Tanzania Marais wa UKWELI Ni 2 tuu Mwl JKN NA JPM. wabarikiwee wote hukooo
@MinihajMdoeКүн бұрын
Duh hii ni hatar sana
@MsevenSaudisaidi2 күн бұрын
Hatatokea laisi Kama magu pumzka kwa amani nani Kama magufuri
@faustinluambano29582 күн бұрын
Wekeni kumbukumbu vizuri anajua wauaji na anafurahia.
@SaluMahali-x2v3 күн бұрын
👍🙏❤❤🎉
@FellaMbogela4 күн бұрын
NI KWELI HILI JINAMIZI LA KUTEKWA NA KUPOTEZWA LILIKUWA LIMEYOKEA UGANDA KIPINDI CHA MWANZO KABISA CHA UTAWALA WA IDDI AMINI NA BAADAYE KUENDELEA MPAKA ALIPOPINDULIWA NA KUFUKUZWA KWA MSAADA WA JESHI LETU
@faustinluambano29585 күн бұрын
Mkoani kwa RC CHALAMILA HUKOOOOOOOOO
@Michaelagni6 күн бұрын
Kweli kabisa mchungaji Ulindwe zaidi nay mumpe Urais ata ongoza vema sio Hao ma binti uchi pumbavu
@Michaelagni6 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@DivaMsukuma7 күн бұрын
Mhuu jaman hamwogopi mungu wambarikiwa
@mwesigyeglory2158 күн бұрын
Huo ni ukweli kabisa
@hendricksjohn62018 күн бұрын
MUNGU akulinde mbarikiwa wewe ni ni mtumishi wa Mungu kweli kwa Tanzania upo pekee yako
@JoyceKabula-in1sh8 күн бұрын
Udinikumbushe habari za bashiteee hahahaaaaaa huyo ndo geajima
@ZishfriethElisa8 күн бұрын
KIBALI CHA KUTOA HUKUMU UMEKITOA KWA NANI?
@matrixtechnician30889 күн бұрын
Ya muda hii
@MaulidyMadyo9 күн бұрын
Nay ni msomi nimuelewa sana ana kipaji
@MaulidyMadyo9 күн бұрын
Bsraaa uyo mwamba
@pascarmwatosya585510 күн бұрын
Rais wa kitaaa
@OscarBethel10 күн бұрын
Ongera
@TatuNhonoli10 күн бұрын
Yaani mmegeuza nyumba ya Mungu kuwa nyumba ya siasa, Kweli watu wanaangamia kwa kukosa maarifa hakuna mwanadamu alipewa mamlaka ya kuhukumu yatakurudia mwenyewe, chagua moja siasa au Mungu vinginevyo utakuwa mchungaji wa mchongo kila siku
@AmaniMwalusamba10 күн бұрын
Mbona mda
@julianapayovela520611 күн бұрын
Angelina kutona
@GodfredAlfredNgarama11 күн бұрын
Mwenyezi mungu akusimamie rais wa kitaa anatufaa sanaa sanaa
@stephanomwaweza816711 күн бұрын
Mbona ya zaman Sana?
@joycealbart80511 күн бұрын
Hivi wewe unatumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja ? Wewe kama unamjua mungu mbona wewe mnafiki wakati mungu hapendi chuki binafisi .hunamalaka ya kumfuta hila unamuongezea kwa jina la yesu.
@ibrahimkibira994311 күн бұрын
Acrobatic za Kisiasa ni vip😂 Wez wakubwa nyinyi
@marwamasele441711 күн бұрын
Huyu Ndugu Kashayumba, Kwani Kuna Haja Gani Ya Kutupiana Maneno Kama Kweli Nawe Ni Wa MUNGU? Mimi nidhani Gwajima Kama Kweli Unamtumikia Mungu Basi Ungejibu Ki-MUNGU, But That's Non Sense Mura
@TatuNhonoli10 күн бұрын
Hana Mungu huyo Mungu alisema tutawatambua kwa matunda yao hayo ndiyo matunda yake maana badala ya kuhubiri neno la Mungu liwasaidie watu unawahubiria mambo ya makonda, usijifanye mkamilifu sana kumbuka Mungu anawajua walio wake
@masumbukomaganga43811 күн бұрын
KAZI KWELI KWELI
@tuziemtenga371212 күн бұрын
Hubiri injili ya Yesu na kuombea watu ndio kazi Mungu aliyokupa. Wakristo tunapigana vita wenyewe
@felisimshana908812 күн бұрын
Kwangu mimi huyu ndo rais wetu
@AllyMasterKitali12 күн бұрын
Haya mamtume nimataper yanadanga watu kuwatabria nakutoa unabridged chonganishi hao wanatakiwa wafungiwe kazi iliwananch wasidanganike tena nahawa watu wanashibisha matumbo yao
@JoshuaGoliama14 күн бұрын
Achen ujinga kamtetea wap sasa
@FESTOAMOSI12 күн бұрын
@@JoshuaGoliama yaani HUYU jamaa ana zingua sana
@MzeeOsama14 күн бұрын
Wewefanyakaziyadiniachananasiasa
@FESTOAMOSI14 күн бұрын
Acheni uongo hajamtaja mbalikiwa tatizo lenu ninyi mnatafuta kiki tu mbalikiwa wewe pambana si lazima gwajima akuunge mkono wako wengi
@danielkembo217714 күн бұрын
#nay wamitego 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@PeterLaizer-hj3cy14 күн бұрын
Hii sio injili, muwe na aibu, nanyi washirika amkeni, muangaze, mjue nani mnaemsikiliza.
@stanleymanya43814 күн бұрын
Video ya makonda waclouse😂😂
@AnociathaChuwa-cb5nk14 күн бұрын
CHAMA KILISHINDA WAPI???? CCM LINI ILISHINDA TANGU 1995 WANAJISHINDISHA TU HAWASHINDAJI NA KAMA WEWE U MTU WA HAKI BASI TTOKA CCM KWA KUWA HICHO CHAMA KIMEJAA UOVU MWINGI!! ALIMRADI UKO PAMOJA NAO NA WEWE SI MTENDA HAK NA MUNGU NI WA HAKI
@danielmwaikoono892814 күн бұрын
Unachochea ugomvi wewe unafanya vbaya sana
@jessemathew469614 күн бұрын
Mbona hii ya Gwajima ni ya zamani sana.... Unapata faida gani kwa uchonganishi km huu..?
@MohammedAwadh-gq9si14 күн бұрын
Wachungaji wamebaki kwenye ndoto tu / Mara nimeoteshwa hivi Mara nimeletewa maono nk upuuzi mtupu
@SaimonMwashinga14 күн бұрын
Mungu awabariki san watetez wa haki niny ni zaid ya mashekhe na wachungaj maana mnapigania haki
@benjaminsanare-ug6ge15 күн бұрын
🙏
@DominickDebolah15 күн бұрын
Hahahaha ❤❤
@hadijatwahadossa15 күн бұрын
Ni kweli mzee wetu..ahsante sana......tunawategemea ninyi mseme neno...wakisema wengine wanaambiwa wanataka kuvunja amani ya nchi.....wakati watanzania wanateseka.
@samwelkavwanga449115 күн бұрын
Kwa hili gwajima umechemka . Kwaio ulitaka upinzani usishinde
@WinnyDaniel-uy6rg15 күн бұрын
Wambie dada angu aman mdomon vitendo hamna
@RastaSuma15 күн бұрын
Watanzania wanataka kufanya maandamano amani ya kupinga mauaji, utekwaji na udhalilishaji wa kijinsia unaofanywa nabaadhi ya watu wasiowaadilifu.