Amen imenikumbusha mbali sana Henzi hizo ukisikia ngusero ni ngusero haswaaa #Simanjiro, Narakauo #TukutaneGalilaya ✊
@glorialaizer94507 ай бұрын
Pole sana pastor yesu amekutangulia
@paulsemba_TV7 ай бұрын
AMINA
@ASHERILUGUSI5 ай бұрын
Ubarikiwe sana pr nabarikiwa kwa uweza wa Mungu aliokupaa
@amoskitiu35417 ай бұрын
Mbarikiwe safari ya maisha ni ngum
@rizikimanamaua92167 ай бұрын
Mtalipwa msipo zimia mioyo. Maranatha
@COMPASSIONMEDIA7 ай бұрын
Pastor Semba,,,poleni kwa changamoto hiyo. BWANA yu pamoja nawe. Amina
@paulsemba_TV7 ай бұрын
AMINA
@kibecate24957 ай бұрын
Changamoto kila mahali ...... Maisha bila changamoto simaisha
@martinkobia12727 ай бұрын
Amina Mchungaji Semba.. tunatumai Mbinguni zile Barbara za dhahabu hawajazitumia sana zikawa hivi😊.. ila umenichanganya sana Mchungaji suala la maombi,, Sasa kama hatutamwambia Mungu haja na matamanio ya mioyo yatu, tutamwambia nani huyo. Sababu vile nimeelewa ni kwamba maombi yajae Sifa pekee. Asante
@theresearcheronlinetv36497 ай бұрын
Unamwambia; Lakini, zaidi sana SIFA na Shukurani pia Uwepo wa MUNGU moyoni kwa njia ya Roho wake Mtakatifu hutuliza moyo kwake! Mfano; Danieli alijua Simba wamewekwa tayari, Lakini; Anaomba kama kawaida yake kwa Baba yake wa mbinguni! Mtulivu kabisa… Paulo; amefungwa gerezani lakini, mwishoni anaaga kabisa nimevipiga vita vilivyo vizuri… Ayubu; amefiwa na watoto anasema Jina la Bwana libarikiwe… hakutenda dhambi kwa midomo yake! “ Sasa baadhi yetu; ukiomba kakitu hakajajibiwa ulivyotaka, Ndipo unaona Mungu kama hafai tena”. Mahusiano naye hutaki, Ni kama tunataka vitu kutoka kwake LAKINI HATUMTAKI MUNGU MWENYEWE!!!,,,
@danieldotto58967 ай бұрын
Barikiwa Pr. Nimekuwa nikikufuatilia siku zote 10 za maombi. Barikiwa Kwa masomo yaliyojaa elimu ya mbingu
@paulsemba_TV7 ай бұрын
AMINA
@wisdombarak84807 ай бұрын
Mungu mkubwa ashukuriwe mungu kwa hali yoyote
@paulsemba_TV7 ай бұрын
AHSANTE
@biblianabibliapekee81136 ай бұрын
Wangapi tulikua hatujui maana ya orione na tumejua kuwa ni heaven's light.” ??
@nishimwedanny46916 ай бұрын
Amen
@SaitotiHinyura7 ай бұрын
Asante sana kwa ujumbe,Yesu ndiye udongo mkavu ,Nitaweka miguu yangu katikati ya utelezi njiani na milimani wala sitaanguka.Barikiwa.
@paulsemba_TV7 ай бұрын
AMINA
@danielmbozi32045 ай бұрын
Amen mtumishi wa MUNGU
@user-rq8rw5fd8b7 ай бұрын
Wasafari na wapitaji duniani.Tumaini ni mji bwana ameutengeza mwenyewe kwa ajili yetu.barikiwa Nairobi Kenya
@paulsemba_TV7 ай бұрын
AMINA
@josephathkerima78087 ай бұрын
Iwe ni wakati wa raha au shida jina la Bwana na litukuzwe , Mungu awabariki sana kwa kujitolea. Msipolegea mtavuna kwa wakati wake.
@cosmassamon97237 ай бұрын
Polen pastor
@stephanomuganga98727 ай бұрын
Pole sana Pr. Paul Semba na waandishi wa Habari Oraione Tv, Mungu ni Mwema awafikishe Salama.
@eliasgeffi97187 ай бұрын
Hahaha dereva anadonga du😂😂😂Pr Hongera napenda sana speech zako unakuwa na ujasiri mkubwa Sanaa unapokuwa unafanya kazi ya Mungu , Mungu mwenyewe akujalie mwisho mwema na aendelee kukutunza, ❤️
@paulsemba_TV7 ай бұрын
AMINA
@vayaulashedrack59947 ай бұрын
😂😂😂 nakumbuka kuna siku tulitoka makambako asubuhi tukafika idete jion. Hapo unawexa kuwa na hela ukakosa pa kuitumia
@lenardmayuki89907 ай бұрын
😅😅😅 atariii
@godfreymasondaabel19047 ай бұрын
Hhahahahhahaha hatariii Sanaa, karibu Tena Pr😅😅
@paulsemba_TV7 ай бұрын
AHSANTE
@ronaldhelmott83797 ай бұрын
Mungu awe pamoja nanyi Pr. Mfike salama Dodoma.
@doronibahendwa64517 ай бұрын
Pole sana mchungaji, Mungu awe pamoja nanyi safarini mfike salama. From Finland
@paulsemba_TV7 ай бұрын
AMINA, TULIFIKA SALAMA. AHSANTE KWA MAOMBI YENU
@daud87857 ай бұрын
Poleni kwa changamoto. Mungu ni mwema hakika
@bamag-0217 ай бұрын
Poleni sana wasafiri wa mbinguni. Mungu awaongoze ,msikate tamaa. Hongereni sana pr.