Пікірлер
@finilalkiriago5474
@finilalkiriago5474 50 минут бұрын
Ww nimucha mungu kweli nyinyi wenyewe matusi mengi ndio mko nayo siufunze huyo mtoo tabia hata mtoto wako humpendi nametoka hiyo tumbo lako
@CynthiaMbula-x5h
@CynthiaMbula-x5h 2 сағат бұрын
Joan mtreat martha vizuri wacha waongee
@finilalkiriago5474
@finilalkiriago5474 Сағат бұрын
Woow I like that
@mzeewamaonomilele
@mzeewamaonomilele 2 сағат бұрын
Ninahitaji mawasiliano yako mama Niko mpanda katavi
@souvenirweber7169
@souvenirweber7169 8 сағат бұрын
Mwone na sauti yako ya kinafiki kama uko rohoni saaaaana mkataa ndugu na wazazi wako hivi kwenye kutambuliwa na Mungu wewe utakuwemo kweli?
@Musamahizo84
@Musamahizo84 15 сағат бұрын
Amen kwel dada ila naomba tusapotiane 1:03
@louisamazutantamukunzi7363
@louisamazutantamukunzi7363 21 сағат бұрын
Kwanini asiongeye ?sasa hiyo halingumu ni mamayake alimleteya kuyapitiya?
@PriscaJosephat-j9t
@PriscaJosephat-j9t 23 сағат бұрын
Asiyependa wakwao huyo ni mbaya kuliko mtu asiyeamini.shetani ni muongo sana
@JosephinaEndri
@JosephinaEndri Күн бұрын
Amen
@mercymsumba3724
@mercymsumba3724 Күн бұрын
Umemshauri vyema huwezi shindana na Mama yako kama adui yako aache kibri
@barryhezron2764
@barryhezron2764 Күн бұрын
Halleluja Bwana akutunze kwa utukufu wake!wengi wao wako kimwili zaidi na wengine wafuasi wa ibilisi mwenye siko na asikie!!wakushupaza shinho kazana mavuno yapo
@dionisiajohn519
@dionisiajohn519 Күн бұрын
Acha wewe kujikosha, inategemea unalia nini. Nenda katubu kwa mama Yako... Hutabarikiwa, usipoutuliza moyo wa mama Yako, unaovuja huzuni.
@lightnessgamasa6039
@lightnessgamasa6039 Күн бұрын
Matha asikilize huu ujumbe umsaidie jamani kwakweli yatosha
@lightnessgamasa6039
@lightnessgamasa6039 Күн бұрын
🙈😫😫😫😫😫heeeeeeeee Leo umeamua bila chenga jamani wewe Dada
@magrethlwaga955
@magrethlwaga955 Күн бұрын
Huna rorote
@frickchristina6175
@frickchristina6175 Күн бұрын
The devil is a liar
@lolatitus8278
@lolatitus8278 Күн бұрын
Ni kweli Mungu anatusaidia na sio watu. Lakini wewe pia unatakiwa kumwaibisha shetani kwa kusema kweli yote. Mwaibishe shetani msema kweli ni mpenzi wa Mungu.Unaongea kwa mafumbo sana wewe sio Yesu ni binadamu wa kawaida kabisa. Ushindi bado kabisa vitu vinaweza kukubadilikia ghafla usijidanganye Sis.Ujashinda hata Congo wanalielewa Hilo.Mungu akusaidie sanaaa. Sis.
@ladislausshirima863
@ladislausshirima863 Күн бұрын
Mama, Bwana Yesu akupe maisha kwa Injili hiyo kwa huyo nabii mkora
@EstaKanani
@EstaKanani Күн бұрын
Amina ubarikiwe zaidi mama katika hayo watu tupone maana mtu mzuri ni yule atetemekaye alisikiapo neno la mungu
@AdramMakopa
@AdramMakopa Күн бұрын
Haleluya mama Ubalikiwe Kwa point nzur kumbe mung Ana watu wake Balikiwa sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@JuliethChristopher-q5c
@JuliethChristopher-q5c Күн бұрын
Amso very very nice 👌 👍 ❤❤❤
@JuliethChristopher-q5c
@JuliethChristopher-q5c Күн бұрын
Hello❤❤❤❤❤
@saraoloo9251
@saraoloo9251 Күн бұрын
Funza na huyo mtoto wako pia hekima basi maana hana hata kidogo.
@Joan-p8l5s
@Joan-p8l5s Күн бұрын
Wow 100%
@RachelMathina-w5x
@RachelMathina-w5x 2 күн бұрын
Aksanti sana❤
@GodbetterEmmanuel
@GodbetterEmmanuel 2 күн бұрын
Aaaaaameni Mtumishi,mzuri,unaesimamia kwelii ya mungu.ubarkiwe Kwa Maneno Mazurie.
@plujoncylugano4611
@plujoncylugano4611 2 күн бұрын
Safi sana Pastor MariaMartha injili hii ina nguvu na Neno hili linaisha
@TumainiManga
@TumainiManga 2 күн бұрын
Ubarkiwe mama
@Judy-dy4zt
@Judy-dy4zt 2 күн бұрын
Ilo nalo neno mwenyezi sikio nasikie barikiwa sana tuna masikio atusikii tuna macho atuhoni ewe mwenyezi Mungu utupe ufaham na uherewa 🙏
@MultiBice
@MultiBice 2 күн бұрын
Yaani wewe dada unanifurahishaga sijui hata nikulipe nini mungu akubariki saana saaana kazi nzuri saana unaeifanya ❤
@winygidarossa9472
@winygidarossa9472 2 күн бұрын
Malaya wewe
@Judy-dy4zt
@Judy-dy4zt 2 күн бұрын
Mhh 🤔🤔🤔😭
@barryhezron2764
@barryhezron2764 Күн бұрын
Winygidarossa,ewee Mwana wa ibilisi Bwana akukemee kwa jina la Yesu,uharibuye jamii kwakinywa kichafu
@winygidarossa9472
@winygidarossa9472 Күн бұрын
@barryhezron2764 we naye Malaysia mwingine
@SharonShibalia
@SharonShibalia 2 күн бұрын
Mama uko sawa kabisa hata nimeona huyo nabii anapinga eti bibilia siyo kitabu cha mungu
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 2 күн бұрын
Wanaliacha neno la mungu wanadhani kila mafanikio yanayotoka kwa mungu kumbe sio maana shetani alipomjalibu yesu alimwambia angempa milki za dunia
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 2 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@shadrackwilfred2606
@shadrackwilfred2606 2 күн бұрын
umeongea point sana mpendwa
@JaphetLukos
@JaphetLukos 2 күн бұрын
Jamani Gali la kwangu nimenunua kesho nikaamua mwenyewekuwa hiligari nimetengengezaaa badolina nilia mafuta ngojanipoteze ilininunue jingine maana fundiwameshindwa, nasiwezi kumpa mtu mwingi
@JaphetLukos
@JaphetLukos 2 күн бұрын
So shida nn? Siulishaaa toa zawadi au kunaninihapo! Aliechoma gari ulishAampa maliyake Sasa shida ikowaapi, hujawaiona mtu unapewa ugari na mtu anamwaga woote mbeleyako Sasa tatizo nn, sababu ww umtoa namm ninamaamuzi yangu!!!
@sifamalinga1816
@sifamalinga1816 2 күн бұрын
Hakuna pastor mwanamke mnayatoa wapi haya na mnapata wapi ujasiri wa kukosoa wanaume mumeaguzwa kuwaheshimu wanaume wewe dada yangu mbona kwenye nyimbo Yako umeimba eti unataka kumubabe Yesu Kristo mgongoni kwako unani we we sembuse tu huyo mama yake Yesu aliye barikiwa kuliko wanawake wote duniani Yesu Kristo mwenyewe alimkataza kuwa asimguse baada ya kufufuka Kwa kuwa hajapaa MBINGUNI Kwa BABA yake alikotoka Kwa kuwa aliuvaa mwili wenye utukufu sasa wewe mwenzangu na mimi huo mgongo wako UMBEBE YESU?,unachekesha Bora hata Rose Mhando aliyeimba Yesu ni bebe ila wewe eti unataka kummbeba Yesu Kwa usafi upi ulionao Yesu anajitosheleza ni mungu mwenyewe ndio maana alipopaa kwenda Kwa Baba yake aliye mtuma Duniani hakuhitaji SHOBOO yoyote acheni kujifanya mnajua na kugombana wenye hekima wemenyamaza tu kimya nakuwaacha mnapayuka tu kama wendawazinu KUWENI NA HEKIMA na zaidi ifanyeni kazi ya mungu aliye waita kama mumeitwa kweli mnatuchosha na hizo drama zenu wengi mnatafuta kiki tu muweze kutrend kwenye mitandao na sio kuhubiri injili na kuokoa roho za watu I AM DONE sipendi tunapogombana na kunyosheana vidole huo sio UPENDO aliotuachia Yesu kristo samahani kama nimekukwaza pastor wa watu nimeshindwa KUNYANAZA
@olivermwakyonya5683
@olivermwakyonya5683 2 күн бұрын
Unapoandika Mungu anza na herufi kubwa
@nduwimanaegide8428
@nduwimanaegide8428 2 күн бұрын
Wewe tuliya ukweli usemwe mutaumbuka tu
@sifamalinga1816
@sifamalinga1816 2 күн бұрын
Enyi wagalatia ni nani aliye waroga mulianzaa rohoni munamaliza Kwa mwili vita yenu yatoka wapiiiiii WAPENDWA katika Bwana HUU sio wakati wakuparurana na kuwafahidisha wasio amini tumuombe mungu atupe hekima namna ya kutatua matatizo yetu media zisitumike kama uwanja wa mashindano kwetu Wana wà mungu media zitumike kuokoa roho za watu na kuwaleta Kwa kristo katika ufalme wa mungu na sio kutunishia misuli na kuonyeshana umahili wa kuijua injili kuliko wengine mungu atusaidie sana.
@Marjeby
@Marjeby 2 күн бұрын
Messages zako nzuri sana malengo yako mazuri sana but very pure approaching hata unavyoongea tuu hueleweki huna mpangilio kabisa wa maongezi yako unapiga kelele tu Yesu Yesu nyingiii sio mahubiri mama
@عائشهعائشه-م9ق
@عائشهعائشه-م9ق 2 күн бұрын
Barikiwa Maman
@Zena-oq8fc
@Zena-oq8fc 2 күн бұрын
Ubarkiwe sana mtumishi wa Mungu
@ElibarickFungo
@ElibarickFungo 2 күн бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa mungu
@godlivermwasha2791
@godlivermwasha2791 2 күн бұрын
Nyumba itaidha kwani huwa inaanza chini au juu? Acha maswali ya kizushi wewe
@godlivermwasha2791
@godlivermwasha2791 2 күн бұрын
Jenga mtoto,maswali ya wasiokupenda achana nao,hata km alikuwa hana nyumba ni kawaida.Mbona wapo hata mawaziri hawajawahi kujenga jadi leo huko makwao,hata easanii wazamani pia hawajajenga kwao.songa mbele bint wewe siyo km wanao subilia kuzalishwa wajengewe nyumba.Lskini wewe simamia hapo hapo unaupendo
@EinothMotika
@EinothMotika 2 күн бұрын
Barikiwa mama.Nyundo la Yesu mwenye maskio na asikie
@stellajohn8486
@stellajohn8486 2 күн бұрын
Angenipa hiyo gali
@stellajohn8486
@stellajohn8486 2 күн бұрын
Acha ujinga hata mitume waliuwawa ,, yesu mwenyewe alichomwa mikuki
@stellajohn8486
@stellajohn8486 2 күн бұрын
Martha amelewa sofa za wanadamu,, lakini hazitamfikisha popote
@gladyedwards3097
@gladyedwards3097 2 күн бұрын
Hongera sana Zuchu 1:23
@saadasaidi900
@saadasaidi900 2 күн бұрын
Kwaiyo mama yake miaka yote alikua amepanga
@yusternyirenda7231
@yusternyirenda7231 2 күн бұрын
Kwa hiyo hata kama nina nyumba 100 mwanangu akinijengea nyumba kama zawadi kwangu ni dhambi??
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 2 күн бұрын
Kwahiyo hiyo nyumba imeisha mpaka useme kamjengea nyumba mamaake