Рет қаралды 38,155
Katika darsa hii Sheikh anaelezea yaliyotokea katika ulimwengu wa kiislamu baada ya kifo cha mtume Muhammad s.a.w.w. na mabadiliko makubwa yaliyojitokeza katika uongozi na kuacha swali je waislamu wachukue uislamu wao kupitia kwa nani?Fuatilia darasa hili mpaka mwisho kupata jibu.
Unaweza kutufuatilia kupitia:
1. sheikhjalala
2. asadiqmedia
3.www.imamswadiq.com .
Subscribe to our channel on the following link
www.youtube.com/@Asadiqmedia?...
#asadiqmedia