Рет қаралды 6,932
Mwishoni mwa mwaka jana taarifa kuhusu Mtanzania Nemes Tarimo kufia vitani nchini Urusi akiipigania Ukariane zilienea. Hatimaye Serikali ya Urusi ikathibitisha huku mwili wa Mtanzania huyo ukirejeshwa nyumbani mapema mwaka huu. Je, nini kilimkuta Nemes aliyekua masomoni nchini humo mpaka akajiukuta anafia uwanja wa vita?
DAY TWO NEWS tunao undani wa sakata hilo.
#CharlesWilliam #Zungu