YUPI NI SHEMEJI? HATIMAE MREMBO KATEGUA KITENDAWILI WALICHOFELI WENGI |JAMANI RAHAA |PELUSI NIGHT

  Рет қаралды 653,253

MC KATO KISHA

MC KATO KISHA

9 ай бұрын

Пікірлер: 324
@gloryjimson9831
@gloryjimson9831 9 ай бұрын
Walomuona shemeji akimpa ishara wanyooshe kidole
@brunoh_bx
@brunoh_bx 6 ай бұрын
😂😂😂😂 upo makini balaa
@asrasanyu
@asrasanyu 5 ай бұрын
Eti
@RoseCate-gd8io
@RoseCate-gd8io 4 ай бұрын
Nimeona
@bhokejaqulineelias4197
@bhokejaqulineelias4197 4 ай бұрын
😂😂we ni mfukunyuku😂
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 9 ай бұрын
Nawapendaga sana Mapacha kama hawa' Ee YARABBI Nijaalie na Mimi nipate Mapacha kama hawa' YARABBI🤲🤲🤲🤲🤲🤲
@mohammedhussein6748
@mohammedhussein6748 9 ай бұрын
Amin
@user-uh7to2kw2z
@user-uh7to2kw2z 9 ай бұрын
Salama ACHA t2 mm mwenyew nawatakia Ila mungu atatupa t2 tuendee kumuomba🙏🤝
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 9 ай бұрын
@@user-uh7to2kw2z In-shaa Allah🤲🤲🤲
@user-xh8zm8pw2p
@user-xh8zm8pw2p 9 ай бұрын
Amen 🙏
@sammohung1506
@sammohung1506 9 ай бұрын
Njoo mm hapa pacha
@janethmnali7261
@janethmnali7261 8 ай бұрын
Mbingu zinaona na ardhi ikawe shahidi siku Moja na mm nikawe mama wa mapacha wanaofanana ee Mungu tia muhuri ktk hili
@bravinmugabe8656
@bravinmugabe8656 8 ай бұрын
Wow I like your confidence
@nickodemsimchimba594
@nickodemsimchimba594 8 ай бұрын
Hata mimi napenda Sana watoto mapacha😍😍
@happinesspatrickkuziwa6400
@happinesspatrickkuziwa6400 8 ай бұрын
Najishikamanisha na maneno haya yamekua kwangu katika jina la Yesu na yamewekwa muhuri wa damu ya Yesu
@annethycyprian3520
@annethycyprian3520 8 ай бұрын
amina
@wilfredmwakatwila6295
@wilfredmwakatwila6295 8 ай бұрын
Mungu wetu ni mwaminifu aombae atapewa Muombe na atakupatia hitaji LA moyo wako
@neemagodfrey1118
@neemagodfrey1118 8 ай бұрын
Aiseeeeee hahahaha nimekumbuka mbali sana...mchumba wangu mm ni mapacha, ilinichukia muda kumtofautisha maana ni brian kwa briton, walifanana kila kitu mpka dimpo wote walikuwa nayo, ilinifanya mpka kuna wakat nikimuona mmoja wao inanilazim nikae kwa kutulia mpka nione action zake, maana wa kwangu ni mpole lkn shemeji ni muongeaj, lkn siku wakiamua kukaa kimya nachanganyikiwa 😂😂😂😂😂......so nilianza kwa kuwachunguza tofauti zao na hapo ni miaka miwili imepita, so nilianza kutafuta tofaut zao ukiachana na uchangamf Lkn nilikuja kugundua utofaut wao mkubwa ni macho, 😂😂😂😂😂...mmoja macho yake akikuangalia sana yanageuka kuwa makengeza na mwengine ni kawaida japo pia yamefanana sana😅😅😅😅na hii mpka leo nisipodeal na macho nachanganyikiwa sana
@elizabethgabriel1502
@elizabethgabriel1502 8 ай бұрын
😂😂😂🙌
@neemagodfrey1118
@neemagodfrey1118 8 ай бұрын
Yaan naomba MUNGU tu shemeji asiniigizie kma yeye ni mlengwa maana itakuwa hatar sana ...maana akijifanya mpole tuu nimeisha hahahahaah
@elizabethgabriel1502
@elizabethgabriel1502 8 ай бұрын
@@neemagodfrey1118 Unaweza ukaumbuka 😂😂😂
@neemagodfrey1118
@neemagodfrey1118 8 ай бұрын
Hahaha hahaha hahaha
@elizabethgabriel1502
@elizabethgabriel1502 8 ай бұрын
@@neemagodfrey1118 😁😁
@sahhgdsag4949
@sahhgdsag4949 8 ай бұрын
Nami mungu nijaliee tumbo langu kishike mapacha kama hawa
@FatmaRashid-bq6yx
@FatmaRashid-bq6yx 8 ай бұрын
Amin
@brunoh_bx
@brunoh_bx 6 ай бұрын
Msiwe mnatumia sindano za kuzuia mimba sasa
@bibianachomba1585
@bibianachomba1585 8 ай бұрын
Mungu nijalie nami mapacha waje wafute machozi yangu
@neemageorge3270
@neemageorge3270 8 ай бұрын
I love this, Ila huu mtihani mgumu aki 😊..
@agneskomba3916
@agneskomba3916 8 ай бұрын
As long as ni pacha hata ningekosea tungesolve mbele Kwa mbele 😂😂😂😂
@OleboElias
@OleboElias 3 ай бұрын
Hongera sanaa kipenz hongera ikawe her kwako
@WelimaNyamwanja
@WelimaNyamwanja 2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@vanessajames2192
@vanessajames2192 9 ай бұрын
I can't wait to see my two boys
@user-ew6sj8ft8b
@user-ew6sj8ft8b 3 ай бұрын
Hongera ndugu zangu wa kisarawe nimepata faraja sana kuwaona Brothers long time since 2012
@lusekelodaison8159
@lusekelodaison8159 9 ай бұрын
Utofauti wa kwanza hata style yao ya ndevu iko tofaut 🤣🤣
@Robbyonline09
@Robbyonline09 9 ай бұрын
Congratulations Bro David
@user-jr4wn3ov6c
@user-jr4wn3ov6c 9 ай бұрын
Hata ningekuwa mimi nisingekubali shemeji aaibike ishara mhim
@andrewmadaga7913
@andrewmadaga7913 8 ай бұрын
😍😍😂 DJ apewe mauwa yake 🎉🎉 pia maan kaitendea haki hii segment 😊😊🔥🔥🙌🏿
@timothysamweli8808
@timothysamweli8808 5 ай бұрын
hongera Sana college mate, MUNGU akawape furaha katika Safari yenu hii mpya na maisha mema
@Devothakimei
@Devothakimei 3 ай бұрын
Hongera sanaa teacher. Binafsi mlikuwa mnanichanganya. Hata hapo nimekosea nilijua bwana harusi ni aliyeondoka😂😂😂😂😂😂😂😂
@magejay4715
@magejay4715 9 ай бұрын
Wahooo ❤❤❤ beautiful 🎉🎉
@irenepeter1746
@irenepeter1746 8 ай бұрын
Hongera president wetu kljs kwa hatua I .I wish nipate mapacha wakufanana
@nathaliamakunga3634
@nathaliamakunga3634 8 ай бұрын
Hongera sana choir master David ntelee🎉🎉🎉🎉
@dorcassmarco3425
@dorcassmarco3425 2 ай бұрын
Mama yangu mungu akupe maisha marefu kwa kunizaa tukiwa mapacha jaman hakuna kit kizur kama kuzaliwa mapacha 🥰🥰
@jescajoshua6343
@jescajoshua6343 8 ай бұрын
😂😂😂bebe alikua ana tabasamu sana nilihisi kumbe kuhisi kwangu imekua ndivyo ilivyo❤
@user-po5wy5cs7r
@user-po5wy5cs7r Ай бұрын
Mm ninao nawao wamefanana asante mungu
@user-yz6fs2wi3e
@user-yz6fs2wi3e 4 ай бұрын
My favourite couples, perusi na mumewe wana kipawa cha uimbaji na uchezaji jmn nawapenda sna
@rhodanangoma7386
@rhodanangoma7386 9 ай бұрын
Beautiful 🎉
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 9 ай бұрын
Mashaa allah wamefanana.
@user-nt3xx8vq6u
@user-nt3xx8vq6u 6 ай бұрын
Mwenynzi mungu nibariki siku moj namimi nipate mapacha3
@liliannyagawa7777
@liliannyagawa7777 9 ай бұрын
Wow pelus wangu nakukubali kipenzi 😊
@HusnaAthumani-nm4ye
@HusnaAthumani-nm4ye Ай бұрын
M pia nataman nje kuwa mama wa watoto mapacha naiman mng at ckia maomb yng🤲
@carolinenyanchama8109
@carolinenyanchama8109 9 ай бұрын
Soo beautiful ❤
@ernestmathias9773
@ernestmathias9773 5 ай бұрын
Tulisoma wote mrangu ttc congrants ntele david
@salmasudi8901
@salmasudi8901 3 ай бұрын
Mungu nijalie na Mm mtu anipende tufunge ndoa na sie🥹❤❤maa shaa Allah
@joycemushi3577
@joycemushi3577 8 ай бұрын
Namuomba Mungu anipe na mimi mapacha kama hawa Jamani Hadi rahaa wamefanana n bibi Arusi uko vizuri 🎉❤
@nickodemsimchimba594
@nickodemsimchimba594 8 ай бұрын
Acha umalaya kwahyo unataka wanaume wote wawili wakulale
@joycemushi3577
@joycemushi3577 8 ай бұрын
Wewe unamaanisha nini kusema wanaume wote wawili wakulale?
@manyakuulaompondelo4419
@manyakuulaompondelo4419 8 ай бұрын
Ukiangalia vizuri ndevu wamemtia tofauti.
@JaneAlly-j4t
@JaneAlly-j4t 20 күн бұрын
Nashukuru Mungu kwakunipatia mapacha kama hao nazidi kuomba Mungu azidi kuwakuza
@halimahbwelele694
@halimahbwelele694 9 ай бұрын
Mpka mwenyew kachanganyikiwa du😂❤
@scholasticathomas8357
@scholasticathomas8357 8 ай бұрын
😂😂😂😂ila beb alikuwa anacheka😂😂kwa akili zangu ninavyozijua ningeshindwa haki😂
@user-rb9wl4zq3e
@user-rb9wl4zq3e 5 ай бұрын
Mungu naomba na me nipate twins wa kufanana ❤❤❤❤❤❤❤
@CecyliahCruzy-op3ox
@CecyliahCruzy-op3ox 9 ай бұрын
Mhmhmh kabsa mtu mtu wako hushindwe mjua aaah so kwel hata feelings tu all in all congrats 🥰🤗
@hamisiharuna3099
@hamisiharuna3099 9 ай бұрын
Wewe hujawahi kuona mapacha wanaofanana, wakiwa washenzi wanaweza wakakula wote kwa zamu na uaijue kamwe hayo tumeisha yaona sana
@Gladivester
@Gladivester 3 ай бұрын
Wamependeza very nice
@sophiapeter7843
@sophiapeter7843 9 ай бұрын
Saafi biharusi mtarajiwa mzuri Sana na anajiheshimu
@nancyg8664
@nancyg8664 9 ай бұрын
We umejuaje kwenye kujiheshim hapo
@sophiapeter7843
@sophiapeter7843 9 ай бұрын
@@nancyg8664 nalo swali ila nimedanganywa na sura na muonekano.
@messiasulleydidy2585
@messiasulleydidy2585 8 ай бұрын
Kabisaa Dada wa watu anajiheshimu sanaa
@user-ms8il5mn6n
@user-ms8il5mn6n 5 ай бұрын
Mungu naomba na Mimi ck ni baliki nije kuzaa mapacha
@JofreyDamson-nm6ec
@JofreyDamson-nm6ec Ай бұрын
Mungu aje anipe namimi mapacha nawapenda sanaaaaaa
@KailimaMihiko-fn8mn
@KailimaMihiko-fn8mn 8 ай бұрын
So much for the God of the day
@zainabuibrahim4766
@zainabuibrahim4766 5 ай бұрын
Mashaallah.namimi ni pacha nimefurahi mno
@maligeltabatholomeo8128
@maligeltabatholomeo8128 8 ай бұрын
Mimi nilijua tu kwa ishata ya kucheka sana
@user-wl3kb1ef6u
@user-wl3kb1ef6u 4 ай бұрын
Mnependeza so nice
@user-uo7qi8mg3m
@user-uo7qi8mg3m 8 ай бұрын
Waaoooo nice Bibi harus amshukur xhemel maana....🎉🎉🎉🎉
@samuelrondo8006
@samuelrondo8006 3 ай бұрын
Congratulations 🎊🎉🎊🎉
@DianaKatembo
@DianaKatembo 9 ай бұрын
amaizing sanaaaa!!!!!!❤❤❤❤
@UmayyaNkya-ze3ri
@UmayyaNkya-ze3ri 9 ай бұрын
Mbona wanafanana sana🤣🤣
@geofreysekei7792
@geofreysekei7792 8 ай бұрын
Kasaidiwa na shemeji yake mara mbili bila hivyo hakuwa na uwezo wa kuwatogautisha sana ila nimeipenda
@CHARLESAMISI-tl4td
@CHARLESAMISI-tl4td 29 күн бұрын
❤naipenda sana ❤
@blackwarrior-animations593
@blackwarrior-animations593 9 ай бұрын
Goatee zao ziko tofauti....Kuna Mmoja zimepanda mpaka Juu ...mwengine ziko chinichini tu
@user-ur8bu2sz2o
@user-ur8bu2sz2o 9 ай бұрын
Kweli bint alikuwa making hongera
@RandB_Channel
@RandB_Channel 9 ай бұрын
Jamani hawa wamapasa sio kwakufanana du . Ingekuwa miye sijuwi kama ningemujuwa jamani Huyu Mungu anajuwa kuumba kweli hawa miye takuwa tu nauliza mmewangu niyupi ju nisije ndaganyika
@lelaiddy6856
@lelaiddy6856 9 ай бұрын
Yaaani ni kweli sema mmoja mfupi mwingine mrefu..mm mapacha wangu wa kike wanafanana saaaana na kimo kiko sawa ..hadi mwenyewe nashindwa kuwatambua haraka mpka niwaangalie kuna mmoja ana alama ya baka mkononi..ndo nijue nani ni nani
@RandB_Channel
@RandB_Channel 9 ай бұрын
@@lelaiddy6856 hatari sana iyo Mungu niwahajabu sana
@SHANIATHVEDASTO
@SHANIATHVEDASTO 10 күн бұрын
Woow dada kaweza
@veronicawilsonmbwambo1054
@veronicawilsonmbwambo1054 8 ай бұрын
Yaani mlipendeza halafu ulikuwa mtengo 👏👏
@jameskilasa759
@jameskilasa759 9 ай бұрын
Ila mmoja katumia ishara bila hivyo asingejua
@user-hg7ct2uc9j
@user-hg7ct2uc9j 9 ай бұрын
Kweli
@graciellaYerry-hi2ky
@graciellaYerry-hi2ky 6 ай бұрын
jaman so beautiful❤❤❤❤❤❤❤
@janethjohn7053
@janethjohn7053 9 ай бұрын
Wa kwanza kaka taa sio yeye kwa kutingisha kichwa
@Ellymeener
@Ellymeener 2 ай бұрын
Mungu anipe mapacha
@nicksonjoseph7696
@nicksonjoseph7696 9 ай бұрын
Uko vizuri
@asteriashios1852
@asteriashios1852 3 ай бұрын
Mapacha ni inshu wakifanana kuwatambua balaa ila mmoja alionyesha ishara mpendenza sana hongereni suti zenu zimewapendenza balaa
@janethkawishe9368
@janethkawishe9368 8 ай бұрын
Mmoja kamzidi mwenzake urefu kidogo
@hanifamkombole9587
@hanifamkombole9587 9 ай бұрын
Hadi raha jamn
@user-dh4uo1tl6y
@user-dh4uo1tl6y 6 ай бұрын
Nipe hii baraka we Mungu
@WilfredPeter-ee1lq
@WilfredPeter-ee1lq 2 ай бұрын
Mpaka nawaonea wivu❤️
@berthabarozi
@berthabarozi 8 ай бұрын
Mungu wetu ni mwaminifu
@ZawadiKarabu-ln1uc
@ZawadiKarabu-ln1uc 9 ай бұрын
Mungu hakukosea kwkwel
@user-cc2ie4ey1c
@user-cc2ie4ey1c 9 ай бұрын
Nywele zao ziko tofauti kidogo ni rahisi kujua 😅😅
@sportsnewjs4330
@sportsnewjs4330 9 ай бұрын
😂😂😂😂😂 hii rahaa sanaa😂😂
@asshuramussa4359
@asshuramussa4359 5 ай бұрын
Mungu unaishi na me nipate pacha wanaofanana sana
@KailimaMihiko-fn8mn
@KailimaMihiko-fn8mn 8 ай бұрын
Jamani maashalah
@user-fy9pw2zr8l
@user-fy9pw2zr8l 7 ай бұрын
hawa hawafanani huo wakushoto ana macho makubwa
@user-yi4vn3ov4o
@user-yi4vn3ov4o 8 ай бұрын
nice nimependa bure yan
@user-io8oy4ld3b
@user-io8oy4ld3b 9 ай бұрын
Saa zipo tofauti uenda ilikuwa ndo inshara😂
@belladorakamangila5935
@belladorakamangila5935 9 ай бұрын
Wow❤
@iptysamuwesu2910
@iptysamuwesu2910 9 ай бұрын
😂😂😂alaaa mbn shemeji kampa ishara au nimeona vibaya jmn
@suzanfelix6320
@suzanfelix6320 9 ай бұрын
Huyu alivyoanza kucheka nikagundua sio yy japo bint alitaka kujichsnfanya na alivyotikisa kichwa kukaata ilimpa bint kugundua kwamba sio yey
@user-qq2db1zj7h
@user-qq2db1zj7h 6 ай бұрын
Nice nice♥️👏
@TamalyMichael
@TamalyMichael 25 күн бұрын
Haraf ni uongo huo Jaman usimjue anae kunanii kwel kwenda😅
@GodwinSamwely
@GodwinSamwely 4 ай бұрын
3:05 kabisa kamuonesha na vidoro
@sarahpius8310
@sarahpius8310 8 ай бұрын
Waha pg keleleeee❤❤😂
@davidjackson448
@davidjackson448 7 ай бұрын
Noma sana hy ila imekaa vyema sana hongera kwa mc
@ZenaYahaya-sw3oh
@ZenaYahaya-sw3oh 8 ай бұрын
Mbaka raha jamani na mm natamani mapacha 👨‍👩‍👧‍👦👨‍👩‍👧‍👦
@lyimokajufa8050
@lyimokajufa8050 8 ай бұрын
Khaaaaa mm ningeshindwa kumjua🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@MasheheMnkande
@MasheheMnkande 3 ай бұрын
Mwenye mke anatabasamu tu kila muda hata mm ningemjua
@magrethyeremia2279
@magrethyeremia2279 9 ай бұрын
Mrefu na mfupi😂😂
@christinajisena2634
@christinajisena2634 9 ай бұрын
Ningefeli haki😂
@maligeltabatholomeo8128
@maligeltabatholomeo8128 8 ай бұрын
Mmoja anapenda kucheka mmoja kinuno
@AmeenaTanzania
@AmeenaTanzania 9 ай бұрын
Nimeona shemeji alikuwa anakataa kwa kichwa kuwa cyo yy ila wamependeza sana
@user-vl5hl6vq1n
@user-vl5hl6vq1n 8 ай бұрын
Ukitazama kwa makini sana bwana harus aliachia tabasmu fuln hv la ishara wakt bb hars anamtzam husoni😂😂😂😂😂
@teresabarongo5745
@teresabarongo5745 6 ай бұрын
Wow 🎉
@user-no1wy8rw6p
@user-no1wy8rw6p 9 ай бұрын
Izo ndevu hazifanani jmn angalien vizur pia saa
@user-dm7jf4qb7u
@user-dm7jf4qb7u 9 ай бұрын
Mbona ishara
@user-jp5vk5mk3s
@user-jp5vk5mk3s 4 ай бұрын
Hallelujah
@user-wv7hd8tu6t
@user-wv7hd8tu6t 9 ай бұрын
Mapacha ukiwazoea unawatabua hata bila alama
@DamarisDuuTausi
@DamarisDuuTausi 5 ай бұрын
Kali hiyo
@joyceabeli3787
@joyceabeli3787 9 ай бұрын
Mmoja mrefu mwingine mfupi
@monicapeter9065
@monicapeter9065 9 ай бұрын
Pia waupande wa kushoto mnene kiasi mwenzake mwembamba kiasi
@magrethyeremia2279
@magrethyeremia2279 9 ай бұрын
Wana tofaut kidgo
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 60 МЛН
39kgのガリガリが踊る絵文字ダンス/39kg boney emoji dance#dance #ダンス #にんげんっていいな
00:16
💀Skeleton Ninja🥷【にんげんっていいなチャンネル】
Рет қаралды 7 МЛН
ТАМАЕВ УНИЧТОЖИЛ CLS ВЕНГАЛБИ! Конфликт с Ахмедом?!
25:37
“ALI KAMWE SIO BOSS WANGU” MANARA AVUNJA UKIMYA
4:23
Millard Ayo
Рет қаралды 10 М.
PENZI LA MTOTO WA BOSS 💞 NA DADA WA KAZI  | Love Story
40:44
Namna Sia alivomtambua Mume wake mtarajiwa.
7:06
4Designs studios
Рет қаралды 197 М.
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 60 МЛН