Mtangazaji huyo dada ana laana hakuna muislam wa aina hio bora Ngoma kuliko ndoa na ataenda kujibu akifariki mwambie arudi kwa Allah asiwe na kiburi kwa sababu ya uzima wake na pumzi zinaenda ktk mfumo wake wa kawaida
@Angelsalum-er3lm5 сағат бұрын
YESU anakupenda ukimwamini yeye ni mponyaji hajawahi kushidwa na jambo lolote
@hassanmustapher62412 сағат бұрын
Allah amfanyie wepes Zuu❤
@MariamMuhammed-fo5gp13 сағат бұрын
😂😂😂 manyau naughty bana
@MaulidJuto-o6z16 сағат бұрын
Broo kamavipi kuwa kama msumeno kata huku na nahuku namaanixha kulanahuyo
@MaulidJuto-o6z16 сағат бұрын
Swaiba hao waxhenzi wote huyo mamamkwe anaweza kumtuma mwanawe akuwekee sumu anweza uyomama hana busala hatakidogo hafai polekaka
@majidabeid364022 сағат бұрын
Alowe achike ndio huyo mume wake atowe mahar upy aowe sababu ametowa talaka tatu
@ShakiraMremboКүн бұрын
Daa polen sana selikali ndo sisi wananchi na jeshi la police tufanye maamuzi
@rispernyakundi2274Күн бұрын
We elected a dictator and a killer
@faithjonathan3845Күн бұрын
Ukiishi Dar kuna lazi nyingi sana. Unawezs kuuza maandazi, chapati au hata maji ys kunywa. Lakini pia kuna watu wanazunguka mtaani wanafulia watu mguo na kusafisha na wanalipwa. Sasa kujiuza wiki 1 au siku kadhaa kwa ajili ya kutafuta mtaji hapo nakubali. Ila kujiuzs kila siku ni tamaa ya maisha. Mtu amataka aishi nje ya uwezo wake. Hata huko Kigoma alipotoka unawezs kukuta wana shamba kwao lakini hataki kulima.. Hawa mabinti wana tamaa wanataka kuishi kwa starehe sana zilizopitiliza kuliko uwezo wao
@AlhajiDhahabuКүн бұрын
Inna Lilah wainailah rajioun hapa hamna mke hamna mama mkwe
@josephezekielmasolwa8283Күн бұрын
Jamani Tittle haiko vizuri. 15:16 hana Ukimwi bhana
@josephezekielmasolwa8283Күн бұрын
Huyu sister Ana Akili nyingi. Mungu msaidie sana
@Fatma-it2ueКүн бұрын
Usikate tamaa na maisha mungu anaweza kukusamehe rudi kwa mungu 😢😢😢+254
@RashidPonda-w4n2 күн бұрын
Duh nimempenda anafuraia kazi yake
@NorineIbra2 күн бұрын
Kakuroga huyo ndio maana anaongea bila aibu
@ShakiBaby-b5d2 күн бұрын
uza ata mbogamboga jaman
@giliadpaul37182 күн бұрын
Daah!! Ningekuwa mimi ndio huyo mwanaume nafikir hapo hapo ningempga makofi uyo mke
@julianamakonda50862 күн бұрын
Huyu binti hana adabu ni mnafiki
@julianamakonda50862 күн бұрын
Mabinti waheshimuni na kuwatii waume zenu.
@zachaamaster53782 күн бұрын
#apo umeyatimba mkuu
@zachaamaster53782 күн бұрын
#mbon wanafanana kama dada na kaka sema dem mweupe to
@MzeeOsama2 күн бұрын
Halo Dada mungu akutoe huko kwenye hiyo biashara no mbaya
@JumaWanani3 күн бұрын
😢😢 pole xana uyo jamaa kweri nimepata funzo ni meamini bora ukosee kujenga kuliko kukosea kuoa kama mxhikaji wetu
@ZainaJuma-f1v3 күн бұрын
Kwanini hapo ulipopewa pesa kwanini hujafuta unatengemea nini bahati unapoteza mwenyewe
@alfalay3 күн бұрын
Oyaa niunganishe na haka kabinti niangalie nakisaidiaje
@ZainaJuma-f1v3 күн бұрын
Mungu amuondoshee na fitina awasmamishie ndowa yao ❤❤❤❤
@ALLAN-bu7hy3 күн бұрын
hongera waandish kwa kaz kubwa pia dada aendelee kushawish wengine mungu mkuu awasaidie watoke kwa hiyo haliiiii