ukiona hawafanyi basi fanya wewe. ... na una uhakika gani kama hawajengi madrassa na kufanya mengine ya kheri... shafi umeamza kujaa sifa sasa
@hassanisindi474Сағат бұрын
#kaziiendelee
@ramadhanmgumba3680Сағат бұрын
Ila shekh apo kwenye jez ya azam unatuzuga tunajua wew ni yanga😂😂
@MochammdHadija-pn7nnСағат бұрын
Mashaallah ❤
@faiqaanwar7268Сағат бұрын
Kondoo alie potea ni wewe ndacha
@ABUUBAAZNYUNGU-j4xСағат бұрын
Mashekh wa kisufi na Majezi majezi yenu... Mna promote ushabiki wa mpira! Allah akuongoze!
@salehjuma704Сағат бұрын
Ameen
@alexmukama38012 сағат бұрын
Sorry for Muslims..Bana peda waseme gizi wanataka
@alexmukama38012 сағат бұрын
Wanduguzangu nimaadiko inasema vile sio papa simba
@omarhassan93772 сағат бұрын
Ustadh tafadhali tutajie iyo orodha ya ayo mafuta 14 huku kwetu madukani hawayajui.
@HusseinLimbe11 минут бұрын
Shekh wangu Kabla hujatajiwa hiyo orodha umejihakikishia kuwa hayo mafuta ndio tiba? Shekh Shafii tunampenda ila inabidi aje na uthibitisho wa hiyo taaluma yake kaitoa wapi na kaisoma wapi kwenye Uislam Je ipo kwenye Sahih Hadith au Quran? Maana si haba Shekh Wetu ako na Elimu kubwa kutuliko sisi Ila Yampasa atupe Uthibitisho?
@HaliaKheri3 сағат бұрын
❤❤❤🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@hassanmpwepwe38264 сағат бұрын
Inna lilahy wainna ilahy rajuun
@RAMADHANNDORO-cg6bt5 сағат бұрын
Iyo ni pesa ngapi kenya money na naeza yapata vipi mombasa
@kagileman57985 сағат бұрын
Nyny ndo watu wenye uchungu na Mafia Kwa nguvu na maaruf wako natumai Itafika mbali Saut yako
@MagunoMtanda7 сағат бұрын
Asalaam aleykum warahmatullah wabarakatuh nataka hayo mafuta mwanangu anakojoa
Mpaka hapa kwa akili za hao wapigafilimbi wa mama tayari washakujengea chuki. Wao kazi yao ni kusifia tu hata kwa sifa zisizokuwepo.
@JustinePascal-i1t11 сағат бұрын
Hawa waislam mnafurahi hawa MASHETANI wanavyobwabwaja, furahini ila mjue huu ndiyo mwisho uliotabiriwa. Huyu katumwa kutoka kuzimu, mengine anasema kwel mengine anapotosha
@JustinePascal-i1t11 сағат бұрын
Hawa ni wafuasi wa Shetani ndiyo maana wanaropoka, hawa ndiyo waliotabiriwa maana hakuna sehemu inasema mtu ujiite nabii hawa ndiyo waliotabiriwa, MASHETANI wakubwa.
@rizikiabdalla250111 сағат бұрын
Kwa nn usiwaombee Dua wakawa wema kama ww usiombee wezio mauti
@TreasureMagumba12 сағат бұрын
Natamani haya mahojiano yangewafikia viongozi wote hasa ngazi za juu, hivi kweli miaka zaidi ya50 ya uhuru bado kuna sehemu hazina hata usafiri😢😢😢 halafu zinatengwa mabilioni ya pesa eti yajengwe makumbusho ya maraisi ni ujinga kabisa tuna serikali na viongozi wa hovyo sana
@mohdkombo339712 сағат бұрын
Ni aibu Muislam kama huyo yupo ktk siasa za kikafiri. Tunachotakiwa kuwa na Siasa za uislamu si siasa za kikafiri. Hakika huyo si Sheikh bali ni mpotoshaji Cha cha kislamu kipo na ni hizb ut tahrir ndugu. Ukiwa huthaminiwi na Allah swt utathaminiwa na wanadamu? Hiyo yenu si dawa ya kislamu bali ni dawa kusambaza ukafiri wa makoloni. Rudi ktk uislamu ndugu, uislamu na vyama vya kisecular ni magharibi na mashariki ni aibu yako na waislam ambao wameingia ktk ukafiri huwo Naam
@TreasureMagumba12 сағат бұрын
Ma shall ah sheikh Ally kadogoo Mungu akujaalie mwisho mwema
@AbdulhalimYusuf-bc6rj12 сағат бұрын
Mashallahu Maalim umemtaja mtu mmoja huku pemba anaitwa Ustadh Ali said huyu mtu yupo ni mzima wa afya kwa sasa yeye ni Amiri wa jumuiya ya maimamu wilaya ya chake lakini pia anauza vitatu vya dini yetu hapa chake Allah akubaark inshallah mimi naitwa hamad kutoka wesha chake chake karibu sana Maalim wetu
@RamadhaniMohamedi-r2k12 сағат бұрын
Umezungumza sahihi, ila cjapenda unaposema haupingi maulid , maulid ni bida'a shaykh yapinge tu
@mohdkombo339712 сағат бұрын
Wengi wa wapemba wamekasirikiwa na Allah swt pale walipoacha uislamu na kushika fikra za makafiri za wazungu yaani democracy,Maalim seifu amewapoteza wapemba,lakini MashaAllah wapemba walioshika uislamu hawo ni vidume na Allah swt yupo pamoja nao na ndio waliokusudiwa na ayya aliyosoma mzungumzaji,si wafuasi wa mavi ya democracy hawo wamekasirikiwa na Allah swt. Democracy ni ukafiri Allah swt awarudishe wapemba ktk haki Naam
@AsminHakimo12 сағат бұрын
Watu wa mafia naomba kuuliza je ikifika kipindi cha kampeni mgombea uraisi huwa anakuja kuomba kura?
@jabirkombo54835 сағат бұрын
Ustadh shaaafii mungu akuwekeee na akupe umri
@MaalimGumboxella313 сағат бұрын
Mashallaaa😢 mungu akuefadhi
@MariamuChwaya13 сағат бұрын
Umeupiga mwingi shekh
@shafiishomari232810 сағат бұрын
Hahaha
@chande2k25013 сағат бұрын
Safi Ustadh shafii naungana Nawe usafiri wa Mafia Bado Changamoto kuanzia bungu Mpk nyamisati barabara mbovu ukifika nyamisati boat ya kwenda Mafia haina Ratiba maalumu Bado Changamoto sana
@wamiujizacholo741313 сағат бұрын
Tunatakiwa kupinga kila kitu kilozushwa kwenye dini. Hivi hadithi ya mtume s.a.w alosema kila uzushi ni upotovu na kila upovu ni motoni. Je mtume s.a.w alikua sio sahihi kutamka maneno yale. Hadi ifike pahala masheikh wasema kuna uzushi mbaya na uzushi mwema. Je mtume kwa nini alitumia kauli ya kusema. Kila uzushi ni upotevu. Je hakujua kama kuna uzushi mbaya na uzushi mzuri. Swali la kujiuliza je maulid yalianzishwa na nani? . Na je kwenye karne 3 tuloambiwa tuzifuate waliwahi kufanya maulid.?? Na kama wao hawakuhi kumsheherekea mtume. Je wao walikua mapenzi kwa mtume wao ni madogo kuliko sisi tunaomsheherekea??
Wanafahamu pia lakini ni njaa ya wasumbuwa.jamani njaa itatutiya motoni.
@faiqaanwar726814 сағат бұрын
Jamaa wa ache njaaaaaaa
@faiqaanwar726814 сағат бұрын
Mbona napiga namber iliyo mbele yako shekh shafi hupatikani.napiga kutoka kenya na sikupati na namber hiyo
@ustadhshafiionlinetv14 сағат бұрын
+255 713 596 030 or +255 716 747 459
@YossofShamal16 сағат бұрын
Huyu Dada nimjinga Sana ukiwa hujuwi waulize wanaojuwa
@MohdAlly-pw6bw16 сағат бұрын
Wewe unaiesema kuw maalim wet anafundisha ufrimanson jitambuwe ya kuwa ufahamu wako wa akil unamatatizo 😂
@HumoudAlbahry17 сағат бұрын
آيش هذه سوالف😂😂😂
@HumoudAlbahry17 сағат бұрын
Ni محروج Au مخارج الحروف Bwana 😂Wewe Mwenyewe Hujui Kitu Ham Usipoteze Watu Hapa Yani Nyny Vikanzu Vya Ukosi Na Marangi Mingi Kama Waganga Wa Kienyeji Mnazingua Sanaaaaa 😂Eti Mahruji 😂😂😂Kisha unamwambia Mwenzako yy Surat Fatha Hajui Ww kutamka Hizo Herufi shida😂😂😂!!!!!!!!!
@jotafungo462220 сағат бұрын
Poleni sana,amin.
@adamhashim335221 сағат бұрын
Maulidi ni mradi wa watu. Hiyo bajeti ya maulidi ilitosha tuwe na shule za kutosha na hospital
@saidmohamed654313 сағат бұрын
@@adamhashim3352 ndio hawa makhurafi wangeyaacha haya maulid ingekuwa boraa maana hata maswahaba hawakufanya maulid kabisa yaani ni uzushi na ni bidaa
@GEOFREYABISI22 сағат бұрын
Ndugu usitamani sana asiyenaRoho akubari Rohoo
@EgideNkeshimana-xl2of22 сағат бұрын
Shukran Sheikh wetu, 🙏🙏🙏
@jeanboscosindihebura403522 сағат бұрын
Unaufunza u freemason chekh.
@hassanWanjiku22 сағат бұрын
Na maulid uzushi tutaupinga hadi uishe huo uzushi wa mashia nanyi mkaukumbatia na hamtaki kuambiwa
@hassanWanjiku22 сағат бұрын
Ustadh hata huko kupinga maulid ni moja ya kupeleka dini mbele c kusilimisha watu tuu sababu wengi mnasilimisha na hamfuatilii mjue jee wanasoma dini baada ya kubadilisha dini lakini mnakimbilia maulid ambapo hakuma thawabu huko ila mkisomesha dini leo na kesho utakua unachuma tu