Macho yako na yangu yana fanana kumbe umeona kama mim
@anithqpaul392312 күн бұрын
Mungu awabaliki wachezaji wote na benchi la ufundi
@user-nm5ff3ri8k12 күн бұрын
Kazi njema mkapambane
@ommykiss704912 күн бұрын
Chama la wana 🔰💪
@malietamaliet12 күн бұрын
Kibabage usichore matatoo mengine utakua vibaya kaa hivo hivo
@user-bl6rd4pq4k12 күн бұрын
Mwenyezi mungu awatangulie kaktika safari yenu hii iwe ya yamafanikio🙏🙏🙏🙏💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛
@selemanmcharazo12 күн бұрын
Babu kaju ndani ya nyumba
@ShafiiHungo12 күн бұрын
A wana mapinduzi haooo yang afirickas❤
@sadikidaudi46012 күн бұрын
Denis Nkane 🙏
@abednegoklamian397712 күн бұрын
Woyooo babu kaju bado tunae
@hussenshariff842012 күн бұрын
My team 💪💪💪
@HaithamHadji-tq3mk12 күн бұрын
Mungu akupeni afya njema
@masoudmongomongo24412 күн бұрын
Kuna waandishi wa hovyo hovyo kabisa kwenye hii nchi kazi yao ni kudanganya tu na kutunga habari za uongo.
@rukiakyaka182712 күн бұрын
Mashaallh Alhamndulilah nawapendasana Allah akuzidishieni upendo Inshaallah
@user-qd6yl1ub8v12 күн бұрын
Vp kuhusu master kiiiiiiiiiiiiii
@Emanuelimiyonjo12 күн бұрын
Nkane mwamba 🔰🔰🔰💛💛💛💚💚💚
@mhinajerome596412 күн бұрын
Furaha yangu kumuona denis nkane babu kaju na shehani ila sijamuona mkude mudathir na kibwana
@petrokonpetrokon12 күн бұрын
nimependa sana aina yawa chezaji waliosajiliw yanga msimu huu 💚💚💛💛
@Abdul-oc1ul12 күн бұрын
Sasa babu kaju akacheze no ngp Azam
@sosomacharles992012 күн бұрын
Lomalisa wa pili
@sosomacharles992012 күн бұрын
Kibabage mbona kama hana raha hivi Boka anamuogopa nn🤣🤣🤣
@williamlilangala782610 күн бұрын
Yanga Africa the club above all
@user-bl6rd4pq4k12 күн бұрын
Watu muhim sana nyie 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-kr2zi7du7y12 күн бұрын
Nkane anapenda kucheka
@user-kt7sx5rk2o12 күн бұрын
Semajiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii❤❤❤❤
@gilbertrutayuga467612 күн бұрын
Wengine wanadhani kwenda kwenye nchi za watu ndo ujanja. Kweli yanga ni timu ya wananchi kweli mambo yote hapahapa nyumbani. Safi sana tupende vya nyumbani
@sylvestercameo626312 күн бұрын
Lakini wanaenda South Africa!
@PriscaDalus12 күн бұрын
Waoooooooooo tum iendelee kwa sana
@mohdyussah82512 күн бұрын
Congratulations young Africans
@femidayahaya488212 күн бұрын
Kibabage Totoo imekaa mahala pake😂😂😂
@MariamuSalehe-q9e12 күн бұрын
Waoo🙏🙏🙏
@JanethJuma-sv5pm12 күн бұрын
𝙒𝙖𝙤𝙤𝙤𝙤𝙤𝙤𝙤𝙤 𝙙𝙚𝙣𝙞𝙨
@NdevuKamdini12 күн бұрын
My team🎉🎉
@user-ng5bx9vk7h12 күн бұрын
Tumetisha sana
@suleymanyaasin11 күн бұрын
Kazini kwa kibabage kuna kazi. Jamaa hata halicheki
@trice_yanga12 күн бұрын
hivi alikamwe anapumzika jamani😅
@OthnoShezume12 күн бұрын
Mwenye kazu golikipper mpya
@AdolophinaShawa-pd8yo12 күн бұрын
Watasema tu mwaka uu😅😅😅
@shaibusaady242012 күн бұрын
Allaah Akbar
@naliakafatuma987012 күн бұрын
❤️🧡💚💛👍🔥
@IsayaTweve12 күн бұрын
❤
@BensonMpomo11 күн бұрын
yani yanga bwana upendo mbaka umepitiliza unaweza sema ni watoto wa mama na baba mmoja
@chops63entertainment12 күн бұрын
Chama langu la ukweli hakuna kufeli ni juu
@user-ql2hc7zt6b12 күн бұрын
Muda wetu
@FredyPeter-rn2il12 күн бұрын
Safiiiii
@hussaynrajab677612 күн бұрын
No mistakes
@kiboshokiboshomungumkubwa778912 күн бұрын
Safari hii watasema sana
@AbisinaRashidi-c8d12 күн бұрын
Timu la wazee
@monicalucas373811 күн бұрын
Navyoona asilimoa lubwa ya mashabiki tunampenda Nkane maana kila comment naona watu wamefurahi walivomuona, ni kijana mmoja mpambanaji sana MUNGU amlinde🙏
@Cutenaah12 күн бұрын
AZIZI KI NA PACOME WAKO WAPI CHAMA HATUMUULIZI TUNAJUA ATAKUJA TUU, WAONESHENI MAKAMANDA WETU PACOME NA AZIZI KI
@Shadia54412 күн бұрын
Miee azizi ki tuu jamaniii nimuone 😊😊😊
@Antelius-ew6it12 күн бұрын
Nakubali Mr Privaldinho😂
@user-ot3vz6gw9f12 күн бұрын
Kane pambana kijana nakufanananisha na ngasa
@FarajiMkoto12 күн бұрын
🔥🔥
@AminaAshraph12 күн бұрын
Mungu awalinde
@fazo-kl9fu12 күн бұрын
Yaaan jamaa kama lomalisa du nakuombea gem ikukubali
@ceciliadaudi163212 күн бұрын
Amina jmn 🙏🙏
@user-er1dk6zj6u12 күн бұрын
Mabingwa wa muda wote
@PatrickMalema-f9s10 күн бұрын
Jesh la kijani na njano
@raphaelkessy736012 күн бұрын
💛💚💛💚100%
@user-lp7uq9ql2p12 күн бұрын
Naomba muwe mnaandika na majina ya kila mchezaji anaepita kwenye kamera
@FabiolaSommy12 күн бұрын
Nmefrah kumuona nkane🎉🎉🎉
@AsmaAmeir-s3b12 күн бұрын
Mchezaji mbona anapenda mapicha huyu au ndo sharo
@muddymuzungu435712 күн бұрын
We Sio mwananchi
@YusuphBupamba12 күн бұрын
Yanga wakimuacha Joseph Guede watakosea xana ile ndo cf ya msimu ujao angefunga sana
@sosomacharles992012 күн бұрын
Kibabage jeshi huende
@fahadrashid975412 күн бұрын
Najikuta tu natabasam
@pacomezouzoua917512 күн бұрын
Andunje kibabage mambo😅
@user-qm5un9yc8r12 күн бұрын
Nice
@AdamRamadhani-w8m12 күн бұрын
😢
@GvanyFamily12 күн бұрын
Wana Yanga
@CratusmwendaMwenda12 күн бұрын
Good play
@husseinabdallahmkupulo178412 күн бұрын
❤❤❤❤
@user-qg8bf7my8m12 күн бұрын
Timu ya wakubwa ina ludi kikubwa
@husseynomar952312 күн бұрын
Unyama 🎉🎉🎉❤
@FarajiMkoto12 күн бұрын
5:43
@mathiasmwamba587212 күн бұрын
Yanga chama lang la ukwer
@AbshirMubaarack12 күн бұрын
Oh Kibabage ushaanza kuwa mkongo sasa na mitatuu km yotee 😅😅😅
@BeckahNassibu12 күн бұрын
NAIPENDA YANGA TAMU
@MariamLigoha12 күн бұрын
Kutibiwa au kambini?
@katalisajuka-fl3st12 күн бұрын
Wachezaji au Kibabage?
@MonicaEssero-n7w11 күн бұрын
Boka unafanana na Lomalisa
@karenlema431712 күн бұрын
Nita miss skudu sana kama hayupo😢
@queenmwasanguti237012 күн бұрын
Wakitembea kama wamechoka, nwakiwa kazini weeeeeeeeeeeeee..........
@user-qg8bf7my8m12 күн бұрын
Hahaa boka alikuwa ana muogopa ally kamwe Lijua niwale jamaa wa kuiba wachezaji airport