Рет қаралды 53
NINUNULIE SODA NA SAIDIA HUDUMA HII KWA KUCHANGIA
Airtel money: +255 (0) 784 662 2210
Je, Yesu ni Mungu? Je, Yesu alitoa madai ya kuwa yeye ni Mungu?
Kutana na Mtumishi wa Mungu, Mtaalamu, mwenye nguvu za Roho wa Mungu katika Mata Tata ndani ya Ukristo na Mafafanuzi yake.
📌TAFADHALI KUMBUKA: Maoni yoyote kati ya yaliyotolewa na wazungumzaji si lazima yawakilishe maoni ya huduma hii (Injili nje ya Kuta za Kanisa) au miradi mingine yoyote ambayo inaweza kuwa nayo au kunuia kufanya. Injili nje ya Kuta za Kanisa na washirika wake hawatetei wala kuunga mkono shughuli yoyote isiyo halali kwa mtu yeyote au jumuiya.
Baraka nyingi kwako.