Hawa viongozi wa yanga wanamaono makubwa Sana na yanga itafika mbali Sana mungu awabariki viongozi wetu.
@malietamalieta96583 күн бұрын
Apewe maua yake akiwa hi rais wetu kiukweli 🎉🎉🎉🎉
@Mary-fs4mc3 күн бұрын
Tena mwaga yakutoshaaaa kipenziii❤
@remidusmwanandenje-yy5gs3 күн бұрын
Eti wa2 wanamleta manzoki haa😂😂😂 ani ata msaada katika inchii amna angalieni na mmuige engniar sio mnaleta matapixhi yale angalieni sasa misaada katoa kibao apa aruxha duu mungu akuwekee xaaana🤲🤲🤲🤲🤲🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@mwanangusana3 күн бұрын
Wenzio Wana malumbano huko bado mnawakazia kiasi chote icho 😂😂😂
@shaibusaady24203 күн бұрын
Allaah Akbar
@user-nd1ul1wd6m3 күн бұрын
Heris ni kiongoz bora tunampenda sana
@JacksonZakayo-tt3jg2 күн бұрын
Absolutely it's very interesting big up to young Africa's.
@rukiakyaka18273 күн бұрын
Namuomba M/Mungu amuweke muda mrefu na wenye faida kiongozi na viongozi wetu Inshaallah
@rukiakyaka18273 күн бұрын
Alahamndulilah Allah atuzidishie zaidi Inshaallah
@naliakafatuma98703 күн бұрын
MUNGU ni mwema hongera Sana kwenu nyote kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
@BADAWY5753 күн бұрын
Sie kama Yanga damu damu nawashangilia sana watoto wa nyumbani tena hope tupate kuwasajili kama watoto watatu inshallah akili za Hers hizo Eng Hers mungu akuweke vijana nataka mwenyekipaji aoneshe kuna kina lunyamila huko halooo mara Gangarinoopo huyo.Yanga Ataleeee pezooooooooodanta maua yote yote yote yote niyakwako
@Shebe_traLove3 күн бұрын
Hakika raisi wetu anapaswa kupewa mauwa 🎉🎉🎉yake hakika ana upiga mwingi allah azidi ku msimamia kwa kila atua
@user-nm2jq7xo5f3 күн бұрын
Jamani kumbukeni uongo unamwisho na mwisho wa uongo ni aibu manzoki yukowapi tujifunze viongozi kwa uongo wao unaikwamisha timu mpaka sasa chagueni vionzozi wengine iliwanachama watendewe haki sio uongo uongo tuu
@JeminusSikumbili3 күн бұрын
❤❤❤
@JeminusSikumbili3 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@athumanishabani11432 күн бұрын
Mashaallah
@user-cw2nj4io3v3 күн бұрын
Hersi🎉!
@AnoldiMachinda3 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉💚💚💚💚💥💥💥💥💥💯💯
@davidmwamgunda78703 күн бұрын
Uyu jamaa apewe nchii
@DeodathMwandalima2 күн бұрын
Kwan amekuja yanga? Ila yanga bhn
@amanizavala3 күн бұрын
Utopolo acheni kujipendekeza
@radhiamussa16293 күн бұрын
Kama wewe unavyojipendekza kwa mo ilihali anawadai mpaka mchicha aliyowamunulia 😂😂😂
@OthanMedia_3 күн бұрын
Nimesikia na wao wanasema watamleta Ronaldo 😂
@user-iz3hs8jl5p3 күн бұрын
hahahaha walete ronado pole yao
@user-yk7ff9ks6q3 күн бұрын
Ali kamwe kazi haiwezi mashabiki wanataka kujua nin kinaendelea yeye kam sio meneja wa habari anadanga tu manara arudi
@user-yk7ff9ks6q3 күн бұрын
Nana naamini ali kamwe anabebwa na mafanikio 2 huu ni muda wa kuwapasha wananchi nin kinaendelea
@MukhusinMahmoud3 күн бұрын
Kia mtulivu bro tarehe 1 July kuna jambo linakuja
@mwanangusana3 күн бұрын
Punguzaaa kiherehere dunduka mkubwaaaa wewe .... Ali Kamwe anafanya Kaz alizopangiwa na club sio wewe umpangie Cha kufanya ..... Management ndo inapanga mipango yake watendaji ni wajibu wao kutekeleza... Hivyo peleka huko kwa mazezeta ya mudiii
@NuruSeif-uf2ge3 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤪🤪🤪
@mwanangusana3 күн бұрын
@@user-yk7ff9ks6q 🤣🤣 pelekee upwipwi kwa madunduka.... Kamwe anafanya Kaz yake vzr ana bebwa kwa taaluma , kipaji, ubunifu na jitihada zake bila kusahau baraka za m/mungu ndio nguzo na silaha zake kuu ... Hivyo wewe utakua ni mgeni wa masuala ya soccer au ni utakua zebendwa wa msimbazi