Ume nilemaza baada yakumckza zukuchu nakuckiza wewe unafanya vizuri zaidi
@alkilaly87303 жыл бұрын
Sichoki kukusikiliza unavyo imba .. sasa toa nyimbo yako... tukusikie..!! Unakipaji.
@margarethhozza44304 жыл бұрын
hongera sana duh hatari kama yeye oyoooooooooooooo
@hamidomar74744 жыл бұрын
NYIMBO YA ZUCHU ILA TUPIGENI KURA NANI ANA SAUTYYYYY HEBU TUANZEN
@isaachayes97834 жыл бұрын
Narudia tena huna tofauti na Zuchu, uko juu sana, wcb wakuchukue tuu
@husseinyusuph96784 жыл бұрын
Daaaaa!!! Nimezuuzika saaana na saut yako tam hatareee!!! Nimekupenda kazi nzuri nataman nawe uandike wimbo mzur tutakusuport
@joshuazadia67173 жыл бұрын
Dada umenogaa much love from Kenya Mombasa
@abigaelmrembo00143 жыл бұрын
Sauti yako dada100% super
@officialzuubabe24973 жыл бұрын
Shukran
@alkilaly87303 жыл бұрын
Unaimba kwa Kujiamini ....Wow..!!🤩🤩🤩
@tatianarida17804 жыл бұрын
Nice bby mke na mume kazini
@jamalymkupa24234 жыл бұрын
Da zuu umetisha kinoma sana maan daah nimeipnda sana
@farhatseif30414 жыл бұрын
Jamani kufatisha nacho oia ni kipaji ndo mana Bongo star search wanaofatisha wengi lakini wanaoweza ni kidogo
@Wanaharakati_Family4 жыл бұрын
Mama mwambie Father kara Lee ni siku yake ya watanzania kumfaham bado kidogo tu maana ni produce mkubwa sina wa kumfananisha nae dah rah sana
@officialzuubabe24974 жыл бұрын
Zimefika salam inshaallah
@khatibutellatella55714 жыл бұрын
Zuchu moto wako unazimika [hongera dada kazi nzur]
@saphashaibu28414 жыл бұрын
Yani ww nakupenda mpk nakereka unajua you are star
@alkilaly87303 жыл бұрын
Mashaa Allah... !! Hodari ... !! Well done..👍👍👍👍💯
@babzlove22674 жыл бұрын
Wow uko na sauti nzuri 🇰🇪
@ياسينابنجمعة4 жыл бұрын
Saut nzuri sana
@nikobatuyeemmanuel4057 Жыл бұрын
Woow Sauti nyororo kabisa ,iko sawa na ya zuchu mwenyewe ,Wasafi wakucukuwe na wewe tukuone hapa kwa bongo fleva
@masoudramadhan9644 жыл бұрын
Daaah nimeanza kukufatilia juzi tu yaani ila sichoki kuskiliza ngoma zako
@officialzuubabe24974 жыл бұрын
Thank you
@kulthumabdallah15454 жыл бұрын
Mashallah zuu umeweza
@nibigiraasiya5034 жыл бұрын
Zuu unakipaji dadaangu sauti yako naipenda sana afu wewe mrembo sana kabisa
@cutelady74104 жыл бұрын
Wasanii wazur wazidi kujitokeza
@zamoahajali3034 жыл бұрын
Dahhhhh huyu alifanya poa sana kwenye nyimbo ya fala wa mapenzi na abby skillz
@abdallaali65984 жыл бұрын
Juu sana i can't stop watching you pamoja sana
@farhatseif30414 жыл бұрын
Tuache madongo na majelous Huyu dada anaweza kama unabisha na wewe nenda kafatishe tuone
@salmamapozi1204 жыл бұрын
Mambo no motoooo.. Unafany bombaa xan mrembo
@TamuzaKale4 жыл бұрын
Karama Pumbu! Mamae! Sio mchezo. Kara Lee! Shidaaaaaa! Mtoto wa Msasani na Kiwalani kitambo. Mume na mke mna shida kubwa!
@ellotshama7814 жыл бұрын
Mashallah
@TamuzaKale4 жыл бұрын
@@ellotshama781 Yeah! Ni mke na mume!
@mourchidiali27094 жыл бұрын
Wewe mzuri sana 💋💋💋😚😚😚😍😍💞💞💞💞 tu y'a vraiment une belle voix 💕💕💕💕💕♥️
@rehemakawambwa99144 жыл бұрын
Jmn jmn ebu mpeni nafasi wasafi mchukueni pacha wa zuchu uyo
@sanurahamis68564 жыл бұрын
Zuu kama zuu🔥🔥
@zohraali54073 жыл бұрын
Wambie hao
@latifaally61124 жыл бұрын
Zuu kama zuchuu unaweza
@abdididdreds80284 жыл бұрын
im in love with her voice daaaaamn she is very good lau angejua vile hunituliza @zuu kiboko yao
@lahmangombale82284 жыл бұрын
Unajitaidi shoga angu😁😁😁😁😁
@thekillertz12904 жыл бұрын
We mdada ni nyoko unajua mpk unakera
@kennedykipkoech99274 жыл бұрын
I do really love your songs
@estherpeter79674 жыл бұрын
Safi Sana habibty
@samnundah4 жыл бұрын
Umeua sana dada
@sushimahassan24224 жыл бұрын
Maashallah 😍😘😘😘😘❤️ sauty tam👌
@walidozumba78044 жыл бұрын
Umechinja mwana well done all the way from UK
@officialzuubabe24974 жыл бұрын
Thank you
@andulilekilagu3514 жыл бұрын
Duh uko vizuli mdada
@nouraahmed49674 жыл бұрын
OMG 😩sauti muruaa aiseeee mashallah Zuu you got a voice 👏🏽
@sabrially12184 жыл бұрын
Waoo
@issamuhsin57253 жыл бұрын
Mambo
@hadijasalum69754 жыл бұрын
🔥🔥🔥umetishaa my love nakupend Sana❤️❤️❤️❤️kazana Allah atakusaidia😍😍😍😍
@seckcharles56094 жыл бұрын
Asante mtoto mzul unajua aiseee daaah mitaan kun vipaji eti jaman nyie
@mkongafiber42854 жыл бұрын
Nilijua tz kabinti mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni ni NANDI peke yake kumbe yuko na wenzake. mh! Ongezeni juhudi lkn muwe na mashirikiano na mapenzi kwa uwezo wa mw mungu mtafanikiwa malengo yenu
@mariaerenest51293 жыл бұрын
Jitaidi dada unaweza 👌👌👌👌👌
@nazkhazaman36504 жыл бұрын
Soo cute,u have nice voice mmmwwwaaaaah
@maryclara88654 жыл бұрын
Saut nzur dada 💔💞💘
@leilajumanne77344 жыл бұрын
Kali sna
@officialsashaa81714 жыл бұрын
Umeua mama
@mimahafrican_fans93344 жыл бұрын
ndo mama yaoo 💥💥💥
@officialzuubabe24974 жыл бұрын
hater
@nelsonmadiba43504 жыл бұрын
Wow wow 😍😍😍😍😍 umeiuwa dada 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
@mcctv56864 жыл бұрын
I swear you are talented
@alvinwein75302 жыл бұрын
You got it zuu beautiful voice
@bellaoresto12294 жыл бұрын
Zuu keep going you have potential 😍😍😍
@ayubmazrui75434 жыл бұрын
@@officialzuubabe2497 hebu ntafte
@arnoldoyier78024 жыл бұрын
Fine cover
@abdallaali65984 жыл бұрын
Nice keep it up
@alvinwein58012 жыл бұрын
No difference from zuchu you got this girl
@bavanmusictz67713 жыл бұрын
Good
@nahedstationery38514 жыл бұрын
Duh, yaani nyimbo umeitendea haki
@alvinwein75302 жыл бұрын
Omg such a beautiful voice
@nahodahassan69384 жыл бұрын
Zuchu namba 2
@managerfrank39994 жыл бұрын
Umeutendea Haki wimbo zuu
@officialzuubabe24974 жыл бұрын
asante sana
@ndulamwakitalima75053 жыл бұрын
Sauti nyororo
@trendingnews9354 жыл бұрын
Zuu vocals kama zuchu
@bahatimwenda89884 жыл бұрын
Chibu uko wapi wewe
@shukurumusitafa48674 жыл бұрын
Jamani jamani
@amanielia35294 жыл бұрын
Unafatisha tu hakuna kitu apa
@nadyaismail85424 жыл бұрын
Umetisha dadaa
@rukiyakhamis2534 жыл бұрын
Zuu i love the twinn
@afterfull-time13484 жыл бұрын
Watu wa ivi kuandika unakuta zero kabisaa
@maryammohd59944 жыл бұрын
Hapana.. Hata zuch alikua anacover nyumbo za mbosso.. Lakin on a sasa mashair yake
@nuggtsonnuggtson19214 жыл бұрын
Umenitishaaaa sanaaaaaaaa
@officialzuubabe24974 жыл бұрын
asante sana
@jolamababyofficial64814 жыл бұрын
Noma 🔥🔥🔥
@fatmamashallahdadadidahama98244 жыл бұрын
Mashallah my
@ابنالسودان-ل4ي2 жыл бұрын
ابداع اقسم بالله
@RahmaHaidar-bw3rb3 ай бұрын
Love you sis
@footballrus80734 жыл бұрын
mashallah god bless you
@lamarjr74424 жыл бұрын
Fundi💥💥💥💥💥
@khadijahamisi30984 жыл бұрын
OMG may god help u reach far
@samiamsuya91594 жыл бұрын
Zur sana
@mishram22934 жыл бұрын
saut mashallah kam og
@ruqaiyaaboud42194 жыл бұрын
Wow mashallah
@nazyrable4 жыл бұрын
Vitaaa hiikali
@dalilacubrens61574 жыл бұрын
Zuu umetishaaa ugali wali maini sotojo nakuonea mbali Sana Mungu yupo utafika inshallah Saboboh
@officialzuubabe24974 жыл бұрын
kabisaa
@zaisalumu7014 жыл бұрын
Zuu vp unaweza ku2nga nyimbo zako
@mimahafrican_fans93344 жыл бұрын
Ni 🔥🔥🔥🔥
@hpoo53694 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/ZmfWeoiInZd-hZY kzbin.info/www/bejne/ZmfWeoiInZd-hZY kzbin.info/www/bejne/ZmfWeoiInZd-hZY Habar ndugu marafk zang naomben muiskirize hii audio piya mui sabuscribe ili video musii kose kuiskiriza kzbin.info/www/bejne/ZmfWeoiInZd-hZY Usisahau ku bonyeza kengele ili habar zangu uzi pate kirasku kzbin.info/www/bejne/ZmfWeoiInZd-hZY kzbin.info/www/bejne/ZmfWeoiInZd-hZY Kwa maon zaid piga 0677537895