Yaani kwa miaka ya sasa ziekwe ngoma zote za mwaka alafu iekwe jirushe uzani unaenda kwa jirushe❤
@mutumbaroni75463 күн бұрын
The best verse in bongo flava histry is from Jay moe on Jirushe
@elizabethhonere29314 күн бұрын
Habari ya ukonda na pia kuhusu kununua gari alivyoenda kwa seki nini kilitokea na gari yake ya laki saba
@user-xz8mm5kt5m4 күн бұрын
Chemsha bongo ni all time best, yenyewe ni namba moja, mbili na tatu pia. Hizo nyengine anzeni kuzipanga kuanzia nne huko. Fanyeni adabu zenu jamani! .. eboo!!!
@elizabethhonere29314 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂masanja unachekesha sana dah
@MichaelJohn-lb6uu5 күн бұрын
Appreciation
@user-ml6wl6xi7n6 күн бұрын
Nimefurahi Sana Kumuona Tena PNC ni msanii mwenye kipaji sana, Binafsi Namkubali sana na nina shauku ya kumuona akirejea kwa kasi kwenye muziki
@mu9tz6396 күн бұрын
Kaka unajuasana ila pombe inakufelisha sana duu.ugolo pia 😂😂😂❤❤❤
@adamswafi51497 күн бұрын
Pnc aka shino
@MichaelJohn-lb6uu8 күн бұрын
Pnc mwamba kweli
@MichaelJohn-lb6uu8 күн бұрын
Sikujua kama nyandu ni WA kitambo hivooo
@wilbertjosephat16158 күн бұрын
Tatizo lauyu jamaa nikama la DULAYO pombe kali sana.
@alibinali_8 күн бұрын
PNC sema tu ukweli Mr.Blue ndie alikutambulisha kwenye Gema ukajulikana Africa kenya,Uganda, Burundi, Congo na nchi zengine za Africa
@churchgeorge41729 күн бұрын
Hawa ni comedians
@5googleuuu7279 күн бұрын
MSANII WANGU PENDWA. PNC. ACHIA NGOMA. TUNAKUKUBALI SANA ❤️❤️❤️❤️❤️
@MilleniumCreatives9 күн бұрын
The tanzanian Dr. Dre. Ongera Mzee
@jamiinaafyanjema29669 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉
@saidmasoud90049 күн бұрын
Mtangazaji umeuliza maswali mengi kuhusu mikataba westing of time. Ungepunguza maswali hayo.
@mchagashop13429 күн бұрын
Bro kuvi tunaomba dizasta atengewe masaa ata 3
@homan_nkwama9 күн бұрын
Mtangazaji UMETISHA KINOMAAA.....UWEZO WAKO INABID UONEKANE ZAIDI one love kwa JABIR KUVUCHAKA kumbe timu yeni imeshiba sanaaaa
@user-nm8ym6iq7n10 күн бұрын
Huyu ukiwa nae ata wiki 2 ndo utamjua alivyo kama hujakaa hutamuelewa jamaa ni msumbufu sana huyu ni mlevi wa kuzima kulala kubebwa mda wte ni ugolo mdomoni, huyu kama mpo sehem mmepanga msafili kaa nae karibu nilishawai kusafili nae bus linaondoka saa12 asubui tunamuamsha mwenzetu kalewa chakali ilibidi tumbebe hivohivo tumlushie kwenye bus pombe zilikata baada ya masaa6 mbele ya safali hilo ndo shida ya huyu jamaa labda kama amebadilika sasa hv akishika tuu hela akili yake ni pombe na pesa zinakata anazima simuongelei kwa mabaya watu wa karibu wa huyu wanamjua pia tabia zake akuwa na namba zako yan ujiandae kupigwa vibom vya pesa ndio maana washkaji huwa wanamkimbia namshauli ajirekebishe
@MtuSafi9 күн бұрын
Hata kama kutakuwa na ukweli hukupaswa kuongea hapa....
@Kushgang-cr4pv9 күн бұрын
kweli anatwaza utu wa m2@@MtuSafi
@ricklifetz18287 күн бұрын
FUTA HII COMMENT BRO ,IMEKAA KIUCHAWI SANA KWENYE SAFAR YA MAFANIKIO YA M2. Ukiona hujapitia Changamoto hadi ukahis kuconfuse ,utakuwa Bado hujabarehe ,ILA nahisi wamekutuma umchafue
@RichWise6717 күн бұрын
Huu ndo uchawi mamae 😊
@dicksonkobbo41526 күн бұрын
Kwanza Kwa nn uweke effect za mtu kwenye mitandao jamani mbona mnakuwa sy wa aminifu kwenye maisha ya watu
@osiahstimah10 күн бұрын
Elimu nzuri ilimsaidia mike tee
@Marjeby10 күн бұрын
Dogo hajui kabisa kuongeaa wala kujieleza aiseee
@DaudijofreyMsipi2 күн бұрын
Kuma ww unajua nn wek yako tuone amby unajua
@TeamSelekta10 күн бұрын
Jabiri kashaenda 👑
@ubuntubantu240410 күн бұрын
Master J is too knowledgeable you have to be smarter to interview this brother. And he is too hilarious.
@geofreybarama400010 күн бұрын
Uyu jamaa mpole sana afu mnyonge sana..
@mwajamii4 күн бұрын
Wajuaje ni mnyonge wayajua maisha yake binafsi
@ubuntubantu240410 күн бұрын
Master J umetisha kwa darasa na historia
@barakamichael148710 күн бұрын
Daaah huyu jamaa ni conscious sana
@tigejuma986510 күн бұрын
Mwamba mkali xna lakin uteam unaua vipaji vya hawa vijana ...
@willehardkimbi564510 күн бұрын
Kuvi yupo wapi??! #FreeSalehJabir
@user-fj7wu8ph1q10 күн бұрын
tatizo madogo wanazimwa kisa kuwanyenyekea watuwanaojifanya Mungu mtu
@johansenbashange262810 күн бұрын
PNC chino Talent zilizodhulumika sana wakati wake
@cbhofficial343210 күн бұрын
Jabir Saleh yupo wapi leo😢
@Ebendentalclinic11 күн бұрын
daaah masanja nimekubali,daah haya maisha
@yudaogonyi238312 күн бұрын
😝😝😝😝😝 jamaa ni storyteller mzuri sana . Hyu atafutiwe EP ingine
@mussaochola530612 күн бұрын
Dizasta vina 👑
@erickothegreat835312 күн бұрын
uwezi mpata mtu wa hip pop kwa saivi kwani wengiwapo kwenye commercial zaidi,Hip Pop ni kwa ajili kwa wana harakati.