Lakini sabato ni amri ya Mungu? Kama iliisha kwa maana gani tuwe wakristo?( Tunaweza iba, zini, tamani au tuwe na sanamu Kwa kuwa hazipo tena)
@DaimonMwapelele-g1d3 күн бұрын
Watu wote wa jihadhal na wewe Kama wanataka kuokolewa unatumia nguvu nyingi kutetea uongo siku ya Saba ilibarikiwa na ikatakaswa na MUNGU mwenyewe mwanzo 2:1-3 kutoka 20:8-11 tukifika mbingun tutaitunza sabato isaya 66:23 shetan alikataa kumtii MUNGU aliwadanganya Adam na Hawa wasimtii MUNGU mpaka leo anaendelea na kazi yake ya kuwadanganya wanadam wasitii kauli za mwenyez MUNGU, MUNGU habadilik neno lake halibadillik zaburi 89:34
@DaimonMwapelele-g1d4 күн бұрын
Yaan wewe unachekesha wasabato wanafundisha kushika amri kumi kwa uaminifu maana ukvunja moja umekosa juu ya yote yeye aliesema usizin ndie aliesema usiue yakobo 2:10 wewe unafundisha watu washike 9
@jovinalex8690Ай бұрын
Kazi nzuri sana watumishi wa MUNGU, Mbarikiwe sana
@injilinjeyakutazakanisa26 күн бұрын
Tunakushukuru sana Mtu wa Mungu kwa kututia Moyo. Barikiwa nawewe
Mmepotea ninyi, kwa nini msikubali ukweli wa Biblia? Yesu ni mwana wa Mungu. Yohana 3:16 = Mungu alimtuma mwanawe, Mungu hakumtuma Mungu mwana 😮
@injilinjeyakutazakanisaАй бұрын
Tunashukuru kwa maoni yako. Barikiwa
@mtimkavu66005 ай бұрын
Safi sana nenó
@injilinjeyakutazakanisa5 ай бұрын
Barikiwa. Karibu
@HAM99810 ай бұрын
Ameni mtumishi umefafanua vizur
@injilinjeyakutazakanisa10 ай бұрын
Barikiwa Mtu wa Mungu. Panapo makosa, kosoa
@sellahmwakabuta824611 ай бұрын
Kamanda wangu ubarikiwe
@injilinjeyakutazakanisa10 ай бұрын
Amina dada Sellah, Mungu akuinue sana. Una Kazi nzuri na bora katika Ufalme wa Mungu
@helenamwashivyala331511 ай бұрын
Hakika ushirika wa itete chunya mkowa wa mbeya tulimua Mungu Jimbo kusini maghalibi Yesu alitembea laivu
@injilinjeyakutazakanisa11 ай бұрын
Baraka nyingi kwenu, salimia wote huko
@sellahmwakabuta824611 ай бұрын
Barikiwa
@devotajulius757211 ай бұрын
Amen na mtafika mbali ninawapenda munaimba vzr sana
@sellahmwakabuta824611 ай бұрын
Mungu awe nawe
@injilinjeyakutazakanisa11 ай бұрын
Baraka nyingi kwako Mtu wa Mungu
@saimonjackson310211 ай бұрын
Nimebalickiwa mungu akupandishe viwango vya juu pastor 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
@injilinjeyakutazakanisa11 ай бұрын
Amepokea kwa Jina la Yesu. Barikiwa
@helenamwashivyala3315 Жыл бұрын
Pekeako Mungu unaweza kubadilisha ifumbo na itete sisi wanaa itete tumebyamaza kimya tunakutengemea wewe Mungu wetu,kwamaana roho baya zinazotafuna ifumbo wewe Mungu unaweza kukomesha
@helenamwashivyala3315 Жыл бұрын
Kwakweli Mungu alitembea kwa kila kona ,
@helenamwashivyala3315 Жыл бұрын
Mkutano wa ifumbo itete chunya kwakweli tulimuona Mungu usokwa uso
@helenamwashivyala3315 Жыл бұрын
Chunya hiyo
@injilinjeyakutazakanisa11 ай бұрын
Baraka mingi kwako pia. Karibu
@helenamwashivyala3315 Жыл бұрын
Ushirika wa itete upo juu,Mungu awabariki sana kwaya ya ushiri