Allah atakujalia utapata mtoto ila usiamini imani za kishirikina. Allah tu ndo mwenye uwezo wa kuruzuku mtoto na kwa maneno haya Insha Allah utapata mtoto
@Awatee3 жыл бұрын
Subhanallah ALLAH atulinde na atuhifadh na shirki tumuombe ALLAH ndie muweza wa kila kitu hakuna mganga mkubwa zaid ya ALLAH mtihan shirki ni dhulma kubwa tubu kwa mola wet ni mwingi wa Rehema na kusamehe 😢😢😢
@suleiphwaupendo1030 Жыл бұрын
Imani yangu kwaiyo dr Ayubu uiongoze zanzibar Allah afanye weeps juu ya hili
@hanifatanzania72583 жыл бұрын
😳Mtoto anatoa mganga subuhanallah nyanyuka usiku Muombe Allah mbembeleze Allah mlilie Allah utapata kwa huruma WA Allah lnshallah
@leightontanner19783 жыл бұрын
I guess it is kinda off topic but do anybody know a good place to stream newly released movies online ?
@augustusadriel10323 жыл бұрын
@Leighton Tanner i would suggest flixzone. Just search on google for it =)
@damaridamien33673 жыл бұрын
@Leighton Tanner i use FlixZone. You can find it on google =)
@yasminjuma6633 жыл бұрын
Hayo Mambo yapo kweli utapeli . Nna Kaka angu alitoa pesa zake zote alizopokea kiinua mgongo.. sijuwi walimdanganya vipi alienda nao Hadi bank na akatoa pesa zote akawapa...mtihani Allah atuhifadhi amin
@hanifatanzania72583 жыл бұрын
Subuhanallah binaadam wengine Hawa huruma awaogopi zurma
@zaytunhijja67713 жыл бұрын
Kumbe huu mchezo bado unaendelea duh, m/mungu atawafanyia wepesi mtapata kizazi kilichochema inshallah
@sabihahamadi22872 жыл бұрын
Mtihani mwenyezi mungu wanusuru na utapeli watoto wetu
@jacksonamos20083 жыл бұрын
Hongera Kwa kumkamata nawachukia mataperi hatari.
@thresherjordan68292 жыл бұрын
Mwenyew bado mdog masikin mungu atakujalia mapacha mara tatuuu baba mungu waoneee hawa 🤲🤲🤲
@MohdAli-mo9bt3 жыл бұрын
Dah Allah atasaidia ishallah
@swalehalfarsy61213 жыл бұрын
Ukome na ww... unataka kumshirikisha allah kisa unatka mtoto.. tangulini mtoto akapatikana kwa mganga.. ndio maana tumefaradhishiwa kusoma Ili ujingaaa kama huu tuepukane nao.. tutaenda kuuliza na allah umeish miaka 60 umeetumikiaje miaka 60 yko ulipo kua dunian.. tunaish kwa mazoea hatujui sheria allah alizo tuteremshia kwsabab dunia imetuandama vichwan kwetu... wallah inasikitisha sana.. allah akuongoze na atuongoze kwa sote na atujalie mwisho mwema 🤲
@fatmakhanii16763 жыл бұрын
Mtihani jamani hawa sjui wanatumia dawa gani hee watu hawaogopi kama kifo subhana Allah
@awenasuleiman45193 жыл бұрын
Pole kaka Allah atakupa mwenye kheri na ww
@abubakarmuhammadsaid32443 жыл бұрын
Kila munachokitaka muombeni Allah tu, mutapata. "Suratu israai 110"
@kautharjadid42873 жыл бұрын
Masikini nyee kumbe watu wanatafuta mtoto kwa Hali na Mali dah basi mm atakama Sina mtoto naona kitu cha kawaida tuu polesana kaka Allah atakupa mtoto mwema lakini usiamini ushirikina kwanza sikuhizi watoto wenyewe hawasikii usilazimishe kupata mtoto
@nabilsuleimanhaji24373 жыл бұрын
mtoto ni muhimu tuombeana duwaaa
@solomonadams63373 жыл бұрын
huyu Police sio Mzanzibar kwani hakuna Police Wazanzibar mbona wageni wengi katika visiwa¿hawa baadae sii watakuja kuvichukua visiwa¿baada ya miaka kumi na Wao Wazanzibar...duuuuuh hii hatari sana,hapa UK 🇬🇧 tayari washafukuza wageni...thanks
@abdulmohd68803 жыл бұрын
Vyuma vimekaza sn kila mmoja anajiengeza ili life lisonge😂 baada kuwa muwape wananchi pesa watumie eti muntaka kujenga mi flyover
@nuhhumwakanyamale47713 жыл бұрын
Njoo ghetto nikupe
@bizuwena6233 жыл бұрын
DUNIA INA SIRI.ALLAH ATUHIFADHI NA UMATAPELI NA KUTULINA NA SHIRKI.TAFUTA TIBA ZA KISHERIA.
@salmaelhinai8333 жыл бұрын
Allah akujaalie upate mtoto mwenyekheri na wewe na uache kuamini ushirikina
@mwanalikhamis98753 жыл бұрын
Amin amin mtoto waheri mjaalie ampe mtoto mwwma
@mundhiribrahim62923 жыл бұрын
Allwah atakujaliya mtoto.wakheri nawewe bado mdogo wewe
@kulthumabdalla39583 жыл бұрын
Pole Ila amini kua mola ndie kila kitu pia elewa ndoa ni sheria kuzaa. Majaaliwa
@maryamabdullah91693 жыл бұрын
Vijana hawataki kufanya kazi kazi yao wanataka Utapeli tuu
@omaar56933 жыл бұрын
Kwani huko unakofanya kazi majini wanaajiriwa?🙄
@abdallahkhamis95973 жыл бұрын
K tv tunataka no zenu
@manja76843 жыл бұрын
Usilazimishe kupata mtoto KM ALLAH HAJAKUJAALIA
@massoudhaji69323 жыл бұрын
Allah ndie pekee hutoa watoto , wake kwa waume
@MohamedMahmoud-ze7cn3 жыл бұрын
Mm nimeshafanyiwa km huyu jamaa Ila nimemwachia mungu Kwan yy ndio Hakim wa haki naamin aliyeniibia Allah atanilipia Kwan malipo ni dunian
@masturakhamis35043 жыл бұрын
sasa kwann hamutuonesh sura huyo tapel
@hamil78953 жыл бұрын
Ni mzoefu na nimeshackia story km hzi sn kw watu, aaliwahi kumpigia bibi yangu story zke km izo nikamwambia tapeli uyo na alhamdulillah leo amepatikana
@sharrifidris34222 жыл бұрын
Hapa Kenya matapeli wengi wanakuja na style hiyo kutoka tz.waganga wengi ni wezi
@hamadykhamisi40093 жыл бұрын
Mhuu mtihani wallah
@abdallasaleh23033 жыл бұрын
😃😃 dahh mtihani mkubwa
@seifmohamed8363 жыл бұрын
wapewe kesi ya uhuju uchumi ili wakome washike akili zao👅🦷🦷🦷 kimeumana na Rc Ayub na bwana tapeli jini duhhh anaendesha vespa
@raymahssirymahssir30843 жыл бұрын
Pole san Belve Allah
@jumasaid32283 жыл бұрын
Ktv rekebisheni Mc yenu haiko Sawa samahanini lakini
@rashidally21333 жыл бұрын
Jini mmoja kabambwaaa
@MrKhatibu3 жыл бұрын
Mkubwa HERI, HAJI OMAR HERI from Tumbatu
@khamisijuma17743 жыл бұрын
Sio mtumbatu huyu anajiita tu
@kiri58073 жыл бұрын
mijitu haitaki kujituma kazi wizi . wanatumia mazingaumbwe hao huzinduki mpaka kushaibiwa
@khamisrubea50833 жыл бұрын
Jini hapigi cm !
@mbarakali47263 жыл бұрын
Polee shida izoo jmni
@salimshaib8793 жыл бұрын
Huyo muhalifu munamuogopaaa mbona hatumuoni......ni vzur kujuulikan ili watu wamuelewe
@eenpaard39153 жыл бұрын
Munazingua na mic banaa aaah
@hajihassan54333 жыл бұрын
Sikoment chochote kwa ujinga huu, Jini na kupiga simu?
@jacksonamos20083 жыл бұрын
Hatari
@2pacshakur9123 жыл бұрын
Tumuamini Allah tuache imani za kishirikina.
@ayuburajabsilima95653 жыл бұрын
Kaz inaendelea
@manyotaskipper57653 жыл бұрын
Sasa HAPO UNAWAPONGEZA NINI POLISI WAKATI KAZI YA KUMKAMATA IMEFANYWA NA RAIA WENYEWEEEW MBONA MNATAKA KUWATIA UJINGA POLISI
@abubakarwadi57733 жыл бұрын
Ah mnazingua zenjibar mbonahuyo mini hamutuonyeshi ah
@jakayamati35103 жыл бұрын
Cyo zenjbar hii ni k tv online
@kiri58073 жыл бұрын
watu hawa washawahi kumtoa mtu pba tena kizee akaambiwa asimwambie mtu akaipanda meli pekee na kawaida huwa anasafiri na mtu akafikia kwa mjukuu wske znz .akashituka yule mjukuu mbona ghafla na mbona peke yako? akataa kila skimdadisi akataa , sasa na pale hawezi kutoka pekeake kwanza hajui pakuelekea ikabidi amwambie mjukuu ampeleke mahali ikisha amsubiri yeye ende wakakubsliana hivyo kwa bahati mjukuu akawaarifu police bibi hajui walipokuja wakakamatwa . ila police ya kwetu itakuwa waliwaachia na sijui km sio hawa.
@munasuleyman31593 жыл бұрын
Ndugu yangu kama Allah hakukupa mtoto sio zizki yako maskini pole
@murattywamuratty97782 жыл бұрын
Utapata mtoto Insha Allah ila hakuna mtu mwenye uwezo wa kukupa mtoto ispo kuwa ni kumuomba Mungu na kadar zake kuweza kukupa mtoto kwa wakati alio upanga yeye Mungu.
@muhakizungu11183 жыл бұрын
Tuwoneshen tumuwone uyo tapeli
@kiri58073 жыл бұрын
munamuhifadhi mbona hamutuoneshi sura yake ?
@sabrinasab29103 жыл бұрын
Jaman siku izi matapeli weng muwe makini sana msiende macho juu👀👀
@peteryukunda92393 жыл бұрын
Jamani uweni hilo tapeli,hapo mengine bado cku zao.Mungu shughulikia hao mashetani.
@alriyamy6133 жыл бұрын
Kelele izo mnapiga welding...?
@ibra.mstudingfile85843 жыл бұрын
Huy kijana hakai msewn huy lkn km namjua mbn
@omaar56933 жыл бұрын
Kilichomrudisha nini? Labda ana VITI viwili eeh🙄
@2pacshakur9123 жыл бұрын
ukiwa na imani za kishirikina hayo mambo yatakusibu tu kwanza tujuwe hakuna mahusiano ya simu kati ya majini na binaadam
@chekisiela3 жыл бұрын
Inaweza kuwa wewe huna tatizo la uzazi ila muda ulioandikiwa kupata mtoto haujafika au inawezekana mmoja Kati yenu ana matatizo ya kiafya hawezi kupata ongeza mke wa pili inshaallah asakheri riziki mafungu saba na wa pili kama hajakupatia mtoto ongeza mke wa tatu
@harithmohd63187 ай бұрын
Polen san ila ndg zang wa kinzanzibar ila mwenye uwezo wa kutoa mtoto ni Allah peke ake
@omaar56933 жыл бұрын
Ni mtandao gani wanaosajili majini?🙄
@osmanha69153 жыл бұрын
Mbona hatumuoni uyo jini?
@omaar56933 жыл бұрын
Tangu lini jini akaonekana 🙄
@khamisawadh73333 жыл бұрын
Ncjui Selikali Ikowapi mpaka ilimsajili Huyu Bibi akawa Mganga Tapeli?Anaewatapeli Watanzania wengi?mpaka Leo bdo anaendrlea Kutapeli Watanzania
@binothman92843 жыл бұрын
Kwanza muheshimiwa icho kituo ni cha Polisi au nakama ndicho aibu tupu
@smairara58023 жыл бұрын
Miwaya yenu inashoti inaweka mikelele tu kerebisheni waya izo
@hajiabdalla57723 жыл бұрын
Kiasi mutapeliwe kwa uvivu- wenu wakutokujituma munakaa maskani kwa kupenda vya bure . Fanyeni kaz nyie. Na mujielewe vinginevyo mtatapeliwa mpaka
@asfarsham90373 жыл бұрын
Yarabbi salama. Siku izi mbona utapeli huo wa kama kiini macho imezidi?watu wanajifanya mpaka mawakala,ukiamka ushaibiwa pesa zako zooote
@kadijahajali39183 жыл бұрын
Hujambo weww kaka huna mtoto mtafute shekhe othaman maiko anaweza kusaidiya usiende kwa washirikina hata mm ukinitafuta kwa namba yangu ya wasap nitakupatiya mtu akufanyie dawa sahivi niko oman ndiyo tatizo hata dada yangu anawafanyia watu dawa wengi wanapata watoto akifanikiwa anamba kanga peya mbili na elf kumi bass hataki pesa ya mtu mpaka ufanikiwe kupata mtoto yupo unguja ndiyo hivyo
@othmanali74083 жыл бұрын
musimlaumu huyu mtu hawa jamaa hua wanatumia vitu km hujielewi unakoa muda mwengin .. Mimi nawajua watu walokua washatapeliwa tena ni watu imara ktk dini . Allah atuhifadhi
@khamismohd86163 жыл бұрын
Ndo ukome kumshirikisha mungu
@suleyhb10hb743 жыл бұрын
Unakasoro yako pia ipo siku utateleze je tuje tukuzomee tuwe na busar
@fatmasaid19113 жыл бұрын
Jaman asilaumiwe Mtu ukiwa Na hamu ya kitu huwa unatapatapa tu.
@nabilsuleimanhaji24373 жыл бұрын
kila mtu anamapungufu yake muhimu kuombeana duwa na kurudi kwa Allah
@kotadapotar5094 Жыл бұрын
Mnapongeza jeshi la polisi limefanya kitugani walioibiwa ndio walimkamata mwizi polisi wamepelekewa wanakula vipopo na ulojo Vituoni 🤣🤣
@yunusabdulrahma67003 жыл бұрын
Iyo ni mitihan na inatumik sanaa na inakua km mtu anafugwa apo mpk kutoa izo pesaa hatoi kwa hiari yake
@tanzaniamagufuli18573 жыл бұрын
Matatzo yapo kweli kweli lakini pia na matapeli wapo mjini
@hummymgaza69155 ай бұрын
Jini linatumia sim 🤣🤣🤣🤣
@hafidhmussa78873 жыл бұрын
Acheni mchezo wakuigiza kwanini musimuoneshe huyo tapeli au nimdogo wenu mwaogopa tahyuri waima mwapenda hip kaziiendelee zaidi.Jueni kua Kama mutamuonesha mtandaoni watakao bakia ktk washirika wezake watakua na heshma naadabu nataacha hi Hali namusipo muonesha hiokazi kwahakika itazidi hamuamini Hilo musimuoneshe kwenemtandao.
@kassimomar75893 жыл бұрын
Dha matapeli bhana
@MrKhatibu3 жыл бұрын
Tatizo kazi hamna vijana walitumika sana kufanywa wajinga na wanasiasa mpaka wamekuwa matspeli
@khamisimuazini12463 жыл бұрын
Kwaya Tanzania Mwapaja
@RioIpo3 жыл бұрын
Watu wezi looo kumanina zao
@aminaomaryaliy32262 жыл бұрын
Mm simlaumu huyu kijana anapiti mengi sana ili apate mtoto asikwambie mtu sikiatuu
@khamisawadh73333 жыл бұрын
Hawa Matapeli Wa Pesa kutumiwa Au kutengenezewa Pesa wako weng Sana?Na wanajiita Waganga Wa kienyeji;Na wana masifa makubwa sana ya uganga?mpaka wengne wanajiita MIUNGU watu?Weng wao wanatokea Sumbawanga
@husseinkonz51923 жыл бұрын
Yote hii tamaa ya pesa
@sameramwajdu90293 жыл бұрын
Na uvivu
@omaar56933 жыл бұрын
Msimlaumu huwnda kiti wake anamsumbua🙄
@kassimseif1083 жыл бұрын
Huyu jamaa mkubwa namjuwa yani nilisha pigana nae ngumi tulikuwa tunatoka kwendwa roock kucheza mziki
@kadijahajali3918 Жыл бұрын
😢😢
@chayogasperi97833 жыл бұрын
Mbona jini Mkubwa Heri hamjatuonyesha ??
@omaar56933 жыл бұрын
Ukimuona jini si utazimia?
@omaar56933 жыл бұрын
Usiombe Ukimuona jini utazimia au kufa kabisa
@chayogasperi97833 жыл бұрын
@@omaar5693 Ha ha ha .
@salimsaid72003 жыл бұрын
Kaunguza Camera 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@ruuh51493 жыл бұрын
@@omaar5693 ww ushawahi kumuona
@kiri58073 жыл бұрын
uza vespa rejesha pesa yako
@MrKhatibu3 жыл бұрын
Ila hiki kidume kutakuwa kimezindikwa kwao chezea na watu wa Kaskazini ni suala la muda tuuu
@zarisalim31533 жыл бұрын
Na mm yamenikuta jamn 1200000
@alimohamed47123 жыл бұрын
Ilikuaje
@abdulkareemseif18923 жыл бұрын
Ushirikina uache
@salimsaid72003 жыл бұрын
POLE MWANGU
@salimsaid72003 жыл бұрын
POLE MWANANGU
@salimabdalla1403 жыл бұрын
Funga tapeli huyo mwizi mkubwa duuh huna huruma
@khamisawadh73333 жыл бұрын
Kuna Mmoja Mwanamke Anatumia Jina LA BIBI Wa JIWA MOJA?Anapatikana Mjini Sumbawanga Kwenye Kitongoji cha MPUI?Huyu no Tapeli mkongwe?Keshatapeli Said Ya Milioni20,0000,000 Na bdo anajifanya Mganaga Wa kienyeji pamoja na Utapeli wake mkubwa
@emilyibraimo50323 жыл бұрын
Kituo cha police kama banda la ngombe
@fatmasaid19113 жыл бұрын
Hahahahaha umenifanya nicheke kwa sauti!!!
@salimsaid72003 жыл бұрын
WEWE TUOMBE RADHI WAFUGAJU BANDA LA NG'OMBE NI BORA 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@ruuh51493 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 nimechk hd bx jmn kha wt muna maneno jmn
@fatmaabeid83383 жыл бұрын
Acheni kuficha maovu wahalifu tunataka tuwaone ili kesho akija kwetu tumjue mnamficha nini acheni mambo kuficha ficha
@MrKhatibu3 жыл бұрын
Mkuu wa Mkowa Ayoub anasema wazanzibar asilimia kubwa ni waumini wa Islam dini ilal asisahau majizi wote wa SMZ na vikosi vyake wote waislam. Kiufupi nchi imepoteza muelekeo kimaadili haijalishi raia wala vyombo vya usalama dhuluma tumeweza mbele.
@fatmaali49213 жыл бұрын
Kijana hapo ulipo mdogo waswas wa nn?hujapata mtòto mda bado mbona allah akifungua risk ya mtoto utapata kwa mda wake amiin ushirikina so mzur mdogo wangu acha huu ujinga huo tena tena kuna vijana km nyie tele sku hzi mnadanganywa manavishwa mpk pete mikono tena vidole vyote kwa kuamin utapata ujiri achen kutumika nyie vijana mnapoteza mda wenu
@yusuphkassimu2272 жыл бұрын
Mganga akupi mtoto anakupa tatizo ambalo utajuta kwanini ulifanya hivo.
@shidabundala89843 жыл бұрын
Huyo jini mbona haonekani
@shimafuad68683 жыл бұрын
Nini toka lini akao ekana hahahahaa
@sultannassor48683 жыл бұрын
mbona haonekani
@mrfix65963 жыл бұрын
Ndiyo jini ety😂
@omaar56933 жыл бұрын
Tangu lini jini akaonekana nawe🙄
@hanifatanzania72583 жыл бұрын
@@omaar5693 🤣🤣🤣🤣
@hanifatanzania72583 жыл бұрын
@@mrfix6596 🤣🤣
@salimsaid72003 жыл бұрын
@@hanifatanzania7258 Kaunguza Camera 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@khamisrubea50833 жыл бұрын
Mbona hamtuoneshi sura
@omaar56933 жыл бұрын
Sura ya jini inaonekanaje, umeona vespa si ushukuru🙄
@salimsaid72003 жыл бұрын
@@omaar5693 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@salimsaid72003 жыл бұрын
CAMERA ZITAUNGUWA 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@coolbwoy71833 жыл бұрын
Dunia haish mitihan
@kadijahajali39183 жыл бұрын
Pengine wewe kaka uko na matizo lakini muhim nenda kwa shekhe othaman maiko au shekhe salum damba sawa usitowe pesa mm nishatapeliwa pesa nyingi tu pesa iko benk naitowa lakini huyo alienitapeli amekufa mm sisamekhe dunia mpaka yaum kiyama bass sijuwi milion ngapi
@kiri58073 жыл бұрын
wewe kijana bado unatapatapa kutafuta mtoto? aamka usiku usali umliliye Allah