Mungu usikie maombi yangu maana unajua changamoto ninazopitia.
@MaryMiteiКүн бұрын
Mungu awasidishie Kwa kuubiri injili kupitia Kwa wimbo❤
@MaryMiteiКүн бұрын
I am blessed with the song❤
@DennisDara-i4iКүн бұрын
Ukweli munajua sifa na hukuu mungu awape maana nyimbo zenu nikali na pia zinagusa maisha ya wasikilizaji nawaombea mungu awajalie neema na baraka mnapo litangaza jina lake kwa njia ya kuinjilisha
@DennisDara-i4iКүн бұрын
Huu ndio wimbo unanipa nguvu kwa maana unamafundisho ya kutosha
@VeronicaMgwilangaКүн бұрын
Najisikia laha sana ninapo sikilinza nyimbo nzuri sana🎉
@KASHUMBAAUDAX-nm7kwКүн бұрын
Hellow....kwema??? Samahan huu wimbo naweza kuupata kwa maandishi????
@pillykisinzaКүн бұрын
vishindo vya wakoma
@CharlesKazeze2 күн бұрын
Kama huna nyumbo za Despina kwenye kabati lako la nyimbo za kumsifu Mungu pole sana
Despina ni mmoja tu hongereni sana wanakwaya kwa nyimbo yenye ujumbe ujumbe mnzuri
@mussakasela55625 күн бұрын
Happy Sunday
@wandawawycliffe41385 күн бұрын
🙏🙏
@MuToto-g8b5 күн бұрын
Mbalikiwe
@stanslausbernard59505 күн бұрын
Wimbo wenu ni mziri isipokuwa mavazi yenu siyo mwafaka kwa uimbaji wa nyimbo za injili.
@immaculatewanjala69966 күн бұрын
Tazama,Mungu ndiye anayenipigania ❤
@ERICKSONBAGAKA6 күн бұрын
Kazi Safi👏👏👏.mziki unatuliza roho kweli
@GodfreyMtenga-s4c7 күн бұрын
You have done very good
@HappyGoodluck-v3p7 күн бұрын
Mungu awalinde mwendelee kueneza injili ya mungu
@AssensiaHappy7 күн бұрын
Nzur sana dada
@ElizabethBeny7 күн бұрын
Dada despina natamani kuimba na ww uninoe niwe kama ww jmn
@ElizabethBeny7 күн бұрын
Catholic forever
@SabinaManonga8 күн бұрын
Despina hukoseagi
@tempochoir8 күн бұрын
Nice one 👏👏👏
@allyabdul75698 күн бұрын
Uko vzr maduka unafanya kaz nzr by Daniel kazungu usagara
@mariabalige71329 күн бұрын
Maria Balige Mungu asifiwe
@SabinaManonga9 күн бұрын
Waaoooo!! Wimbo mtam sana... mbarikiwe
@KwilasaNgusa9 күн бұрын
Kama vipi nyimbo kama hizi nakala zake ziwekwe humu ili tuzipakue na kuzifundisha
@KwilasaNgusa9 күн бұрын
Hongera sana Mr Mtinga kwa kipaji ulichojaliwa na Mungu. Nyimbo zako hazina mashaka kwa wakatoliki.
@ngatimwambu327211 күн бұрын
Good melodies.
@user-en6cd4zn1t11 күн бұрын
Naupenda Sana
@monicacheche739212 күн бұрын
wimbo mzuri sana, Mungu aendelee kuwatumia mtuinjilishe🙏🏽🎉🥰
@mathiassuswa917312 күн бұрын
Mgandu in my heart 🥰🙏 Pumzika kwa amani babu. Hongereni kwa utume.
@SabinaManonga12 күн бұрын
❤
@felexmutai386512 күн бұрын
Sauti tamu
@user-cs5bs8xd8r13 күн бұрын
Messege home. Nice song🙏🙏🙏
@user-cs5bs8xd8r13 күн бұрын
Nice one Despy
@SabinaManonga13 күн бұрын
Natamani nimwimbie Mungu kama wewe
@SabinaManonga13 күн бұрын
❤❤
@deucpatrick485013 күн бұрын
Mungu azidi kumpa pumziko la milele Mzee Mgandu
@kibingwasimwinuka251414 күн бұрын
Nyimbo nzuri sana
@dianamseka123315 күн бұрын
Nilianza kusikiliza wimbo huu mwka 2022 nilikuwa kwenye mateso makali sana ya kimaisha na watu wa watumishi wa kazini kwangu,kila siku nikitoka kazini nilikuwa nasikiliza huu wimbo hadi leo hii.Nilipata faraja kubwa kupitia huu wimbo huu.
@ViolethRaymond-f1u15 күн бұрын
nice nice sanaaa mungu awabariki sanaa
@alphoncembassa640116 күн бұрын
Wimbo ni bora kabisa unatuamsha hautukatishi tamaa
@shijasalaganda779816 күн бұрын
Mmeimba vizuri sana jaman
@DariaJosephat16 күн бұрын
Nahisi mtunzi alipokuwa akitunga huu wimbo alikuwa ameshukiwa na roho Mtakatifu hakika unanipa amani ya moyo na najiona Nina nafasi nyingine kwa mungu