bado tz viongozi wa tz wana lewa madaraka, vibaya na ayo ndio malipo yake, ipo siku vijana wa tz watatekeleza aya, viongozi tafakarini aya.
@MassoudMaghwaly-jo8sh7 сағат бұрын
Tanzania pakujifunza hapa😢
@yonamallo62778 сағат бұрын
😂😂😂😂
@AugustKisaka-qy7kl8 сағат бұрын
Pato lataifa linakuwa ,na kama linakuwa ,je pato la wananchi na lenyewe linakuwa??
@AugustKisaka-qy7kl8 сағат бұрын
Acha bana, kwahiyo kama nitajiri unakopea nini ??,na kama mwenye uchumi wajuu duniani mkopaji mkuu,,jee anakopa kwa nani ,au anakòpa kwamasikini wachini zaidi ,sijaelewa vizuri
@hamudshabani78018 сағат бұрын
Huyu anaongea nn deni limeongezeka sasa Tanzania inapoteza pesa nying kwenye ufisadi lakn hatuna hatua chura kiziwi yupo tu
@user-cd9re4wt2b8 сағат бұрын
Wabunge wa CCM hawatusaidii kuttetea wanted matumbo yao
@user-cd9re4wt2b8 сағат бұрын
Mh Mpina uko vizuri sana tunakuunga mkono hatutakubali ufukuzwe ccm wengi wapigaji sana
@user-kq5si5pv9n9 сағат бұрын
Yaan watu wa ccm ukiwa mkweli wana kutengenezea nongwa
@user-kq5si5pv9n9 сағат бұрын
Yaan watu wa ccm ukiwa mkweli wana kutengenezea nongwa
@user-kq5si5pv9n9 сағат бұрын
Ukienda mahakamani japo nihaki yako nahuko watakushinda kuna mikono yao
@BrianMwashinga11 сағат бұрын
Kuhusu kujibadili kama chama je? Uwezo upo?
@MakunyanziPeter19 сағат бұрын
Ndiye mtu msomi huyo
@febby830822 сағат бұрын
Tupigwa 2
@davidanselmo4041Күн бұрын
Good deal
@ezekieljacob5795Күн бұрын
Kuamuka kupo kabla ya hata Yesu kurudi elimu hii ifundishwe kuanzia shule za chekechea
@shabanishabani-le8pgКүн бұрын
Sio point za kiongozi hizo , we unataka kusemaje labda ? Atamaliza umaskini yeye ? Anaonesha ufinyu wa mada . Onyesha utakachofanya ila sio kutetea uovu
@aeshitoyota2499Күн бұрын
Nimejielimisha sana juu ya siasa zetu
@LeahKazeniКүн бұрын
Ukoo vzr sana Mungu akutunze
@user-xs3ko8pg2gКүн бұрын
Kadogoo uko vizuri, unaushawishi ila mbowe sasa anachosha watu, amen'gan'gania uenyekiti, ase nyakati anachosha viongozi
@helencyprian874518 сағат бұрын
Pole sana mbowe atakuwa mwenyekiti mpaka akatae yeye, we kasirika tu.
@geraldluiso6792Күн бұрын
Factness ❤
@danielliyoko7214Күн бұрын
Kaz Nzur, Bashe.
@jamesjahasa3348Күн бұрын
Acha uongo wewe tushaamuka mbaguzi wewe umekalia uenyekiti miaka yote jee mkishika madalaka itakueje usitufananishe na kenya sisi tupo timamu
@emmanuellugata3019Күн бұрын
Acha usenge ww hujitambui ,inzi wa kijani, Kenya wako mbali sanaaa,kielimu, kiuchumi ,unaongea ujinga Gani,
@mchunguliechibwa19818 сағат бұрын
Jinga kabisa wee jamaa,na ndio nyie chawa ,,hila siku zenu sio nyingi,,maneno yanatuingia sana maana maisha tunayaona tunayoishi ni tofauti sana na viongozi wa ccm,hila wewe maskini mbavu za mbwa unashabikia ccm wezi na watesi wa taifa hili..heti tupo vizuri kuwazidi wakenya,,sisi ni mibuyu ya ccm 😢😢😢
@jamesjahasa334817 сағат бұрын
@@mchunguliechibwa198 acha hasila za njaa
@BarakerZeonlistКүн бұрын
TANZANIA LEADERSHIP IS NOT STRATEGIC LEADERSHIP INSTEAD IS THE SYSTEM FOR PEOPLE IN THE SYSTEM TO TAKE ADVANTAGE OVER IT CITIZEN
@marylibaba2589Күн бұрын
MUNGU AWALINDENI TU
@marylibaba2589Күн бұрын
KAMA HAUNA KARAMA HII UNAWEZA KWELI KUTOA MAELEZO YOOOOTE HAYA❤
@marylibaba2589Күн бұрын
NI KARAMA HIYOOO KUTOKA KWA MWENYEZI MUNGU
@marylibaba2589Күн бұрын
HONGERENI WATUMISHI WOOOOOTE WA USALAMA WATAIFA WANA KAZI KUBWA SANA.
@michaelmlyuka6032Күн бұрын
Maokoto yana nguvu kweli, hata Yuda Mfuasi wa Yesu alifanya uharamia wa kumsaliti,je sisi tutajili kukata hongo wakati kila kukicha tumepigika!
@DenisonTheonest-yj3mkКүн бұрын
Huna akili wewe unatapatapa mnafiki wewe mchungujaji gani wewe kibaka tu unanunulika kama changodoa
@mondayfadhili-li5qmКүн бұрын
Hongera sana mh.mpina kweli wewe niMwana TANU halisi,kwani Viongozi wa TANU walikuwa kama wewe Wana TANU Walijali sana Masilahi ya Wananchi kwanza.Umewataja Bw.Yesu Mtume Mohamadi SAW umemsahau MAGUFULI Nae pia ni wakujifunza kwake.Pambana tupo pamoja ktk Kweli.Mungu akujaze NGUVU_:Amin
Kama Mbowe ni Saccos Je mbona CCM inaongoza miaka na mikaka lakini haikubali kuachia madaraka japo uongozi wao hauleti manufaa kwa Watanzania?.Na bado wanatumia hila mpaka kuvunja upinzani ili wabaki japo wamechoka ,na tunachokiona ni kwa migao ya fedha ndio maana wanajifanya machawa .Hawataki katiba mpya hawataki uchaguzi huru .Hebu tuweke uchungu huru kama kweli anayosema Msigwa kuna haki .