MANENO MAWILI RAHA NA BUSTAREH/SHEIKH ABEID KARUME ENZI ZA UHAI WAKE.

  Рет қаралды 26,108

Zanzibar Tv

Zanzibar Tv

5 жыл бұрын

Endelea kuwa pamoja nasi,

Пікірлер: 55
@salimharrasy7047
@salimharrasy7047 Ай бұрын
Babu Karume tunamuomba Allah akupe kinachostahiki. Amiin
@khalidsaid4297
@khalidsaid4297 2 жыл бұрын
Laaanatu اللہ Allah atakulipa kwa ulichokipandaa
@albertjames6845
@albertjames6845 Жыл бұрын
Wewe mjinga mmoja tu, hujitambui
@mohammedhamad5297
@mohammedhamad5297 Жыл бұрын
@@albertjames6845 babu kausho lalichokipanda anakipata aliua kwa mtutu na yy aliuwa kwantutu! Kama kamata dini tudani.unapomfanyia mwenzio na wewe utafanyiwa ndicho alicho kipata
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Жыл бұрын
@@mohammedhamad5297 wangapi waloua kwa mtutu na hawakufa kwa mtutu
@user-xl3xy6db2g
@user-xl3xy6db2g Жыл бұрын
Watu wa Unguja na Pemba tumepata uhuru wetu kwa vita na Mungu alikuongoza heri na ufahari aupate yule alie kuzaa Mungu anisamehe kwa mabaya yko na akulipe kwa wema wako Amin
@user-zc3fk6oh9w
@user-zc3fk6oh9w 4 ай бұрын
Na mabaya pia amlipe , hakujua km hii Dunia mapito
@kassimhashi49
@kassimhashi49 Жыл бұрын
Mzee Allah akulaze pema peponi from Kenya
@ashaali7506
@ashaali7506 11 ай бұрын
Alhamdulillah❤😂🎉😢😮😅😊
@suleimansadalla5606
@suleimansadalla5606 2 жыл бұрын
Big man viva karume asante sana
@AbdulNassir-jk1jf
@AbdulNassir-jk1jf 2 ай бұрын
Eeh aduwi wa allah
@user-pf9cd6zj1g
@user-pf9cd6zj1g 3 жыл бұрын
Ndio wewe mjinga uliowadhulumu watu
@komboomar8275
@komboomar8275 2 жыл бұрын
*Ukaichuwa zanzibar yenye mamlaka yake ukaipeleka bara sasa tunaoteseka ni sisi*
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 2 жыл бұрын
Kaiuza rasmi
@khalidsaid4297
@khalidsaid4297 2 жыл бұрын
Ww ndie ulie tudhslilisha na ndio tunazidi kizalilishwsa
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Жыл бұрын
Ye hayupo we umefanya nini kutoa huo udhalili
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 2 жыл бұрын
NYANI HALIONI KUNDULE HAKI YA MTU HAIPOTEI
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 2 жыл бұрын
Mpka lini hiyo haki itarudi sasa miyaka sitini kutawaliwa
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 2 жыл бұрын
Mungu aliempa athabu katika dunia kupigwa risasi nane NA huko akhera ataulizwa roho za watu nafsi za watu sio mchezo hata ukiua paka utauliwa wazanzibari wa liuwawa kinyama ni raia tu wala sio askari sasa huo karume hao watu wanamsubiri huko sirati huko ahera wa nataka malipo yao aliye uwawa anamuliza mungu huo ameniuwa dunia duniani kwanini
@allyhassan5664
@allyhassan5664 Жыл бұрын
Lkn aliemuua karume ataenda kujibu nayy kwann alimuua .adhabu anaiaubiri
@mohammedhamad5297
@mohammedhamad5297 Жыл бұрын
Adhabu na wewe unaiyona adhabu ya Allah ulio wauwa ndio sisi wazanzibar
@ommarallyhamad7435
@ommarallyhamad7435 Жыл бұрын
Tulitolewa ukoloni mwa kiarabu na kuoingizwa katika ukoloni wa kiafrika
@user-bs1zq5ts1r
@user-bs1zq5ts1r 2 ай бұрын
Eshii jamani napitia comments hapa ila sijaona comments yoyote ya kumushukuru Karume hata chembe za mazuri yake hamukumbuki
@omarsaid4702
@omarsaid4702 2 жыл бұрын
Kweli mungu atamlipa kwa alicho kipanda
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 2 жыл бұрын
Kwa kua elfu ishirini NA kuiza nchi kwa wakrsto wa tanganika
@user-gd2xj3xd1b
@user-gd2xj3xd1b 7 ай бұрын
Dadali wa mwazo kuuuza zanzibar kwa watanganyika kwa husda na tamaa ya madaraka
@fahmialharthi4596
@fahmialharthi4596 2 жыл бұрын
Unaiyona raha mustareh huko ulipo
@ommarallyhamad7435
@ommarallyhamad7435 Жыл бұрын
Serikali yetu wenyewe mbona ukaipoteza bureee
@user-xl3xy6db2g
@user-xl3xy6db2g Жыл бұрын
Hatutaki kutawaliwa kwani kuna ubaya 😂😂😂😂
@anuaryjuma9469
@anuaryjuma9469 2 жыл бұрын
Kweli nchi ya wafrica
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 2 жыл бұрын
Nchi emetawaliwa NA jirani
@alihijiiddi8977
@alihijiiddi8977 2 жыл бұрын
NAMKOBOZI WA ZANZNZIBARI LAKINI MKOLONI MAMBO LEO WA BARA
@alimuhamed1830
@alimuhamed1830 11 ай бұрын
Hiyi imeendaa
@seifhafidhsuleiman3643
@seifhafidhsuleiman3643 Жыл бұрын
Hotuba inaishi hii
@asilclub
@asilclub 10 ай бұрын
Moongo mkubwa huyu jambazi muuaji mungu atamlani yeye na nyororo asipo Kuwa ni sultan huyu mshenzi karume hajui hata kuvaa nguo
@abdulab6202
@abdulab6202 2 жыл бұрын
Khalid said unamwambia mtu llaantu llah je ingekuwa hao warabu wange wauwa watu weusi unge wa laani kama ni dhulma na wao hao warabu walikuwa wanadhulumu watu usimlaani mtu hujui nini kingetokea kwa hao waafrika maana nahao unao watetea walikuwa na njama zao waswahili wamesema ukujuwa huu wenzio wanao ujuwa huu kaa utafakari
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 2 жыл бұрын
Kaleta ukoloni wa namna nyingine hao waarbu ni wazaliwa zanzibari hawajui kwao kabisa ni wanainchi sasa umetawaliwa hamna cha mamlaka ya zanzibari kua elfu ishirini kwa dakika arbaini hakubali mungu hao ni waaslamu wanataamka shada
@mohammedhamad5297
@mohammedhamad5297 Жыл бұрын
@@alialamoudi9729 yy alikua muafrika ndio wakawau mpaka watoto wa walio zaliwa.
@sellamwani7300
@sellamwani7300 Жыл бұрын
​@@alialamoudi9729waarabu waliuza waafrika mamillioni kwenye Utumwa!yaonekana wewe mwarabu?
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 3 жыл бұрын
Duuh mungu mkuu sauti ya Miaka 41 ipo clean kama janana
@adamstour5736-kb6zq
@adamstour5736-kb6zq Жыл бұрын
Ni kheri kutawaliwa na SULTAN kuliko kutawaliwa na TANGANYIKA
@homeboybeyondtheborders4935
@homeboybeyondtheborders4935 3 ай бұрын
Shida ilikua kwa ZNP "HIZBU" wao walipokea Uhuru kutoka Uingereza wakakubali Sultan abaki kuwa mkuu wa nchi,ila kiuhalisia Jamshid alikua ni sehemu ya Dola ya Oman,yaani Jamshid alikua mwakilishi wa Dola ya Oman nje ya nchi ya Oman...Mohamed Shamte alikua waziri mkuu na hakuwa na nguvu za kiutawala zaidi ya kusikiluza mkubwa wake.Ukweli ambao wazanzibar wengi hawaongelei ni kua Dola ya Oman imekaa zaidi ya makarne kwa mabavu kwenye visiwa hivi je Maendeleo waliyofanya kwa maelfu ya miaka ilishabihiana na ule mwaka 1964.Kihistoria Utawala wa Sultani ulikuwepo kabla ya wazungu kuingia Amerika, Kwa hyo majority had the right to overthrow the regime kwa kigezo cha muda huo na ukweli wa historia.
@homeboybeyondtheborders4935
@homeboybeyondtheborders4935 3 ай бұрын
Shida ilikua kwa ZNP "HIZBU" wao walipokea Uhuru kutoka Uingereza wakakubali Sultan abaki kuwa mkuu wa nchi,ila kiuhalisia Jamshid alikua ni sehemu ya Dola ya Oman,yaani Jamshid alikua mwakilishi wa Dola ya Oman nje ya nchi ya Oman...Mohamed Shamte alikua waziri mkuu na hakuwa na nguvu za kiutawala zaidi ya kusikiluza mkubwa wake.Ukweli ambao wazanzibar wengi hawaongelei ni kua Dola ya Oman imekaa zaidi ya makarne kwa mabavu kwenye visiwa hivi je Maendeleo waliyofanya kwa maelfu ya miaka ilishabihiana na ule mwaka 1964.Kihistoria Utawala wa Sultani ulikuwepo kabla ya wazungu kuingia Amerika, Kwa hyo majority had the right to overthrow the regime kwa kigezo cha muda huo na ukweli wa historia.
@allyhassan5664
@allyhassan5664 Жыл бұрын
Hivi sultan ametawala znz miaka mingi likn karume katawala miaka Saba maendeleo yameonekana mpk leo..sio
@user-zc3fk6oh9w
@user-zc3fk6oh9w 4 ай бұрын
You wrote the trush, you better keep quiet
@mohammedabdallah9821
@mohammedabdallah9821 Жыл бұрын
Kaondoka sultani mwarabu, Sasa tunae sultani mtanganyika ndo aloikalia Zanzibar kwa mabavu, HAKUNA tena nchi ya Zanzibar kuna Tanzanian
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Жыл бұрын
Tumeamua hata sie watanganyika hatutaki Kua na nyinyi mwambieni bi mkubwa auvunje we are ready
@raymondkaswaga5055
@raymondkaswaga5055 4 жыл бұрын
Babu ulikufa na Nyerere akafa na wenzako hawautaki muungano
@suleimansadalla5606
@suleimansadalla5606 2 жыл бұрын
Good good good
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 2 жыл бұрын
HAKI HAIPOTEI MWENYEZI MUNGU HAKUGHAFILIKA NA WATU WAOVU MADHALIM WAHUNI MAJAHIL HAKI KAILETA ALHAMDULILLAH RABI ALLAMEEN
@nassornassor8774
@nassornassor8774 4 жыл бұрын
Kwa Tànzania babu hapana tabu lakini A S P haipo hatuna vya kuikumbuka mitihani , mbona ww hukuunga vyama ?babu tunakukumbuka na hizo hazabu Tanzania milele
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 2 жыл бұрын
Sahihi
Nutella bro sis family Challenge 😋
00:31
Mr. Clabik
Рет қаралды 12 МЛН
KILICHOTOKEA SIKU YA KUUWAWA RAIS ABEID KARUME/RISASI ZILIPIGWA BALAA
13:30
ABEID AMAN KARUME TALKING OF HIS YOUNGER YEARS!
10:01
Zanzibar Ni Kwetu
Рет қаралды 1 М.
Sikiliza Vimbwanga Vya Al Marhum | Mzee Nassor Moyo, Kuhusu Kero za Muungano
9:46
Swahili Villa Online TV | Washington, D.C
Рет қаралды 1,4 М.
KARUME ALIVYOPIGWA RISASI HADHARANI
12:01
Mwananchi Digital
Рет қаралды 422 М.
KUMBUKUMBU ZA MZEE AMAN THANI AKIELEZEA ALICHOKIONA NA YALIOMFIKA
2:33:49
UTAWALA WA DK SALMIN AMOUR-MAKALA MAALUMU
22:46
ARUSHA ONE RADIO
Рет қаралды 10 М.