Hemu asimame kiongozi mkuu wa nchiii hiii kisha atueleze kinaga ubaga hichi kilicho tokea hapa haswa kilikua nini na kinamaana gani na tafsiri yake ni nini kimsingi
@ashahamad-mq3izКүн бұрын
Muongo mkubwa toka lini Zanzibar msikiti ukawa na nguvu kama Serikali askari anaingia mskitini na viatu na kupiga watu mbona kanisani haendi kuwapiga kanisani ni kweli Sheikh kanisa lina nguvu kuliko Serikali
@yusuphmohamed85603 күн бұрын
Inna lillah wainna ilayhi raajiuun. Kijana aliteleza kama binaadam kumpiga baba yake kibao amefanya kosa kumpiga baba yake. Baba wa mwenzio ni baba Yako. Ahsanteni kwa ushirikiano.
Hii ndo tofaut ya uislm na dini nyingne Yaani ktk uislm ukileta ujinga hatukuachi salama
@ahmadSeif86011 күн бұрын
Jembe hili
@reubenalfred970721 күн бұрын
Wazanzibar wanachukiana wao kwa wao kuliko hata wanavyotichukia Tanganyika. Wakipta nafasi ya kujitawala basi damu itamwagika sana Zanzbar na inaweza isiwe nchi inayotawalika kwa miaka mingi sana
@ABUUSHURAIMАй бұрын
Allah akurehemu nakukumbuka kwa ulivyokua mkweli
@111dudiАй бұрын
The sultans never did this.
@hajiameir8688Ай бұрын
Ndio adabu yenu wazanzibari amkeni msiwe wapofu
@hajiameir8688Ай бұрын
Kumbe huu muungano ni shida ilianzia toka kwa karume mwenyew duuu
@ALIKHAMIS-un4fv2 ай бұрын
Innallilah wainna ilaih rajiun hawa wanaouliwa ni waislamu wenzetu duuh
@fahadfaraj6474Ай бұрын
Waislam wanakufa syria lebanon na Gaza
@user-ec7lp9td5e2 ай бұрын
Huyu mzee ni msenge sasa kama waarabu watarudi si shauri yenu pambaneni na hali zenu vinganganizi Kuna siri kubwa kama hujuw na unajw si hilo tuuh
@marcusmorrataantonius4112 ай бұрын
Probably one of the finest presentation on constitution from the brightest & smartest minds in Tanzania. Salute Senior Councel Lissu
@eddynaeem67083 ай бұрын
ebo mtu anataka matako akojowe wewe unamwambia subiri kwanza tulale mpaka asubuhi hiyo karume ndio faida ya usaliti ulilisaliti Taifa la Zanzibar kwa tamaa zako binafsi mtwana wewe lakini iko siku Taifa letu litainuka ( one day our nation will rise up)
@angojothammbossa63853 ай бұрын
Tunajua hakuwa Nyerere peke yake na haya mambo msiyanyamazie na yaandikwe
@harithmohd63183 ай бұрын
Wanzanzibar leo et mnasherekea siku ya mapinduz hamjui kuwa siku hiyo zilipotea roh za watu tena waislam wenzetu ndio walouliwa mujuwe t mukisherekea bc munasherekea damu za watu namutawalip zoho zao sk ya sik
Astaffirullah wewe ni mjinga sana wewe km si maalim ungepewa ubunge
@Dymitri-Babushka.5 ай бұрын
Lakini hii dunia kuna minjemba ya ajabu sana
@user-et9vf2ro2k5 ай бұрын
Emu pia angalia kwa vyema kabisa apo lissu anapo pinda kwenda ndani kuna bango la kijani lina onesha alama ya mtu alie vaa maski sii tena ameandika "Take care"
@user-sf3mm9xe3p5 ай бұрын
Anafataaslah tu
@user-sf3mm9xe3p5 ай бұрын
Mnafiki huyo
@user-et9vf2ro2k5 ай бұрын
Wewe unachuki na lissu ama vp emu angalia vizuri ni wazungu gani wana mshangaa na hali ya kua hao wazungu wamevaa iyo maski pia jamani mbona ivi
@user-sf3mm9xe3p5 ай бұрын
Muongo
@asteriashios18526 ай бұрын
Hivi walinzi.wake walikuwa wapi ni wa kufukuza kazi
@King_Of_Everything6 ай бұрын
✌️👍👊.
@sharifahmed73466 ай бұрын
Jazaka LAAH khaira Mohammed Said na historia ya Uislamu na Tanganyika , ALLAH akupe kila la kheri na baraka