Tamu sana hii taarab 🇰🇪 Heko Fatma. Wewe ni komesha
@williamsagala708113 күн бұрын
When we talk about music, this is what we mean,,, still leasing & leaning,,,ety akikupikia vibichi huyo hatoshi, kama ww ni mukewe na mm Alisha nioa,,,,😂😂
@user-kt4wj8iy3i2 ай бұрын
Mume wangu alikua akiniekea huu wimbo sina nijualo mpka nilipoletewa mke mwenza masikio yakanifunguka
@carolkimaiyo42592 ай бұрын
This reminds me of my motherlnlaw she is a pin in my .......?!!!!
@ibrahimkeya33962 ай бұрын
Wenye tuko hii 2024 mwezi wa sita wa Zakayo.Likes hapa tafadhali.
@sophiamsegeju39152 ай бұрын
😂😂
@sophiamsegeju39152 ай бұрын
Mwaka 2000 enzi hizooo acha tuuu hapo damu inachemkaaaa
@salimiddi75832 ай бұрын
❤
@NeemaNey-gp2rd3 ай бұрын
2024❤❤
@brianmsuya6653 ай бұрын
Hahahahhaha
@catherinekeith52723 ай бұрын
This song reminds me of my High school life❤hii wimbo tulifika nayo national 🎉
@saladinkamis78143 ай бұрын
sauti kajaaliwa mashallah.inatoa nyoka pangoni
@gingercashcat3 ай бұрын
johka umepata swadakta kabisaaa🌟🌟
@abdulbasidosman41063 ай бұрын
First time kuona hu nyimbo ilikua kwa vcr Yani video caset n I love it
@KoomeTharanju4 ай бұрын
Kitambulisho halisi na hai Ukarabati wa Lugha; Ustadh Wallah Bin Wallah na Kaka JOS!
@AminaOmurunga-if5wh4 ай бұрын
Tutazidi kubanana papa hapa aiseee
@AllyJuma-sr2yd4 ай бұрын
2024
@nassoralinassor16984 ай бұрын
2024 hapa
@HafidhJuma-nn7rp5 ай бұрын
hawa jamaa haijawai tokea😂😂😂
@HafidhJuma-nn7rp5 ай бұрын
hawa jamaa haijawai tokea😂😂😂
@HafidhJuma-nn7rp5 ай бұрын
hawa jamaa haijawai tokea😂😂😂
@HafidhJuma-nn7rp5 ай бұрын
hawa jamaa noma walikuwa dah
@MarsheidyShakeer5 ай бұрын
Profess
@charleskiritu91775 ай бұрын
Kongole mwanahawa ally. Hii baadhi ya kazi mufti ulitoifanyapamoja na shangazi hadija Yusuf dadake Profesa wa mapenzi mzee Yusuf
@raiyaomary19886 ай бұрын
We una uzuri gani kazi kwa sangoma hakutaki said prince kinyago Cha skauti
@sakinaabdallah77136 ай бұрын
Voice of gold ❤❤❤❤
@user-cz6bx7jh2k6 ай бұрын
Nimekumbuka mbal sana
@jmasutv22286 ай бұрын
Jackson Masumbuko Wambura is watching za kale ni dhahabu
@amourmtungo6236 ай бұрын
Asante bi Mwanahawa na kundi zima la Melody, waliotangulia mbele ya haki M-Mungu awape makazi mema tutawakumbukeni kwa mchango wenu mzuri na burudani ya modern taarab
@maticsleokas17857 ай бұрын
2050 still hot😆😆😆😆
@simbawateranga70208 ай бұрын
Kama unatizama 10-1-2024 twendee. Ila ww unaesoma hapa mwaka 2080 mimi niliandikaga ni marehemu Babu yako
@saumukiduma8 ай бұрын
Love love❤❤❤
@saumukiduma8 ай бұрын
Swadakta mama mambo nimoto
@husseinmaula49658 ай бұрын
Atakuchunga hachoki kwa kila pembe na wala haoni tabu khasarani aingie hata kama kitu huna masikini basi atakusurubu maisha uyajutie kweli adui shetani ama adui kiumbe malipo duniani akhera kwenda hisabu viumbe .
@ZuleykhaIsmail-rc5ly8 ай бұрын
I like old taarab na hyu mama jamani,unasikiliza popote na mtu yoyote…..na napenda 💯 ni nyimbo za taratibu unasikiza inakukosha wallah……❤️❤️
@ErickMakongo-u4t9 ай бұрын
da!kitambo sana
@judebellingham104029 ай бұрын
still hits songs 2024
@wilberforceoongoh35110 ай бұрын
Waz in class 8 by then, hongera ustaadh.
@panuelkea85010 ай бұрын
Hapo saw
@NaimaTatiana10 ай бұрын
❤❤❤
@jacintabati6238 Жыл бұрын
Wangapi tumekuja hapa baada ya zuchu kuuweka huu wimbo 😊
@najmayahya21 Жыл бұрын
Mimi hapa 😊
@silvestermogaka5126 Жыл бұрын
Tamuuu 2023 bado yanikumbusha enzi za khadija Ali ngoma murwa Subira munje pwani kwa raha zetu kipindi cha KBC❤❤❤
@gerrymainmunisi6677 Жыл бұрын
Nani anaangalia 2023 August 17
@theprincejr1417 Жыл бұрын
Dah kwa hvyo hii vdeo wameshuti nikiwa na miak 9😅😅😅😂😂😂🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥