KIUKWELI TUACHE UTANI WA KULAZIMISHA WAKATI TUNAONA UKWELI WA KITU CHENYEWE! JEZI ZA YANGA NI NZURI SAANA YANI HATA NDOA UNAFUNGIA SUTI HAINA HAJA!!
@abdallahsharif4262 ай бұрын
YANGA NEW ANTHEM 2024= NATAKA NIMROGE........................... YANGA NI KAMA = MWANANCHI MWENDAWAZIMU. SIMBA NI KAMA = MNYAMA ZEZETA. USHAHIDI:- 1) SANDA . 2) MCHOME HASIKIZI NDUGUZE KISUGU & MZARAMO 3) MASWEATER MADE IN MSIMBAZI.
@DoreenMlay-e8g2 ай бұрын
wananchiiiiiiii
@bernardmboma14612 ай бұрын
Jezi kama langi ya chatu😂😂
@ElidaNgarambe2 ай бұрын
Yangaaaaa
@mzeesimba8022 ай бұрын
Wanasema ni vitenge eti😂
@saumbakar76432 ай бұрын
Washambaa
@muddymuzungu43572 ай бұрын
Wewe ndio unasema KOLO😂
@KayungiloRangimbili2 ай бұрын
Hapa 2meua
@ThomasShindikwa2 ай бұрын
Zinauzwaje?
@NassoroSipemba2 ай бұрын
Kifo kinatisha kule upande wa pili na maanisha msimbaz watu wanavishwa sanda wakiwa hai kwa nini watu wasikimbie mijezi yao na sio watu tu ata wanyama kule mikumi wanyama wameikimbia hiyo mjezi yao yenye nembo ya sanda kifo kinatisha hasikuongopee mtu.
@kassimrajabu78052 ай бұрын
Jezi hizi lazima nizipate aiseee
@MarthaGadiye-h1c2 ай бұрын
Yaani siwa semi ila mmejitaidi san hapo kwenye nyeusi 6:22
@rayisadesigns26462 ай бұрын
WANANCHI NA JAMBO LAO...
@marymoshi5722 ай бұрын
🎉
@FredricktheonestShayo2 ай бұрын
Batiki naijelia
@osmanisalum60512 ай бұрын
jezi beigani
@rasakakaombwe2 ай бұрын
Sanda
@zakayomaendeleo2 ай бұрын
💚💛
@GetuliBasso2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉
@MarakiyaNsengiyumva-vs9cl2 ай бұрын
Kari
@bernardmboma14612 ай бұрын
😂😂vitenge
@MartinWekesa-c2x2 ай бұрын
Ila siyo sandaa😂😂😂😂
@JoshuaOlando-l1m2 ай бұрын
Bora vtenge kuliko sanda
@bernardmboma14612 ай бұрын
Hahaha vinyoka
@amanizavala2 ай бұрын
Jezi kma vitenge
@Abuu-gs1yi2 ай бұрын
Kweli asee ila sio sanda
@magrethyeremia22792 ай бұрын
Vazi la taifa
@JosephatMkude2 ай бұрын
Jezi kma kombati za kijexhi
@stevensosipita2 ай бұрын
POLENI SANA MAKOLO SANDA VIPI NAONA MMEJINUNULIA NGUO YAKUZIKWA NAYO
@hipmate92312 ай бұрын
Wimbo wa yanga kzbin.info/www/bejne/hp2sZGBmpNR6ZtUsi=fsENXX83o47IMoIi
@hipmate92312 ай бұрын
Wimbo mpya wa yanga kzbin.info/www/bejne/hp2sZGBmpNR6ZtUsi=fsENXX83o47IMoIi
@AbidayoOfficial-f9h2 ай бұрын
Nimewakubali sana wananchiiiiiiii❤❤❤❤Daima tutakuwa mbele
@KS-iw7qv2 ай бұрын
Jezi ya njano kwa kweli ni nzuri mpaka inakera❤❤❤
@peterjairours71942 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉
@hipmate92312 ай бұрын
Wimbo wa yanga kzbin.info/www/bejne/hp2sZGBmpNR6ZtUsi=fsENXX83o47IMoIi
@hipmate92312 ай бұрын
Wimbo mpya wa yanga kzbin.info/www/bejne/hp2sZGBmpNR6ZtUsi=fsENXX83o47IMoIi
@bernardmboma14612 ай бұрын
Wapeni wanawake maana nivitenge hiyo jezi. Malangi kibao