The Basics of psychology
6:30
7 ай бұрын
Пікірлер
@حمدالبلوشي-ض7د
@حمدالبلوشي-ض7د 6 күн бұрын
❤❤❤
@MonadiNadi-j6s
@MonadiNadi-j6s 15 күн бұрын
Mm Nina miaka Kumi nyumba moja nashukru mungu 👏
@hatua123
@hatua123 14 күн бұрын
Hongera sana Moambanaji! Ikawe heri katika yote
@betterwamara6416
@betterwamara6416 16 күн бұрын
Nawaona hadi kina Sive na Salvina
@hatua123
@hatua123 15 күн бұрын
Ndiyo
@DavidAmi-yi7tz
@DavidAmi-yi7tz 16 күн бұрын
Upo nchi gani kk
@hatua123
@hatua123 16 күн бұрын
Falme za Kiarabu Dubai
@CosmasBagaya-tz8pv
@CosmasBagaya-tz8pv 18 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@CosmasBagaya-tz8pv
@CosmasBagaya-tz8pv 18 күн бұрын
Ubalikiwe sana mwanangu! Hakika mungu amutupi mja wake
@FARAJIFADHILI-v6x
@FARAJIFADHILI-v6x Ай бұрын
Ni kweli ninaomba mungu anikutanishe na watu sahii
@AdmiringOleanderFlower-cj7ur
@AdmiringOleanderFlower-cj7ur 2 ай бұрын
🕴️kwetu tunasema ndagha
@gemmahanthony8485
@gemmahanthony8485 2 ай бұрын
Naendekea kukua na kujifunza✍, hakika ukianza kujiona mnyinge hata jamii inayokuzunguka itakuchulia hivyo hivyo,( ajionavyo mtu nafsini ndivyo alivyo), hatutakiwi kukataa tamaa, tunaweza yote tukijifunza na kuweka bidii.
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 3 ай бұрын
Dubai au huko Omani watu wanachukuliwa mwisho umri gani kufanya kazi?
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 4 ай бұрын
Baas haya ishaalah ufike mbali zaid
@sadasaid4408
@sadasaid4408 4 ай бұрын
Ni kuvumilia tu, na kuweka malengo yako kichwani, mimi miaka 18 omni Alhamdulilah nyumba moja na sasa niko Tz nimepumzika
@TatuTatu-f1v
@TatuTatu-f1v 4 ай бұрын
Mashaallah jiyo kweli jata mimi pia
@TatuTatu-f1v
@TatuTatu-f1v 4 ай бұрын
Nikweli kabisa hata mimi pia nimo miaka Kazaa nimo njumban 1
@JaneWalter-m7l
@JaneWalter-m7l 4 ай бұрын
Naomba namba mwandishi
@EddahBure-te7ft
@EddahBure-te7ft 4 ай бұрын
Mm kwa kweli kama kuna ya kuajiriwa hata hotelini kuosha vyombo niko radhi kuliko hiyo ya kulala kwa mtu miaka miaka siwezi jmn
@rebeccajaphet6032
@rebeccajaphet6032 4 ай бұрын
Dada na mimi natafuta kazi nitakupataje
@Gamil-r9o
@Gamil-r9o 4 ай бұрын
Daake naomba namba
@DiwaniMwafongo
@DiwaniMwafongo 4 ай бұрын
Watanzania tutafute fursa popote pale, wakenya wanatoka lkn sisi tunabung'aa bung'aa,tu!!
@kashurusho863
@kashurusho863 4 ай бұрын
Ruga sasa ndo tatizo mnawezaje
@silviaamos-pl5lk
@silviaamos-pl5lk 4 ай бұрын
Swahiba napataje kazi dubai
@adrianmutua3162
@adrianmutua3162 5 ай бұрын
Go Sarah🚀🚀🚀🚀🚀🚀
@salmaebrahim2058
@salmaebrahim2058 5 ай бұрын
Kazi yoyote ni kuvumiliya na kujiamini na pia eshima ndio muhimu mnooooooo kwenye kazi mm pia Niko kitambo Sana hapa Dubai ivyo tuko pamoja mnooooooo mpendwa wetu dada yusra
@hatua123
@hatua123 5 ай бұрын
Shuhuda kama hizi zinabeba maana sana kwa wale wenye kutafuta taarifa ili wapate kufanya maamzi. Shukurani kwa kutoa ushihuda huu
@hawamafuru6791
@hawamafuru6791 5 ай бұрын
Wengine wetu japo sio wote haawajui nn kilicho Watoa kwao wanataka Uhuru ili watoke nje wakatafute mabwana Asa huku hizo mambo hamnaga huku kz Tu mapenzi kwenu Asa Una kuta mtu akikutana na hizo mambo kula anakula mapenz hapat hapo utasikia waarabu wanatunyanyasa wanatufungia ndani hakuna lolote ttz ni hapo ktkt ndo Pana mtihan ukivumilia hisia ukazieka pemben aaaah kwa nn usitobowe?sie kz mabebe nooo
@hawamafuru6791
@hawamafuru6791 5 ай бұрын
hongera Sana mpambanaji mwenzangu nipo Oman mwaka wa 4 boss mmoja kikubwa ni uvumilivu na uturivu na kujuwa nini kilicho kutoa kwenu na kustahamir hisia za kimapenz hapo utapetaa❤❤❤❤
@hatua123
@hatua123 5 ай бұрын
Hongera na iendelee kuwa heri. Uzidi kutenda yaliyo mema na mavuno utakayotoka nayo huko yalete neema kwa wapendwa wako unaowajali na kuwatakia mema
@hatua123
@hatua123 5 ай бұрын
Hongera sana kwa kuendelea kupamba na kujitafuta. Kila kazi ina changamoto yake, kila binadamu ana namna yake jinsi alivyo na wengine wanavyomuona. Ikawe heri kwako na wote wenye kupambana nje ya maeneo yao ya asili.
@hawamafuru6791
@hawamafuru6791 5 ай бұрын
@@hatua123 Ahsante dada kz njema
@shamimucollectiondubai9727
@shamimucollectiondubai9727 5 ай бұрын
Yusra good
@SadahMohammed-c3e
@SadahMohammed-c3e 5 ай бұрын
Habari mm nna mdogowangu ana passport ila ajapata chansi ya kazi na anataka kutoka aka fanya kazi naomba msaada
@HusnaSharifu
@HusnaSharifu 5 ай бұрын
Nitafte
@umfahad2609
@umfahad2609 5 ай бұрын
Unajua. Tatizo mtu akipata tatizo kwa mtu mmoja. Anasema waarabu wote wabaya. Hakuna sehemu yenye wabaya watupu. Wala wazuri watupu. Kl binadamu ana mapungufu yake. Mimi nipo Oman. Nna dada amemaliza miaka 7. Mwezi wa 5 anaenda livu na atarudi. Na tupo vizuri tu.
@hatua123
@hatua123 5 ай бұрын
Kila kazi ina changamoto zake. Basi yafaa kujiandaa kuzikabili
@ShemsaKiobya
@ShemsaKiobya 5 ай бұрын
Dada nisaidie natafuta kazi Dubai jamani
@ConfusedClipperButterfly-rk1gz
@ConfusedClipperButterfly-rk1gz 5 ай бұрын
Allahmdulilah Nina miaka9 HP Dubai ktk nyumba 1
@EddahBure-te7ft
@EddahBure-te7ft 4 ай бұрын
Ivi mnawezaje kukaa sehem moja mda mrefu ivyo !?
@timesaid5504
@timesaid5504 5 ай бұрын
Dada nifanyie mpango na mm nimesha fanya kazi oman miaka 4 nahitaji nije nipambane na dubai
@halimapwagu3091
@halimapwagu3091 5 ай бұрын
Mungu atubaliki wapambanaji wote ti. Galfu wake na wakiume
@hatua123
@hatua123 5 ай бұрын
Ikawe heri na kwao wote tunaowapigania
@sospeteralex378
@sospeteralex378 3 ай бұрын
Kama Una passport nijulishe
@ogdosho93
@ogdosho93 5 ай бұрын
Natoa Nafasi ya wanawake wa5.. mwenye kuwa interested anicheck.
@toor8984
@toor8984 5 ай бұрын
Toa namba ya mawasiliano mmi nataka kazi
@MgeniAkilimali
@MgeniAkilimali 4 ай бұрын
Hata Mimi niko tayari kufanya kazi
@rebeccajaphet6032
@rebeccajaphet6032 4 ай бұрын
Tow namba
@HabibaIdany
@HabibaIdany 5 ай бұрын
Namimi naomben locetion uko
@HabibaIdany
@HabibaIdany 5 ай бұрын
Naomba namba za uyo dada
@RozRoz12-d4d
@RozRoz12-d4d 5 ай бұрын
Nimekaha mpaka passport yangu imeisha miaka kumi hapa dubai na nimefanya mpya uku uku dubai namshukuru sana
@hatua123
@hatua123 5 ай бұрын
Hongera. Iendelee kuwa heri kwako na wapendwa wako
@RozRoz12-d4d
@RozRoz12-d4d 5 ай бұрын
Mimi namiaka 15 sasa hapa dubai
@zainabzain3434
@zainabzain3434 5 ай бұрын
Mashaallah
@yusramkamiamaji7565
@yusramkamiamaji7565 26 күн бұрын
No yako dear tupate usaidizi
@LightnessUrio-fo7mq
@LightnessUrio-fo7mq 5 ай бұрын
Naomba namimi nafasi uko jamn
@LucyTesha
@LucyTesha 5 ай бұрын
Kweli kabisa
@pillyseleman8090
@pillyseleman8090 5 ай бұрын
Vigezo sio tatizo tatizo hata kwa ajenti laki tano juz tu mtu katoa ,kazi kupata kazi ndio mtihani kama kuna maajenti fungukeni watu waje wapambane
@noors7030
@noors7030 5 ай бұрын
Samahanini jamani Dubai sio nchi ya wajukuu wa mtume sala Allah walehi wasallm hio sio makka wala Madina ni Dubai hahusiki namtume s A alehi wasallm
@hatua123
@hatua123 5 ай бұрын
Sawa. Tumepokea rekebisho
@AminaYassin-y5r
@AminaYassin-y5r 5 ай бұрын
Na mm naomba nafasi plz
@felisterndeule-oc3yv
@felisterndeule-oc3yv 6 ай бұрын
Kazi yoyote Ni uvumilivu
@silviaamos-pl5lk
@silviaamos-pl5lk 4 ай бұрын
Sawa
@felisterndeule-oc3yv
@felisterndeule-oc3yv 6 ай бұрын
Naomba kazi dubai
@ZolfaZolfa-hu9oc
@ZolfaZolfa-hu9oc 6 ай бұрын
Hi
@ZolfaZolfa-hu9oc
@ZolfaZolfa-hu9oc 5 ай бұрын
Ongera namba namba yako
@MariyimJumanin
@MariyimJumanin 19 күн бұрын
Mh
@ZolfaZolfa-hu9oc
@ZolfaZolfa-hu9oc 6 ай бұрын
Hi
@حمدالبلوشي-ض7د
@حمدالبلوشي-ض7د 7 ай бұрын
Keep the good work thank you for the video
@PaskaziaJohn-c3k
@PaskaziaJohn-c3k 7 ай бұрын
Naipateje kax
@JeskaBayege
@JeskaBayege 8 ай бұрын
Dada na mmnaitaji kazi huko naomba kampan yako dada niko tanzania
@marymwapiya1274
@marymwapiya1274 8 ай бұрын
Mimi nimekaa miaka 8 kwa boss mmjo saizi ndo namalizi namshukuru Mungu kwa kweli siyo rahisi kihivyo ni kuvumiliana tu na vitu nimekuwa navizuia sana ni kukaa kimya akiwa ananifokea atafoka na akiona simjibu anaondoka ,kunasiku akasema kwanini nikikusemesha mbona hujibu nikamwambia wewe umenizidi na siwezi kujibizana na wewe toka siku hiyo hajawai nifokea anasema kwa usitaarabu, kila kitu ni kumtanguliza Mungu akukutanishe na watu sahihi .
@ZolfaZolfa-hu9oc
@ZolfaZolfa-hu9oc 6 ай бұрын
Mambo
@RozRoz12-d4d
@RozRoz12-d4d 5 ай бұрын
Sasa iv kwa madam wangu namiaka 8
@salmaebrahim2058
@salmaebrahim2058 4 ай бұрын
Ni kweli pia hata mm pia Niko miaka kumi na 16 na Boss uyu uyu pia kuvumiliya ndio kikubwa nakuomba mungu akupe Afya na subira
@حمدالبلوشي-ض7د
@حمدالبلوشي-ض7د 8 ай бұрын
👍👍
@husseinmwanjela8644
@husseinmwanjela8644 8 ай бұрын
Shukran sana kk mmi nipo njiani kuja huko ila nikifika nitakutafutaaa
@hatua123
@hatua123 8 ай бұрын
Karibu sana
@husseinmwanjela8644
@husseinmwanjela8644 8 ай бұрын
Asante sanaa tena sana
@stewartmwakasege
@stewartmwakasege 8 ай бұрын
Safiii Unaitendea Haki