Nawapendaga sana Mapacha kama hawa' Ee YARABBI Nijaalie na Mimi nipate Mapacha kama hawa' YARABBI🤲🤲🤲🤲🤲🤲
@mohammedhussein67489 ай бұрын
Amin
@user-uh7to2kw2z9 ай бұрын
Salama ACHA t2 mm mwenyew nawatakia Ila mungu atatupa t2 tuendee kumuomba🙏🤝
@SalamaNauthar9 ай бұрын
@@user-uh7to2kw2z In-shaa Allah🤲🤲🤲
@user-xh8zm8pw2p9 ай бұрын
Amen 🙏
@sammohung15069 ай бұрын
Njoo mm hapa pacha
@janethmnali72618 ай бұрын
Mbingu zinaona na ardhi ikawe shahidi siku Moja na mm nikawe mama wa mapacha wanaofanana ee Mungu tia muhuri ktk hili
@bravinmugabe86568 ай бұрын
Wow I like your confidence
@nickodemsimchimba5948 ай бұрын
Hata mimi napenda Sana watoto mapacha😍😍
@happinesspatrickkuziwa64008 ай бұрын
Najishikamanisha na maneno haya yamekua kwangu katika jina la Yesu na yamewekwa muhuri wa damu ya Yesu
@annethycyprian35208 ай бұрын
amina
@wilfredmwakatwila62958 ай бұрын
Mungu wetu ni mwaminifu aombae atapewa Muombe na atakupatia hitaji LA moyo wako
@neemagodfrey11188 ай бұрын
Aiseeeeee hahahaha nimekumbuka mbali sana...mchumba wangu mm ni mapacha, ilinichukia muda kumtofautisha maana ni brian kwa briton, walifanana kila kitu mpka dimpo wote walikuwa nayo, ilinifanya mpka kuna wakat nikimuona mmoja wao inanilazim nikae kwa kutulia mpka nione action zake, maana wa kwangu ni mpole lkn shemeji ni muongeaj, lkn siku wakiamua kukaa kimya nachanganyikiwa 😂😂😂😂😂......so nilianza kwa kuwachunguza tofauti zao na hapo ni miaka miwili imepita, so nilianza kutafuta tofaut zao ukiachana na uchangamf Lkn nilikuja kugundua utofaut wao mkubwa ni macho, 😂😂😂😂😂...mmoja macho yake akikuangalia sana yanageuka kuwa makengeza na mwengine ni kawaida japo pia yamefanana sana😅😅😅😅na hii mpka leo nisipodeal na macho nachanganyikiwa sana
@elizabethgabriel15028 ай бұрын
😂😂😂🙌
@neemagodfrey11188 ай бұрын
Yaan naomba MUNGU tu shemeji asiniigizie kma yeye ni mlengwa maana itakuwa hatar sana ...maana akijifanya mpole tuu nimeisha hahahahaah
@elizabethgabriel15028 ай бұрын
@@neemagodfrey1118 Unaweza ukaumbuka 😂😂😂
@neemagodfrey11188 ай бұрын
Hahaha hahaha hahaha
@elizabethgabriel15028 ай бұрын
@@neemagodfrey1118 😁😁
@sahhgdsag49498 ай бұрын
Nami mungu nijaliee tumbo langu kishike mapacha kama hawa
@FatmaRashid-bq6yx8 ай бұрын
Amin
@brunoh_bx6 ай бұрын
Msiwe mnatumia sindano za kuzuia mimba sasa
@bibianachomba15858 ай бұрын
Mungu nijalie nami mapacha waje wafute machozi yangu
@neemageorge32708 ай бұрын
I love this, Ila huu mtihani mgumu aki 😊..
@agneskomba39168 ай бұрын
As long as ni pacha hata ningekosea tungesolve mbele Kwa mbele 😂😂😂😂
@OleboElias3 ай бұрын
Hongera sanaa kipenz hongera ikawe her kwako
@WelimaNyamwanja2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@vanessajames21929 ай бұрын
I can't wait to see my two boys
@user-ew6sj8ft8b3 ай бұрын
Hongera ndugu zangu wa kisarawe nimepata faraja sana kuwaona Brothers long time since 2012
@lusekelodaison81599 ай бұрын
Utofauti wa kwanza hata style yao ya ndevu iko tofaut 🤣🤣
@Robbyonline099 ай бұрын
Congratulations Bro David
@user-jr4wn3ov6c9 ай бұрын
Hata ningekuwa mimi nisingekubali shemeji aaibike ishara mhim
@andrewmadaga79138 ай бұрын
😍😍😂 DJ apewe mauwa yake 🎉🎉 pia maan kaitendea haki hii segment 😊😊🔥🔥🙌🏿
@timothysamweli88085 ай бұрын
hongera Sana college mate, MUNGU akawape furaha katika Safari yenu hii mpya na maisha mema
@Devothakimei3 ай бұрын
Hongera sanaa teacher. Binafsi mlikuwa mnanichanganya. Hata hapo nimekosea nilijua bwana harusi ni aliyeondoka😂😂😂😂😂😂😂😂
@magejay47159 ай бұрын
Wahooo ❤❤❤ beautiful 🎉🎉
@irenepeter17468 ай бұрын
Hongera president wetu kljs kwa hatua I .I wish nipate mapacha wakufanana
@nathaliamakunga36348 ай бұрын
Hongera sana choir master David ntelee🎉🎉🎉🎉
@dorcassmarco34252 ай бұрын
Mama yangu mungu akupe maisha marefu kwa kunizaa tukiwa mapacha jaman hakuna kit kizur kama kuzaliwa mapacha 🥰🥰
@jescajoshua63438 ай бұрын
😂😂😂bebe alikua ana tabasamu sana nilihisi kumbe kuhisi kwangu imekua ndivyo ilivyo❤
@user-po5wy5cs7rАй бұрын
Mm ninao nawao wamefanana asante mungu
@user-yz6fs2wi3e4 ай бұрын
My favourite couples, perusi na mumewe wana kipawa cha uimbaji na uchezaji jmn nawapenda sna
@rhodanangoma73869 ай бұрын
Beautiful 🎉
@myunaniniahmad64639 ай бұрын
Mashaa allah wamefanana.
@user-nt3xx8vq6u6 ай бұрын
Mwenynzi mungu nibariki siku moj namimi nipate mapacha3
@liliannyagawa77779 ай бұрын
Wow pelus wangu nakukubali kipenzi 😊
@HusnaAthumani-nm4yeАй бұрын
M pia nataman nje kuwa mama wa watoto mapacha naiman mng at ckia maomb yng🤲
@carolinenyanchama81099 ай бұрын
Soo beautiful ❤
@ernestmathias97735 ай бұрын
Tulisoma wote mrangu ttc congrants ntele david
@salmasudi89013 ай бұрын
Mungu nijalie na Mm mtu anipende tufunge ndoa na sie🥹❤❤maa shaa Allah
@joycemushi35778 ай бұрын
Namuomba Mungu anipe na mimi mapacha kama hawa Jamani Hadi rahaa wamefanana n bibi Arusi uko vizuri 🎉❤
@nickodemsimchimba5948 ай бұрын
Acha umalaya kwahyo unataka wanaume wote wawili wakulale
@joycemushi35778 ай бұрын
Wewe unamaanisha nini kusema wanaume wote wawili wakulale?
@manyakuulaompondelo44198 ай бұрын
Ukiangalia vizuri ndevu wamemtia tofauti.
@JaneAlly-j4t20 күн бұрын
Nashukuru Mungu kwakunipatia mapacha kama hao nazidi kuomba Mungu azidi kuwakuza
@halimahbwelele6949 ай бұрын
Mpka mwenyew kachanganyikiwa du😂❤
@scholasticathomas83578 ай бұрын
😂😂😂😂ila beb alikuwa anacheka😂😂kwa akili zangu ninavyozijua ningeshindwa haki😂
@user-rb9wl4zq3e5 ай бұрын
Mungu naomba na me nipate twins wa kufanana ❤❤❤❤❤❤❤
@CecyliahCruzy-op3ox9 ай бұрын
Mhmhmh kabsa mtu mtu wako hushindwe mjua aaah so kwel hata feelings tu all in all congrats 🥰🤗
@hamisiharuna30999 ай бұрын
Wewe hujawahi kuona mapacha wanaofanana, wakiwa washenzi wanaweza wakakula wote kwa zamu na uaijue kamwe hayo tumeisha yaona sana
@Gladivester3 ай бұрын
Wamependeza very nice
@sophiapeter78439 ай бұрын
Saafi biharusi mtarajiwa mzuri Sana na anajiheshimu
@nancyg86649 ай бұрын
We umejuaje kwenye kujiheshim hapo
@sophiapeter78439 ай бұрын
@@nancyg8664 nalo swali ila nimedanganywa na sura na muonekano.
@messiasulleydidy25858 ай бұрын
Kabisaa Dada wa watu anajiheshimu sanaa
@user-ms8il5mn6n5 ай бұрын
Mungu naomba na Mimi ck ni baliki nije kuzaa mapacha
@JofreyDamson-nm6ecАй бұрын
Mungu aje anipe namimi mapacha nawapenda sanaaaaaa
@KailimaMihiko-fn8mn8 ай бұрын
So much for the God of the day
@zainabuibrahim47665 ай бұрын
Mashaallah.namimi ni pacha nimefurahi mno
@maligeltabatholomeo81288 ай бұрын
Mimi nilijua tu kwa ishata ya kucheka sana
@user-wl3kb1ef6u4 ай бұрын
Mnependeza so nice
@user-uo7qi8mg3m8 ай бұрын
Waaoooo nice Bibi harus amshukur xhemel maana....🎉🎉🎉🎉
@samuelrondo80063 ай бұрын
Congratulations 🎊🎉🎊🎉
@DianaKatembo9 ай бұрын
amaizing sanaaaa!!!!!!❤❤❤❤
@UmayyaNkya-ze3ri9 ай бұрын
Mbona wanafanana sana🤣🤣
@geofreysekei77928 ай бұрын
Kasaidiwa na shemeji yake mara mbili bila hivyo hakuwa na uwezo wa kuwatogautisha sana ila nimeipenda
@CHARLESAMISI-tl4td29 күн бұрын
❤naipenda sana ❤
@blackwarrior-animations5939 ай бұрын
Goatee zao ziko tofauti....Kuna Mmoja zimepanda mpaka Juu ...mwengine ziko chinichini tu
@user-ur8bu2sz2o9 ай бұрын
Kweli bint alikuwa making hongera
@RandB_Channel9 ай бұрын
Jamani hawa wamapasa sio kwakufanana du . Ingekuwa miye sijuwi kama ningemujuwa jamani Huyu Mungu anajuwa kuumba kweli hawa miye takuwa tu nauliza mmewangu niyupi ju nisije ndaganyika
@lelaiddy68569 ай бұрын
Yaaani ni kweli sema mmoja mfupi mwingine mrefu..mm mapacha wangu wa kike wanafanana saaaana na kimo kiko sawa ..hadi mwenyewe nashindwa kuwatambua haraka mpka niwaangalie kuna mmoja ana alama ya baka mkononi..ndo nijue nani ni nani
@RandB_Channel9 ай бұрын
@@lelaiddy6856 hatari sana iyo Mungu niwahajabu sana
@SHANIATHVEDASTO10 күн бұрын
Woow dada kaweza
@veronicawilsonmbwambo10548 ай бұрын
Yaani mlipendeza halafu ulikuwa mtengo 👏👏
@jameskilasa7599 ай бұрын
Ila mmoja katumia ishara bila hivyo asingejua
@user-hg7ct2uc9j9 ай бұрын
Kweli
@graciellaYerry-hi2ky6 ай бұрын
jaman so beautiful❤❤❤❤❤❤❤
@janethjohn70539 ай бұрын
Wa kwanza kaka taa sio yeye kwa kutingisha kichwa
@Ellymeener2 ай бұрын
Mungu anipe mapacha
@nicksonjoseph76969 ай бұрын
Uko vizuri
@asteriashios18523 ай бұрын
Mapacha ni inshu wakifanana kuwatambua balaa ila mmoja alionyesha ishara mpendenza sana hongereni suti zenu zimewapendenza balaa
@janethkawishe93688 ай бұрын
Mmoja kamzidi mwenzake urefu kidogo
@hanifamkombole95879 ай бұрын
Hadi raha jamn
@user-dh4uo1tl6y6 ай бұрын
Nipe hii baraka we Mungu
@WilfredPeter-ee1lq2 ай бұрын
Mpaka nawaonea wivu❤️
@berthabarozi8 ай бұрын
Mungu wetu ni mwaminifu
@ZawadiKarabu-ln1uc9 ай бұрын
Mungu hakukosea kwkwel
@user-cc2ie4ey1c9 ай бұрын
Nywele zao ziko tofauti kidogo ni rahisi kujua 😅😅
@sportsnewjs43309 ай бұрын
😂😂😂😂😂 hii rahaa sanaa😂😂
@asshuramussa43595 ай бұрын
Mungu unaishi na me nipate pacha wanaofanana sana
@KailimaMihiko-fn8mn8 ай бұрын
Jamani maashalah
@user-fy9pw2zr8l7 ай бұрын
hawa hawafanani huo wakushoto ana macho makubwa
@user-yi4vn3ov4o8 ай бұрын
nice nimependa bure yan
@user-io8oy4ld3b9 ай бұрын
Saa zipo tofauti uenda ilikuwa ndo inshara😂
@belladorakamangila59359 ай бұрын
Wow❤
@iptysamuwesu29109 ай бұрын
😂😂😂alaaa mbn shemeji kampa ishara au nimeona vibaya jmn
@suzanfelix63209 ай бұрын
Huyu alivyoanza kucheka nikagundua sio yy japo bint alitaka kujichsnfanya na alivyotikisa kichwa kukaata ilimpa bint kugundua kwamba sio yey
@user-qq2db1zj7h6 ай бұрын
Nice nice♥️👏
@TamalyMichael25 күн бұрын
Haraf ni uongo huo Jaman usimjue anae kunanii kwel kwenda😅
@GodwinSamwely4 ай бұрын
3:05 kabisa kamuonesha na vidoro
@sarahpius83108 ай бұрын
Waha pg keleleeee❤❤😂
@davidjackson4487 ай бұрын
Noma sana hy ila imekaa vyema sana hongera kwa mc
@ZenaYahaya-sw3oh8 ай бұрын
Mbaka raha jamani na mm natamani mapacha 👨👩👧👦👨👩👧👦
@lyimokajufa80508 ай бұрын
Khaaaaa mm ningeshindwa kumjua🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@MasheheMnkande3 ай бұрын
Mwenye mke anatabasamu tu kila muda hata mm ningemjua
@magrethyeremia22799 ай бұрын
Mrefu na mfupi😂😂
@christinajisena26349 ай бұрын
Ningefeli haki😂
@maligeltabatholomeo81288 ай бұрын
Mmoja anapenda kucheka mmoja kinuno
@AmeenaTanzania9 ай бұрын
Nimeona shemeji alikuwa anakataa kwa kichwa kuwa cyo yy ila wamependeza sana
@user-vl5hl6vq1n8 ай бұрын
Ukitazama kwa makini sana bwana harus aliachia tabasmu fuln hv la ishara wakt bb hars anamtzam husoni😂😂😂😂😂
@teresabarongo57456 ай бұрын
Wow 🎉
@user-no1wy8rw6p9 ай бұрын
Izo ndevu hazifanani jmn angalien vizur pia saa
@user-dm7jf4qb7u9 ай бұрын
Mbona ishara
@user-jp5vk5mk3s4 ай бұрын
Hallelujah
@user-wv7hd8tu6t9 ай бұрын
Mapacha ukiwazoea unawatabua hata bila alama
@DamarisDuuTausi5 ай бұрын
Kali hiyo
@joyceabeli37879 ай бұрын
Mmoja mrefu mwingine mfupi
@monicapeter90659 ай бұрын
Pia waupande wa kushoto mnene kiasi mwenzake mwembamba kiasi