Neema Mbili wamepunjwa watu wengi
11:31
Пікірлер
@Alrisaalaturrahmahislamiccente
@Alrisaalaturrahmahislamiccente 2 ай бұрын
shekh barakallahufih Allah akuzidishie ila nataka nikurekebishe kidogo tu naomba usitoe ahadi ambayo nivigumu mtu kutekeleza kulingana na Sheria za inchi hakuna atakae jaribu kukukata kichwa hatakama atakuwa na ushahidi Sheria za inchi hazitamuacha. kwahivyo shekh wangu Kwa wale wapinzani wako watasema umetoa ahadi ngumu. afadhali ahadi ya pesa au nyumba au shamba vitu ambavyo havina ugomvi kwa serekali Allah akuhifadhi. wallahu a alam
@Zezunguman35
@Zezunguman35 2 ай бұрын
Darasa mujarabu, daawa imepenya
@abdulmalickkarume1472
@abdulmalickkarume1472 3 ай бұрын
Watu ni maadui wa vile wasivyovijua
@abdulmalickkarume1472
@abdulmalickkarume1472 3 ай бұрын
😂 Umma Unazidi kuangamia kwa sababu ya masheikh kama hawa wanasimama kwenye mimbari haliyakuwa bado hawana maarifa sahihi ya kile wanachokifikisha.
@LeilaMtunda
@LeilaMtunda 4 ай бұрын
S.A.W
@AllyChambo-o2t
@AllyChambo-o2t 4 ай бұрын
Allah akuhifadhi sheikh wetu
@AllyChambo-o2t
@AllyChambo-o2t 4 ай бұрын
Allah akuhifadhi sheikh wetu
@CostensiAmoss
@CostensiAmoss 5 ай бұрын
Mafundisho mema mola awatangulie
@MarkazIbnuUthaimin
@MarkazIbnuUthaimin 5 ай бұрын
@@CostensiAmoss shukran
@منهج_الرسل
@منهج_الرسل 5 ай бұрын
Allah amuhifadh sheikh wetu Khamis kiza
@MarkazIbnuUthaimin
@MarkazIbnuUthaimin 5 ай бұрын
@@منهج_الرسل Aaamin
@abdsalaamndalusanye2883
@abdsalaamndalusanye2883 Жыл бұрын
Ma Shaa Allah. Kheri kubwa na Faida Zinapatikana kupitia Channel hii. Allah Abaarik Kituo Chetu na Wasimamizi wake. Aamiyn
@MarkazIbnBaaz-itigi
@MarkazIbnBaaz-itigi Жыл бұрын
Baarakallaahu Fiyka, Nasaha nzuri Maa Shaa Allaah!
@munyanezaismail7642
@munyanezaismail7642 Жыл бұрын
Maa Shaa Allah baarakAllahu fiika yaa akhiy Hussein
@huseynmaitaya9002
@huseynmaitaya9002 Жыл бұрын
Wafiyka baaraka llaah