke mwenye Hekima hujenga Nyumba yake Mwenyewe Methali 14:1-18
@jeremiahmwasapilicharlie29265 жыл бұрын
thank you
@priscillaamossen82495 жыл бұрын
Hatujashindwa doctor,,, wanaume wamelala
@beatricebenson90994 жыл бұрын
Mungu awabariki sana
@saudambinga38324 жыл бұрын
SoMo zuri Sana ,shikamoo Dr Mwaka😄
@priscillaamossen82495 жыл бұрын
Mimi nacheka sana hapa, huku Scandinavia hakuna kazi ya kike wala ya kiume, kazi zote wanaume na wanawake tunazifanya ...
@hajihassan54334 жыл бұрын
Ina maana hata wanaume wanabeba ujauzito. Acha kutuongopea wewe.
@cleverluwole66924 жыл бұрын
Acha uongo wew ushawah ona wanwake wanenda kupigana vitani.?
@dinahodhiambo41793 жыл бұрын
Ni ukweli priscilla anasema,huku ni ujipambe na hali yako,bills mnagawa katikati,wachache wanaelewa.
@fatumamwinyi5164 жыл бұрын
Aende tuuuuuuuu ,Mungu ampe salama ya kwenda na kurudi
@ashurafrank20795 жыл бұрын
Doctor yuko vizuri
@solangekubota94874 жыл бұрын
Uyu kaka ana akili sijapata kuona, uyu anaweza ku gerer ata wanamke 10 🙌🙌👌👌
@denniskimaro45954 жыл бұрын
Mwaka umeongea master waambie waelewe
@mamichoumalkia42284 жыл бұрын
Dr mwaka mungu akubariki sana MashaAllah u speak so well
@mwanarusimusa36209 ай бұрын
Sisi wanawake huwa tunafanya makosa kwa kufanya mambo mengi ndani ya nyumbani kwa sababu tuna pesa.tuwaachie wanaume majukumu yao.
@azizasaleh66244 жыл бұрын
Kipindi kizuli Sana nanimejufunza nashukulu Sana mungu awaongoze ila iyo yakumuachia mume mmmh misiseme yalonikuta
@cleverluwole66924 жыл бұрын
Safi sana👏
@thomasboniphace72544 жыл бұрын
Somo zuri sana.
@kapendalubowa5344 жыл бұрын
Unasema Ukweli kabisa Dr.Mwaka,wizara ya afya Ummy Yuko vizuri Kigwangala aliingia hasira zake zilianza na wewe.Kudeal na jamii umenena.
@christinen82915 жыл бұрын
Tunawapenda sana kutoka DK
@haarithashaban45684 жыл бұрын
Asante nimepata kitu
@joharijj21644 жыл бұрын
Doc yaani ilmu tosha unatupa,,, huko🔥
@gonsalvamswaga64714 жыл бұрын
Duuu kweli huyu Dr ni genius
@zuriatybakaryzuriatybakary98064 жыл бұрын
Mm nitaweza vyote ila sio kweli kwenye mshahara wangu 😀😀😀😀 yani ataona tu naingiza tiivi mpya
@carolinemariki40293 жыл бұрын
hahaaaaaaa
@sanianan65864 жыл бұрын
Namu kweli Aunty sadaka
@norbertnombo69185 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@denniskimaro45954 жыл бұрын
Sisi ndio macontroller
@muhamedwardah51444 жыл бұрын
Nime jifunza🙏🙏🙏😍😍😍😘😘😘
@leylahley35425 жыл бұрын
💥💥💥
@joharijj21644 жыл бұрын
Wallahi liliwai nikuta ilo, jamani ni kweli, ilibidi niache tu, yaani Ata ufanye vipi aoni asema unadharau eti una pesa, yalinishinda
@selemaniseif88204 жыл бұрын
Dr.Wafunde haooooooo
@fatumamwinyi5164 жыл бұрын
Dr big up
@musicheals15453 жыл бұрын
Mwaka
@khdijaahmed84583 жыл бұрын
Sasa inshallah mie bado kidog anaolewa ila nitakwa mama wa yumbani tu 🤷♂️
@amidabukuru4 жыл бұрын
Taratibu DR shikamo
@zainabukassim99245 жыл бұрын
Yaani mama wekuwa mbuudhiii...had keerooo..truly saad😫😫😫
@fashiontrendstv32075 жыл бұрын
Law ya nature sio reality na mwanamke azae alee afanye housework awe mke aende kazini alipe bili na amtie moyo Mme ajifeel kama mwanamme bila kusahau unachitiwa because yupo inferior unamore money duhh
@sharonndowo69224 жыл бұрын
Imagine
@lazaroletion24204 жыл бұрын
Wanawake baadhi kwa sasa wanamuelewa Dr wakati anazungumza ila baada ya siku tatu vyote vinapotea ☹☹
@rahillhamidu25445 жыл бұрын
Doctor mwaka Leo nakupa salute congratulations #women's matters
@nguombagalalang3jfashioncl1504 жыл бұрын
Katika duniya hiyi hakuna mwanadamu mujinga kama mwanaume kwa mwana mke, wakina MAMA, muwe kama EVA lazima ndowa ita kuwa vzl
@zuberikamote20784 жыл бұрын
Mmmmh mungu aniepushe na mabalaa km hya ☹️☹️😢😢
@lyimorobert17614 жыл бұрын
Inakuwaje mmejenga wote kila mmoja anasema ya kwake badala yetu?
@nestorymashaka31944 жыл бұрын
mate umeongea ukweli kabisa yanii umeongea kitu chenyewe kabisaa
@lilianjeremia10245 жыл бұрын
Apo kwenye haki sawa ndo tatizo wanawake apo tutaisom no 😂😂
@etwekitilya58554 жыл бұрын
Nawapenda jaman nilichelewa wapi kukifaham hiki kipindi chenu jaman . Mbarikiwe
@happymeshackmas69234 жыл бұрын
Kumbe umechelewa Kama Mimi jmn wanafundsha vzr Sana Dr mwaka big up
@nestorymashaka31944 жыл бұрын
kunamengine kinyume
@evelynkuabi57584 жыл бұрын
Kuzingua ndio nini
@fatumamwinyi5164 жыл бұрын
Wanaume bongo!ume pesaaaaaaaaaaaaaa
@kanyangeclaudette81464 жыл бұрын
😂😂😂mwaka Ase ziwe zake Acha rh mbaya nikupe alafu ukazihonge wanawake wengine?!
@sweetmama68855 жыл бұрын
Mshahara wetu. Uuuuuwi jamani. Mungu utusaidie. 😁
@janethkilonzi42604 жыл бұрын
Mm naweza kwel haya mmh hapana
@mwanatz59805 жыл бұрын
😂😂😅 Mshahara wetu tunashindwa kweli wa hilo.
@malaikawaupendo59454 жыл бұрын
Yani napata elimu kubwa sana
@mariamuharuna52714 жыл бұрын
Dah anty yani ayo maneno umenigusa
@restypeter11414 жыл бұрын
Hahhahahahahha mshahara wetu umetoka jmn
@carolinemariki40293 жыл бұрын
hahahahahahahahahahaha
@joviangeofrey72125 жыл бұрын
sio lazima mwanaume alipie. binafsi napenda mwanamke ndo alipe. but still inabid niwe na mamlaka juu ya mwanamke. asiwe na maamuz yake mwenyewe tu kisa et ananizid kipato. kweli lazima nijisikie vibaya ka mwanamke anaonekana kujifanyia kila kitu
@atomphoton50005 жыл бұрын
wewe utakuwa ki.ben 10 kwanini uamue kuwa na mwanamke wakati uchumi wako bado hauko vizuri?
@joviangeofrey72125 жыл бұрын
Atom Photon elewa kitu kimoja. nimesema kulipia kitu haimanish wewe huna pesa. no, just kumpa mwanamke nguvu hata ka pesa ni yangu mwanaume. pila kama unahisi ni aibu basi hukupata elimu ya ndoa. ktk ndoa kuna kumfanya mwenzio aonekane akifanya jambo frani ambalo hata ww ukilifanya unajisikia poa. thats love
@atomphoton50005 жыл бұрын
@@joviangeofrey7212 sio aibu majukumu ya mke ni kiwanda cha kuzalisha na kulea watoto. Ukiingia kwenye ndoa una mlengo eti siku moja umugeuze mkeo abebe majukumu ya kiuchumi umeshafeli tayari.
@joviangeofrey72125 жыл бұрын
Atom Photon true. ila kumpa pesa alipie eidha chakula mlichokula anajisikia poa sana
@abdulmilingita21144 жыл бұрын
Yaani hakika haya ni mafunzo bora zaidi
@kapendalubowa5344 жыл бұрын
Machotara 😭😭😭😭😭
@kiazikitamu39855 жыл бұрын
Lazima tukubaliane wakati umebadilika zamani wanawake walikuwa hawana haki kijamii no shule no kazi akae nyumbani tu kutunza familia, maisha yamebadilika watoto wa kike wanasoma na kuwa na kazi na pia wanafanya biashara na kupata kipato ninakubadiliana kabisa mwanamke afanye kazi kupata kipato, maisha yana leo na kesho mume akifa mama awe stable kutunza watoto na yeye mwenyewe, kabla hamjaoana kubalianeni kama mama akizaa akae nyumbani kulea mpaka amalize kuzaa kama ni watoto watatu au wanne awalee ndio arudi kazini lakink ni hasara kwa mama elimu yake itakuwa bure umri unaenda kupata kazi tena sio rahisi elimu yote aliyosom ni bure. Kwa maisha ya Tanzania ni ngumu huku ulaya kuna part time job naweza nikawa na watoto na bado nikatafuta kazi ya masaa manne kwa siku kila siku au nikafanya night shift wakati baba yupo nyumbani usiku maisha yanaendelea kila mtu anafanya kazi. Mahitaji ni mengi sana ya familia haya mambo ya kuangalia mtu mmoja eti kwa vile ni provider yanalemaza wanawake wanawake wana uwezo mkubwa tu wa kutafuta pesa kama binadamu wengine mwanamme anayekupa pesa kila siku anaua uwezo wako wa kufikiri na kuona mbali na kuwa mtu fulani katika jamii wewe kama wewe maana unakaa mkao wa kuletewa kila siku na akili yako haitafuti mbinu za kujiongeza maana unajua vipo tu kuwa mwanamke sio ulemavu wanawake changamkeni kutafuta kazi na pesa raha sana mama kununukia nguo watoto wako kwa pesa uliyotolea jasho mwenyewe lakini hakikisheni watoto wenu wako kwenye mikono salama msiwasahau watoto maana wao ni namba moja.
@kakulematumomoise11483 жыл бұрын
Nakufata sana docta Moss from Congo rdc beni
@lilianjeremia10245 жыл бұрын
Apo kwenye mshahar ndo kimbembe😁😁
@halimatanzania6455 жыл бұрын
Hahahaa
@alamnyopo97394 жыл бұрын
Mtihani kweli kweli na ukute mume bingwa wa kuchepuka....
@lilianjeremia10244 жыл бұрын
@@alamnyopo9739 apo sasa
@janethkilonzi42604 жыл бұрын
Hapo mtihan upo,tena kwangu ndio kabisa!!ata mshahara wake sijui ni sh ngap,..Ila wangu anajua