YAKUTUMBA | MAJI MAJI WAKATAA KUJIUNGA NA SEREKALI MSEMAJI WAO AMEWEKA MAMBO YOTE WAZI

  Рет қаралды 19,443

Tanganyika TV

Tanganyika TV

Күн бұрын

Пікірлер: 38
@fiziparadise7808
@fiziparadise7808 Жыл бұрын
Umehongea vizuri sana mweshimiwa, mwakole manga👏🏾Tuko pamoja nawa heroes wetu…la patrie ou la mort nous vaincrons un jour✊🏾Respect and love from UK.
@jawabyamungukwibe9743
@jawabyamungukwibe9743 Жыл бұрын
Yeye mwenyewe yakutubu kangame joohanamulipaka hawezi kupingana M23 juuniwamoja pamoja na Retabara woote wamojaa hasitundaganye kamakuna sababauyoyo
@mbayomaikoakzahi9400
@mbayomaikoakzahi9400 Жыл бұрын
Kabila langu mimi sijuwi tulipataga elimu yawapi uwasielewi kabisaa hivi unatetea udongo paka lini na mkijiunga na serikali mtakufa nini na nyie mtahenda kufanya nini paka mjifanye kutokujiunga yani kabila langu ndohuwa siwaelewi kabisa hivi nyie huyo kanambe ndo amuwezi kunyatia nyinyi kwanza mkamuhuwa ili muone mnchi itahenda wapi yani ni Mungutu kweli helimu ningumu sana kuelewa
@Assanibirindwa
@Assanibirindwa 9 ай бұрын
Unasema muzuri Sana nakuhunga mukono
@fitinabwashi8487
@fitinabwashi8487 Жыл бұрын
Umeongeya vizuri saaana,mumutowe Tchisekedi Jo ya maaana Mume kawiya Mungu awabariki Kwakila munao panga asant
@massejobbs4284
@massejobbs4284 Жыл бұрын
Umeongea vizuri sana . Ao watoto watakufa bure. Niwajinga sana. Tshisekedi ni nyangalakata
@jolemerci2155
@jolemerci2155 Жыл бұрын
Courage baba kwa ku pigania inchi yako kwa bidii mimi nakufata toka arabia saudia Asante kwa mashauli
@Godelivanana
@Godelivanana Жыл бұрын
Nooooooo
@assanibutoto9208
@assanibutoto9208 Жыл бұрын
Congo yetuni ya kuachiya Mungu tu, ila ningeli watakiya serikali ya kimajimaji Mungu awalinde popote walipo na ingine kwa nini maji maji ijuwe kama ni Rwanda njo inasumbuwa inchi yetu kwa nini nao wasipiganishe Rwanda ili nao wakose amani?
@dunialehani6188
@dunialehani6188 Жыл бұрын
kama hamutaki kujihunga na serikali mdaa ndohuhu wa sisi kama wabembe tuna jina letu kalembelembe amatogo tuna shindwa wapi historia yetu inajiweka wazi congo bila fizi nibure sasa tutahamuka mpakalini tunaweza kujenga fizi yetu wenyewe tusimtengeme mtu aje atusaidie kuleta amani
@massejobbs4284
@massejobbs4284 Жыл бұрын
Mnajuwa dili ambayo Tshisekedi alisinye na Wanyarwanda. Tshisekedi ni m,mbwa.
@MapendoMuhindo-us7ff
@MapendoMuhindo-us7ff Жыл бұрын
Bien
@eastafricanist9156
@eastafricanist9156 Ай бұрын
Msimamo wa Yakutumba ni ya chuki na ukabila tupu na haiwezi leta amani Congo.
@flavienjustin1340
@flavienjustin1340 Жыл бұрын
Sisi wakongomani tuna maneno mengi tuh ila vitendo hatuna ila mwenyezi MUNGU atujaliye neema kabsa
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 Жыл бұрын
Wa mayi mayi mna maneno mengi tu myaka mingapi m23 mbona mna shindwa ku mtoa makanika mbona unashindwa aca wanya rwanda wakuwe inci mnakalia maneno mengi tu
@kariuki8
@kariuki8 Жыл бұрын
Mimi kama mkenya na huzuni sana kuwaona wakongomani waketezeka juu ya ubinafasi na tamaa ya watu wacheche kweli Kongo itapata amani?
@nikowabantu6216
@nikowabantu6216 Жыл бұрын
Mungu ata saidiya Amani ita rudi , Wazungu ndo chanzo cha vita apa congo Kagame ana tumikishwa tu Ila marekani na inchi za ulaya ndo zina leta vita Mimi kama mbembe nina jua historia ya chanzo cha vita apo Congo
@jolemerci2155
@jolemerci2155 Жыл бұрын
Ndugu sisi wa Congo mungu atu rehemu n'a atuteteye sababu inchi moja ishambuliwe n'a inchi tatu nishida mabalozi wa Tanzania mabalozi wa Nairobi mabalozi wa Rwanda n'a kazalika mungu tu piganie baba
@jolemerci2155
@jolemerci2155 Жыл бұрын
@@nikowabantu6216 iko kweli wa zungu ndio wana haribu Congo sana ila mungu bariki wanaume wa Congo wanao kuwa namusimamo kama huu
@uwezojaninosgospelartist1432
@uwezojaninosgospelartist1432 Жыл бұрын
Tuwe inchi moja na sisi huku?
@AntoineKizito
@AntoineKizito 3 ай бұрын
Mtutsi.atawamariza.ndiyoshabaayake
@elishalugano5679
@elishalugano5679 Жыл бұрын
Mutoke pale nyinyi we ajinga
@dunialehani6188
@dunialehani6188 Жыл бұрын
tujibebe wenyewe hacheni zone ruje hivi hamuhoni kitu kilichopo ndani ya zone yetu
@florentkatembo1456
@florentkatembo1456 Жыл бұрын
Mtu yeyote akiwa na nyumba ya makao ku mji wa kigeni hata weza kuongoza kongo kwagisi mkongomani ana taka tutakuwa tu watumwa nyinyi wakongomani wakamilifu benye silaha mushukuwe uongozi ya congo,upumbafu itoke.
@sengomajack1680
@sengomajack1680 Жыл бұрын
Una ongeya bure saana kwanza Yakotumba alipewa pesa kusudi asaliti inchi nanjo maana mu naanza kupigana na Biloze bishambuke tokeni porini hamuko nyani
@AntoineKizito
@AntoineKizito 3 ай бұрын
Bafulilu.muwemacho.munateketeya.mukijiungana.serkar.warega.muwemacho.mukijiunganaserkar.
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 Жыл бұрын
Sasa kwakutaka wale wa nya Rwanda watoke inabidi nyinyi muingiye kwenye serekali mpata jinsi yakuawatoa mkicukua vyeo bikubw vikubwa
@demsonmmunga1293
@demsonmmunga1293 Жыл бұрын
Nyie wote ni waasi tu,nchi inatangaza vita nyie ni kuja kuongea uongo tu hapa
@AntoineKizito
@AntoineKizito 3 ай бұрын
Wabembe.tutakuwatunatekeyeya.mukijiungana.serk
@uwezojaninosgospelartist1432
@uwezojaninosgospelartist1432 Жыл бұрын
Kwanini Maji maji wasiombe Fizi, Uvira, Mwenga, Maniema etc...
@usatoenglandvegas4046
@usatoenglandvegas4046 Жыл бұрын
Mna changanya watu na uongo wenu
@massejobbs4284
@massejobbs4284 Жыл бұрын
Tshisekedi ajasoma. Ameishi tu ubeljiji. Alikua mwizi wa mabanki ulaya. Tshisekedi Idiot national.
@sebajohn9058
@sebajohn9058 Жыл бұрын
Wakongo pigeni hao ,m23 watoke Kongo haraka na Rwanda msiogope piga
@massejobbs4284
@massejobbs4284 Жыл бұрын
@@sebajohn9058 lazima wanyongwe. Jinga izo
SPIKA TULIA AFOKEA WAZUNGU ULAYA “NIHESHIMUNI MIMI SIYO MUNGU”
8:51
DRC: Wananchi wakimbilia mjini Goma kufuatia mapigano makali
3:08
VOA Swahili
Рет қаралды 292 М.
REAL 3D brush can draw grass Life Hack #shorts #lifehacks
00:42
MrMaximus
Рет қаралды 11 МЛН
"كان عليّ أكل بقايا الطعام قبل هذا اليوم 🥹"
00:40
Holly Wolly Bow Arabic
Рет қаралды 7 МЛН
НИКИТА ПОДСТАВИЛ ДЖОНИ 😡
01:00
HOOOTDOGS
Рет қаралды 1,7 МЛН
小蚂蚁会选到什么呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:47
火影忍者一家
Рет қаралды 115 МЛН
MWAMI BOMBE SIMBA MATANGO ALAANI UJIO WA PAPA WA ROMA CONGO
15:54
Tanganyika TV
Рет қаралды 2,5 М.
REAL 3D brush can draw grass Life Hack #shorts #lifehacks
00:42
MrMaximus
Рет қаралды 11 МЛН