Babu Karume tunamuomba Allah akupe kinachostahiki. Amiin
@user-bs1zq5ts1r3 ай бұрын
Eshii jamani napitia comments hapa ila sijaona comments yoyote ya kumushukuru Karume hata chembe za mazuri yake hamukumbuki
@AbdulNassir-jk1jf3 ай бұрын
Eeh aduwi wa allah
@user-gd2xj3xd1b7 ай бұрын
Dadali wa mwazo kuuuza zanzibar kwa watanganyika kwa husda na tamaa ya madaraka
@asilclub10 ай бұрын
Moongo mkubwa huyu jambazi muuaji mungu atamlani yeye na nyororo asipo Kuwa ni sultan huyu mshenzi karume hajui hata kuvaa nguo
@ashaali7506 Жыл бұрын
Alhamdulillah❤😂🎉😢😮😅😊
@ommarallyhamad7435 Жыл бұрын
Serikali yetu wenyewe mbona ukaipoteza bureee
@ommarallyhamad7435 Жыл бұрын
Tulitolewa ukoloni mwa kiarabu na kuoingizwa katika ukoloni wa kiafrika
@allyhassan5664 Жыл бұрын
Hivi sultan ametawala znz miaka mingi likn karume katawala miaka Saba maendeleo yameonekana mpk leo..sio
@user-zc3fk6oh9w5 ай бұрын
You wrote the trush, you better keep quiet
@adamstour5736-kb6zq Жыл бұрын
Ni kheri kutawaliwa na SULTAN kuliko kutawaliwa na TANGANYIKA
@homeboybeyondtheborders49353 ай бұрын
Shida ilikua kwa ZNP "HIZBU" wao walipokea Uhuru kutoka Uingereza wakakubali Sultan abaki kuwa mkuu wa nchi,ila kiuhalisia Jamshid alikua ni sehemu ya Dola ya Oman,yaani Jamshid alikua mwakilishi wa Dola ya Oman nje ya nchi ya Oman...Mohamed Shamte alikua waziri mkuu na hakuwa na nguvu za kiutawala zaidi ya kusikiluza mkubwa wake.Ukweli ambao wazanzibar wengi hawaongelei ni kua Dola ya Oman imekaa zaidi ya makarne kwa mabavu kwenye visiwa hivi je Maendeleo waliyofanya kwa maelfu ya miaka ilishabihiana na ule mwaka 1964.Kihistoria Utawala wa Sultani ulikuwepo kabla ya wazungu kuingia Amerika, Kwa hyo majority had the right to overthrow the regime kwa kigezo cha muda huo na ukweli wa historia.
@homeboybeyondtheborders49353 ай бұрын
Shida ilikua kwa ZNP "HIZBU" wao walipokea Uhuru kutoka Uingereza wakakubali Sultan abaki kuwa mkuu wa nchi,ila kiuhalisia Jamshid alikua ni sehemu ya Dola ya Oman,yaani Jamshid alikua mwakilishi wa Dola ya Oman nje ya nchi ya Oman...Mohamed Shamte alikua waziri mkuu na hakuwa na nguvu za kiutawala zaidi ya kusikiluza mkubwa wake.Ukweli ambao wazanzibar wengi hawaongelei ni kua Dola ya Oman imekaa zaidi ya makarne kwa mabavu kwenye visiwa hivi je Maendeleo waliyofanya kwa maelfu ya miaka ilishabihiana na ule mwaka 1964.Kihistoria Utawala wa Sultani ulikuwepo kabla ya wazungu kuingia Amerika, Kwa hyo majority had the right to overthrow the regime kwa kigezo cha muda huo na ukweli wa historia.
@kassimhashi49 Жыл бұрын
Mzee Allah akulaze pema peponi from Kenya
@seifhafidhsuleiman3643 Жыл бұрын
Hotuba inaishi hii
@user-xl3xy6db2g Жыл бұрын
Hatutaki kutawaliwa kwani kuna ubaya 😂😂😂😂
@user-xl3xy6db2g Жыл бұрын
Watu wa Unguja na Pemba tumepata uhuru wetu kwa vita na Mungu alikuongoza heri na ufahari aupate yule alie kuzaa Mungu anisamehe kwa mabaya yko na akulipe kwa wema wako Amin
@user-zc3fk6oh9w5 ай бұрын
Na mabaya pia amlipe , hakujua km hii Dunia mapito
@alialamoudi9729 Жыл бұрын
Nyerere kwa tamaa yako ya madaraka NA kua rais wameiteka nchi yako ya zanzibari tanganika ilikuwa dola NA zanzibari ilikuwa dola ungelikua NA akili sahihi zanzibari ina serkali peke yake dola yenye kiti katika umoja wa mataifa NA elikua NA pasport NA mabalozi duniani dola ina uhuru kamili NA mamlaka kamili huyo sultani ni mwananchi wa zanzibari amezaliwa hapo hapo pemba NA mama yake ni mwafrika hana uhusiano NA oman kabisa wameshatengana toka kitambo sana NA oman zanzibari ni dola peke ya halali sasa umewapa wa tanganika ukoloni mpya milele bada ya kua NA serekali ya halali ilichaguliwa NA wazanzibari wenyewe nchi ilikuwa NA kiti katika umoja wa mataifa NA elikua NA pasport NA mabalozi duniani NA klikua NA amani NA bendera yake hapo akili iko wapi nyerere NA waengerza wamefaulu kuiteka nchi NA watu wake sasa wazanzibari wanalia hawataki huo muongano
@mohammedabdallah9821 Жыл бұрын
Kaondoka sultani mwarabu, Sasa tunae sultani mtanganyika ndo aloikalia Zanzibar kwa mabavu, HAKUNA tena nchi ya Zanzibar kuna Tanzanian
@fahadfaraj6474 Жыл бұрын
Tumeamua hata sie watanganyika hatutaki Kua na nyinyi mwambieni bi mkubwa auvunje we are ready
@alialamoudi9729 Жыл бұрын
Ameiuza zanzibari kwa nyerere hawana uhuru imefutwa dola ya zanzibari katika ramani ya dunia muongano yaani kutawaliwa NA tanganika
@mohammedhamad5297 Жыл бұрын
Adhabu na wewe unaiyona adhabu ya Allah ulio wauwa ndio sisi wazanzibar
@alialamoudi97292 жыл бұрын
Mungu aliempa athabu katika dunia kupigwa risasi nane NA huko akhera ataulizwa roho za watu nafsi za watu sio mchezo hata ukiua paka utauliwa wazanzibari wa liuwawa kinyama ni raia tu wala sio askari sasa huo karume hao watu wanamsubiri huko sirati huko ahera wa nataka malipo yao aliye uwawa anamuliza mungu huo ameniuwa dunia duniani kwanini
Kwa kua elfu ishirini NA kuiza nchi kwa wakrsto wa tanganika
@fahmialharthi45962 жыл бұрын
Unaiyona raha mustareh huko ulipo
@anuaryjuma94692 жыл бұрын
Kweli nchi ya wafrica
@alialamoudi97292 жыл бұрын
Nchi emetawaliwa NA jirani
@abdulab62022 жыл бұрын
Khalid said unamwambia mtu llaantu llah je ingekuwa hao warabu wange wauwa watu weusi unge wa laani kama ni dhulma na wao hao warabu walikuwa wanadhulumu watu usimlaani mtu hujui nini kingetokea kwa hao waafrika maana nahao unao watetea walikuwa na njama zao waswahili wamesema ukujuwa huu wenzio wanao ujuwa huu kaa utafakari
@alialamoudi97292 жыл бұрын
Kaleta ukoloni wa namna nyingine hao waarbu ni wazaliwa zanzibari hawajui kwao kabisa ni wanainchi sasa umetawaliwa hamna cha mamlaka ya zanzibari kua elfu ishirini kwa dakika arbaini hakubali mungu hao ni waaslamu wanataamka shada
@mohammedhamad5297 Жыл бұрын
@@alialamoudi9729 yy alikua muafrika ndio wakawau mpaka watoto wa walio zaliwa.
@sellamwani7300 Жыл бұрын
@@alialamoudi9729waarabu waliuza waafrika mamillioni kwenye Utumwa!yaonekana wewe mwarabu?
@suleimansadalla56062 жыл бұрын
Big man viva karume asante sana
@khalidsaid42972 жыл бұрын
Ww ndie ulie tudhslilisha na ndio tunazidi kizalilishwsa
@fahadfaraj6474 Жыл бұрын
Ye hayupo we umefanya nini kutoa huo udhalili
@khalidsaid42972 жыл бұрын
Laaanatu اللہ Allah atakulipa kwa ulichokipandaa
@albertjames6845 Жыл бұрын
Wewe mjinga mmoja tu, hujitambui
@mohammedhamad5297 Жыл бұрын
@@albertjames6845 babu kausho lalichokipanda anakipata aliua kwa mtutu na yy aliuwa kwantutu! Kama kamata dini tudani.unapomfanyia mwenzio na wewe utafanyiwa ndicho alicho kipata
@fahadfaraj6474 Жыл бұрын
@@mohammedhamad5297 wangapi waloua kwa mtutu na hawakufa kwa mtutu
@alihijiiddi89772 жыл бұрын
💪💪💪🌎🕌❤️👀
@alihijiiddi89772 жыл бұрын
NAMKOBOZI WA ZANZNZIBARI LAKINI MKOLONI MAMBO LEO WA BARA
@alimuhamed1830 Жыл бұрын
Hiyi imeendaa
@abdulrahmansalim97732 жыл бұрын
NYANI HALIONI KUNDULE HAKI YA MTU HAIPOTEI
@alialamoudi97292 жыл бұрын
Mpka lini hiyo haki itarudi sasa miyaka sitini kutawaliwa
@abdulrahmansalim97732 жыл бұрын
HAKI HAIPOTEI MWENYEZI MUNGU HAKUGHAFILIKA NA WATU WAOVU MADHALIM WAHUNI MAJAHIL HAKI KAILETA ALHAMDULILLAH RABI ALLAMEEN
@komboomar82752 жыл бұрын
*Ukaichuwa zanzibar yenye mamlaka yake ukaipeleka bara sasa tunaoteseka ni sisi*
@alialamoudi97292 жыл бұрын
Kaiuza rasmi
@alialamoudi97293 жыл бұрын
Huyo angekua NA akili amewapa nchi yake nzima kwa wakrsto huko tanganika ya nyerere maauaji wa stini na ine ndio bala wale walikufa wakawazika pamoja katika mashimo makuubwa wtoto wadogo NA wazee NA wanawake NA wanaume ni waaslamu wenzetu mungu atatuliza wameuliwa kinyama bila thambi raia tu wala sio askari nyerere ameamuru mjeshi yake kuvamia zanzibari wewe ingia Google youtu.be utaona maajabu watu waliuliwa walipigwa risasi kiyama kuna suali
Duuh mungu mkuu sauti ya Miaka 41 ipo clean kama janana
@user-pf9cd6zj1g3 жыл бұрын
Ndio wewe mjinga uliowadhulumu watu
@nassornassor87744 жыл бұрын
Kwa Tànzania babu hapana tabu lakini A S P haipo hatuna vya kuikumbuka mitihani , mbona ww hukuunga vyama ?babu tunakukumbuka na hizo hazabu Tanzania milele
@alialamoudi97292 жыл бұрын
Sahihi
@user-pf9cd6zj1g4 жыл бұрын
Hajijui anasema nini majisifu mengim
@raymondkaswaga50554 жыл бұрын
Babu ulikufa na Nyerere akafa na wenzako hawautaki muungano
@suleimansadalla56062 жыл бұрын
Good good good
@alyhamad8524 жыл бұрын
Thanks rest in peace
@thanimosi89064 жыл бұрын
Mnasikia maneno hayo nyie wajinga wafuasi wa Juha seif
@mohammedomar72803 жыл бұрын
we hunaujuacho eti
@husseinkonz51925 жыл бұрын
Huyo ndio mkomboz wa kwel sio wale wengine wakomboz fake
@masoudchake25525 жыл бұрын
Muendelee kutuekea maneno haya kama kumbukumbu ya vizazi vya sasa na vyahalafu! Ila dakika muongeze kwa sababu mnatuekea sekunde chache! Haya maneno ya mzee matamu kuyasikiliza