Babu Karume tunamuomba Allah akupe kinachostahiki. Amiin
@khalidsaid42972 жыл бұрын
Laaanatu اللہ Allah atakulipa kwa ulichokipandaa
@albertjames6845 Жыл бұрын
Wewe mjinga mmoja tu, hujitambui
@mohammedhamad5297 Жыл бұрын
@@albertjames6845 babu kausho lalichokipanda anakipata aliua kwa mtutu na yy aliuwa kwantutu! Kama kamata dini tudani.unapomfanyia mwenzio na wewe utafanyiwa ndicho alicho kipata
@fahadfaraj6474 Жыл бұрын
@@mohammedhamad5297 wangapi waloua kwa mtutu na hawakufa kwa mtutu
@user-xl3xy6db2g Жыл бұрын
Watu wa Unguja na Pemba tumepata uhuru wetu kwa vita na Mungu alikuongoza heri na ufahari aupate yule alie kuzaa Mungu anisamehe kwa mabaya yko na akulipe kwa wema wako Amin
@user-zc3fk6oh9w4 ай бұрын
Na mabaya pia amlipe , hakujua km hii Dunia mapito
@kassimhashi49 Жыл бұрын
Mzee Allah akulaze pema peponi from Kenya
@ashaali750611 ай бұрын
Alhamdulillah❤😂🎉😢😮😅😊
@suleimansadalla56062 жыл бұрын
Big man viva karume asante sana
@AbdulNassir-jk1jf2 ай бұрын
Eeh aduwi wa allah
@user-pf9cd6zj1g3 жыл бұрын
Ndio wewe mjinga uliowadhulumu watu
@komboomar82752 жыл бұрын
*Ukaichuwa zanzibar yenye mamlaka yake ukaipeleka bara sasa tunaoteseka ni sisi*
@alialamoudi97292 жыл бұрын
Kaiuza rasmi
@khalidsaid42972 жыл бұрын
Ww ndie ulie tudhslilisha na ndio tunazidi kizalilishwsa
@fahadfaraj6474 Жыл бұрын
Ye hayupo we umefanya nini kutoa huo udhalili
@abdulrahmansalim97732 жыл бұрын
NYANI HALIONI KUNDULE HAKI YA MTU HAIPOTEI
@alialamoudi97292 жыл бұрын
Mpka lini hiyo haki itarudi sasa miyaka sitini kutawaliwa
@alialamoudi97292 жыл бұрын
Mungu aliempa athabu katika dunia kupigwa risasi nane NA huko akhera ataulizwa roho za watu nafsi za watu sio mchezo hata ukiua paka utauliwa wazanzibari wa liuwawa kinyama ni raia tu wala sio askari sasa huo karume hao watu wanamsubiri huko sirati huko ahera wa nataka malipo yao aliye uwawa anamuliza mungu huo ameniuwa dunia duniani kwanini
Adhabu na wewe unaiyona adhabu ya Allah ulio wauwa ndio sisi wazanzibar
@ommarallyhamad7435 Жыл бұрын
Tulitolewa ukoloni mwa kiarabu na kuoingizwa katika ukoloni wa kiafrika
@user-bs1zq5ts1r2 ай бұрын
Eshii jamani napitia comments hapa ila sijaona comments yoyote ya kumushukuru Karume hata chembe za mazuri yake hamukumbuki
@omarsaid47022 жыл бұрын
Kweli mungu atamlipa kwa alicho kipanda
@alialamoudi97292 жыл бұрын
Kwa kua elfu ishirini NA kuiza nchi kwa wakrsto wa tanganika
@user-gd2xj3xd1b7 ай бұрын
Dadali wa mwazo kuuuza zanzibar kwa watanganyika kwa husda na tamaa ya madaraka
@fahmialharthi45962 жыл бұрын
Unaiyona raha mustareh huko ulipo
@ommarallyhamad7435 Жыл бұрын
Serikali yetu wenyewe mbona ukaipoteza bureee
@user-xl3xy6db2g Жыл бұрын
Hatutaki kutawaliwa kwani kuna ubaya 😂😂😂😂
@anuaryjuma94692 жыл бұрын
Kweli nchi ya wafrica
@alialamoudi97292 жыл бұрын
Nchi emetawaliwa NA jirani
@alihijiiddi89772 жыл бұрын
NAMKOBOZI WA ZANZNZIBARI LAKINI MKOLONI MAMBO LEO WA BARA
@alimuhamed183011 ай бұрын
Hiyi imeendaa
@seifhafidhsuleiman3643 Жыл бұрын
Hotuba inaishi hii
@asilclub10 ай бұрын
Moongo mkubwa huyu jambazi muuaji mungu atamlani yeye na nyororo asipo Kuwa ni sultan huyu mshenzi karume hajui hata kuvaa nguo
@abdulab62022 жыл бұрын
Khalid said unamwambia mtu llaantu llah je ingekuwa hao warabu wange wauwa watu weusi unge wa laani kama ni dhulma na wao hao warabu walikuwa wanadhulumu watu usimlaani mtu hujui nini kingetokea kwa hao waafrika maana nahao unao watetea walikuwa na njama zao waswahili wamesema ukujuwa huu wenzio wanao ujuwa huu kaa utafakari
@alialamoudi97292 жыл бұрын
Kaleta ukoloni wa namna nyingine hao waarbu ni wazaliwa zanzibari hawajui kwao kabisa ni wanainchi sasa umetawaliwa hamna cha mamlaka ya zanzibari kua elfu ishirini kwa dakika arbaini hakubali mungu hao ni waaslamu wanataamka shada
@mohammedhamad5297 Жыл бұрын
@@alialamoudi9729 yy alikua muafrika ndio wakawau mpaka watoto wa walio zaliwa.
@sellamwani7300 Жыл бұрын
@@alialamoudi9729waarabu waliuza waafrika mamillioni kwenye Utumwa!yaonekana wewe mwarabu?
@jenyyusuph49733 жыл бұрын
Duuh mungu mkuu sauti ya Miaka 41 ipo clean kama janana
@adamstour5736-kb6zq Жыл бұрын
Ni kheri kutawaliwa na SULTAN kuliko kutawaliwa na TANGANYIKA
@homeboybeyondtheborders49353 ай бұрын
Shida ilikua kwa ZNP "HIZBU" wao walipokea Uhuru kutoka Uingereza wakakubali Sultan abaki kuwa mkuu wa nchi,ila kiuhalisia Jamshid alikua ni sehemu ya Dola ya Oman,yaani Jamshid alikua mwakilishi wa Dola ya Oman nje ya nchi ya Oman...Mohamed Shamte alikua waziri mkuu na hakuwa na nguvu za kiutawala zaidi ya kusikiluza mkubwa wake.Ukweli ambao wazanzibar wengi hawaongelei ni kua Dola ya Oman imekaa zaidi ya makarne kwa mabavu kwenye visiwa hivi je Maendeleo waliyofanya kwa maelfu ya miaka ilishabihiana na ule mwaka 1964.Kihistoria Utawala wa Sultani ulikuwepo kabla ya wazungu kuingia Amerika, Kwa hyo majority had the right to overthrow the regime kwa kigezo cha muda huo na ukweli wa historia.
@homeboybeyondtheborders49353 ай бұрын
Shida ilikua kwa ZNP "HIZBU" wao walipokea Uhuru kutoka Uingereza wakakubali Sultan abaki kuwa mkuu wa nchi,ila kiuhalisia Jamshid alikua ni sehemu ya Dola ya Oman,yaani Jamshid alikua mwakilishi wa Dola ya Oman nje ya nchi ya Oman...Mohamed Shamte alikua waziri mkuu na hakuwa na nguvu za kiutawala zaidi ya kusikiluza mkubwa wake.Ukweli ambao wazanzibar wengi hawaongelei ni kua Dola ya Oman imekaa zaidi ya makarne kwa mabavu kwenye visiwa hivi je Maendeleo waliyofanya kwa maelfu ya miaka ilishabihiana na ule mwaka 1964.Kihistoria Utawala wa Sultani ulikuwepo kabla ya wazungu kuingia Amerika, Kwa hyo majority had the right to overthrow the regime kwa kigezo cha muda huo na ukweli wa historia.
@allyhassan5664 Жыл бұрын
Hivi sultan ametawala znz miaka mingi likn karume katawala miaka Saba maendeleo yameonekana mpk leo..sio
@user-zc3fk6oh9w4 ай бұрын
You wrote the trush, you better keep quiet
@mohammedabdallah9821 Жыл бұрын
Kaondoka sultani mwarabu, Sasa tunae sultani mtanganyika ndo aloikalia Zanzibar kwa mabavu, HAKUNA tena nchi ya Zanzibar kuna Tanzanian
@fahadfaraj6474 Жыл бұрын
Tumeamua hata sie watanganyika hatutaki Kua na nyinyi mwambieni bi mkubwa auvunje we are ready
@raymondkaswaga50554 жыл бұрын
Babu ulikufa na Nyerere akafa na wenzako hawautaki muungano
@suleimansadalla56062 жыл бұрын
Good good good
@abdulrahmansalim97732 жыл бұрын
HAKI HAIPOTEI MWENYEZI MUNGU HAKUGHAFILIKA NA WATU WAOVU MADHALIM WAHUNI MAJAHIL HAKI KAILETA ALHAMDULILLAH RABI ALLAMEEN
@nassornassor87744 жыл бұрын
Kwa Tànzania babu hapana tabu lakini A S P haipo hatuna vya kuikumbuka mitihani , mbona ww hukuunga vyama ?babu tunakukumbuka na hizo hazabu Tanzania milele