😂😂ufafanuzi wa mchongo. Wanafunzi waliofaulu ni 11? Petro si alimkana Yesu mara 3? Inamaana waliofaulu ni 10 tu. Ukisema Petro alitubu, hata Yuda baada ya Yesu kuuawa alitubu, tena yeye aliteswa na dhamiri ya ukosefu mpaka akaamua kujinyonga. Sasa unasemaje wanafunzi waliofaulu walikuwa 11? Huyo wa 11 ni nani?
@SanaguSitta26 күн бұрын
Amina,
@SeifJuma-l8tАй бұрын
Allah alituma vitabu kwa mitume wake navyo ni taulati zabuli na injili na Qur'an tukufu Qur'an ndio imekuja kufuta Delete vitabu vyote vya zamani kwaiyo Qur'an ndio muuongozo wetu mpak cku ya Qiyamaa kwaiyo mnatakiwa kuiifta kwanzia Enzi za mtume wa mwisho Muhammad mpaka Qiyamaa dini ya haki mbele ya M/Mungu ni Uislamu
@LucyJepkemei-c5iАй бұрын
Am blessed
@samsonipaul4068Ай бұрын
Amina
@SheilachepkemoiKirui-y1hАй бұрын
Amen
@EmmanuelnyandangonghoАй бұрын
Usiendelee kupotosha watu wa Mungu wapokee chapa ya mnyama maana watashindwa kuiogopa ili uamini nitishio soma ufunuo13:11___18
@IskariMasawa2 ай бұрын
Mtumish wa uongoo
@CleverMwaisumo3 ай бұрын
Mmmm jamani kuweni makini me ninachojua namba 7 ina maana ni ukamilifu alimaliza kuumba siku saba ...mapigo saba .... Akini namba punfufu ya saba ambayo ni sita sio kamilidu kwa hiyo 777 zinawakilisha utatu mtakatifu lakini sita tatu ni soho tatu za uchafu ufunuo 16:13 kwa hiyo 666 ni copy ya utatu mkamilifu wa mungu ambao unawakilishwa na namba 777 kama mungu baba mwana na zoho matakatifu