Zuchu Afunguka ataolewa na Diamond?Kwa mara ya kwanza aweka wazi hadharani

  Рет қаралды 351,194

Bongo Touch

2 жыл бұрын

Пікірлер: 200
@antonetteodack8921
@antonetteodack8921 2 жыл бұрын
Zuchu ana sauti ya kuimba..you going far zuchu
@kadederevitala8081
@kadederevitala8081 2 жыл бұрын
Zuchu awe tu makini na chaguo la kutembea diamond💁💁
@tabuyahya6481
@tabuyahya6481 2 жыл бұрын
Watajua wenyewe mahusiano hayadumu hayo hakuna kitu hapo
@hawamohamedy8190
@hawamohamedy8190 2 жыл бұрын
Aaaa uyu zuchu ana bwana uko masaki muongo uyo mi ata simukubali
@chieframso3600
@chieframso3600 2 жыл бұрын
Diamond hanaga kiki kwene mapenzi ukiona kitu kinaongelewa ujue anakula kweli
@stvemathu254
@stvemathu254 2 жыл бұрын
Huu ni umbea, sijaona dalili zozote za Zuchu kumdate Diamond lakini iwepo kuna ukweli, wawili hao n watu wazima sioni tatizo
@nasriabdi9046
@nasriabdi9046 2 жыл бұрын
asante muandishi kwa kichwa cha habari ambayo akifanani na yaliyomo
@zalhathasaid2060
@zalhathasaid2060 2 жыл бұрын
😁😂😂😂
@tatuadammweibondo8886
@tatuadammweibondo8886 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣tunasema Asante sana
@shamimurajabu2897
@shamimurajabu2897 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@firstlady9848
@firstlady9848 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣wewe
@safarijoseph4927
@safarijoseph4927 2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@dianahasagi1022
@dianahasagi1022 2 жыл бұрын
Simba ako vizuri a naenjoy but sad since she is young she will be used and dumbed at tye end of the day 🤭🤭🤭😜
@ahmedmohammed-oc8op
@ahmedmohammed-oc8op 2 жыл бұрын
Mimi mwenyewe nampenda
@mshamally1210
@mshamally1210 2 жыл бұрын
zuchu A.K.A ZUHURA sio mtabiri bali najiuliza walelembo alie washit uyo jamaa wamekuzidi kwa ulembo akuna unae mfikia sasa weww una nini mpaka akakuoa uyo brooo lakini aina noma yote maisha
@munaahmed8499
@munaahmed8499 2 жыл бұрын
Upo sahihi bhna hana uzur wowote tuwenu wa kweli tu na saut pia hanaaa tena hanaaa hata chembe
@mwanaidimuhamed6540
@mwanaidimuhamed6540 2 жыл бұрын
Mbona mwanaume hazungumzi chochote ila mwanamke ndio Kila Mara anaolewa si ndio huyuzuchu alisema ameondoka wasafi na kuanza kutoa Siri za Dimond Mara kuolewa siju
@munaahmed8499
@munaahmed8499 2 жыл бұрын
@@mwanaidimuhamed6540 wacha akachewe kwanza akionekana bwabwa atamwagwa wenzie walijiona keki leo waonekana kiporo cha ugali tena wa mihogo yeye aendevtu maan diamond ajulikana haoi anazalisha na kupitaa Na huyo muolewsji mjinga mama mtu pia maan mtu mwamuina akili ilivyo bado mwajikimba haya huku kampea Alliyah mimba sasa huku ndoa kuke mimba mwenye akili hapo hawez kubali mwanae eende olewa na diamond jmn pesaaa zinatafutwa tu wasione ndio pepo hiyo ohhhh tupo jmn tupo mm nasema tu wenzie anawaona walivyo warembo na wamezalishwa wapo na malezi sasa mhhh na diamond anatakiwa aoe mtu asokuw maarufu na wala si mwana music swe mama wa nyumban angojee kuletewa sasa wte alozaa nao wanamzik na huyo mkubwa kutwa mitandaon japo ana pesa unadhan anaezana nao mhhhhh mie langu jichooo
@salistineshilungu3519
@salistineshilungu3519 2 жыл бұрын
Interview ya kitambo
@michaelmahatara4556
@michaelmahatara4556 2 жыл бұрын
Ni shidaaaaahh
@rayaali7551
@rayaali7551 2 жыл бұрын
Miee munanichekesha wabongo kuvaa mi sun glass mukiwa ndani sasa humo ndani muna juwaa maana hiyo ni sun glass hahahahaaaa
@toxhervangaspaltz4109
@toxhervangaspaltz4109 2 жыл бұрын
Ila wanawake nyie hamkomi tu wenzako wameachwa ngoja, humjui diamond eeh muulize tanasha
@nemabaya138
@nemabaya138 2 жыл бұрын
Utaachwanpia ww
@michelinemapendo6652
@michelinemapendo6652 2 жыл бұрын
kabisa
@safarisafari7388
@safarisafari7388 2 жыл бұрын
Hizi ndoa zenu naona zinalaana ndani hazina baraka kabisa......hazina maisha
@ramadhanmohamed1712
@ramadhanmohamed1712 2 жыл бұрын
Kuma wew laana yako mwenyew
@safarisafari7388
@safarisafari7388 2 жыл бұрын
@@ramadhanmohamed1712 kuma sina nipelengine ndugu yangu
@antonywilliama2868
@antonywilliama2868 Жыл бұрын
@@ramadhanmohamed1712 ww ni mpuuzi matusi ya nn
@justerick1074
@justerick1074 2 жыл бұрын
In Tanzania, Diamond platinumz is bigger than the president
@ramarauhkhan2847
@ramarauhkhan2847 2 жыл бұрын
Hello Bw. Vipi? Si kwamba namtafuta Zuchu eti kisa ni star, eti kisa Ana hela, eti kisa yupo single hapana. Ni kwa sabu nampenda Zuchu
@musiclyrics1131
@musiclyrics1131 2 жыл бұрын
Kiki tu hawana jipya mwanaume Ni Ali Kiba tu
@saumuabdi1802
@saumuabdi1802 2 жыл бұрын
@@zulhajjj2276 mwambie kabisaa ajitambue
@pillymcharo9855
@pillymcharo9855 Жыл бұрын
Ana tabia kama ya mamaake ndo mana anasema ataeza uke wenza sbb na mamaake alikua nyumba ndogo Ina mana nyimbo yake ya nyumba ndogo alikua anaimanisha kitu...acha ulafi wa mapenzi humzid zari uzuri wema,hamisa Wala tanasha mavi ww
@amirmohamed2729
@amirmohamed2729 2 жыл бұрын
Zuchu wako ni kigwendu iko kwa Al jazira
@yassindegela5580
@yassindegela5580 2 жыл бұрын
Iyo shida apo kudumu kwenye mahusiano sio kwa simba
@zainadinemanuel8884
@zainadinemanuel8884 2 жыл бұрын
Zuchu wewe nzuri Sana fanya mamuzi uholewe na daimond zuchu wewe
@samwelkisaka8747
@samwelkisaka8747 2 жыл бұрын
Mondi na zuchu wanaendana sana
@hawahamis2232
@hawahamis2232 Жыл бұрын
Napenda kapu ya zuchu na daimond mnapendaza
@uuuuiiii3917
@uuuuiiii3917 2 жыл бұрын
Ww zuchu km kweli Una mausiano na Daimondi ndugu utaachwatuu huyo Daimondi anawanawake wangap kawazalisha nakawaacha utachekwa
@salimmohamed6434
@salimmohamed6434 2 жыл бұрын
Hio ndo njia yakutoka WCB
@duncanouma2045
@duncanouma2045 2 жыл бұрын
Hyoooo penziii taooo haiwezii fikaaa mbali at kidogoo zuchu ajuiii simbaa n nanii
@danielmgonamashagona4654
@danielmgonamashagona4654 2 жыл бұрын
That's good
@beatricemaina5878
@beatricemaina5878 2 жыл бұрын
Mind how you write your title
@freadyjackson315
@freadyjackson315 Жыл бұрын
ZuChu na ravnny pigakasi ngo ma mpy
@zumemooha6504
@zumemooha6504 2 жыл бұрын
Wanachezeana na kula bata hakuna ndoa
@isayacharles7411
@isayacharles7411 2 жыл бұрын
isaya charles Ao nikama wanatafut kiktu
@samwelkisaka8747
@samwelkisaka8747 2 жыл бұрын
Waooo zuchu mrembo cn
@edwardokumu8453
@edwardokumu8453 2 жыл бұрын
This fake captions have made me to loose trust in this media..I will never open any of its contents..
@edwardokumu8453
@edwardokumu8453 2 жыл бұрын
I even forgot to unsubscribe..I will stick to Sns who are more credible in there reporting..
@amanimapenzi571
@amanimapenzi571 2 жыл бұрын
Hawa watu fake kabisa
@andreahujaa6126
@andreahujaa6126 2 жыл бұрын
Wish dem all best
@sniper93999
@sniper93999 2 жыл бұрын
Zuchu umeanz kuongea kizungu 😂tayar eee😂
@nassoroyusuph2496
@nassoroyusuph2496 Жыл бұрын
Zuchu anaanza kuwa na stake nae axv 🤣🤣🤣
@fatemazanzibar877
@fatemazanzibar877 Жыл бұрын
Zuchu mzur snaaaa lap u ❤️💯
@ashurahaji9115
@ashurahaji9115 2 жыл бұрын
Wasafi kwa kutengeneza kiki wanaongoza hivi mchumba wa lokole yule Yuko wapi
@damarismusyoka4609
@damarismusyoka4609 2 жыл бұрын
Wonderful
@bienvenuchingawsnl3512
@bienvenuchingawsnl3512 2 жыл бұрын
Ni vizuri
@faizamohamed6993
@faizamohamed6993 2 жыл бұрын
Mi naona ni Kiki tu, si mwawajuwa wasafi kwa kupenda Kiki ama scandal
@jawahirkahinmadar1459
@jawahirkahinmadar1459 2 жыл бұрын
Ukiona ya mussa usishangae ya firauni
@sweetbertsigisbertus4455
@sweetbertsigisbertus4455 2 жыл бұрын
It's fine
@everever2807
@everever2807 2 жыл бұрын
Nae asijishaue wenzake walikuaje kitoto chenyewe mi hatasigaelewagi
@cabylake2320
@cabylake2320 Жыл бұрын
Nakupend saaaan zuchu
@echwazadock2890
@echwazadock2890 2 жыл бұрын
Kila la heri🔥🔥🔥🔥🙌
@janetmuli4638
@janetmuli4638 2 жыл бұрын
Let's wait and seee
@alantonio855
@alantonio855 2 жыл бұрын
Why napataga notifications zenu?
@eunicemwangi5961
@eunicemwangi5961 2 жыл бұрын
Tunapenda zuchu but yeah na diamond apana👎👎👎👎
@MohammedMohammed-uo5sk
@MohammedMohammed-uo5sk 2 жыл бұрын
pliz jamani wacheni zenu hizo ,Zuchu she is beautiful and she deserves best of the best .Let her enjoy her music world na pliz let her choose the man of her choice and don't fuck around with her feelings.plil bwana Diamond sipoa kudate na zuchu cause Diamond ashakula happy na different women's na AME enjoy na amesha invest in different ways na amejijenga so let zuchu atengeze future yake na atengeze Manisha yake then yy mwenyewe akiamuwa kuwa na mahusiano basi poa but mm naona jamani hebu tumuacheni Zuchu afanye musiki when the right time comes nasema hivi zuchu olewa Acha hii mambo ya zina yatakutia keenye ukorofi dada ok.ilove you and Ur music too.#Keep on doing straight way and will make it to the top of the top.ok
@pilimwanza8117
@pilimwanza8117 2 жыл бұрын
Zuchu ni part ya KIKI inayoendelea na sijui kwa nini amekubali hivyo. Uko kwenye lebo kwa madhumuni mengine unaburuzwa tuuu. Hata hizi interview ni za kupanga all scripted nani aseme nini. Ujinga tuuuuu unawasumbua. Kwa nini kina Ray na Rommy Jones wana comment shemeji kwenye picha za Zuchu huko social media. Hapa wa kumlaumu ni Zuchu na sio mtu mwengine pengine anakuwa involved kwa sababu tu kasainiwa ila hii ni against mikataba. Kuburuzana WCB way
@latifasasha5326
@latifasasha5326 2 жыл бұрын
We don't complain sema apo Kwa mondi wanamuonea tu uwongo mondi anapenda Vitoto vimewaka na vishape kalikali apa Kwa zuchu wanamuonea TU ila zuchu Ana mwanaume wake TU pembeni inshallah atatutambulisha very soon.
@naicekawambwa4473
@naicekawambwa4473 Жыл бұрын
Hongera
@plugtv8197
@plugtv8197 2 жыл бұрын
Waswahili bana😂😂
@ummutaswaufi3980
@ummutaswaufi3980 2 жыл бұрын
Kichwa cha habar tofaut na maongez
@thureyaseif7143
@thureyaseif7143 2 жыл бұрын
Jamani mbona mtoto huyu anaonesha ako na mdomo mchafu wala hana haya hata kidogo, huyu itakua shida sana kuishi na mume
@habbyhalawa5266
@habbyhalawa5266 2 жыл бұрын
Kwakweli😎
@whimsymaverick3057
@whimsymaverick3057 2 жыл бұрын
Jifunze Kiswahili. Mmoja ni WIMBO. Nyingi ni NYIMBO. Nisisikie tena mtu anasema nimeimba NYIMBO moja safi. TUMEELEWANA? YOU UNDERSTAND?😆😆😆
@thureyaseif7143
@thureyaseif7143 2 жыл бұрын
@@whimsymaverick3057 to hell with your nyimbo
@whimsymaverick3057
@whimsymaverick3057 2 жыл бұрын
@@thureyaseif7143 You want to go to hell go ahead. Who's stopping you? Think you are good enough to hurl insults try me.😈😈
@hf0347
@hf0347 2 жыл бұрын
Jamani nawatakia maisha marefu
@blacklaus7989
@blacklaus7989 Жыл бұрын
Nawapenda sanaa uaneni
@somandamwenyemvutotz8495
@somandamwenyemvutotz8495 2 жыл бұрын
Tamu sana
@davidijames1246
@davidijames1246 2 жыл бұрын
Ni sahihi sana
@namongamunyama4328
@namongamunyama4328 2 жыл бұрын
Mbona ana rafuzi ya diamond kwa mbali. Kwenye kuongea
@mrmgalamgalatia8468
@mrmgalamgalatia8468 2 жыл бұрын
Ndoa kaz jamn karibu kwenye chama cha wajanja
@anitaanifa-oj4iy
@anitaanifa-oj4iy Жыл бұрын
Kwakwel zuchu anampe diamond xn
@lovecute8417
@lovecute8417 2 жыл бұрын
Mbona hii inter view ya mda jmn sio ten days
@fatmamohd7569
@fatmamohd7569 2 жыл бұрын
Zuchu apa afanana na dora
@isayatv1361
@isayatv1361 2 жыл бұрын
Achana na vitu vya dunia niyamda
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 2 жыл бұрын
Mmmmmmmm, Sijui yetu macho
@hf0347
@hf0347 2 жыл бұрын
Jamani nimeipenda xana
@angelakaranja6652
@angelakaranja6652 2 жыл бұрын
Why put the wrong headline
@nyiramanastephanie7860
@nyiramanastephanie7860 2 жыл бұрын
Hata hapa Kigali anapendwa Sana. Mimi namuaminia ni mstarabu. Tena mrembo.
@evermoris2794
@evermoris2794 2 жыл бұрын
Asante karb tz
@AbdulKadir-pb1xm
@AbdulKadir-pb1xm 2 жыл бұрын
hongera
@Kwazulu1
@Kwazulu1 2 жыл бұрын
Aliyemushauri Zuchu kuvaa hiyo miwani Mungu anamuona.
@phyllischauro8903
@phyllischauro8903 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@hamidarizikimohammed5733
@hamidarizikimohammed5733 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@ashurahaji9115
@ashurahaji9115 2 жыл бұрын
Miwani mzuri ile ya Abby chams
@johnwalter5189
@johnwalter5189 2 жыл бұрын
Ila ukae ukijua Atajuacha tu
@husseinsalim7211
@husseinsalim7211 2 жыл бұрын
Zuchu with diamond waendana mbna achne shoboo
@mayavoice4995
@mayavoice4995 Жыл бұрын
Hahahah hahaha 😂😂😂 juma lokole jamani
@habibukilango7738
@habibukilango7738 2 жыл бұрын
Huyu msichana ni m baya sana kwa kweli
@luismemusi417
@luismemusi417 2 жыл бұрын
Chocha....😂 hizi....huyu...anatafuta kiki t
@sarahmueni4794
@sarahmueni4794 2 жыл бұрын
Kiki hio wabongo bwana dah
@agnesstaphod2248
@agnesstaphod2248 2 жыл бұрын
Cjui Kama watadumuuu
@damarisgatwiri2903
@damarisgatwiri2903 2 жыл бұрын
Why fake captions!!
@robertcosmas9233
@robertcosmas9233 2 жыл бұрын
Wewe akili huna hiyo clipu ya mda sana
@samsonpeter8828
@samsonpeter8828 2 жыл бұрын
Olewa na diamond
@diamondplatinumz4352
@diamondplatinumz4352 2 жыл бұрын
Sio kesi
@rehemakimako228
@rehemakimako228 2 жыл бұрын
Wawili wakipenda ni heli
@petromleleu3437
@petromleleu3437 2 жыл бұрын
Hmm
@lionize-prince
@lionize-prince 2 жыл бұрын
Gud video lakini andika vitu vya kweli kaka
@elizabethmatalu4719
@elizabethmatalu4719 2 жыл бұрын
Kiki za bongoiiii hizooo
@amanimapenzi571
@amanimapenzi571 2 жыл бұрын
Wanapenda
@stellahblexing
@stellahblexing 2 жыл бұрын
stellahblexing
@venitarugemalila9290
@venitarugemalila9290 2 жыл бұрын
Mungu atakupa tu usijali
@gephsonaraptendet3626
@gephsonaraptendet3626 2 жыл бұрын
Nitumie number ya kazuchu from nairobi kenya
@suleimanmussa5792
@suleimanmussa5792 2 жыл бұрын
Tulijua itafikia hapo tu
@mariummariumberius4041
@mariummariumberius4041 2 жыл бұрын
Afanye mengine tu uyo
@georgebaby8393
@georgebaby8393 2 жыл бұрын
We olewa tu
@kelvinjohn6224
@kelvinjohn6224 2 жыл бұрын
mwache ximba amchukue iyo mali
@alicemwalimu8791
@alicemwalimu8791 2 жыл бұрын
Iyo kiki diamond hapo nakataa
@eulojiasamson7700
@eulojiasamson7700 2 жыл бұрын
Umepauka puuuuuu
@jamalmohamed4058
@jamalmohamed4058 2 жыл бұрын
Miwani nayo...... Hehehehe
@mrsshamsi9785
@mrsshamsi9785 2 жыл бұрын
Tunaona Pete hpo kidoleni zuchu vp
@jamecrodrygo2214
@jamecrodrygo2214 2 жыл бұрын
Ata wew utaachwa tyu
@victoryawa8244
@victoryawa8244 2 жыл бұрын
Victor jv
@yusraaally8760
@yusraaally8760 2 жыл бұрын
Tujue kwa kweli
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
00:25
Watch Me
Рет қаралды 59 МЛН
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 8 МЛН
ТАМАЕВ УНИЧТОЖИЛ CLS ВЕНГАЛБИ! Конфликт с Ахмедом?!
25:37
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 97 МЛН
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
00:25
Watch Me
Рет қаралды 59 МЛН