Пікірлер
@AlphonceCosmasi
@AlphonceCosmasi 17 сағат бұрын
Mungu akubariki sana pastor.
@MbomoziMgeta
@MbomoziMgeta 22 сағат бұрын
God bless you pastor
@SaitotiHinyura
@SaitotiHinyura Күн бұрын
Ameni
@user-ns1jw3rl3g
@user-ns1jw3rl3g Күн бұрын
Shukrani sana mchungaji
@user-ns1jw3rl3g
@user-ns1jw3rl3g 2 күн бұрын
Mwenyezi Mungu Atusaidie ili tupokee Roho mtakatifu
@AlphonceCosmasi
@AlphonceCosmasi 2 күн бұрын
Pastor.Mungu azidi kumutumia kwa Kalama aliyo kupatia na Mungu azidi kukutia nguvu zaidi haijalishi utakutana na upinzani kiasi gani.
@user-ns1jw3rl3g
@user-ns1jw3rl3g 2 күн бұрын
More blessings upon you my pastor
@user-fg6rr2jw1r
@user-fg6rr2jw1r 2 күн бұрын
Mungu anisaidie sana. Yes bila msamaha haya maisha it’s terrible 😞 😢😢
@user-fg6rr2jw1r
@user-fg6rr2jw1r 2 күн бұрын
Yes
@amoskitiu3541
@amoskitiu3541 3 күн бұрын
Mungu akubariki pr kwa Huduma
@user-ns1jw3rl3g
@user-ns1jw3rl3g 3 күн бұрын
Mwenyezi Mungu Akubariki postor
@jamesimanwel5089
@jamesimanwel5089 3 күн бұрын
Bwana akutunze Pastor
@lenardmayuki8990
@lenardmayuki8990 4 күн бұрын
Bwana ni mwema natumai mko salama Kuna somo nimeona notfication linaitwa INTERMIDIATE GREECK 1 nimefungua likapotea kama ikiwa yawezekana naombeni link nilipate
@ronaldhelmott8379
@ronaldhelmott8379 4 күн бұрын
Be blessed Pr.
@victormpunza1917
@victormpunza1917 4 күн бұрын
Pastor namshukuru sana Mungu kwa ajili yako since nabarikiwa kila wakati
@musajulius3364
@musajulius3364 4 күн бұрын
Amina, Bwana atukuzwe kwa ujumbe huu tukutane na Bwana pamoja na familia zetu kwa kutengwa na ulimwengu,,, barikiwa sana Pr
@MAGHOMASANGARINYARATA
@MAGHOMASANGARINYARATA 4 күн бұрын
Hilo neno wali azimu moyoni mwao leo ndio nimeli elewa
@MAGHOMASANGARINYARATA
@MAGHOMASANGARINYARATA 4 күн бұрын
Mabalozi❤❤
@emmanuelmbuliimo7055
@emmanuelmbuliimo7055 4 күн бұрын
Pastor Mungu akubariki sana
@GraceSagatti
@GraceSagatti 5 күн бұрын
Barikiwa Mtumishi wa Mungu kwa mafundisho yanayotubariki. Mwenye masikio asikie.
@ziporamachilu6877
@ziporamachilu6877 5 күн бұрын
Mchungaji ww ni mtumishi.shambani mwa Bwana umetufundisha kweli ktk kitabu hiki cha ufunuo roho wa.Bwana atusaidie kuyakumbuka haya mahubiri Nawe Bwana akutunze ktk mbawa zake
@paulsemba_TV
@paulsemba_TV 5 күн бұрын
AMINA
@negwamwaipopo6467
@negwamwaipopo6467 5 күн бұрын
Mungu baba azidi kukutumia na kukubariki
@user-hc4jv8uz5b
@user-hc4jv8uz5b 7 күн бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙏
@YusuphNkaina
@YusuphNkaina 7 күн бұрын
Ubarikiwe sana pasta kwaujumbe mzuri
@molinangoy893
@molinangoy893 7 күн бұрын
Tutapataje number zako pastor?
@paulsemba_TV
@paulsemba_TV 6 күн бұрын
0621154690
@molinangoy893
@molinangoy893 7 күн бұрын
Tutapataje number za mchungaji
@gabrielsaelie8091
@gabrielsaelie8091 8 күн бұрын
Kwa neema na upendo wa Mungu BABA na wa Bwana wetu Yesu Kristo, hatuhitaji kuwa na elimu kubwa ya philosofia au theologia au kuelimika katika lugha ya kiyunani au kilatini ili kumjua MUNGU WA MBINGUN. Mungu wa Mbinguni anajifunua wazi kwetu kama ulivyoandìkwa: Yohana 17:3 UZIMA WA MILELE NDIO HUU, WAKUJUE WEWE MUNGU WA PEKEE NA WA KWELI NA YESU KRISTO ULIYOTUMA. Soma bibilia katika nyaraka zote za Paulo Mtume kwa kuungozwa na Roho wa Mungu/Yesu (barua zote sura 1:1-2) alizowaandiaka makanisa hivi: NEEMA ZITOKAZO KWA MUNGU BABA NA KWA BANA WETU YESU KRISTO. Mungu BABA ndio yeye Mungu wa pekee na ni wakweli. Na kwa yeye huyo Mungu BABA tuna MWANA. MUNGU alimzaa mwana pekee tokea milele yote. Na katika Mungu kuupenda ulimwengu/mwanadamu wenye hatia kutokana na anguka la Adamu pale Aden akamtuma Mwanaye wa pekee ili azaliwe katika mwili wa kibinadamu kupitia kwa bikira Maria akajulikana kama YESU KRISTO ili kwa njia ya kafara ya msalaba amwondolee hatia mwanadamu aliyoanguka. (Injili ya Yohana 1: 1-5) Mungu BABA ndio MUNGU PEKEE NA KWELI. YESU KRISTO NI MWANA PEKEE WA MUNGU ALIYEKUFA MSALABANI KWA AJILI YA WAKOVU WA MWANADAMU. ROHO YA MUNGU/YESU MDIYO INAYOONGOZA NA KUFANIKISHA MAPENZI YA MUNGU TOKA ZAMA ZA MANABII NA WAKATI WETU HUU NA HADI KUAMA. Huo ndio UUNGU. Na sio UTATU kama inavyohubiriwa kwa upotofu. Yupo Mungu BABA, yupo Bwana wetu Yesu Kristo na Roho ya Mungu/Yesu inayongongoza mwanadamu katika kutimiza mapenzi ya MUNGU. Fundisho la utatu sio la Kibibilia ni la uwongo katika upagani na nifundisho KUU la shetani. Fundisho la Mungu mmoja katika nafsi tatu yaani UTATU wa mungu baba, mungu mwana, na mungu roho mtakatifu ni Udanganyifu na hila ya kutisha ya kumpandisha Lusfer aabudiwe kama MUNGU WA MBINGUNI. Ezekieli 28:1-19. Tuikatae hii hila hatari ya shetani ya kumwabudu katika makanisa kwa jina la upotofu la kuwa nafsi ya tatu ya MUNGU kama "mungu ROHO MTAKAIFU
@amanmgeni7520
@amanmgeni7520 8 күн бұрын
MUNGU nimwema ameona wafaa kuendelea nakazi ya utume jiina la bwana litukuzwe
@AnastaziaMasala
@AnastaziaMasala 8 күн бұрын
Amina
@natihaikamjema8513
@natihaikamjema8513 9 күн бұрын
Mungu akubariki Pastor Semba kwa ujumbe huu Makini
@GeorgeKimbokas-ll3fx
@GeorgeKimbokas-ll3fx 9 күн бұрын
Pr barikiwa sana sana mimi ni mmoja wa wanafunzi wako nafuatilia sana mafundisho na mahubiri yako,,napenda sana mafundisho yako. Mimi ni mchungaji nilietoka kwenye makanisa ya kilokole baada ya kuujua ukweli kuhusu sabato,pambano kuu na nyakati sahihi za kiunabii. So nasali sda church mzizima ni mkurugenzi wa shule ya sabato pale ni master guide pia. Nina miaka minne tu kwenye usabato. Mungu akubariki sana sana.
@paulsemba_TV
@paulsemba_TV 6 күн бұрын
BWANA AZIDI KUKUBARIKI NA KUKUTUMIA
@negwamwaipopo6467
@negwamwaipopo6467 9 күн бұрын
God bless you 🙏 Pastor
@negwamwaipopo6467
@negwamwaipopo6467 9 күн бұрын
Hakika Mungu azidi kukubariki Pastor
@EvangalistmediaTv
@EvangalistmediaTv 10 күн бұрын
Tunazid kubarikiwa
@jeanbulambo4383
@jeanbulambo4383 10 күн бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@alicenyakawa2449
@alicenyakawa2449 10 күн бұрын
Wonderful message of blessing, thanks for placing the nail on assure place, even though is a stumbling block for the middle class, thanks again
@paulsemba_TV
@paulsemba_TV 6 күн бұрын
AMEN
@lenardmayuki8990
@lenardmayuki8990 10 күн бұрын
Bwana akubariki Pastor
@EvangalistmediaTv
@EvangalistmediaTv 10 күн бұрын
Msimamo tunabarikiwa sana
@Emmanuelpaul-ro1up
@Emmanuelpaul-ro1up 11 күн бұрын
Wachungaji vipofu
@orestaMminza
@orestaMminza 11 күн бұрын
Jina la Bwana libarikiwe
@malandojuma9266
@malandojuma9266 13 күн бұрын
Pr be blessed 🎉🎉
@ezekielbarnaba5785
@ezekielbarnaba5785 14 күн бұрын
Amina
@ngendakumanatychique
@ngendakumanatychique 14 күн бұрын
Pasta Asante sana kwa ujumbe muzuri Ila jitaidi sana uzungumuze luga moja yani kuna mambo mengi hatuelewi ( kingereze kinatusumbuwa sana)
@paulsemba_TV
@paulsemba_TV 6 күн бұрын
AHSANTE
@yohananjangaje
@yohananjangaje 14 күн бұрын
Good bless you pastor
@whitevintv9284
@whitevintv9284 14 күн бұрын
Live from igowole Mufindi Mabarikiwa sana na pr semba
@orestaMminza
@orestaMminza 15 күн бұрын
Mungu akujalie afya njema
@JuliusHatari
@JuliusHatari 15 күн бұрын
Mungu hawabariki sana wapendwa katika Bwana
@josephathkerima7808
@josephathkerima7808 17 күн бұрын
Amen
@estherogembo5536
@estherogembo5536 17 күн бұрын
My love for pastor Semba is on another level,haogopi kutuambia ukweli...keep up pastor from kenya
@paulsemba_TV
@paulsemba_TV 6 күн бұрын
THANK YOU FOR YOUR PRAYERS
@zephaniasangala4275
@zephaniasangala4275 17 күн бұрын
Waoooo natamani uyaweke yote mana kule ni marefu sana yakiwa hivi itakuwa vizur hata kwa ku download itachukua Mb chache. Mungu akubariki sana pastor nimebarikiwa sana na lile somo la Day 4
@paulsemba_TV
@paulsemba_TV 6 күн бұрын
AMINA