Nafarijika kuona vijana wanaanza kutambua thamani na umuhimu wa kuenzi Muziki Mtakatifu Katoliki Tanzania Tapo la Kimapokeo. Organist huyu anafuata nyao za wazee wake hapa St Maurus Kurasini. Amefanya kazi ambayo imenikonga sana na kunipelekea kutoa maoni yangu.
@janem38065 ай бұрын
Well said!!
@ADRIANMINJA-fz7ig5 ай бұрын
📌
@gaspernyange28905 ай бұрын
Kabisa
@norberthamlowe23634 ай бұрын
Mtunzi Mungu akulinde! Melody is so adorable! Well done! Waimbaji! Your organizing is so inspiring! Waimbaji nawapenda bure.
@richardjohn80205 ай бұрын
Wazee wetu akina kayetta hata huko waliko watakuwa wanafarijika sana nyimbo zao zitaishi milele yote waimbaji mbalikiwe sana mpiga kinanda umenibariki sana
@DaudiNogela4 ай бұрын
Mbarikiwe sana wapendwa mmeimba vzr,na mcheza kinanda yuko vzr sana Hongereni na Mungu awabariki 6:05
@ElinethaSigwejo-xr4gg5 ай бұрын
Hongereni Sana Mmeimba Vizuri Mno Sana Sana, Dada wa gauni jekundu umeimba kwa hisia sana hakika umenibariki Sana
@sacredmusic97535 ай бұрын
Asante sana kwa tafakari nzuri, Ijumaa kuu iwe ni ishara wazi ya Imani yetu.
@janem38065 ай бұрын
Heri ya Pasaka kutoka 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
@user-yn5no8zx5y5 ай бұрын
Good work and God bless you
@faustampunza55015 ай бұрын
Sana hizi Ndo nyimbo za kikatoliki.tu mashaili tunavuta Sana au mi Ndo sielewi.Asante kwa tafakari
@chepkiruimonica60875 ай бұрын
Blessings dear ones, sweet voices touching many souls 🎉🎉🎉
@OrganistjamesKtZ5 ай бұрын
Good work,Mola awabariki🙏
@user-nn3hj5no7d4 ай бұрын
Mungu awabarik Sana
@dativamtaresi19735 ай бұрын
❤❤❤
@martinmabala97605 ай бұрын
Kidadamle🙌🙌
@fridaupendomushi10815 ай бұрын
Mwalimu Edoo
@ADRIANMINJA-fz7ig5 ай бұрын
Kaka keep up the gud work.... 🎉
@veronicahyera98785 ай бұрын
Hongera san kwa kazi nzurii ♥️
@vairethmhoza4 ай бұрын
Good work
@gaspernyange28905 ай бұрын
Richard 🔥✊🏼🫡
@fridaupendomushi10815 ай бұрын
Asante sana kwa tafakari nzuri galaxy pro studios na mwalimu wangu Edward Kidadamle🎉
@commcaretanzania26985 ай бұрын
hongereni sana kwa music safiii hakika mziki umetulia
@nemilakiangela51535 ай бұрын
Asante sana kwa kutusaidia kutafari na kusali. Endeleni kumtukuza Mungu kwa kuimba
@hojantinda61625 ай бұрын
Ijumaa kuu njema
@aaronjoachim92925 ай бұрын
Pongez kwa wana kwaya wote
@viaurfk5 ай бұрын
Safiiii sanaa
@Valerie3655 ай бұрын
Asanteni sana. ❤❤❤
@stellagaspergamaliel17585 ай бұрын
Good❤🎉
@Ave7125 ай бұрын
🙏🙏
@TM.2545 ай бұрын
Good work my guys. Always my best. Natural work always 🎉🎉