Hii nizaidi ya wema Kwa kiongozi wetu mkuu(raisi Samia) MUNGU AMBARIKI SANA!
@DaimaMwasile-wm2ii12 сағат бұрын
Dakika chache sana kaongea
@aaminaasljbgbvf74513 сағат бұрын
Upelelezi Wanini tena mtukishauwa tayari 😢😢😢😢
@hoseastephen450815 сағат бұрын
Hongera sana watu wanaotumia akili kuleta manufaa nchini na duniani kwa ujumla
@LovenessDaud23 сағат бұрын
Ndio maana Mimi sitaki kuolewa wanangu walelewe na baba wa kambo Mungu akufanyie wepesi wakati huu mgumu unaopitia mpendwa wangu😢
@ZaidSeifSuleimanКүн бұрын
Hao kipindi wakati makufuli ni rais na makonda nimkuu wa mkoa walikuja usituongope mkuu
@RoseKimishabhalemi-oz9bnКүн бұрын
Amevaa suruari ? amependeza sana rais wetu
@NeemaAshely-sh1nkКүн бұрын
Mungu tusaidie
@user-sj3wf5vz7lКүн бұрын
Mh siasa mbaya
@sevenmundКүн бұрын
naona vyuo vingi vya serikali vinaikataa hii foundation programme, kama DIT hawakuchukui ukisoma foundation
@kilelechaimani.8956Күн бұрын
Mwanamke inaonyesha alipendekeza mapenzi kuliko kuwa makini na mtoto.
@abdalahgunda1319Күн бұрын
Baazi ya wakenya wanatucheka watanzania wengi kingereza hatukijui ila laa kweli kingereza kinatusumbua lakini watanzania wanauwezo wa kuchezea simu mpaka basi na kuiba pesa ktk Mitaandao ya kijamii sasa wewe utajaza mwenyewe kingereza hawakijui ila wanaiba pesa ktk mitaandao ya kijamii sasa ni wewe kujaza akilini mwako anaibaje pesa ktk mitaandao ya kijamii kingereza hakijui
@temuramadhani5134Күн бұрын
Bnada tuna roho mbaya tunasum mbya kushinda ya nyoka
@marychami17002 күн бұрын
Proud of you my president,Dr Samia❤
@annehaysanday92142 күн бұрын
Kwani hakuna viongozi wa serikali? Kwanini msiingeita mjumɓe wa nyumba kumi wakati wa vurugu
@section8ight1742 күн бұрын
Sasa hospitali nzuri lakini nje VUMBI la kumwaga? Yaani wapi na wapi? We as a country NEED to have a HIGHER level standards when it comes to CONSTRUCTION in general. Yaani na akili yako Nzuri tu ukaona hii hospitali bila mapendezesho yoyote Yale eti ipo tayari kuzinduliwa???? Bila nyasi pembezoni ama walkways za maana! I’ve also seen schools having exact same problem. DO WE AS A COUNTRY NOT HAVE ANY LANDSCAPERS AT ALL???
@nyimbozawatoto2 күн бұрын
Wangeweza kutengeneza hapa hapa nchini kuna wataalamu wanaweza kazi hiyo badala ya kutumia mamilioni nje
@elizabethrichard76943 күн бұрын
Nimeumia mimi jamani mtoto asie nahatia unamnyonga adi anakufa khaaaa Mungu tutetee
@user-lt1bi5nr1x3 күн бұрын
Washenzi tu wamemkosaje
@DavidMbilinyi-tn3jm3 күн бұрын
Ww binadamu unachukua sababu amepona kakuudhi nn
@JosephKasyaka3 күн бұрын
😂 😂 😂😂
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg3 күн бұрын
Ni ajabu sana, ulinzi hafifu. Kweli mlinzi ni mungu tu maana amepona kwa kudra zake
Hv tanzania mbona wanajiachia sana sasa hv wakat wa magufuli walikua wanaogopa jamani sasa hv wapo huru kabisa jamani aah jamani sasa mtt amekosea nn alf anapelekwa police wakifika wanapewa ugali na maharage wanakula kila cku kama wapo nyumbani ndio maana hawaelew
@user-lu1by6yp4t4 күн бұрын
Pole sana mwaya inauma
@user-lu1by6yp4t4 күн бұрын
😭😭😭 ivikwanini hamjamuua uyo shetani mungu amlaani
@user-zz5ng1yb8d4 күн бұрын
Zimenisaidia kwenye madonda,ila ndefu na kichaa tu.
@fredrickkaaya62874 күн бұрын
Hatuwezi kumsifu mtu aliyeuza bandari zetu, misitu yetu na mbuga zetu za wanyama kwa wajomba zake waarabu. Kiama chake kimekwisha tabiriwa na manabii someni alama za nyakati. Tunamshukuru Mungu kwa maono mkubwa aliyompa J P M na Leo yametimia. Hatuna cha kumtukuza mwanadamu mwenzetu kwani reli imejengwa kwa Kodi zetu wenyewe.
@HamisMghuna-fj3vz4 күн бұрын
Huyo aje Arusha,dodoma n mademu Arusha,hee kuku tu w me dedadishwa,,dangote ali deadishwa, huyo n mende mdogo sana Arusha,
@LovenessDaud23 сағат бұрын
Huko Arusha kwenyewe matukio ya kutisha kila siku hata huyo Dangote mwenyewe aliwasumbua Kwa muda gani au mtoto mdogo alikuwa anawatapisha dagaa mijibaba na ndevu zenu Hovyooo😏😏
@HamisMghuna-fj3vz4 күн бұрын
Huyo n kua tu laanahtullah
@abuuramadhan80935 күн бұрын
Tuweke bomba za gas kwenda Uganda,Zambia na kenya
@abuuramadhan80935 күн бұрын
Gas ipo pwani,ruvuma,Tanga,lind na mtwara itabd tuanzishe wizara ya mafuta na gas
@abuuramadhan80935 күн бұрын
Msinunue mbolea nje ya nchi ikiwa Tanzania mbolea tunayo
@MasterOil-qm6vw5 күн бұрын
Tatizo utekelezaji maneno ya siasa sie wangine sio wanasiasa ndio maana mwisho wa siku tunawaita waongo kwakua tumezoea kutenda na sio porojo za maneno
@MasterOil-qm6vw5 күн бұрын
Mumekataza matumiz ya mkaa na wengi mwa wananchi wa tanzania ni wa kipato cha chini sasa tunataka tuone bomba zikichimbiwa chini ili kuwasamabzia wananchi gesi kwenye majumba yao sio kutuuzia hizi za oryx na mihani na tuone bei ya mtungi mdogo wa ges iwe japo 10000 kwa kilo 14.5kg
@landdevelopersspot46045 күн бұрын
Kazi nzuri sn
@abuuramadhan80935 күн бұрын
Tunatakiwa tuzalishe gas nyingi zaid
@abuuramadhan80935 күн бұрын
Gas bado ipo mkoa wa Tanga ,RUVUMA ,LIND ,PWAN bado gas ya Hellium
@abuuramadhan80935 күн бұрын
Tunatakiwa tuzalishe ngano nying san
@abuuramadhan80935 күн бұрын
Tunatakiwa tuzalishe ngano ambao ndo zao kuu tunalotoa fedha nying san kwenda nchi zingine
@MARCEL_BOY96 күн бұрын
Huyu jama kama lebron James basketball jamaa mrefu balaa
@KASSIMABDULLA-wm7bn6 күн бұрын
YAni WABONGO. BANA KAMA HAKUNA NDUGU ZETU ASKARI
@user-wn5hy7bq5f6 күн бұрын
Mzee Kinana might never recover from President JPJ Magufuli's leadership style that did not only shake TZ's Political and Economic landscape but disrupted the laxity and status quo in governance. The time for cliques of elites and cabals manipulating governance at the expense of the common man is over.
@Sidathikibuga6 күн бұрын
Hiki ni chuma cha kupilia mataifa 😂😂😂
@abduljuma78077 күн бұрын
Asante sana Mama Samia Kanyagia hapo hapo mpokee huyo mtu Mama achana na wamagharibi mshika mawili yote atakosa achia taratibu Kama wanataka iwe win win sio wao tu sisi tinaachiwa mashimo mali zote wana chukua