Mwenyezi Mungu Atusaidie ili tupokee Roho mtakatifu
@AlphonceCosmasi2 күн бұрын
Pastor.Mungu azidi kumutumia kwa Kalama aliyo kupatia na Mungu azidi kukutia nguvu zaidi haijalishi utakutana na upinzani kiasi gani.
@user-ns1jw3rl3g2 күн бұрын
More blessings upon you my pastor
@user-fg6rr2jw1r2 күн бұрын
Mungu anisaidie sana. Yes bila msamaha haya maisha it’s terrible 😞 😢😢
@user-fg6rr2jw1r2 күн бұрын
Yes
@amoskitiu35413 күн бұрын
Mungu akubariki pr kwa Huduma
@user-ns1jw3rl3g3 күн бұрын
Mwenyezi Mungu Akubariki postor
@jamesimanwel50893 күн бұрын
Bwana akutunze Pastor
@lenardmayuki89904 күн бұрын
Bwana ni mwema natumai mko salama Kuna somo nimeona notfication linaitwa INTERMIDIATE GREECK 1 nimefungua likapotea kama ikiwa yawezekana naombeni link nilipate
@ronaldhelmott83794 күн бұрын
Be blessed Pr.
@victormpunza19174 күн бұрын
Pastor namshukuru sana Mungu kwa ajili yako since nabarikiwa kila wakati
@musajulius33644 күн бұрын
Amina, Bwana atukuzwe kwa ujumbe huu tukutane na Bwana pamoja na familia zetu kwa kutengwa na ulimwengu,,, barikiwa sana Pr
@MAGHOMASANGARINYARATA4 күн бұрын
Hilo neno wali azimu moyoni mwao leo ndio nimeli elewa
@MAGHOMASANGARINYARATA4 күн бұрын
Mabalozi❤❤
@emmanuelmbuliimo70554 күн бұрын
Pastor Mungu akubariki sana
@GraceSagatti5 күн бұрын
Barikiwa Mtumishi wa Mungu kwa mafundisho yanayotubariki. Mwenye masikio asikie.
@ziporamachilu68775 күн бұрын
Mchungaji ww ni mtumishi.shambani mwa Bwana umetufundisha kweli ktk kitabu hiki cha ufunuo roho wa.Bwana atusaidie kuyakumbuka haya mahubiri Nawe Bwana akutunze ktk mbawa zake
@paulsemba_TV5 күн бұрын
AMINA
@negwamwaipopo64675 күн бұрын
Mungu baba azidi kukutumia na kukubariki
@user-hc4jv8uz5b7 күн бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙏
@YusuphNkaina7 күн бұрын
Ubarikiwe sana pasta kwaujumbe mzuri
@molinangoy8937 күн бұрын
Tutapataje number zako pastor?
@paulsemba_TV6 күн бұрын
0621154690
@molinangoy8937 күн бұрын
Tutapataje number za mchungaji
@gabrielsaelie80918 күн бұрын
Kwa neema na upendo wa Mungu BABA na wa Bwana wetu Yesu Kristo, hatuhitaji kuwa na elimu kubwa ya philosofia au theologia au kuelimika katika lugha ya kiyunani au kilatini ili kumjua MUNGU WA MBINGUN. Mungu wa Mbinguni anajifunua wazi kwetu kama ulivyoandìkwa: Yohana 17:3 UZIMA WA MILELE NDIO HUU, WAKUJUE WEWE MUNGU WA PEKEE NA WA KWELI NA YESU KRISTO ULIYOTUMA. Soma bibilia katika nyaraka zote za Paulo Mtume kwa kuungozwa na Roho wa Mungu/Yesu (barua zote sura 1:1-2) alizowaandiaka makanisa hivi: NEEMA ZITOKAZO KWA MUNGU BABA NA KWA BANA WETU YESU KRISTO. Mungu BABA ndio yeye Mungu wa pekee na ni wakweli. Na kwa yeye huyo Mungu BABA tuna MWANA. MUNGU alimzaa mwana pekee tokea milele yote. Na katika Mungu kuupenda ulimwengu/mwanadamu wenye hatia kutokana na anguka la Adamu pale Aden akamtuma Mwanaye wa pekee ili azaliwe katika mwili wa kibinadamu kupitia kwa bikira Maria akajulikana kama YESU KRISTO ili kwa njia ya kafara ya msalaba amwondolee hatia mwanadamu aliyoanguka. (Injili ya Yohana 1: 1-5) Mungu BABA ndio MUNGU PEKEE NA KWELI. YESU KRISTO NI MWANA PEKEE WA MUNGU ALIYEKUFA MSALABANI KWA AJILI YA WAKOVU WA MWANADAMU. ROHO YA MUNGU/YESU MDIYO INAYOONGOZA NA KUFANIKISHA MAPENZI YA MUNGU TOKA ZAMA ZA MANABII NA WAKATI WETU HUU NA HADI KUAMA. Huo ndio UUNGU. Na sio UTATU kama inavyohubiriwa kwa upotofu. Yupo Mungu BABA, yupo Bwana wetu Yesu Kristo na Roho ya Mungu/Yesu inayongongoza mwanadamu katika kutimiza mapenzi ya MUNGU. Fundisho la utatu sio la Kibibilia ni la uwongo katika upagani na nifundisho KUU la shetani. Fundisho la Mungu mmoja katika nafsi tatu yaani UTATU wa mungu baba, mungu mwana, na mungu roho mtakatifu ni Udanganyifu na hila ya kutisha ya kumpandisha Lusfer aabudiwe kama MUNGU WA MBINGUNI. Ezekieli 28:1-19. Tuikatae hii hila hatari ya shetani ya kumwabudu katika makanisa kwa jina la upotofu la kuwa nafsi ya tatu ya MUNGU kama "mungu ROHO MTAKAIFU
@amanmgeni75208 күн бұрын
MUNGU nimwema ameona wafaa kuendelea nakazi ya utume jiina la bwana litukuzwe
@AnastaziaMasala8 күн бұрын
Amina
@natihaikamjema85139 күн бұрын
Mungu akubariki Pastor Semba kwa ujumbe huu Makini
@GeorgeKimbokas-ll3fx9 күн бұрын
Pr barikiwa sana sana mimi ni mmoja wa wanafunzi wako nafuatilia sana mafundisho na mahubiri yako,,napenda sana mafundisho yako. Mimi ni mchungaji nilietoka kwenye makanisa ya kilokole baada ya kuujua ukweli kuhusu sabato,pambano kuu na nyakati sahihi za kiunabii. So nasali sda church mzizima ni mkurugenzi wa shule ya sabato pale ni master guide pia. Nina miaka minne tu kwenye usabato. Mungu akubariki sana sana.
@paulsemba_TV6 күн бұрын
BWANA AZIDI KUKUBARIKI NA KUKUTUMIA
@negwamwaipopo64679 күн бұрын
God bless you 🙏 Pastor
@negwamwaipopo64679 күн бұрын
Hakika Mungu azidi kukubariki Pastor
@EvangalistmediaTv10 күн бұрын
Tunazid kubarikiwa
@jeanbulambo438310 күн бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@alicenyakawa244910 күн бұрын
Wonderful message of blessing, thanks for placing the nail on assure place, even though is a stumbling block for the middle class, thanks again
@paulsemba_TV6 күн бұрын
AMEN
@lenardmayuki899010 күн бұрын
Bwana akubariki Pastor
@EvangalistmediaTv10 күн бұрын
Msimamo tunabarikiwa sana
@Emmanuelpaul-ro1up11 күн бұрын
Wachungaji vipofu
@orestaMminza11 күн бұрын
Jina la Bwana libarikiwe
@malandojuma926613 күн бұрын
Pr be blessed 🎉🎉
@ezekielbarnaba578514 күн бұрын
Amina
@ngendakumanatychique14 күн бұрын
Pasta Asante sana kwa ujumbe muzuri Ila jitaidi sana uzungumuze luga moja yani kuna mambo mengi hatuelewi ( kingereze kinatusumbuwa sana)
@paulsemba_TV6 күн бұрын
AHSANTE
@yohananjangaje14 күн бұрын
Good bless you pastor
@whitevintv928414 күн бұрын
Live from igowole Mufindi Mabarikiwa sana na pr semba
@orestaMminza15 күн бұрын
Mungu akujalie afya njema
@JuliusHatari15 күн бұрын
Mungu hawabariki sana wapendwa katika Bwana
@josephathkerima780817 күн бұрын
Amen
@estherogembo553617 күн бұрын
My love for pastor Semba is on another level,haogopi kutuambia ukweli...keep up pastor from kenya
@paulsemba_TV6 күн бұрын
THANK YOU FOR YOUR PRAYERS
@zephaniasangala427517 күн бұрын
Waoooo natamani uyaweke yote mana kule ni marefu sana yakiwa hivi itakuwa vizur hata kwa ku download itachukua Mb chache. Mungu akubariki sana pastor nimebarikiwa sana na lile somo la Day 4