Yevgeny Prigozhin amekufa? Huu ndio ukweli wa mambo - Na DJ Sma

  Рет қаралды 40,224

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

10 ай бұрын

Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti

Пікірлер: 189
@yohanadavid6724
@yohanadavid6724 10 ай бұрын
Tumepokea taarifa kutoka Source za Media tofauti. Lakini kama ulikua unasubiri kusikia kutoka kwa Dj SMA, gonga like...... 👍
@Supershopdubai-ck8td
@Supershopdubai-ck8td 10 ай бұрын
Dj sma tunakupenda san bro tulikua tunasubi uchambuziwako mze baba from 🇧🇮👊🖤 umenipa moyosan kamatim rusia
@ngadumbishi1405
@ngadumbishi1405 10 ай бұрын
Pole Sana Dj Sma Na Hongera Na Kazi Nzuri Unazotuletea 🙏
@isayamgazaTZ
@isayamgazaTZ 10 ай бұрын
Kwenye taarifa ya kwanza Dj, nilikuambia kua lazima ujue kwanza kua ni chombo gani cha kwanza cha habali kilitamka mpaka kuenea kwa vyombo vyote vya habali, lazima utambue kwanza kua vladimir putin anajivunia kua na huyu mbabe, na huyu jamaa anatia uwoga wale mahasimu wa Russia pindi jina lake linapo tamkwa ,, kwahio nafasi alio nayo prigozin nnje ya Russia ni furaha kwa vladimir putin kua na mpambanaji anayeogopwa ktk nchi nyingi,, na pia ujue kuna sura bandia za kuwachanganya vibwengo,, , kama chombo cha kwanza kutoa taarifa hizi ni kutoka Russia lazima ujue kua inaweza kua vita baridi , ambapo lazima ujue kua ubaridi huo upepo wake unaelekea upande gani na una speed ngapi wa kutambua uzito wa kitu kilicho simikwa au kuchimbiwa chini kikiwa kimetokezea juu ya uso wa dunia,, huenda comment yangu ikawa ina fumbo ndani yake, lazima usome na uelewe tu na utambue kilicho ndani yake,,,
@mikidadikaunje6420
@mikidadikaunje6420 10 ай бұрын
Qqqqqqqq😊
@mobilespecialschool4216
@mobilespecialschool4216 10 ай бұрын
Wewe fanya ufafanue mwenyewe sie tuna jukum la kuwatafakari wakatoliki na matamko yao
@athmanimkangara9290
@athmanimkangara9290 10 ай бұрын
Kama nimekuelewa vizuri ina maana kuna kitu kinafichwa ni propaganda. 1. Media za Russia ndio zimekuwa za kwanza kuripoti tukio. 2.Russia inajivunia prigozin hivyo haiko tayari kumpoteza kirahisi. 3. Tukio hilo linaweza carmoflage tu kuna mengi yanaendelea. 4.Asssement ya ajali yenyewe ya chombo inaonyesha kuna maswali mengi yakutatafakari
@kanukanute2722
@kanukanute2722 10 ай бұрын
Uko sahih mkuu
@brunoh_bx
@brunoh_bx 10 ай бұрын
​@@mobilespecialschool4216😂😂😂
@saidymwajeka8612
@saidymwajeka8612 10 ай бұрын
Mpaka tupate uhakika very nice dj smaa
@ceasarj6761
@ceasarj6761 10 ай бұрын
Bro! Putin is a former KGB. Hawa watu huwa hawakurupuki katika kufanya maamuzi. They are trained to patiently wait for the right time to perfect their mission with all precautions taken.
@Manfilly
@Manfilly 10 ай бұрын
Fact
@africanmandetraveler2847
@africanmandetraveler2847 10 ай бұрын
I agree with you on this point.
@sashawambura
@sashawambura 10 ай бұрын
I concur you
@idrisyunis138
@idrisyunis138 10 ай бұрын
Oky kaka sawa kabisa shukran
@dorcasndesigns3997
@dorcasndesigns3997 10 ай бұрын
Nilikuwa nakusubiri sana DJ sma asante kwa kuchambua vizuri issue hii
@khalfanmlala5093
@khalfanmlala5093 10 ай бұрын
Asante sana dj smart
@isikesamike
@isikesamike 10 ай бұрын
Pole kwa uchovu bro na shukrani kwa ufafanuzi. Usichoke kuendelea kutuletea uchambuzi
@ramadhan-id9mz
@ramadhan-id9mz 10 ай бұрын
Nakubari sana
@taraagire6176
@taraagire6176 10 ай бұрын
I really like the way u exmplain topic to topic pls can speak about what is going in in with war and the meeting they had in south Afrika! Thanks sweden
@abdallahmanirakiza175
@abdallahmanirakiza175 10 ай бұрын
Endelea kutupa habari za karibu Dj Sma😢😢😢
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 10 ай бұрын
Upo vizuri mr
@MichaelMghamba
@MichaelMghamba 10 ай бұрын
Asant Sana broo hakika hiiishu imeniuma San dah Yevgan prigozing nikiongoz ambaye Kwanza ameamuakujitolea kuisuport Africa
@rogerslwitiko3915
@rogerslwitiko3915 10 ай бұрын
Pole sana Bro
@ngwalibaba7489
@ngwalibaba7489 10 ай бұрын
U are righty
@heliudjulias7748
@heliudjulias7748 10 ай бұрын
Nime kupata Dj sma pole kwa mchoko asante kwa kutujari
@appolonation
@appolonation 10 ай бұрын
DJ sima! I was waiting for you!! Love from Rwanda 🇷🇼!
@YahayaShabani-ne5gd
@YahayaShabani-ne5gd 10 ай бұрын
Kagame must Go.
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 10 ай бұрын
Kama Kuna kiumbe ana Bahati Ni huyu, ameishi siku nyingi Saaana badaa ya kusaliti Nchi, tawala nyiingi ukiziingilia huwa wana michezo Michafu saana , huwezi saliti Nchi alafu ukabaki salama
@amaradiombera2198
@amaradiombera2198 10 ай бұрын
Asante sana kwa jitihada zako 🇲🇱
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 10 ай бұрын
We appreciate for the update bro, God bless
@lukulomansour3087
@lukulomansour3087 10 ай бұрын
Ahsante Sana dj sma
@abuubakarhaji2078
@abuubakarhaji2078 10 ай бұрын
Pole kwa kuchoka ila tunakuelewa sana dj smaaaaa
@abdullahhashimu2380
@abdullahhashimu2380 10 ай бұрын
Wa alaykum ssalaam warahma tullah wabarakaatuh
@remigiuslivingstone3901
@remigiuslivingstone3901 10 ай бұрын
Noted djsma
@niyongendakosamuel858
@niyongendakosamuel858 10 ай бұрын
SA🇿🇦
@abounyandwi4139
@abounyandwi4139 10 ай бұрын
Tuko pamoja DJ Sma
@khamisshee803
@khamisshee803 10 ай бұрын
Waalekum musalam warahmatullah wabarakatu Aka bachuchu Mombasa 001 🇰🇪🔥🇰🇪🔥🇰🇪🔥
@mohamedismail2662
@mohamedismail2662 10 ай бұрын
Dj Sma nilikuwa nangoja sana taharifa hii kutoka kwako ukipata update zozote tuletee
@azamazam3279
@azamazam3279 10 ай бұрын
Waleikum salaam warahmathullah wabarakathuh
@joe_was_here.
@joe_was_here. 10 ай бұрын
Dj smart❤
@kassimkhalid1185
@kassimkhalid1185 10 ай бұрын
No one mess with Putin..Kuna wakati miaka ya nyuma kwenye interview ya Putin..Putin kasame sitamsamehe mtu yoyote akinisaliti.
@melkizedekikalanga3349
@melkizedekikalanga3349 10 ай бұрын
Dj Sma, mimi nakupenda kutoka moyoni, napenda makala zako na ninazifuatilia zote, ombi langu kwako ni kuwa acha kuwakosoa haters, usiwashambulie, wale wenye uelewa mdogo pia try to be professional usiseme kuwa kuna watu wana uelewa mdogo hawanielewi, pia kuwa specific na mada husika, don't include private issues, usiseme kuwa umechoka au vinginevyo Kaka,,, nakuamini, nimejifunza mengi kutoka kwako, kama hutojali naomba tuonane...
@melkizedekikalanga3349
@melkizedekikalanga3349 10 ай бұрын
Kuna taarifa na elimu kuhusu mambo ya bima ulitoa na yalininufaisha sana, naomba tuonane, nipe mawasiloano yako Kaka...
@djsma255
@djsma255 10 ай бұрын
🙏
@shalomchaula4420
@shalomchaula4420 10 ай бұрын
Bro crowning is real especially in Russia and all they do is to confuse this world and complete their mission ..they are very serious to insure they pursue into real York of this world defensive principle ...
@bagulakamikazigrace2174
@bagulakamikazigrace2174 10 ай бұрын
Asante saana DJSMA,
@abuunusaibayussuf4829
@abuunusaibayussuf4829 10 ай бұрын
Mim nakukubal sana wew kuliko media nyinyi sana
@godfreyally-ps3fo
@godfreyally-ps3fo 10 ай бұрын
👍💪
@IrineJulius
@IrineJulius 10 ай бұрын
Sawa nimeelewa
@tahiyasaidi6532
@tahiyasaidi6532 10 ай бұрын
Dj sma ...uyu jamaa washampeleka ....vyombo vilivyotoa hyo taarifa na RT ipo Russian today
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 10 ай бұрын
👍👊✌️。
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 10 ай бұрын
According to CBS News wanaeema it was missile attack.
@kassimmuktarymurji4242
@kassimmuktarymurji4242 10 ай бұрын
Prigozin hawezi kuwa amekufa ,fsb ni noma wanatengeneza tatizo na wanasuhisho,
@chesterbrand6723
@chesterbrand6723 10 ай бұрын
Home sweet. Home me nawakika wako na DNA ya pregozin wangelikuwa washafananisha vyake....
@jumabuckary7698
@jumabuckary7698 10 ай бұрын
Inawezekana ikawa mpango wao wameupanga maana urusi ni watu wenye akili za mbinu nyingi sana
@daprince7545
@daprince7545 10 ай бұрын
Daaah kama ni kweli amekufa basi kifo chake kimegusa hisia za watu wengi duniani. Nakifananisha na kifo cha mwamba mzee John pombe magufuli, mungu akueke mahali pema John pombe magufuli😢😢😢
@mobilespecialschool4216
@mobilespecialschool4216 10 ай бұрын
We umeguswa
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 10 ай бұрын
Ushashiba ww
@daprince7545
@daprince7545 10 ай бұрын
@@mobilespecialschool4216 huu ndio ukosefu wa kutojitambua na swali unalo uliza
@petrompunga221
@petrompunga221 10 ай бұрын
Kama kweli amekufa, MIMI KWANGU NI SAFIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
@ericksaid5327
@ericksaid5327 10 ай бұрын
Duh ndio yapi haya tena jameni
@Issa-ud6sy
@Issa-ud6sy 10 ай бұрын
Duh! Nimeumia sana kufa huyu mwamba
@tarickmpemba6007
@tarickmpemba6007 10 ай бұрын
usichoke boss
@majaahmad7797
@majaahmad7797 10 ай бұрын
Wameongea weng ila nilkua nasubl kwako
@SparrowArsenalsparrowarsenol
@SparrowArsenalsparrowarsenol 10 ай бұрын
Naomba kujiunga group
@jumadaima1833
@jumadaima1833 10 ай бұрын
Kweli Dj, Mzee wetu prigozhin kafa, midia zote za Russia zinaongea.
@kheriadams5717
@kheriadams5717 10 ай бұрын
but ur smart sana
@hassanpashua
@hassanpashua 10 ай бұрын
Kama mm nakuaminia najua bado utachambua ukweli tutaupata tu hapa hapa fuse from kenya
@bisharsaid8640
@bisharsaid8640 10 ай бұрын
how to get in the group
@mchinatz9335
@mchinatz9335 10 ай бұрын
Dah 😢😢😢😢
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 10 ай бұрын
Pamoj sana dj sma 💛💚
@MussaMumbi-ti9zx
@MussaMumbi-ti9zx 10 ай бұрын
Niaj Dj s😊ma? Nataka niwepo kweny group lako la what's app
@djsma255
@djsma255 10 ай бұрын
Scan hio qr code inakupeleka direct
@mustaphamatelefone-lc9pr
@mustaphamatelefone-lc9pr 10 ай бұрын
Endelea kufwatilia dj tujue ukweli
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 10 ай бұрын
Tetesi hizi nadhani inaweza kuwa ni mbinu za kumvuruga mpinzani ili ajichanganye
@KitakalaAmada-pf3xf
@KitakalaAmada-pf3xf 10 ай бұрын
DJ smat uhakika2? ndio tunahitj
@thelonewolf4429
@thelonewolf4429 10 ай бұрын
Isiwe kafa kweli maana daah
@karabhageganyanza
@karabhageganyanza 10 ай бұрын
Alikua na bifu na waziri. wa ulinzi lazma atawekewa njama ya kuuwawa hatakama hajafa
@IrineJulius
@IrineJulius 10 ай бұрын
Pole na uchovu unaeza nieka kwenye group pleas
@kevinbrown1900
@kevinbrown1900 10 ай бұрын
It’s alleged that BBC has already confirmed that.
@194summer
@194summer 10 ай бұрын
Unafikiri damu za watu alizomwaga kwa wingi uovu huo Mungu atanyamaza
@jumadaud8181
@jumadaud8181 10 ай бұрын
Fanya mpango bro uniubge kwenye gruop
@hassangaddafi2347
@hassangaddafi2347 10 ай бұрын
Viva Putin viva African ❤❤ 🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@MuhidinMangu
@MuhidinMangu 10 ай бұрын
Km 8000 ,sikubaliani nawewe Dj
@omarykyutta6681
@omarykyutta6681 10 ай бұрын
Link ya group mbon haipo
@irmgardsamia1827
@irmgardsamia1827 10 ай бұрын
From this nimegundua dj Bado kabisa hujaelewa how Putin works
@ericknyalusi2579
@ericknyalusi2579 10 ай бұрын
Km 8000 au m8000?
@angelinamwakilufi8881
@angelinamwakilufi8881 10 ай бұрын
Umetudanganya ni km 8 sio elfu nane😂
@kanikiommy5167
@kanikiommy5167 10 ай бұрын
Kwa iyo wewe ndio unajuwa sana kuliko vyombo vya habari ulaya
@amenyemwansile6919
@amenyemwansile6919 10 ай бұрын
Malipo ni hapa hapa duniani
@user-bi3ky7vy2q
@user-bi3ky7vy2q 10 ай бұрын
Kilometre 8000 ? Seriously!
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 10 ай бұрын
SIO AJALI NDEGE IMETUNGULIWA
@victorgerryson2695
@victorgerryson2695 10 ай бұрын
N mhun, sio mara ya kwanza kufany hvyo.
@abdallahnassoro2460
@abdallahnassoro2460 10 ай бұрын
Mm naamin mwenyenzi muungu haondoi kitu bila kueka kitu naamin tu Kama kweli amekufa yupo zaidi ya yeye emesha wekwa puti wanyooshe mashago mpaka wakisome kiruss
@kheriadams5717
@kheriadams5717 10 ай бұрын
ni kilometer 7.8 mkuu sio elfu 8
@lallyfourty7.976
@lallyfourty7.976 10 ай бұрын
Enda shule kwanza kasome hesabu mbwa
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 10 ай бұрын
Dah dj sma pole sana kwa msiba huu mkubwa kuondokewa na ndugu yako huyu tupe namba ya kutoa michango plz
@user-nr3uw7bq1r
@user-nr3uw7bq1r 10 ай бұрын
Namba mpigie putn, wacha kumkejeli dj wetu Makini kabisa
@nextstudiostz
@nextstudiostz 10 ай бұрын
😂😂😂😂 Mpe pole kabisa. Maana siku akisikia Puttin kadedi? Sjui itakuaje.
@allyhasani3750
@allyhasani3750 10 ай бұрын
Kilomiter elf nane unazijua wwe
@jayaron5991
@jayaron5991 10 ай бұрын
URUSI NI INCHI KUBWA ,UKIZINGUWA LAZIMA UFE
@isacksimonmahungilo
@isacksimonmahungilo 10 ай бұрын
Kesho atazuka
@mussachichajr
@mussachichajr 10 ай бұрын
Sasa wewe hizo taarifa za uhakika unataka nani athibitishe au mpaka ww uje kututhibitishia ndio tuamini khaaaa😂😂😂. Kama RT na Russian aviation wote wame confirm kama amekufa Kwa ajali ya ndege ww ni nani, sasa ww subiri confirmation ss ambao tunakesha kufuatilia habari hizi tumeshajua zamani. Wa fuse subirini Dj aje atoe taarifa rasmi
@ZeraGeofrey
@ZeraGeofrey 10 ай бұрын
Tunamsubir hatuna shida tumechagua wenyewe kufatilia kupitia channel hii wewe tulia tu maana bando ni letu bhana
@nextstudiostz
@nextstudiostz 10 ай бұрын
😂😂😂😂 anamsiba mwenzenu. Sa sjui Puttin akifa atakua analeta nini apa tena maskini😆 Maana uyo tu kamtia unyonge, anatamani kumtetea Puttin kwamba hausiki😂
@almasisebarua
@almasisebarua 10 ай бұрын
nataka kujiunga group hili vp
@kamugishacerestine6805
@kamugishacerestine6805 10 ай бұрын
Jamaa unasema ukwel aisee make vagner hajafa kwel
@shau78
@shau78 10 ай бұрын
mashabiki wa Putler wanaendelea. mara oo habari hazijathibitishwa, mara o ni propagana za west. alafu sasa hv mtasema alieuliwa ni Prigozhin fake. mara Putin noma. endeleeni....
@omariathumanchigwe5776
@omariathumanchigwe5776 10 ай бұрын
Hakunachaajabu Ila Kama nikweli Basi nipigo kwa warus wote
@fistonmakasi3803
@fistonmakasi3803 10 ай бұрын
Dio poa isse
@MONEY_CHANNEL.
@MONEY_CHANNEL. 10 ай бұрын
8000m au 8000km.
@djsma255
@djsma255 10 ай бұрын
Ulimi hauna mfupa...
@HalfanMaulid
@HalfanMaulid 10 ай бұрын
😂Daa kama ni kweli basi ni kifo tu cha kawaida kwani huyu ni kipenzi cha Putin au kuna hila inatengenezwa kujua kitu fulani
@saidmpoma278
@saidmpoma278 10 ай бұрын
Ukitaka kuamini kwamba hajakufa mngoee atarudi
@hussenmdomdo3982
@hussenmdomdo3982 10 ай бұрын
Tuliokuwa tunasubiri hii gonga like
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 10 ай бұрын
Putin hajawahi kusamehe mtu ambaye anatofautiana naye kimsimamo.
@mwanzaswitch1764
@mwanzaswitch1764 10 ай бұрын
Km 8000? Upo serious wewe?
@PashaPatience-kn9ek
@PashaPatience-kn9ek 10 ай бұрын
Aca wewe mutu arikufa zamani aca weye njo una news za fek wengine wako sahihi
@Mina.15
@Mina.15 10 ай бұрын
Clikbait
@OscarAsukenie
@OscarAsukenie 10 ай бұрын
Wazee wa hesabu 26,000fts is km ngapi?
@evaristjohn2439
@evaristjohn2439 10 ай бұрын
Around 8 km!
@nextstudiostz
@nextstudiostz 9 ай бұрын
Hajafa, yupo zake Africa. kzbin.info/www/bejne/e5-4cnWll51gmacsi=_jxDVitKSuh4Qws8
WHO DO I LOVE MOST?
00:22
dednahype
Рет қаралды 75 МЛН
I’m just a kid 🥹🥰 LeoNata family #shorts
00:12
LeoNata Family
Рет қаралды 17 МЛН
Deal mit US-Justiz - Warum Assange gerade jetzt freikommt | ZDFheute live
20:38
Wie hoch sind Russlands Verluste bei Charkiw wirklich? | ZDFheute live
26:01
ZDFheute Nachrichten
Рет қаралды 530 М.
Watch Inside With Jen Psaki Highlights: June 24
19:46
MSNBC
Рет қаралды 22 М.