#ZaNdaaani

  Рет қаралды 276,025

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 197
@nasibuahmedy2438
@nasibuahmedy2438 Жыл бұрын
Shomari Kapombe daaaaaah
@mrsultanzimbwe6746
@mrsultanzimbwe6746 Жыл бұрын
Geita gold
@imanhamis7107
@imanhamis7107 Жыл бұрын
Code/mmoja washamchukua
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 Жыл бұрын
NA NYIE VIONGOZI KANN HAMUWALIPI WACHEZAJI MISHAHARA YAO? NA HUO UBINGWA UTAOUPATAJE? JAMANI WANATUMIA DAMU WACHEZAJI.
@mzeeomary5780
@mzeeomary5780 Жыл бұрын
Chama huyo
@robinabomola8030
@robinabomola8030 Жыл бұрын
Mbn watu mnataja yanga kwan hakuna timu yenye wachezaj wazuri
@abdurikalimu
@abdurikalimu 9 ай бұрын
Azizik za ndaannnn
@nyaganyaga3876
@nyaganyaga3876 Жыл бұрын
Simba hao Hali yao tete Sana huko. Mo kachomoa betri. Ila timu zetu wajifunze kutafuta wachezaji wazuri badala ya kubomoa timu nyingi maana hii haijengi ligi yetu mfano Simba na yanga ni timu ambazo zinashiriki michezo mikubwa ya Caf ukizibomoa umebomoa hata zile nafasi 4 za uwakilishi Kama nchi
@milikimbembela8670
@milikimbembela8670 Жыл бұрын
Duh Azam wanabalaa, kama viladmir Putin uvamizi tu kisa donge nono, Simba fungukeni basi watatutia hasara Hawa panya rodi
@PaschalMussa-g5l
@PaschalMussa-g5l 2 ай бұрын
​@@milikimbembela8670kunanin sasa
@geraldbenjamin9302
@geraldbenjamin9302 Жыл бұрын
Umeshasema timu zamani ilikua inalipa mapema, na mchezaji wao mmoja wamememalizana, bado unataka kupewa code gani tena hapo? Hao ni Ihefu( hahaha)
@lumistarboy8499
@lumistarboy8499 Жыл бұрын
Makolo na hapo ni chama Inonga tayari
@renatushaule
@renatushaule Жыл бұрын
"MWENGINE" "MWINGINE"
@reillahabiba9923
@reillahabiba9923 Жыл бұрын
AISHI MANULA TO AZAM
@Myplusbee
@Myplusbee Жыл бұрын
Ni timu moja tu hapa siku za nyuma ilikuwa inapanda ndege lakini hivi sasa Wachezaji wake wanapandishwa kwenye Eicher kutoka Dar hado Bukoba!! Kwanini tuoneane aibu kuambiana ukweli bhana!!!
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 Жыл бұрын
Acha zarau
@Myplusbee
@Myplusbee Жыл бұрын
@@malopemaliyamungu5243 Dharau kwa nani Kiongozi?!
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 Жыл бұрын
@@Myplusbee Eicher anapandishwa Nani? Hiyo haipo haijawahi na haitatokea.
@isayaluvanda8470
@isayaluvanda8470 3 ай бұрын
Wewe nimuongo sana huna rorote mmekunywa supu mnaropka hovyo
@sebammari5443
@sebammari5443 Жыл бұрын
Mmoja kawahiwa ni Feisal aliyebaki Mayele
@jei_maimu6957
@jei_maimu6957 Жыл бұрын
Acha inyesheee tu🤣
@Tchidymbanga
@Tchidymbanga Жыл бұрын
Fei toto Azam kuziba pengo Akaminko, Akaminko na Kipre Jr Yanga, Chama Azam weka kumbukumbu vizuri. Sijui nani kaumia 😂😂😂?
@TwalibuAlbaamiryShoka
@TwalibuAlbaamiryShoka 9 ай бұрын
Aish Munula
@ShabaniMchela-zx4ln
@ShabaniMchela-zx4ln 2 ай бұрын
Ukweli mtupuhapa
@eddiemay547
@eddiemay547 9 ай бұрын
Hao ndo waandishi wa tanzania
@francismwaipopo5046
@francismwaipopo5046 Жыл бұрын
Makolo hao, Inonga wamemzuia bado wengine hasa Manula
@hellymsigala9852
@hellymsigala9852 Жыл бұрын
N chama huyo shenz
@AishshibnShibani
@AishshibnShibani 2 ай бұрын
Chama kamaliza mkataba
@erickbenedict4943
@erickbenedict4943 Жыл бұрын
Uyo mchezaji alishawahi kupita kwenye hiyo club,momo akajibu alipitaaa.....Manula no doubt
@zakariadouglas6275
@zakariadouglas6275 Жыл бұрын
Halafu akasema huko kwingine washamaliza
@kasigehamisi7802
@kasigehamisi7802 Жыл бұрын
kapombe jee
@emmanuelgodfreylotti8684
@emmanuelgodfreylotti8684 Жыл бұрын
Sure boy uyo from azam to yanga
@mwitahassan1934
@mwitahassan1934 Жыл бұрын
Anamzungumzia chama aliewahiwa ni inonga yeye keshasain
@felixbenos6365
@felixbenos6365 Жыл бұрын
Chama kuja yanga
@AmaniHittu-qm1fx
@AmaniHittu-qm1fx 3 ай бұрын
Mwamba anajua
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126 Жыл бұрын
Kama Kuna timu ya namna hiyo ni wapuuzi sana , matajiri uchwara waondoke timu ibaki pekee c mashabiki tubaki huru na timu yetu.
@davidmyale9496
@davidmyale9496 Жыл бұрын
Ukibaki huru na team yako utaipa pesa ww 🥱
@f.a6043
@f.a6043 Жыл бұрын
Wacha kelele zako za chura ww🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸👈🏿😂😂😂 kwa vile utoh wamepata changamoto unadhani ni kila team
@jailosibrahim88
@jailosibrahim88 Жыл бұрын
Hata mm naijua hiyo chama anataka kwenda azam baada ya kushindikana kwa inonga
@f.a6043
@f.a6043 Жыл бұрын
Labda Utopolo 🐸🐸🐸👈🏿😂 na manyele wenu🐸😂 Uto - manyele =🐸 👈🏿🤣
@jailosibrahim88
@jailosibrahim88 Жыл бұрын
@@f.a6043 mbona unatumia nguvu kubwa kwan shida iko wap
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 Жыл бұрын
Chama huyo ni kweli kabisaaa Ushafungua code kaka
@faustinesamani6359
@faustinesamani6359 Жыл бұрын
Mayele jamani ni mvumilivu miezi tatu no mshahara anaishi kwa kula chips dume ah Azam mchukueni tu kwa kumsaidia.
@rehemaabdullah7606
@rehemaabdullah7606 Жыл бұрын
Hiv unajua mchezaji wenu Chama inadai miez 3🤣🤣
@classicboyrahib903
@classicboyrahib903 Жыл бұрын
Ipo hivi Azam walikuwa kwenye mazungumzo na Inonga na Manula sasa Simba walishtuka wakamuwahi kumuongezea inonga mkataba na mahitaji yake wakamtimizia bado Manula sasa ndo hapo Kama umesikia mzee wa kudere kasema mmoja wamemuwahi😁
@energeticmbn4596
@energeticmbn4596 Жыл бұрын
@@classicboyrahib903 😁😁😄 kama kweli hivi
@noorbazaar9063
@noorbazaar9063 Жыл бұрын
Pole sana Mayele.
@hagaimadonda9145
@hagaimadonda9145 Жыл бұрын
@@classicboyrahib903 kweli kabis ndo mana khalid chukuchuku alivomuuliz momo akasem alishawah kupita iyo timu.. Uyu ni manula tu
@mahengomwenyewe4204
@mahengomwenyewe4204 Жыл бұрын
Anawaongopea mjinga huyo
@aminaally7622
@aminaally7622 Жыл бұрын
Kama ni kweli azam wana ushenzi wa hali ya juu cjui kwann wametuanza cc kwa fei sahv wanaingia kwengne wanakera hawa jamaa kisa wanahela
@afterfull-time1348
@afterfull-time1348 Жыл бұрын
Mpira pesa mbwa ww
@aminaally7622
@aminaally7622 Жыл бұрын
@@afterfull-time1348 mbwa baba ako na mama ako waliofanya umbwa wqo wakakuzaa ww mbwa mtoto shenzi kahaba uso mteja
@suzancharles1639
@suzancharles1639 Жыл бұрын
Ngoja wapigwe kwenye mshono😂😂😂😂😂
@mussammanga7791
@mussammanga7791 Жыл бұрын
Azam hawana pesa,kama wanapesa kwanini wasiende kwa Yanga wakamchukuwe Fei na baadala yake wanafanya mizengwe kumchukuwa mchezaji kweli wana pesa haooo!? Hahahahahaa!
@askwarysiay635
@askwarysiay635 Жыл бұрын
Kweli Azam hawana hela wabakia kama vibaka wanawasubiri wachezaji uchochoroni🙈
@AidhalSomba
@AidhalSomba 8 ай бұрын
Singida je huyo mchezaji ninani
@classicboyrahib903
@classicboyrahib903 Жыл бұрын
Ipo hivi Azam walikuwa kwenye mazungumzo na Inonga na Manula sasa Simba walishtuka wakamuwahi kumuongezea inonga mkataba na mahitaji yake wakamtimizia bado Manula sasa ndo hapo Kama umesikia mzee wa kudere kasema mmoja wamemuwahi😁
@hassankilongo8061
@hassankilongo8061 Жыл бұрын
Ni Chama sio Manula.
@taseleli9181
@taseleli9181 Жыл бұрын
Hivi huyu Manula anatimiziwa mara ngapi juzi tu hapa kafanyiwa kila kitu labda ni mwingine.
@pascalburah297
@pascalburah297 Жыл бұрын
Upuuzi mmja uwo msiishi kwa kukariri mrudisheni kwanza feisal
@jacksonmartin8485
@jacksonmartin8485 Жыл бұрын
Mhhhhh chama huyo
@classicboyrahib903
@classicboyrahib903 Жыл бұрын
Ipo hivi Azam walikuwa kwenye mazungumzo na Inonga na Manula sasa Simba walishtuka wakamuwahi kumuongezea inonga mkataba na mahitaji yake wakamtimizia bado Manula sasa ndo hapo Kama umesikia mzee wa kudere kasema mmoja wamemuwahi😁
@EnockSDady
@EnockSDady Жыл бұрын
Manula huyo Bai Bai simba
@wakatv3704
@wakatv3704 Жыл бұрын
Huyo ni sakho tuna jua hilo
@rahimmarions5712
@rahimmarions5712 Жыл бұрын
Manula huyo
@SeifumpeliMpeli
@SeifumpeliMpeli 8 ай бұрын
Huyu jamaa ni muongo sana ebu tafuta njia ingine ya kujipatia umaarufu.manara na huyu jamaa would fe wAko sawa
@edwardmahela6225
@edwardmahela6225 2 ай бұрын
Kibu denes
@meshackmwalongo1753
@meshackmwalongo1753 Жыл бұрын
Mwongo wewe tushakujua sikuhizi.
@ibrahimngirini8737
@ibrahimngirini8737 Жыл бұрын
Wakubal wasikubali wewe Mzee wa kudere ndo Fabrizio romano wa bongo
@eddiemay547
@eddiemay547 9 ай бұрын
Wajinga wapumbavu
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 Жыл бұрын
Kati ya watu wajinga ktk hii tv ni huyu jamaa! Maana anajifanya anajua Sana! Ni upumbavu mtupu.
@blackothman7332
@blackothman7332 Жыл бұрын
Kuna mpumbavu apo anaulizwa vilabu viko vingapi et anajibu viwili halafu mchambuzi😄😄😄
@amannesphory7343
@amannesphory7343 Жыл бұрын
Manula huyo
@dullywa9973
@dullywa9973 Жыл бұрын
hapa ndo kuna tetesi za ukweli aise 😂😂momo salute aise
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 Жыл бұрын
Wachambuz wa soka hapo hakunaaa kitu
@KudraKilangi
@KudraKilangi 9 ай бұрын
Huyu bwana ni muongo kupindukia habari zake sio za kweli
@masatumajani8485
@masatumajani8485 Жыл бұрын
Chama huyo ndio anaondoka simba wasiporekebisha mambo yao
@masumbukomaganga438
@masumbukomaganga438 Жыл бұрын
wewe ndo umefungua code yenyewe watag wana thimbaa
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 Жыл бұрын
Kweli kabisaaaaaaaaa😂
@bulugubujashi6378
@bulugubujashi6378 Жыл бұрын
Ni Dickson job
@rockygappi1018
@rockygappi1018 Жыл бұрын
@Majani msemaji wa Simba ndio amekuwa anasema wazi kuwa watatikisa kwenye usajili ina maana we bado hujasoma code tuu???
@mirajilimited8563
@mirajilimited8563 Жыл бұрын
Www mwongo kama simba, yang, azam hakuna
@josephchuwa1206
@josephchuwa1206 Жыл бұрын
Ngada weee lipeni mishahara wachezaji wenu.🤣🤣🤣🤣
@barakamando2706
@barakamando2706 8 ай бұрын
Mwandishi mkuda huna lolote
@abdurikalimu
@abdurikalimu 9 ай бұрын
Azizik kii uyo mpkanleo kagoma kuongeza mkataba
@abubakarishariff8489
@abubakarishariff8489 2 ай бұрын
Uyo ni fei na anatua simba
@PharmacistGoodluckMdugi
@PharmacistGoodluckMdugi 2 ай бұрын
Muongo sana we jamaaa
@eliamunisinkya5169
@eliamunisinkya5169 Жыл бұрын
Manula hyo naa aslmia 100%
@sholdaniemmanuel8684
@sholdaniemmanuel8684 Жыл бұрын
manura amesha sinya hadi 2025
@eliamunisinkya5169
@eliamunisinkya5169 Жыл бұрын
@@sholdaniemmanuel8684 skia kauli yke mwishoni alishapta hapo afu unganisha na azam wanatatzo gan aswaa
@salvatorymbigili7895
@salvatorymbigili7895 Жыл бұрын
Kapombee
@jumanneyakuti3218
@jumanneyakuti3218 Жыл бұрын
Diksoni job ,,🤣🤣🤣huyooo
@alexkalonga5323
@alexkalonga5323 Жыл бұрын
Za NdaaaaaaaaaaaaaN kabisa big show
@linuskyando4155
@linuskyando4155 Жыл бұрын
Simba haoooo!!!
@husseinkassimu2714
@husseinkassimu2714 Жыл бұрын
We dogo ni mshamba tu coz unajificha ficha ww niutopolo tu kama utopolo wengine kua free acha kujificha tunakuchukulia kama punga jiachie acha uzezeta
@davidjohn540
@davidjohn540 Жыл бұрын
Mmoja Fei Kisha wahiwa bado Mayele
@Veni584
@Veni584 Жыл бұрын
Chama
@mussammanga7791
@mussammanga7791 Жыл бұрын
Kwahiyo Fei ameshatambulishwa Azam?
@askwarysiay635
@askwarysiay635 Жыл бұрын
Fei hatoki ng'o mtasubiri sana
@deboramartin8111
@deboramartin8111 Жыл бұрын
Chama huyooo tunajua kitamboo
@AishshibnShibani
@AishshibnShibani 2 ай бұрын
Nimayele
@samirysharifu8649
@samirysharifu8649 Жыл бұрын
manura
@nixnovember
@nixnovember Жыл бұрын
Momo Romano. Keep it up Brother. Tunakuonaaaaaaa🤜🏿
@abdallahakida7908
@abdallahakida7908 9 ай бұрын
Mhhh mambo ya mbumbu mchezaji yupi atanyimwa mshahara miezi mitatu labda hatakiwi tena
@daudkhatib4678
@daudkhatib4678 Жыл бұрын
Ndio. Kazi. Zenu. Umbra. Kama. Wakezeni. Wachakuku. Watupuu
@ashasaidi1895
@ashasaidi1895 Жыл бұрын
Manula ameongeza mkataba wa miaka mitatu msimu uliopita kwa tsh ml 300 bado miaka miwili nanusu chama nae bado miezi 20 mkataba wake kumalizka hzo story tu za mitandaon hazina ukweli
@exestusidaudi7385
@exestusidaudi7385 Жыл бұрын
Dickson Job
@salumujaibu8697
@salumujaibu8697 Жыл бұрын
Nakubali sana 😂😂😂😂
@patricktegea1430
@patricktegea1430 Жыл бұрын
Chaumaaaaa
@ramadhanrashidmthailand713
@ramadhanrashidmthailand713 Жыл бұрын
Chama akiondoka sjui viongozi watatuambia nn ili tuwaelewe!
@classicboyrahib903
@classicboyrahib903 Жыл бұрын
Ipo hivi Azam walikuwa kwenye mazungumzo na Inonga na Manula sasa Simba walishtuka wakamuwahi kumuongezea inonga mkataba na mahitaji yake wakamtimizia bado Manula sasa ndo hapo Kama umesikia mzee wa kudere kasema mmoja wamemuwahi😁
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 Жыл бұрын
Mkae mkao wa Kula Azam wanambeba Chama na manula
@yohanakayinga9279
@yohanakayinga9279 Жыл бұрын
Mayele wewe
@زيتونتنزانيا
@زيتونتنزانيا Жыл бұрын
@@classicboyrahib903 hata chama
@yohanakayinga9279
@yohanakayinga9279 Жыл бұрын
Umewapa pesa za mishahara mpaka wahanngaike kukwambia ww nani nani unatoa sh ngap 😀😀
@sadamramadhan9887
@sadamramadhan9887 Жыл бұрын
Peleka umbea daimondi kanunuwa marehenu baba ako kwa ajili ya uchawi hilo jamaa punga
@davidpyc2392
@davidpyc2392 Жыл бұрын
Mtabaki kusikiliz nchi zingine zikiendelea kimpira zaidi kuliko nyinyi baada ya kuwekeza katika uzalishaji wa vipaji kupitia academy zenu mnabaki kunyemelea wachezaji ambao hawatawez wasaidia kwa muda mrefu na wanao wapa gharama kubwa hongereni mtibwa sugar kwa kuwasaidia vijana wa Tanzania kuijua thamani ya mpira sio kubeba makombe bali kutengeneza watu watakao saidia kukuza mpira nchini🤝
@afreemanonline8226
@afreemanonline8226 Жыл бұрын
Hii msg watumie hiyo club yako nayo isinunue ikuze vibaji kwn shida iko wapi
@frankhoffa8356
@frankhoffa8356 9 ай бұрын
Wenawe! Sijui nikujibu nini
@lazarolugwisha5524
@lazarolugwisha5524 9 ай бұрын
Baka , job, kibwana , kibu umewazalisha wewe
@josephwayesu338
@josephwayesu338 9 ай бұрын
Ligi zote kubwa duniani azitumii wachezaji wazawa ww mpira umeanza kufatilia mwaka gani katika ligi zipo timu ndogo kazi yake kufanya ivyo.lkm kilabu kubwa zote zinatazama makombe nasio kumfundisha mjezaji kujitambua.ukitaka mabadiliko nilazima ukubali kushindana.usijisifu unambio msifu na anae kukimbiza maana usingejuwa Kama unambiao kaka jifunze Kisha ndio coment
@TumainAlfredy
@TumainAlfredy Жыл бұрын
ila wewe kado momo una nifulahisha
@kanyikamasika3628
@kanyikamasika3628 Жыл бұрын
Inonga kawahiwa ila chama yupo mguu ndani mguu nje
@ayubukedimundi3221
@ayubukedimundi3221 Жыл бұрын
Daaaaa Tupe iyooo bhana
@issajuma8297
@issajuma8297 Жыл бұрын
Umbea waachie wadada aupendezei unaongea vitu bila ushaid udada uo
@OswardMwambete-en5uk
@OswardMwambete-en5uk 3 ай бұрын
Mwamnyeto kendal Sc
@eddsonjeremiah6669
@eddsonjeremiah6669 Жыл бұрын
Simbwa hiyo mbona tushajua
@f.a6043
@f.a6043 Жыл бұрын
🐸🐸🐸🐸 machura yanalia tu
@joviignus1674
@joviignus1674 Жыл бұрын
Manula uyo
@matesobuhuru2020
@matesobuhuru2020 Жыл бұрын
Kakolanya!!
@OswardMwambete-en5uk
@OswardMwambete-en5uk 3 ай бұрын
Mwamnyeto kendal Sc
@mohamedjeizan5929
@mohamedjeizan5929 Жыл бұрын
Utopolo ndio hawalipi mshahara
@saimonijonas1471
@saimonijonas1471 Жыл бұрын
Umekaririshwa bila kufanya uchunguzi.nikusaidie ili uumie sio uelewe. Simba wamemuwahi Inonga bado Chama.Inonga alitaka kuondoka dakika za mwisho wakamuwahi.
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Жыл бұрын
UTOPOLO VISHAHARA VYAO MKIA WA MBUZI HAWASHINDWI KULIPA.
@muddyville
@muddyville Жыл бұрын
Yanga hainaga shida hiyo sasa hivi. NGADA ndo kuna changamoto.
@cat-kr1ro
@cat-kr1ro Жыл бұрын
Manula au zimbwe au kapombe
@husseinkassimu2714
@husseinkassimu2714 Жыл бұрын
Wala simba hawana shobo zakijinga wanafanya biashara ya mchezo wa mpira timu ikifika bei kwa mchezaji wanamtoa tu hawana ushamba kama huo wakuzuia rizki za watu stupid we
@mussammanga7791
@mussammanga7791 Жыл бұрын
Umenuna lako hilo.Karibu mtapitisha bakuli.hahahahaaa!
@suzancharles1639
@suzancharles1639 Жыл бұрын
Chama huyoooooo😂😂😂😂😂 nyie this life is not fair
@frankgeorge149
@frankgeorge149 Жыл бұрын
sasa tushapata ukweli ni simba hawalipi mishahara🤣🤣🤣🤣
@Bruno-ed1ps
@Bruno-ed1ps 8 ай бұрын
Hata wakimchukua hachezi klabu bingwa
@DM_15
@DM_15 Жыл бұрын
Kamasio kapombe au manula
@jonaskabonda741
@jonaskabonda741 Жыл бұрын
Inonga kawahiwa bado Chama
@mbelwamadiwa3334
@mbelwamadiwa3334 Жыл бұрын
Huyo ni job na azam
@mikidadijoseph5612
@mikidadijoseph5612 Жыл бұрын
Kolo mtalia
@MarkoMgaya-xv3qd
@MarkoMgaya-xv3qd Жыл бұрын
Chama asepetuu
@emmanuelhosea370
@emmanuelhosea370 Жыл бұрын
Kakolanya huyo...😀😀
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 Жыл бұрын
Una Akili sana
@obedpeter6874
@obedpeter6874 Жыл бұрын
Mpole kuja simba
@VMGAfrica
@VMGAfrica Жыл бұрын
Mlete #Bangala #Simba Imeishaa Hyo
@mgongolwajoseph6901
@mgongolwajoseph6901 Жыл бұрын
Chama wakawaida
@FaisalSadulu
@FaisalSadulu 2 ай бұрын
Shabalala
@TheresiaMhagama
@TheresiaMhagama 2 ай бұрын
Kagoma yusuf
@TumainAlfredy
@TumainAlfredy Жыл бұрын
saluti kwako kado momo
@elishaelisha6755
@elishaelisha6755 Жыл бұрын
Ricardo momo,,,,
Spongebob ate Michael Jackson 😱 #meme #spongebob #gmod
00:14
Mr. LoLo
Рет қаралды 9 МЛН
The joker favorite#joker  #shorts
00:15
Untitled Joker
Рет қаралды 30 МЛН
Which One Is The Best - From Small To Giant #katebrush #shorts
00:17
Running With Bigger And Bigger Lunchlys
00:18
MrBeast
Рет қаралды 105 МЛН
MSIKILIZE GB 64 AWASANUA WANASIMBA JUU YA MANARA KUTAKA KURUDI TENA SIMBA
16:53
USIYOYAJUA KUHUSU KARIAKOO || KARIAKOO HISTORY!!
33:03
Kariakoo Radio
Рет қаралды 3,9 М.
Hakikisha umepanda miti hii nyumbani kwako
8:04
Topten Tv
Рет қаралды 101 М.
Magoli yote | Simba SC 1-5 Yanga SC | NBC Premier League 05/11/2023
9:40
UCHAMBUZI SAKATA LA FEISAL SALUM, JE, ANAKWENDA SIMBA AU HAENDI?
14:01
Spongebob ate Michael Jackson 😱 #meme #spongebob #gmod
00:14
Mr. LoLo
Рет қаралды 9 МЛН