Ni kweli mzee wetu..ahsante sana......tunawategemea ninyi mseme neno...wakisema wengine wanaambiwa wanataka kuvunja amani ya nchi.....wakati watanzania wanateseka.
@OscarBethel10 күн бұрын
Ongera
@raphaelmacha117316 күн бұрын
Hatutakata tamaa mzee wetu haki huwa haiombwi tutapigania utawala wa kufuata sheria na haki ya kila mtanzania na si kuiacha nchi iendelee ipotelee kwenye genge la watawala wasioitakia mema taifa hili tanzania inahutaji kupata vyombo vya dola hasa polisi na usalama wa taifa usioegemea kwa watawala enzi za ukoloni umeshaputa zamani sana
@joshuac.mashida137816 күн бұрын
Nchi ya ajabu sana ukiangalia mapolis walivovaa na mabunduki wanavita nanani wanapambana na watu raia kweli una sema amani watu badala yakuwa saka wanao ua unapabana na anae kemea mauaji 😂 kweli
@RastaSuma15 күн бұрын
Watanzania wanataka kufanya maandamano amani ya kupinga mauaji, utekwaji na udhalilishaji wa kijinsia unaofanywa nabaadhi ya watu wasiowaadilifu.