ZUCHU NIPE NAMBA YAKO/ KUNA DILI NATAKA TUFANYE/ MI NAKUELEWA SANA

  Рет қаралды 1,540,284

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

Пікірлер: 2 100
@shariffaabdalla2170
@shariffaabdalla2170 4 жыл бұрын
Naomba mumrudie tena zuchu ziara nyengine kwa kweli dada ana nyota kali mashallah Lov u Zuchu From🇺🇸🇺🇸
@marthahenry5475
@marthahenry5475 4 жыл бұрын
anaweza mambo
@nurumanyota416
@nurumanyota416 4 жыл бұрын
Mambo
@marthahenry5475
@marthahenry5475 4 жыл бұрын
@@nurumanyota416 safi vip
@aminayusuph2627
@aminayusuph2627 3 жыл бұрын
@@marthahenry5475 aa
@oluwaburundi698
@oluwaburundi698 3 жыл бұрын
Yaani #Zuchu nimetokeya kumpenda kwasababu ya hiki kipindi kwa jisi alivyo mpole🥰🥰🥰 Love from BURUNDI🇧🇮🇧🇮
@faridaiddi104
@faridaiddi104 4 жыл бұрын
Tatizo nyota zuchu nakupenda Sana wangu 😘 nakuombea ukaze usiwe km wakina ray c Zuchu napenda nyimbo ya mauzauza wee lkn wabongo kwa fitna tutasema wamepangwa
@Latiifahjeeyofficialhalyne
@Latiifahjeeyofficialhalyne 2 ай бұрын
Naipenda Sanaa hii content...and zuchu is my best singer ever...not only best singer but also my mentor
@ProssyPatra-fk4oq
@ProssyPatra-fk4oq Жыл бұрын
Zuchu nakupenda xana hongera dada poah
@Lydia-ot7lc
@Lydia-ot7lc Жыл бұрын
Huku kenya tunakupenda na mimi namkubali zuchu nampenda sana na nyimbo zake zote Yani mtoto amebarikiwa
@bimaisarankamia4153
@bimaisarankamia4153 4 жыл бұрын
Zuchu kwenye kuvaa tu.nampenda Hana mambo mengi.pia nikwa kuwa tu ndio ustaa ila anapenda kuishi maisha ya kawaida sn kujichang'anya Kama kote.mashaallh mungu akusimamie ufike unapopataka.
@cutenaa6984
@cutenaa6984 4 жыл бұрын
W
@barakanicholaus9131
@barakanicholaus9131 4 жыл бұрын
mamb
@bimaisarankamia4153
@bimaisarankamia4153 4 жыл бұрын
@@barakanicholaus9131 p
@valleyfront4462
@valleyfront4462 4 жыл бұрын
Me pia namkubali mrembo nikiwa apa valley front studios,,,, Love you ZUCHu napenda kazi yako
@AaAa-dd1qu
@AaAa-dd1qu 2 жыл бұрын
Eti nimemurambisha ananambia compeza nayenyewe nayipenda sana zushuu l lovu😘😘😘😘🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@nickiedwin7769
@nickiedwin7769 2 жыл бұрын
Anachosema uyo kaka nikwel yn akuna pkpk ety ishindwe kupiga nyimbo yake nampenda zuchu 🥰🥰
@iddybabylone
@iddybabylone 4 жыл бұрын
Zuchu anapendwa sana huu ni wakaT wake na tunamuombea asipote abaki up awe mfano wa kuigwa kwa wasichane wenGine Go far zuchu💕
@sulubumrambakakorogo9084
@sulubumrambakakorogo9084 4 жыл бұрын
✔✔
@abdulyyassin8910
@abdulyyassin8910 4 жыл бұрын
Daah zuchu noma
@innomchaga
@innomchaga 4 жыл бұрын
Akuna kabisa pindi ninalo lipenda❤️❤️❤️ na kulifuatilia kama hili #hivinikweli🔥🔥🔥🔥🔥
@latifamoshi846
@latifamoshi846 4 жыл бұрын
Ni lini kwa tv my
@yunyun799
@yunyun799 4 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@innomchaga
@innomchaga 4 жыл бұрын
@@latifamoshi846 kila jumanne saa tatu kamili usiku,ndani ya wasafi tv
@robbinsonwater4206
@robbinsonwater4206 4 жыл бұрын
@@latifamoshi846 jjjjjjk I'm j Kim mmm m
@allanaluma20
@allanaluma20 3 жыл бұрын
much love Zuchu.....from Zimbabwe and we are expecting to have you in Zimbabwe one day..
@Pray-z2j
@Pray-z2j 4 жыл бұрын
I love you zuchuu endelea kuimba hivyo hivyoo unaweza na pia siku moja pangaea show arusha jamanii tunakupenda 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍uzidi kuongeza muziki asante sanaa
@aboubakarmasinda8476
@aboubakarmasinda8476 4 жыл бұрын
Tz kunavitu vizuri sana duuh!napenda sana zuchu ongera sana nakufatiliya nikiwa congo Drc
@sakinaabdallah7677
@sakinaabdallah7677 4 жыл бұрын
Nampenda sana zuchu❤ from Oman🇴🇲🇴🇲
@salmamussa786
@salmamussa786 4 жыл бұрын
Pamoja
@massimilianoraffadali5482
@massimilianoraffadali5482 4 жыл бұрын
Zuchu big talented sana mimi sio shabiki wa msanii yoyote wa kike yule ila Zuchu mimi shabiki yako damu damu
@nashoambokile7935
@nashoambokile7935 4 жыл бұрын
SEMA mwanangu mosanya umeuwa Sana nawakubali Sana wote watangazaji pamoja na wcb nzima wote by mbeya sil
@Atijanfalume-q9n
@Atijanfalume-q9n 3 ай бұрын
Mimi nakumba sana zuchu na Mimi Niko moçambeque zuchu nakupenda sana mungu hambariki kazi yako ❤❤❤😊
@kizelyrutta777
@kizelyrutta777 4 жыл бұрын
zuchu anaonekana anapenda Sana mashabiki zake sana
@joymsupagladysijeya8384
@joymsupagladysijeya8384 4 жыл бұрын
Sijawai ona watu wana njaa uyu zuchu ni star 🌟🌟🌟🌟🌟🌟
@aksamayuni911
@aksamayuni911 4 жыл бұрын
kwan weunaon nini au mwezi
@maratvonline
@maratvonline 4 жыл бұрын
Mambo za huko kenya
@joymsupagladysijeya8384
@joymsupagladysijeya8384 4 жыл бұрын
@@maratvonline poa sana dear
@aksamayuni911
@aksamayuni911 4 жыл бұрын
pwa vip za masiku sikunying
@chrismuganwa8634
@chrismuganwa8634 4 жыл бұрын
Thank you bro for bring Zuchu!!. Love from Burundi 🇧🇮🇧🇮
@priscajohnson3575
@priscajohnson3575 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣uyo bonge kaniacha owi
@AllqaabaTv
@AllqaabaTv 2 жыл бұрын
We love you so much from wcb fans Tanzania
@jumaamanandi4329
@jumaamanandi4329 4 жыл бұрын
Malkia Wa Bongo Flava 🔥👏Ametisha sana
@AaAa-dd1qu
@AaAa-dd1qu 2 жыл бұрын
Mimi murundi 🇧🇮🇧🇮 zushuu nagupenda sana sana yani unaimba vizuri dada naomba nikuone basi sikumoja jamani napenda irenyimbo inasema namupatiya shogasukari naire uriimba kama wazuru ninyingi sana napenda dada kurajeee atahivi nasikiaa uzuni😭😭😭😭😘😘🤩🤩🤩🤩🙏🙏🙏🙏👌👌👌🤝🤝🤝🤝🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@mucussete794
@mucussete794 4 жыл бұрын
Aqui em Moçambique ZUCHU só teu fã number one... te amo.
@medmohjutotz5363
@medmohjutotz5363 4 жыл бұрын
Nakubar sanaaa nembo ya mtaa, Classic juto Tz 🤝🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@ottomanmwarabu6771
@ottomanmwarabu6771 4 жыл бұрын
Si ndo huyu au..au si huyu,,ndo mwenyewe, huyu si ndo Zuchu huyu au, ndo yeye..bro kanifurahisha sana
@restutaeliezery7118
@restutaeliezery7118 4 жыл бұрын
Hahahahha nimeipendaaa hiii
@safiambaroukkhamis439
@safiambaroukkhamis439 4 жыл бұрын
Mimi narudia mara kama zote nacheka wallah
@kamaratsalimsafari8838
@kamaratsalimsafari8838 4 жыл бұрын
Kidogo nilie machozi kwa furaha tu! Watoto kwa wakubwa wanavyo Mpenda #Zuchu ka Ninavo Mpenda mie tu Moyoni Mwangu Big up #Zuchu from Mombasa 🇰🇪
@deborahmwakatoga7192
@deborahmwakatoga7192 4 жыл бұрын
Waooooo
@alfanm.8221
@alfanm.8221 4 жыл бұрын
Acha urongo bana
@alibell5246
@alibell5246 4 жыл бұрын
Zuuuuchuu ww unatisha saaaana nakupend kwakweli
@nurunurudini3033
@nurunurudini3033 4 жыл бұрын
Mm nimelia kabisa ,,,,,Yule mtt wa shule alivokuwa surprised baada ya kumuona zuchu ❤😍😘😋
@sharonmunyiva9865
@sharonmunyiva9865 2 жыл бұрын
zuchu aweza adi Kenya twakupeda
@jabalimarwa4404
@jabalimarwa4404 4 жыл бұрын
zuch ilike you my dear you sing very well congraturation
@davidalengairagro7295
@davidalengairagro7295 3 жыл бұрын
Zuchu vous êtes on fort en chanter.
@mystars2965
@mystars2965 4 жыл бұрын
Hello to ZUCHU, YOU'RE THE BEST. CONGRATULATIONS DEAR YOUNG LADY YOU'REON THE TOP OF THE LOSERS!, would you try even though once, make a Live show in USA so that we can see you too.? We are your funs an we support you thanks.🇺🇲🇺🇲🇺🇲🇺🇲🇺🇲💝
@nirhamzerish9131
@nirhamzerish9131 4 жыл бұрын
Mweee mweee zuchu nyota kama yotee Mungu tu akuwekee in sha Allah🥺🥺🥺🥺
@cardinal0016
@cardinal0016 4 жыл бұрын
Jamani zuchu anapendwa sana tena sana
@derrickaladwamwore9143
@derrickaladwamwore9143 3 жыл бұрын
Pia nami nipewe namba ya zuchu nina ushauri pia😂😂😂.....I loved that guy he had guts 😂😂
@jinjendricksnanjala249
@jinjendricksnanjala249 3 жыл бұрын
Love you soo much zuchu. Love from kenya
@djlevito2432
@djlevito2432 3 жыл бұрын
Kazi nzuli sana kwa wasafi tv ,,,huku kenya artist kupatikana mtaa ni balaa atleast kuinteract n mafans big up love from 🇰🇪
@selinaselin8928
@selinaselin8928 4 жыл бұрын
Hakika bi khadija kazaa chema mashallah mwenyezi mungu akuwekee❤❤
@mohanoor153
@mohanoor153 3 жыл бұрын
For giving out that phone , it really teach me so much , she is great women
@burnarobate8184
@burnarobate8184 2 жыл бұрын
Zuchu Allah abençoe com teu trabalho forças ajuda tua família...foi Allah escolher esse teu trabalho faça bom trabalho Thank you
@uwingabireclementine7799
@uwingabireclementine7799 2 жыл бұрын
Zuchu ♥️♥️😍🥰🇷🇼 Kigali Rwanda sukari namupatia shuga sukari nawambia kwakweri sukari niwimbo urisikika sana ♥️ hapa Kigali😍🌹💋💋🇷🇼🙏🔥🔥🔥🔥🔥
@eliasotieno9422
@eliasotieno9422 4 жыл бұрын
This girl is really rocking, all digital platforms are talking about her. I hope she'll keep the 🔥🔥🔥 burning
@nancyulomi1010
@nancyulomi1010 4 жыл бұрын
Exactly
@zabronadamsony870
@zabronadamsony870 4 жыл бұрын
dhaaaa fulaha tunayopata kwenye hiki kipindi dahaaa fulaha yanguu sio kifanooooo
@sakinaabdallah7677
@sakinaabdallah7677 4 жыл бұрын
Nampenda sana zuchu from Oman🇴🇲🇴🇲
@guccimauzo3631
@guccimauzo3631 4 жыл бұрын
Much Love from Nairobi (Kenya)
@romeobaziyaka5688
@romeobaziyaka5688 4 жыл бұрын
I love u zuchu LAkini wananiambiyaya nafanana na wewe Abby from Kampala
@berthabaika3408
@berthabaika3408 2 жыл бұрын
I love zuchu I wish ningekuonapo thatha🥰🥰
@hydratz9750
@hydratz9750 4 жыл бұрын
Jaman km ume enjoy Show km mimi gonga like,ila mwshon big dady #vaileth 😂😂😂😂😂😂
@elizabethkangula515
@elizabethkangula515 4 жыл бұрын
Jamani mtukubuke na sisi mikoani jamani wsf sumbawanga muje
@joycefrank3863
@joycefrank3863 4 жыл бұрын
@@elizabethkangula515 mwaaa
@janettesha731
@janettesha731 3 жыл бұрын
Had machozi yamenitoka alivyofurah huyo mtoto
@janethedwin8068
@janethedwin8068 2 жыл бұрын
Zuchu wa simba
@kunojengo
@kunojengo 4 жыл бұрын
Dah! Huyo big kwny gonga beat kavunja xn mbavu aisee.
@personcriticalthinking7162
@personcriticalthinking7162 3 жыл бұрын
Zuchu n safi hata moyo. Nakupenda sana
@rajuabdou8293
@rajuabdou8293 4 жыл бұрын
All thé way from Lyon, France 🇫🇷 love this nyembo yamtaa much love for wcb safi
@5facts60
@5facts60 4 жыл бұрын
It's nembo you tried well broo
@rajuabdou8293
@rajuabdou8293 4 жыл бұрын
@@5facts60 thankx bro ✌🏿
@elialova4593
@elialova4593 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nembo ya mtaa
@FatumamusakonadiMusakonadi
@FatumamusakonadiMusakonadi 9 ай бұрын
Nakupenda sana zuchu hinge wezekan hata na mm nikukumba tiye yani llovo you somach ❤❤❤
@AAa-xv2mw
@AAa-xv2mw 4 жыл бұрын
Hata namimi pia napenda zuchuuu kweli aswa ile ngoma nisame
@lucyhussein7126
@lucyhussein7126 3 жыл бұрын
Walio vaa mafon. Kabilagan heeee?? Wanaimbaje!!?
@erikarome7290
@erikarome7290 3 жыл бұрын
Safi
@juliusphabian6336
@juliusphabian6336 4 жыл бұрын
Daaah! hata sisi mashabiki zako umetufanyia suprise hatukutegemea kabisa....komaa sana SANYA
@mfaumemuki865
@mfaumemuki865 4 жыл бұрын
Ivi hii sanya ni jina lake au ni kule home kwetu
@maujanjatv24h41
@maujanjatv24h41 4 жыл бұрын
Baraka Mtoi anaitwa mo town sanya
@sallynemsi6560
@sallynemsi6560 4 жыл бұрын
N wewe ulikuwa unaingia youtube kila saa kuangalia kama hii show imeshapostiwa kama kweli like
@issakhamisnassir6293
@issakhamisnassir6293 4 жыл бұрын
Yaan ww ni km mm
@florencekaranja8736
@florencekaranja8736 4 жыл бұрын
kumbe sikua peke yangu
@sallynemsi6560
@sallynemsi6560 4 жыл бұрын
@@issakhamisnassir6293 maana haijawahi kuboa hii show wala sijawahi kujutia kutumia MB zangu
@halimarashidmbwego9190
@halimarashidmbwego9190 4 жыл бұрын
Nimechungulia sana na sikuona nikalalazangu...ila morning nikaiamkia vema tu
@khadijaomari9344
@khadijaomari9344 4 жыл бұрын
weacha tu
@adamhasani6468
@adamhasani6468 4 жыл бұрын
Me demu mwenzie cio mwanaume jmn nampenda sana zuchunyo nampenda from my heart
@PaskaliBayyo-ge7ht
@PaskaliBayyo-ge7ht 8 ай бұрын
Mwenyezi mungu akutangulie katiki mzik wako. Afany mangumu kuwa mepes 💓💕💕💕💕💕❣️
@lucasjoseph1407
@lucasjoseph1407 4 жыл бұрын
Show ni kali na ubunifu ni mkubwa sana but ni vizuri mkawa mnabadilisha location kwa7bu usafiri mnao yaani ni km vile mlivyofanya na chid benz {Lucas MJ5 kutoka Italy}
@winfredkisigo9402
@winfredkisigo9402 4 жыл бұрын
bro upo Italy kwel lakn 😂
@eddyshembilu9886
@eddyshembilu9886 4 жыл бұрын
@@winfredkisigo9402 yuko Italiiiiiia
@winfredkisigo9402
@winfredkisigo9402 4 жыл бұрын
@@eddyshembilu9886 aha kumbe.. bc nakubal mwamb
@lucasjoseph1407
@lucasjoseph1407 4 жыл бұрын
Ndio nipo Italy , kwani vp kuna tatizo ?
@alvinsmith9808
@alvinsmith9808 4 жыл бұрын
Nembo ya mtaa ww noma nakubali sana Naombeni like zako hapa💪🏻💪🏻
@rsmile62ps
@rsmile62ps 4 жыл бұрын
God them 😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃 the guy singing that song,really finished me the last show was 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻😃😃😃😃😃
@sadomagg5770
@sadomagg5770 Жыл бұрын
Mimi niko kongo/drc. Nakubali na napenda nyimbo zake, unazidi wengi:lady ladee, Queen wa Diamond, nandi... Jina langu ni Mufariji -Kitolano
@OSCARKONGA-p1p
@OSCARKONGA-p1p 17 күн бұрын
A mimi nimemkubali Sana zuchu a mimi bwana niitenitu ibrah fofana ❤❤❤
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 4 жыл бұрын
Zuchu anajua sana.big up sanya🤙🤙🤙✌️✌️✌️🇹🇿🇹🇿.
@romakoko2292
@romakoko2292 4 жыл бұрын
Sanya leta kipindi Kenya #zuchu to the world
@warrensantana1570
@warrensantana1570 4 жыл бұрын
Inafaa pia wailete hii pande za Kenya uswailihini Kama Mombasa,,pia supporters wa Bongo Fleva wengi mno Mimi miongoni mwao💪💪💪
@johnmwadime4590
@johnmwadime4590 4 жыл бұрын
True. Brow
@swalahuomar9654
@swalahuomar9654 2 жыл бұрын
Umeshuta point bro
@kautharsuleiman9812
@kautharsuleiman9812 4 жыл бұрын
Ooo my god.. My favor girl.. I love her Anatuwakilisha wanaake jaman .. nampenda sanaaa Wish ningekuwa japo nacht nae on whsp😭😭😭😭😢😢😢.. I feel so blessed
@beatriceochanda8516
@beatriceochanda8516 2 жыл бұрын
Zuchu kiukweli twakupenda.....nyimbo zako kali karibu Mombasa
@azizakenny7154
@azizakenny7154 4 жыл бұрын
Tuletee mbosso ao Rayvanny jamanii😍😍😍nina imani iy siku tutaona maajab km ay zuchu😃😃😃☺☺
@irinemmasy8387
@irinemmasy8387 2 жыл бұрын
Tena na zaidi
@aminahhuawei1133
@aminahhuawei1133 3 жыл бұрын
Nakupenda sana zuchu mungu akubariki sana 🙏🙏❤️❤️❤️🇹🇿
@amiintotoboss9815
@amiintotoboss9815 4 жыл бұрын
Nakupenda toka moyoni ❤frm NAIROBI KENYA @totoBOSS🦁 SIMBA ,zuchu na KUNDI NZIMA 1❤
@BiubwaAmour
@BiubwaAmour 3 ай бұрын
Jamani zuchu nakupenda sana sana mungu akuwongoze ❤❤❤❤
@abdillahyabdilkadir4670
@abdillahyabdilkadir4670 3 жыл бұрын
Montown sanya msalimie zuchu
@goefryshayoo3122
@goefryshayoo3122 4 жыл бұрын
Zuchuuuuuuuu kama zuchu unapendwa sana mdogo wangu heshima busara na kazi poa tutakusapot
@shantalismailhassan9878
@shantalismailhassan9878 4 жыл бұрын
"Samahani nimekushika mkono bila ridhaa yako" umetisha kijana unaheshima kwa kweli hongera kwa mama na Baba yako.
@yunyun799
@yunyun799 4 жыл бұрын
Gonga beat ni kixangaaa 🔥🔥😂😂wakitoka hapo wakijiangalia kwenye tv cjui wana jixikiaje maana c kwa kuno ng'ona huko 😂big katixhaaa 🔥
@valentinesyekeye6846
@valentinesyekeye6846 4 жыл бұрын
😃😃😃😃😃🥳🥳
@dullydullahsenior756
@dullydullahsenior756 4 жыл бұрын
Hahahahahahahahahaha umeona eeeeeh 😂😂😂😂😂😂
@mwanasanaa75
@mwanasanaa75 4 жыл бұрын
Masha Allah mungu akujalie kila la heri mumy umefanya waxanzibar wajivunie kuwa na msanii kutoka Zanzibar
@danielmkama24
@danielmkama24 4 жыл бұрын
Hii ndio show ya kwanza naangalia mala mbili 🔥🔥🔥
@leonardkambona3608
@leonardkambona3608 2 жыл бұрын
Unyama kak
@heriholder2937
@heriholder2937 4 жыл бұрын
Zuchu tena ndani dah Aiseeh!! Sanya unatisha kama njaa.
@ntirampebaodila5237
@ntirampebaodila5237 4 жыл бұрын
Jaman zuchu anapendwa 🥰
@mosesmazigo3815
@mosesmazigo3815 4 жыл бұрын
Mo town kaz nzurii sana
@OmarAli-zp6yu
@OmarAli-zp6yu 4 жыл бұрын
Katika maisha unaweza kuchagua chaguo lako la maisha yako kwaiy unaweza kumkubali yoyyt yule
@ybonline8497
@ybonline8497 4 жыл бұрын
Ukweli hyo ngoma nisameh naipenda Sana Tena Zaid ya sana skujua kumbe weng Sana Hadi watoto wanaipenda kupitiliza
@onesterabayo9067
@onesterabayo9067 4 жыл бұрын
This program is the best. Keep it up guys..you made my day
@johnjean2652
@johnjean2652 4 жыл бұрын
Mlete @nandy nae wizala nyingine .hiki kipindi nicha moto 🔥🔥🔥🔥niko America nawapata vizuli 💪💪💪💪
@jacklinemkandala3201
@jacklinemkandala3201 4 жыл бұрын
Jaman zuchu kama Michael Jackson sasa we love you
@frankphiri111
@frankphiri111 3 жыл бұрын
You guys are doing great job And I wish I was in Tanzania I'd love to meet her. She really is my favorite
@abdallahomary9581
@abdallahomary9581 4 жыл бұрын
Namkubali sana uyo dogo zuchu ninge pata bahati ya mm kukutana naye ninge furah sana
@suleshm4627
@suleshm4627 4 жыл бұрын
Zuchu katuharibia show 😂😂😂😂😂😂😂. She's international huu uwanja mdogo kwake 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@sontv1751
@sontv1751 4 жыл бұрын
amna kitu hapo🚮🚮
@beautyibrahim8428
@beautyibrahim8428 4 жыл бұрын
@@sontv1751 😂😂😂😂matumiz mabovu ya roho mbaya
@robinapatrick8479
@robinapatrick8479 4 жыл бұрын
@@beautyibrahim8428 😅kwakwel yan hayo ni matumizi mabaya ya roho😅
@beautyibrahim8428
@beautyibrahim8428 4 жыл бұрын
@@robinapatrick8479 umeonaaa
@خسنموس
@خسنموس 4 жыл бұрын
Who is the best? Zuchu _ like Nandy_ reply
@salamagat4784
@salamagat4784 4 жыл бұрын
Both of them
@heriholder2937
@heriholder2937 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@iporasta1429
@iporasta1429 4 жыл бұрын
Nandy
@adijaniyonkuru9731
@adijaniyonkuru9731 4 жыл бұрын
Zuchu 🔥🔥🔥
@ushersnoopkid2122
@ushersnoopkid2122 4 жыл бұрын
No one anymore
@sophiajoseph2630
@sophiajoseph2630 4 жыл бұрын
Mo town Sanya wewe Ni mtu mbad Sanaa,,,Yani Ivo unavocheza wewe mtu anajua anaimba vizuri kumbe Wala gonga beat😂😂😂💪💪💪🤭
@abuumaryam1628
@abuumaryam1628 4 жыл бұрын
Ni mwaisa kabisaaaaaa MTU MBADI 😅😅
@fatmazullu4933
@fatmazullu4933 4 жыл бұрын
Yaani mbavuuuu zangu jamaniii
@khadijabiushy2409
@khadijabiushy2409 4 жыл бұрын
Njooni na kenya bs mombasa Nampenda Sana zuchu na wasanii wengine pia
@lilianbinji5459
@lilianbinji5459 4 жыл бұрын
Nakupenda Bure zuchu from Kenya
@ramadhanminani314
@ramadhanminani314 4 жыл бұрын
anaye tizama show uku akisoma comment agonge like tuendeleye ku enjoy
@janembawala6009
@janembawala6009 4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/eZCWdIybYrmgjNU
@tedylaswai8563
@tedylaswai8563 4 жыл бұрын
Wcb
@wahiduitsverycommentmane5421
@wahiduitsverycommentmane5421 4 жыл бұрын
Ok
@wahiduitsverycommentmane5421
@wahiduitsverycommentmane5421 4 жыл бұрын
Dr by
@lucyhussein7126
@lucyhussein7126 3 жыл бұрын
Yaan. Huyu kachoook namaisha yake unazid kunchaaangaya ha ha ha ha
@fredyjoseph8370
@fredyjoseph8370 4 жыл бұрын
Wasafi media for every body ! Napenda sana gonga beat
@sarahkyando189
@sarahkyando189 4 жыл бұрын
Watu tungekua naham ya kumwona Mungu kuliko wasanii ingependeza sana
@davidcurtis8556
@davidcurtis8556 4 жыл бұрын
Kuna nabii au mteme au anaeswali sanaaaaa alishawahi kumuona Mungu? Na kama ndio nipe ushahidi unaotoka kwenye Msaafu au Biblia, nikuweke sawa ni bora ungesema hivi ~ watu tungekuwa na hamu ya kuiona pepo kuliko wasanii na anasa
@mansa_islam9898
@mansa_islam9898 4 жыл бұрын
Ilo nalo neno
@injilichoiraicnjiru3407
@injilichoiraicnjiru3407 4 жыл бұрын
Safi
@adamnasib7928
@adamnasib7928 4 жыл бұрын
Kumuona mungu ni ndoto
@abdallahturoley4324
@abdallahturoley4324 4 жыл бұрын
Exactry
@emmanueliclever6487
@emmanueliclever6487 4 жыл бұрын
Jamn ata mim nampenda nataman aje mbeya mniuliz mim penda Sana kipenzi chake Khadija kop😍😍🤗🤗
@huthub8797
@huthub8797 3 жыл бұрын
Yani huyu Zuchu vile amefanya mtoto wangu wa mwaka mmoja na nusu akiskia nyimbo ya Sukari mtoto huruka kuruka na kulamba mikono na kuimba sukari #Zuchu Sukari yako nitamu #lovefromDaughterAsmah Mombasa twakusalute
@mwanamisiramadhan4773
@mwanamisiramadhan4773 4 жыл бұрын
Mimi napenda litawachoma sana hususani mstari ya mwanzo yani imenikaa sanaa❤❤❤😘😘
@محمدبنسعيدمشاوي
@محمدبنسعيدمشاوي 4 жыл бұрын
Litawachoka???
@mwanamisiramadhan4773
@mwanamisiramadhan4773 4 жыл бұрын
@@محمدبنسعيدمشاوي 😂😂😂😂😂😂😂😂😂hivyo hivyo but thx
@2PAClife1
@2PAClife1 4 жыл бұрын
zuchu is the best singing
@erickepimack9417
@erickepimack9417 4 жыл бұрын
Daaa ninampenda saaana Zuchu Mungu ampe Maisha marefu saaana na yenye Baraka
@jamalisaid431
@jamalisaid431 4 жыл бұрын
Respect kwako zuchu, mwenzio alikataa mkono wa mwanafunz tangu apo simfagilii kabisa
@ahmedmalick2862
@ahmedmalick2862 3 жыл бұрын
Ebwana asilimia 90 wahoji wahuni nainyoy sana majibu yao👍👍👍
@RioIpo
@RioIpo 3 жыл бұрын
Wallah upo kama mimi wahuni wapo really sana
MKOJANI : TWENDE POLISI TUKAWAULIZE WANANIJUA/HUYU NDIYO ZUCHU
26:38
Quilt Challenge, No Skills, Just Luck#Funnyfamily #Partygames #Funny
00:32
Family Games Media
Рет қаралды 55 МЛН
HAKUNA NDOA
11:49
Joti TV
Рет қаралды 418 М.
BABA LEVO ATAKA KULIA WAZEE HAWAMJUI/MILIONI 2 UMELOGWA
34:31
Wasafi Media
Рет қаралды 470 М.
Rayvanny Ft Diamond Platnumz - Tetema (Behind The Scene Part 2)
16:14