*Unamuhubiri Shetani* wewe geodavie wakala wa Kuzimu
@amaynahdaudy911113 сағат бұрын
Ameen
@MwarabuOlekashima22 сағат бұрын
Ubarikiwa baba
@sophybenedict5706Күн бұрын
Powerful message
@BoniphacyPaschalyКүн бұрын
Mh iko poa iyo
@AmosMaja-i1y2 күн бұрын
Barikiwa!
@RuthinessAndrea2 күн бұрын
Mmmh njaa tu
@MathiasPaskali2 күн бұрын
mungu ni mwema
@SaumuSaumu-x8g2 күн бұрын
Usoni mweupe mikono meusi
@ScholasticaMnkai2 күн бұрын
Yesu anawaita wote achen wakuabudiwa ni Mungu tu!
@FrednandyDaudi2 күн бұрын
Mungu tupatie macho ya rohon tuone yanayoendelea
@JosephinaLvitaly2 күн бұрын
Jiadhalini na manabii wa uwongo kama Hawa
@duncanfamily66902 күн бұрын
Amen! Thank you Jesus
@NicholausMsouth2 күн бұрын
💥💥💥💥💯💯💢💢
@FloraNgoma2 күн бұрын
Mikono ya nabii Ina rangi gan
@EmaJumajohn2 күн бұрын
Gudrack ubarikiwe
@hamisOmary-zh2xk2 күн бұрын
nikweli.baba
@MwanahamisiBwanga3 күн бұрын
Njaas mbaya heee
@DivaMsukuma-c7x3 күн бұрын
Asante mtumishi umefanya jambojema barikiwa sana
@PetroNicodemus-g3p3 күн бұрын
Yani million moja mtu anapiga magoti ingekuwa anampigia Mungu magoti hvyo si angekuwa mbali sana najua kweli kuna shida ila si kwa magoti hayo kiukweli mnamuhuzunisha Mungu laiti kama kweli Mtumishi umeamua kumsaidia mtu kiukweli mtumishi wa Mungu wa kweli awezi kubali mtu ampigie magoti kisa unamsaidia sasa Unampigia mtu magoti hivyo sikuiba utufu wa Mungu pale Mungu akikuwezesha ukamshangilia hvyo kunasawabu ivi mpk mtu apige magoti kama amempa hela ya chakula kulikua na ulazima gani mtu apige goti au camera ichukue video 🤔 mnafundisha nini watot wadogo😢😢 msaada wa kweli hauitaji washudiaji ni siri yako na uliye msaidia na Mungu tu hiyo ndo kusaidia si Tanzania nzima tujue mnaharibu kizazi chetu 😢😢😢😢
@ObediCharless3 күн бұрын
nitakauokoka nakezekazana
@ObediCharless3 күн бұрын
nimekatatama
@ObediCharless3 күн бұрын
Nabi ninamatatizo zana nimeka Tama
@PantaleoMaley3 күн бұрын
Tunapaswa kuwa making!
@MonicaSylivine3 күн бұрын
Amina
@mr.kinyago4 күн бұрын
Aisee ilo gari ngepewa mimi ujinga Tu unamsumbua
@EllyjTengeneza4 күн бұрын
Njaa mbaya sana
@sebestianbaha79454 күн бұрын
Kut12:40 Wana wa Israel walikuwa uhamishoni kwa miaka 430 ikiwa ni matokeo ya kutokuwa na utii kwa maagizo ya Mungu na Kulingana na umri wa mwanadamu wa miaka 70 au akiwa na nguvu miaka 80 Huo ni muda wa kutosha-karibu vizazi visivyo pungua 4 Na Kut6:5 Mungu anakumbuka Agano lake na kumtuma Nabii Mkuu MUSA kuwatoa wana wa Israel kutoka Moshi, Basi Neema ya Mungu itukalie sote Kuwa watii kwa Neno la Mtumishi wake aliyeko Zamu
@AnnaRobert-q3q4 күн бұрын
Baba ubarikiwe na wengine tupo uku dareslam uku atujuwi nani atatusaidia baba zaidi ya kutumika na watoto wapate kula apakwenye tuna umwa atuna wakutuangalia baba
@fadhilimbilinyi2744 күн бұрын
Aliyetoa gari yeye ameajibuje angalau?
@MarleenClymans4 күн бұрын
❤⚓️🙌🏻⚓️♥️dank u jezus meer bevrijding van hindo en kondalinie 😮geesten en machten😢houden me tegen om het woord van jezus te lezen❤kijg beelden als ik lees in de bijbel❤jezus u bent mijn heer en u zal ik dienen ❤dank profeet en apostel k⚘️thryn er is gisteren iets uit mijn maag gegaan en nu ben ik heeeeel dul..dank u jezus halleluja ❤halleluja ❤❤amen 😊❤
@TheopistaGervas4 күн бұрын
Asante sn kwa Mafundisho na Ufumbuzi huu wa Ethiopian Bible 88. Mengi tume fichwa Baba. Natamani nisikilize Vitabu 22 kutoka kwko. Asnte Barikiwa sn.
@MwicheGoma4 күн бұрын
When the presence of God in departed from you this is the results will come everything in your eyes will be good, very sad
@sebestianbaha79454 күн бұрын
Kut12:40 Wana wa Israel walikuwa uhamishoni kwa miaka 430 na Jangwani kwa miaka 40 Huo imetokana na Kutokuwa na utii kwa Mungu , Basi Neema ya Mungu itukalie Kuwa watii kwa Neno lake
@propKibali4 күн бұрын
MKUBWA ATAMBARIKI MDOGO KATIKA KUNDI LAKE, MAANA YAKE HT DAVY NI MSANII KWA KIFUNIKO CHA INJILI AKIWA NABII MKUU WAO
@SamwelSamwel-c2t4 күн бұрын
Kuna mwamba nyuma ya nabii kabana nywele kama halland 😂😂