HUYU MDOGO NDIO HATARI CONGO hana hata Huruma Anauza VIUNGO VYA BINADAMU

  Рет қаралды 105,226

HABARI JAMII DIGITAL

HABARI JAMII DIGITAL

Күн бұрын

HUYU MDOGO NDIO HATARI CONGO hana hata Huruma Ni Jeshi La mtu Mmoja.

Пікірлер: 186
@rashidkihunga2938
@rashidkihunga2938 23 күн бұрын
Congo itakaa sawa hongera
@catherinekirimiti9738
@catherinekirimiti9738 16 күн бұрын
Youths are in Kenya selling kahawa
@Paulkessy-j8n
@Paulkessy-j8n 18 күн бұрын
Askari wa congo wanafanya sana kazi sio hawa wa kwetu bongo,,, kazi kutumika tu na viongozi
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 16 күн бұрын
Wakwetu watalii tu
@tedepakinabo7547
@tedepakinabo7547 13 күн бұрын
Sasa njaa ipo kilasiku yaani kuuwa ni kilasiku😢😢😢😢😢
@abudoeugenio6903
@abudoeugenio6903 23 күн бұрын
Iyo sheria ingewekewa pia kwa viongozi wezi, akiiba mali ya uma basi apigwe kitanzi kabisa. Manaake baazi ya viongozi wetu no washenzi pia.
@SalumSaid-w8i
@SalumSaid-w8i 23 күн бұрын
Invalid pendeza sana inhaling saidia taifa kusonga mbele
@HalfanmundoMundo
@HalfanmundoMundo 22 күн бұрын
Kiongozi anaiba bla kuua wala kujeruh
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 16 күн бұрын
Watafikia huko tu si muda mrefu watawabamba
@Veronica-y2j8o
@Veronica-y2j8o Күн бұрын
Anaua indirect​@@HalfanmundoMundo
@clauschaula2050
@clauschaula2050 22 күн бұрын
Viongozi wa bara la Afrika mna kazi kubwa ya kufanya kuhusu maisha ya hiki kizazi.Pia tuipitie upya mifumo yetu ya elimu.
@allykagawa
@allykagawa 20 күн бұрын
100%
@alhadajjmohammedsmith9042
@alhadajjmohammedsmith9042 20 күн бұрын
Tatizo hawaamdalii Vijana/Wananchi Ajira za maana/zenye Tija Kwa Vijana zaidi Mchunga na Bodaboda tu 🙌 Wakti Tz inayo Eneo/Ardhi Kubwa ya Kuweza Kuwekeza Kwa Kilimo na Viwanda na Kutowa Ajira Kwa Vijana/Wanachi. Laakin Ukiona/Ukiona Viwanda vya Wahindi/Wachina wanawanyonya Vijana wa KiTz Kwa Ajira/Vibarua Kandmizi, Wlipwa Mishaara/Posho Kwa Kiwango Cha Unyonyaji/Dhulma tu, wanakatika Viungo vya Mwili (Mikono, Vidole nk) ktk Mitambo/Mashine ya Viwandani laakin hawana Watetezi wa Kupata/Kulipwa Stahiki zao mbalimbali ikiwemo Kuumia Kazini nk. Afisadi wanawkeza ktk Biashara za Sitarehe (Majumba ya Sitarehe, Ulevi/Pombe, Miziki, Uzimnifu, Kamari nk Basi afadhal Mafadhali Mafisadi Wangewekeza ktk Miradi ya Maana ya Kutoa Ajira za maana Kwa Vijana//Wanachi laakin badala yake Mafisadi wamejawa Umimi/Ubinafsi (Pesa ya Dhulma hutumika ktk Mambo ya Dhulma/Uovu) tu ; Kujenga Majumba na Magari ya Kifahri Kwa Maslahi Yao Binafsi tu na Si Kwa Maslahi ya Jamii/Vijana (Wananchi) Sina Maana Ufisadi ni Mzuri/Uhalalishwe la'...🙌
@alexanderkapinga700
@alexanderkapinga700 18 күн бұрын
Mifumo ya Elimu imefanyaje mbona kabla ya hata hizi mufumo huu upambavu haukuwepo
@MwitaSenso
@MwitaSenso 23 күн бұрын
Nachoumia mm ni wadogo sana daah lakn hakuna namna uweni tu🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@SeverinoLuis-j1h
@SeverinoLuis-j1h 22 күн бұрын
Wadogo mchana usiku wakubwa
@GatekaFatma
@GatekaFatma 18 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 23 күн бұрын
Afu wadogo maskini mwee roho mbaya zimewajaa kwann wauwe wenzao 😢😢nao wauwawe tu auwaye kwa upanga nae auwawe kwa upanga
@Ann-Strong
@Ann-Strong 23 күн бұрын
Bora wangeuza viungo zao kabla ya kuwauwa
@salhaomar5382
@salhaomar5382 23 күн бұрын
Mungu tulindie watoto wetu wallah
@MariamThomas-bg4rc
@MariamThomas-bg4rc 16 күн бұрын
Amen 🙏
@maimunamohamed9811
@maimunamohamed9811 20 күн бұрын
Hiyo hukumu kali sana... ila ni funzo kwa wale wanaotaka uhalifu maishani
@PASHA-r7q
@PASHA-r7q 14 күн бұрын
Minister amefanya mzuri waca wapunguke ni wengi sana
@ChristandusPonela
@ChristandusPonela 12 күн бұрын
Daaaa😂😂😂😂😂??
@UpendoWaYESU-l3j
@UpendoWaYESU-l3j 19 күн бұрын
Askari wa Congo hawana hata vitambi MUNGU AWABARIKI sana
@GatekaFatma
@GatekaFatma 18 күн бұрын
😂😂😂😂Hawali rushwa
@ChristianSiwale-iw7ex
@ChristianSiwale-iw7ex 17 күн бұрын
😂😂kweli hawana rushwa​@@GatekaFatma
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 16 күн бұрын
Wakwetu vipi😂
@wemakalama6458
@wemakalama6458 15 күн бұрын
Jamani hizo comment daah🤣🤣🤣
@eunicegacheru1173
@eunicegacheru1173 19 күн бұрын
Hongera congo
@marckmasassi7466
@marckmasassi7466 23 күн бұрын
HII OPERATION INATAKIWA KUWA ENDELEVU KWA USALAMA WA CONGO NA EAST AFRICA HAWA WATU HAWAITAJI HURUMA HATA CHEMBE ALUTA CONTINUE COMRADES 🇹🇿🇧🇫🇧🇼🇺🇬🇰🇪
@NassorHassan-o8c
@NassorHassan-o8c 21 күн бұрын
Wapeni pesa zao au watafutieni Ajira viongoz wanauza madini tu Nch hiyo😊
@LovenessAlbert
@LovenessAlbert 20 күн бұрын
Wavivu wa kazi hao
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 16 күн бұрын
Nimeipenda kongo unaambiea jamaa yako tunae hapa kituoni na unamuona hapa kwetu unafichwa kimiakimia unakutwa umekufa porini
@athumaniamani9905
@athumaniamani9905 22 күн бұрын
Ila congo mamae Wana sura mbaya sana
@SeverinoLuis-j1h
@SeverinoLuis-j1h 22 күн бұрын
Na roho mbaya
@allykagawa
@allykagawa 20 күн бұрын
😂
@GatekaFatma
@GatekaFatma 18 күн бұрын
😂😂😂😂
@JudithKweyu
@JudithKweyu 16 күн бұрын
😂😂
@SophiaAlly-ih2ss
@SophiaAlly-ih2ss 23 күн бұрын
Watoto wadogo walah aise noma sana
@fredrickmziray4885
@fredrickmziray4885 23 күн бұрын
Wanakukaba hadi mchana😢
@anjelinakasembe845
@anjelinakasembe845 23 күн бұрын
Sio kweli Tz wengine ni panya road🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️
@Rehemaally-v4s
@Rehemaally-v4s 23 күн бұрын
Ushasikiaa congo
@bonita329
@bonita329 23 күн бұрын
😂😂😂ila siku hizi panya road afurukuti? Au bado
@AbdurKiligaliga-h7y
@AbdurKiligaliga-h7y 17 күн бұрын
Safisha congo
@MauBonde
@MauBonde 23 күн бұрын
Hao wanataka pesa za haraka wengi wao wanataka maisha ya kuiga na pesa za haraka.
@KhalidAlliy
@KhalidAlliy 15 күн бұрын
Seem Nyengine unaongopa muandishi
@ReginaldTilia-x9m
@ReginaldTilia-x9m 19 күн бұрын
Wangewapeleka kwenye somo la uzalendo alafu waende East Congo kupigana na kagame anaesumbua goma na Bukavu
@HilderMkamburi
@HilderMkamburi 18 күн бұрын
Mungu ampe nguvu apambane nao, wooote wanyongwe
@HassanChamlungu
@HassanChamlungu 15 күн бұрын
Ila inasababishwa na mazingila ya inch
@GatekaFatma
@GatekaFatma 18 күн бұрын
Sw na wadogo zangu wallahi ya rabb tulindie vizAzi na ndugu zetu
@HilderMkamburi
@HilderMkamburi 18 күн бұрын
Vija wa Leo hawataki kazi, Dunia Iko mwisho
@ZiporaObed
@ZiporaObed 19 күн бұрын
Ee mungu tulindie watoto wetu
@SaidCannal
@SaidCannal 21 күн бұрын
Haya makundi ya vijana ni hatari sana .ADHABU ya kifo ni sawa kabisa yafaa nchi zote zifuate mfano wa congo
@peterkiburio8323
@peterkiburio8323 14 күн бұрын
Hawakunyongwa
@gidionmassawe8529
@gidionmassawe8529 23 күн бұрын
Vijana wapende kulima hata mazao ya muda mfupi, Congo nchi nzuri imejaliwa ardhi yenye rutuba. Vijana wenzetu changamkieni hiyo fursa
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 16 күн бұрын
HAEA JAMAA HAWAKUNYONGI KIFALA UNAKAGULIWA VILIVYO
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 18 күн бұрын
Huyo wazili hataishia hapo atafanya mengi atawauwa watu wengi bila hatia na ninyi mnaomshangilia mtaona moto hata wenye dini zenu anaweza kuwaibukia
@kemondobukoba2188
@kemondobukoba2188 18 күн бұрын
Huwa kabisa nao waonje uchungu wa panga
@muhamedmuntaza2921
@muhamedmuntaza2921 16 күн бұрын
Panya road wa congo ao.. wauliwe tuu
@akonaaybaha9107
@akonaaybaha9107 17 күн бұрын
Hao madada walikamatwa mwaka jana wanatengeneza Dola feki
@hassanomar2786
@hassanomar2786 22 күн бұрын
Kuna sehemu inaitwa kanyaka ni hatari sana hapo
@SabihaibrahimRajabu
@SabihaibrahimRajabu 23 күн бұрын
Subhanallah jamani shetani ametuweza tunaangamia jamani
@ChamKidakule
@ChamKidakule 23 күн бұрын
Good job
@Stellastella-yi5vu
@Stellastella-yi5vu 20 күн бұрын
Bora niende zangu Uganda kuliko congo au kenya
@gloriaamase9764
@gloriaamase9764 17 күн бұрын
Safari njema
@umutoniwasesamillah1036
@umutoniwasesamillah1036 16 күн бұрын
Bora nibaki zangu Rwanda 😢😢😢
@Martindavid-g5x
@Martindavid-g5x 16 күн бұрын
Waje na huku Tanzania tumechoka
@JayjoshuaWillo-v5i
@JayjoshuaWillo-v5i 19 күн бұрын
Wanapenda maisha raisi awataki kuaso wengine tupo migodini
@DenisMugendiKiura
@DenisMugendiKiura 21 күн бұрын
Hongera sana Congo government
@KashindiRamazani-b1h
@KashindiRamazani-b1h 23 күн бұрын
Unafaa sana 🎉 kazi yako hiendelee✊️
@biggievandar254
@biggievandar254 23 күн бұрын
Uwa wote hao jinga sana
@NicoleMakaveli-wr6mm
@NicoleMakaveli-wr6mm 23 күн бұрын
Ata tanzania mko tu ivo si chief godlove ana mapesa bila kazi yeyote
@Jurbeg
@Jurbeg 23 күн бұрын
Mimi nimtz asikukwambie mtu tunaamani kiasi chakumwagika nimekudharau saana 😏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@CopperBelt
@CopperBelt 23 күн бұрын
Huwezi kufananisha Congo na Tanzania kwenye swala la Amani Congo amani ni asilimi 000.3
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 23 күн бұрын
Nyinyi wa 🇨🇩 wachumba kwanza mnajichubuwa alafu washamba sana mnauwa watoto wadogo na wakati kwenye3selikari ya Congo inanuka damu wezi wakubwa alafu wauwaji Nyinyi fulaini tu inachokifanya selikali yenu
@rosemerymwalongo5858
@rosemerymwalongo5858 22 күн бұрын
Itakuwa unamuwaza sana
@MHDFURNITURE-jn2rx
@MHDFURNITURE-jn2rx 21 күн бұрын
we aliokuwambia chief gd love afanyi kazi nani
@sammyspecialneeds_autism_tz
@sammyspecialneeds_autism_tz 18 күн бұрын
The problem is not those youth, trust me our government systems are not good for decades now, the national cakes belongs to politicians, leaders and big fish. No clear policies in developing our people through employments, distribution of natural resources, education systems are more theoretically than practically. This should be a good lesson for all Africa to reform their programs that will work practically to eliminate poverty and seek and cooperate with stakeholders to empower youth through different economic programs 🇹🇿🇹🇿, God bless Tanzania, bless Congo, God bless Africa.
@HilderMkamburi
@HilderMkamburi 18 күн бұрын
Aisee sura zao zintisha sana ,
@saidiguliti2414
@saidiguliti2414 22 күн бұрын
Malezi ya wazazi shida inaanzia nyumban
@lilianamimo188
@lilianamimo188 20 күн бұрын
kabisa wauwawe
@FintanFelix-z6c
@FintanFelix-z6c 17 күн бұрын
Wafe
@Evans-r9l
@Evans-r9l 20 күн бұрын
Uwa kabisa wahalifu
@MiriamLoy
@MiriamLoy 22 күн бұрын
Ee mungu tulindie watoto wetu 😭😭😭😭
@IddiKhamis-u6c
@IddiKhamis-u6c 23 күн бұрын
Mtu mpaka anafikia kua biashara yake ni viungo vya binadamu tena kwakuwaua jua huyo tayari hana roho ya binadamu. Akikamatwa apigwe tu risasi sawa na simba aliengia mtaani na kuanza kula watu.
@mtz5582
@mtz5582 23 күн бұрын
Always kuna milio ya bunduki,mabomu ,hali ya huzuni,kupoteza ndugu kwenye vita ...all those factors finally form such a being God has a place for him in the name of Jesus .Amen
@MartineHusein
@MartineHusein 20 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢😢
@RevocatusSebastian-c8o
@RevocatusSebastian-c8o 19 күн бұрын
Iyo pikipiki mbona namba za usajili kama ya Tanzania
@tatineramazani1401
@tatineramazani1401 23 күн бұрын
Kwani unataka kusema Tanzania watu kama hawa hawapo kweli ? Mbona wapo sana tu mtahani
@abdilahathumani4138
@abdilahathumani4138 23 күн бұрын
Jaribu kwenda congo afu uje kuona tofaut ya wahuni wa congo na wahuni wa tz
@SophiaAlly-ih2ss
@SophiaAlly-ih2ss 23 күн бұрын
Kweli congo imezidi kipimo
@hamzaibrahimu
@hamzaibrahimu 23 күн бұрын
𝗪𝗮𝗽𝗼 𝘄𝗲𝗻𝗴𝗶 𝗶𝗹𝗮 𝗰𝗼𝗻𝗴𝗼 𝘄𝗮𝗺𝗲𝘇𝗶𝗱𝗶 😅
@jeremiaaugustino7187
@jeremiaaugustino7187 23 күн бұрын
Congo..........wanaua........makauzu...huku Tz warembo tuuuuuuuuuuuu
@chazy7ya216
@chazy7ya216 22 күн бұрын
Uku tunakuuwa kabla ujawa sugu ukiibamara2tatu tunapita naww mawe moto imesha
@saidrakwe8727
@saidrakwe8727 20 күн бұрын
wauweni tu!!
@franckiesebastiano9
@franckiesebastiano9 10 күн бұрын
Kwani wazazi wa hao vijana wapo wapi. Najiuliza waliwagimiza watoto wao kusoma shule?
@catherinekirimiti9738
@catherinekirimiti9738 16 күн бұрын
Hizo pesa watakula tu
@dynachriss5126
@dynachriss5126 21 күн бұрын
Uckute hawa ndo waliwapora viatu,pesa na simu mashabiki wa utopolo 🐸😂
@allykagawa
@allykagawa 20 күн бұрын
😂😂
@SwaumuIsmaily
@SwaumuIsmaily 2 күн бұрын
Wanasula zakuticha jmn
@dorahbenard1837
@dorahbenard1837 23 күн бұрын
Wizi ni tabia na ujambazi hivo hivo kwanini wasichukuliwe kama wahaga wa madawa na kuwaelekeza na kuwafunza tabia nzuri ...kuwa sio solution Kwa nchi zetu za kiafrica tunamalizana wenyewe Kwa wenyewe tukumbuke wazungu wanafurahi haya matatizo yetu
@StephenBarasa-e5c
@StephenBarasa-e5c 20 күн бұрын
Haya
@NassorHassan-o8c
@NassorHassan-o8c 21 күн бұрын
Kuiba Cm ndo anyongwe Madini Je ?
@geitandelwa299
@geitandelwa299 23 күн бұрын
Aaaaa inauma naomba MUNGU ANISAIDIE MM NA WATOTO WANGU NA NA MUNGU ATAXAME WATOTO WETU WOTE AAA HUZI NI KAZI ZA Shetani
@ezekielmwadomba4675
@ezekielmwadomba4675 16 күн бұрын
SI WOTE WAKO KWA BODA,VIPI PANYA RODI KWANI NIWAZEE???
@jonunupanja112
@jonunupanja112 21 күн бұрын
askari wa kongo kwel mpo kazin
@Evance-op4jw
@Evance-op4jw 20 күн бұрын
wanyongwe tu hili wengine washtuke
@maimunamohamed9811
@maimunamohamed9811 20 күн бұрын
Sasa pesa wanaiba wapeleke wapi? Na kila wanachotakq wanapora
@micR198
@micR198 22 күн бұрын
Sasa hawo wenye pesa 💰 kunamwengine mtu anaye sema nizake?? Kama haipo wawarudishiye pesa zawo bwana!! Ivi hawo wanajeshi wanataka iba hizo pesa.wana serkali ya DRC niwizi!
@MerryRenatus-ck4lz
@MerryRenatus-ck4lz 23 күн бұрын
Hawa hawataki kufanya kazi wanalaana
@Givendivine
@Givendivine 20 күн бұрын
Vijana wa arusha kabisa
@JumaMaulidi
@JumaMaulidi 19 күн бұрын
Wengine tupo kwenye bustani
@maryoswad7022
@maryoswad7022 20 күн бұрын
duuu wameamua kunitoa sadaka mmmmm
@AllySultan-s6s
@AllySultan-s6s 21 күн бұрын
Jamani wapeni kazi Ajira vizazi mmewazaa wenyewe nje ya ndoa kisha munawauwa Mf mbunge analipwa zaidi ya milioni 12 Pesa mnakula wenyewe 😠 na mtawauwa hadi baba zetu nipo hat tamaa
@ClaudeBokasa
@ClaudeBokasa 21 күн бұрын
Pumbavu kbs wewe mwenyew na babaako nimaskin wakutupwa mmeibia wangapi na kuuwa wangapi???
@PeterStephen-on4zz
@PeterStephen-on4zz 23 күн бұрын
wanapelekwa gereza moja linaitwa dungu. Limezungukwa na maji ya mto kibali. Ni mbali Sana kutoka Kinshasa.. Jilani. na sudani
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 23 күн бұрын
Wamenyongwa
@AzizaShaik-v8o
@AzizaShaik-v8o 23 күн бұрын
😢😢😢
@KinyanjuiKiuna
@KinyanjuiKiuna 21 күн бұрын
Wauliwe
@gesusgegangphray7689
@gesusgegangphray7689 23 күн бұрын
dollar congo n kawaida
@ClintonMwakilambo
@ClintonMwakilambo 22 күн бұрын
Yan congo wakienda iv miaka 5 mfululizo mbona nchi itatulia
@ymohammed963
@ymohammed963 22 күн бұрын
Lubumbashi na kwenyewe msako mkali...na polisi nao wezi pia
@ogdosho93
@ogdosho93 23 күн бұрын
Hao ukiwaona apo unawaonea huruma kama wanaonewa ivii😢 lkn usiombe wakuone wao wewe night 'oya! utalia sio watu hao!😅
@RitbayRitbay
@RitbayRitbay 23 күн бұрын
Wallah ila ukiiingia mikononi mwao utakoma
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 23 күн бұрын
Kabisa sio watu yani wanakuuwa bila huruma 😢😢😢
@DamarisDuuTausi
@DamarisDuuTausi 23 күн бұрын
Kweli kabisa
@AlphonceKomba-go3xu
@AlphonceKomba-go3xu 23 күн бұрын
Uyo waziri akiwamaliza waharibifu agombee uraisi make ni shangwe uku Tz walianza panyaroad wamefagiwa wote saizi ni amani
@SabihaibrahimRajabu
@SabihaibrahimRajabu 23 күн бұрын
Ingepita msako kama hivi wakanyongwa wazi kama hivi basi tungepumua Afrika imezidi tunauwana wenyewe
@bongo39
@bongo39 23 күн бұрын
Bora waziri arndelee kuwauwa tuu
@SaidiHarubu
@SaidiHarubu 21 күн бұрын
Waliwapasua yanga uyubaa haohao
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 21 күн бұрын
Sheria iwe kama china watu wawe wananyongwa
@johnrambo9642
@johnrambo9642 20 күн бұрын
UA WOTE
@bongo24.
@bongo24. 23 күн бұрын
Hatari tupu kwakweli
@noelaombeni9696
@noelaombeni9696 23 күн бұрын
@adaka africa can you come and see what the kuluna did to the people 😭😭
@SmilingMacawBird-uh9mz
@SmilingMacawBird-uh9mz 23 күн бұрын
Wapelekwe jeshi wapiganie nchi yao
@abdilahathumani4138
@abdilahathumani4138 23 күн бұрын
Wamalize kinshasa waje lubumbash aseee watoto wakomeshwe wotee
@BintyMohammedy
@BintyMohammedy 23 күн бұрын
Izo Dola wanawaibia Maderava
@freakboy1804
@freakboy1804 21 күн бұрын
Wangeimba tu kama Christian bella
@fredrickochieng8112
@fredrickochieng8112 18 күн бұрын
What bus the cause if sll this!?its corruption and bad governance which has led to bad economy thus crime
@labunaabouna6122
@labunaabouna6122 23 күн бұрын
Tz mnao panda road
@magdalinekenneth7238
@magdalinekenneth7238 23 күн бұрын
Bac walianza kitambo toka 2006 si wamehangaisha sana jaman
The Discovery of King Richard III
9:17
Primal Space
Рет қаралды 3,2 МЛН
DUNIA (Ep 48)
23:19
ASMA FILMS
Рет қаралды 59 М.
coco在求救? #小丑 #天使 #shorts
00:29
好人小丑
Рет қаралды 120 МЛН
It works #beatbox #tiktok
00:34
BeatboxJCOP
Рет қаралды 41 МЛН
UFC 310 : Рахмонов VS Мачадо Гэрри
05:00
Setanta Sports UFC
Рет қаралды 1,2 МЛН
ADD/ADHD | What Is Attention Deficit Hyperactivity Disorder?
28:15
Understood
Рет қаралды 10 МЛН
WADADA WAUZA VIUNGO VYA BINADAMU KWA WAGANGA WA KIENYEJI KUNYONGWA LIVE
8:07
HABARI JAMII DIGITAL
Рет қаралды 27 М.
HAPO UNASOMEWA HUKUMU YA KUNYONGWA MBELE YA NDUGU ZAKO NA HUWEZI KUKIMBIA
9:58
HABARI JAMII DIGITAL
Рет қаралды 111 М.
coco在求救? #小丑 #天使 #shorts
00:29
好人小丑
Рет қаралды 120 МЛН